×

Habari

GWAJIMA ATINGA IKULU, ASHUSHA MAOMBI MAZITO MBELE YA JPM – VIDEO

ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dkt. Josephat Gwajima, leo Jumatano, Desemba 12, 2018 amekuwa miongoni mwa wageni walioalikwa Ikulu jijini...

READ MORE

Amuua Kaka Yake kwa Sangoma Kisha Kujinyonga

WATU wawili wamefariki dunia Mkoani Morogoro baada ya mtu aliyedaiwa kuwa na ugonjwa wa akili kumuua ndugu yake na kisha...

READ MORE

Rais Huyu Apigwa Marufuku Kukanyaga Ardhi ya Marekani

SERIKALI ya Marekani imempiga marufuku Rais wa zamani wa Gambia, Yahya Jammeh kuingia nchini humo kutokana na historia mbaya ya...

READ MORE

TANGA: Basi Laua Waawili na Kujeruhi 21

WATU wawili wamefariki dunia na wengine 21 kujeruhiwa huku sita kati yao wakiwa na hali mbaya baada ya basi la...

READ MORE

ROSE MUHANDO AIANGUKIA SERIKALI

BADO afya ya mwimbaji maarufu wa Nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando ni tete ambapo ameiangukia serikali imsaidie ili aweze...

READ MORE

Tigo wazindua malipo ya kielekroniki Serikalini Arusha

    KAMPUNI ya simu ya mkononi ya Tigo kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji safi na Usafi wa Mazingira...

READ MORE

KUFURU! BWA’MDOGO ANAYEDAIWA KUIPIGA MABILIONI SERIKALI YA JPM

UKISIKIA kuna bwa’mdogo wa miaka 34, tena anaishi Kongowe, Mbagala jijini Dar es Salaam, amefikishwa mahakamani akidaiwa kuipiga serikali ya...

READ MORE

KENYATTA AZINDUA SARAFU MPYA KENYA, HAZINA PICHA ZA MARAIS

  RAIS Uhuru Kenyatta leo Jumanne, Desemba 11, 2018 ameliongoza taifa kuzindua sarafu mpya za Kenya za thamani za Sh...

READ MORE

SKAUTI WATAKIWA KUJENGA, KULEA MAADILI MEMA KWA VIJANA

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amewataka viongozi wa Chama cha Skauti Tanzania kuwajenga na kuwalea...

READ MORE

NMB KUWAZAWADIA SHILINGI MILIONI 100 WATEJA WAKE!

    BENKI ya NMB imezinduwa kampeni ya matumizi ya ‘NMB Mastercard’ au ‘NMB Masterpass’ inayojulikana kama ‘MastaBata’, ambapo wateja wanaofanya...

READ MORE

Prof. Ndalichako Akutana na Ugeni Kutoka Canada, Finland Wazungumzia Elimu

  SERIKALI ya Tanzania kwa kushirikiana na Benki ya Dunia zimekubalina kuendelea kuimarisha programu za  Mpango wa Elimu kwa Walioikosa...

READ MORE

WABUNGE WALIONUSURIKA KIFO KATIKA AJALI

ROHO wa ajali ashindwe na pepo mchafu aenezae hofu kipindi cha mwisho wa mwaka ambapo ajali nyingi hutokea naye alegee;...

READ MORE

BREAKING: Mwendokasi Iliyoua 3 Manzese, Polisi Yanasa Watu 20 – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia Madereva wa bodaboda 20 kwa kuharibu basi la Mwendokasi tukio...

READ MORE

Yusuf Manji, Wenzake Wanne Watakiwa Kuilipa NBC Sh. Bilioni 33

KITENGO cha Biashara cha Mahakama Kuu, kimemwamuru mfanyabiashara  Yusuf Manji na wenzake wanne kuilipa Benki ya Biashara ya Taifa (NBC) ...

READ MORE

MAHAKAMA TANZANIA KWENDA LIKIZO WIKI HII HADI MWAKANI

Mahakama ya Tanzania imetangaza likizo ya kimahakama itakayoanza Jumamosi hii, Desemba 15, 2018 hadi Januari 31, 2019 ambapo katika kipindi...

READ MORE

‘Mjamzito’ Anaswa Akisafirisha Madawa, Wanafunzi Wakutwa na Mirungi

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limewakamata watu wanne kwa kupatikana na dawa za kulevya aina ya mirungi kiasi cha...

READ MORE

TAARIFA MUHIMU KUTOKA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Desemba, 2018 amepokea hati za utambulisho...

READ MORE

MTANDAO HATARI WA WANAWAKE WABAINIKA!

UKISIKIA aibu, fedheha na dhihaka subiri ufumaniwe! Usiombe tukio hilo likutokee, endelea kusikia stori kwa watu. Lakini maumivu zaidi ni...

