×

Habari

JPM ATOA TSH 50M KWA TAIFA STARS ‘MKIFUNGWA MTAZITAPIKA’- VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amekutana na kuzungumza na wachejazi wa Timu ya Taifa ya...

READ MORE

IGP SIRRO: HII NDO GARI ILIYOMTEKA MO, ILIPOTELEA KAWE – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema jeshi hilo kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama limefanya...

READ MORE

Sirro: Tumebaini Mmiliki na Dereva wa Gari Iliyomteka Mo Dewji – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro,  amesema jeshi lake limelitambua  gari  lililotumiwa katika kumteka mfanyabiashara maarufu nchini,...

READ MORE

MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO SENGEREMA SEKONDARI AJINYONGA

MWANAFUNZI wa Kidato cha Tano, Shule ya Secondari ya Sengerema aitwaye Ayoub Yahya Petro (19), mwenyeji wa Kyerwa mkoani Kagera,...

READ MORE

SIRI WACHUNGUZI WA NJE KUGOMEWA BONGO YATAJWA

SERIKALI iwaite wachunguzi wa Kimataifa.” Baadhi ya wananchi wamekuwa wakitoa kauli hizo baada ya kuwepo kwa tukio la Mbunge wa...

READ MORE

Kampuni ya Mo Dewji Yafunguka Suala la Kusitisha Uzalishaji

Uongozi wa Makampuni ya ‘MeTL’ unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji umekanusha taarifa za uvumi juu ya kusitisha shughuli...

READ MORE

Mwakyembe Awateua Mwana FA, Richie Mtambalike BASATA

WASANII Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ na Single Mtambalike ‘Richie’