READ MORE

Mbunge Shangazi aing’arisha ‘surprize’ kwa Mwalimu Shekoloa

    Baadhi ya wanafunzi waliosoma katika Shule ya Sekondari Mlalo iliyopo katika Kijiji Cha Mlalo, Wilayani Lushoto Mkoani Tanga,...

READ MORE

MAGUFULI AGAWA VITAMBULISHO 670,000 KWA WAKUU WA MIKOA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizingumza na Wakuu wa Mikoa, Mawaziri na Makatibu Wakuu wa baadhi ya Wizara, Mameneja wa...

READ MORE

Benki ya Biashara ya DCB yang’ara tuzo za NBAA

    Benki ya Biashara ya DCB imeahidi kuendelea kubuni na kuboresha huduma na bidhaa zake hususani huduma za kidigitaji...

READ MORE

AMBER RUTTY ATINGA KISUTU NA MCHUNGAJI

Msanii Nascat Abubakar ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Mtopari, wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Desemba 10, 2018 kwa...

READ MORE

JPM Aanika Majina ya Matajiri Vinara wa Kukwepa Kodi – Video

RAIS Dkt. John Magufuli amesema wapo wafanyabiashara wakubwa nchini ambao wamekuwa wakikwepa kodi kwa kupitia makontena wanayoingiza na wengine kupitia...

READ MORE

JPM Atoa Vitambulisho kwa Machinga, Atangaza Vita na Mgambo – Video

Rais Dkt. John Magufuli amechapisha vitambulisho 670,000 ambavyo vitagawiwa kwa wajasiriamali wadogowadogo wa mikoa yote nchini baada ya kuona mchakato wa Mamlaka...

READ MORE

BREAKING: Kodi ya Nyumba Yamkera JPM, Atoa Agizo TRA- Video

Rais Dkt. John Magufuli amesema japo kuwa uchumi wa nchi unakwenda vizuri, mfumuko wa bei pia umepungua, lakini Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...

READ MORE

KIJANA ALIA…NAKIONA KIFO CHANGU

  INAUMA sana! Kijana Mustafa Saidi (32), mkazi wa Ukonga-Mombasa jijini Dar anadai kukiona kifo chake kutokana na mateso makubwa...

READ MORE

JAFFERJEE: MABINGWA WA VIFAA VYA USALAMA MAHALI PA KAZI

Hakuna shughuli ngumu kama uendeshaji wa mitambo mikubwa, kufanya kazi viwandani, migodini au kwenye miradi mikubwa ya ujenzi wa maghorofa,...

READ MORE

JOKA LA JABU LATIKISA DAR

DAR ES SALAAM: Patashika nguo kuchanika! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia joka linalodaiwa kuwa la ajabu kuonekana mara kwa mara na...

READ MORE

BADILISHA SIMU YAKO NA CAMON 11 MPYA   

TECNO, miongoni mwa kampuni bora za simu ulimwenguni imezindua rasmi TECNO camon 11 ikiwa ni mwendelezo wa toleo la simu...

READ MORE

Lugola Amsweka Ndani Mtendaji wa Kijiji

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemsweka ndani Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Namalebe, Kata ya Chitengule,...

READ MORE

Breaking: Msanii wa Kundi la Jagwa Music, Jack Simela Afariki

  MWANAMUZIKI  wa Mchiriku na Singeli kutoka kundi la Jagwa Music,  Jack Simela na wenzake wanne wamefariki dunia kwa ajali...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Soka Kuonyeshwa Hospitalini

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Faustine Ndugulile (kulia) akikabidhiwa viti na Meneja wa...

READ MORE

VYAMA 15 VYA SIASA VYATOA TAMKO KUHUSU MUSWADA WA SIASA (Picha +Video)

Vyama 15 vya siasa nchini kupitia viongozi wake wakuu, leo Desemba 09, 2018, vimekutana na kutoa tamko la pamoja kuhusiana...

READ MORE

Milioni 10 za Tigo Jigiftishe zaenda kwa mtumishi wa afya

  Mtumishi wa Wizara ya Afya kitengo cha maabara na mkazi wa  Mpwapwa mkoani Dodoma Mbwana Saidi Mbela , ameibuka...

READ MORE

SIMULIZI MAMA ALIYEMWAGIWA TINDIKALI INASIKITISHA

AADHIMISHO ya siku kumi na sita za kupinga ukatili wa kijinsia na walemavu mkoani Mbeya yameendelea kwa kuwatembelea na kutoa...

READ MORE

Mrembo wa Mexico Aibuka Mshindi Fainali za Miss World 2018 – Video

Mrembo Vanessa Ponce de Leon kutoka nchini Mexico ameibuka mshindi wa taji la mrembo wa dunia 2018 kwenye shindano lililomalizika...

READ MORE

MKE APAMBANA NA JAMBAZI AKIMUOKOA MUMEWE, ALINYANG’ANYA SILAHA

Mkazi wa Kijiji cha Mahyolo, Kata ya Nyamihyolo, Wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, Busimba Malegesi amemuokoa mumewe asiuawe na jambazi...

READ MORE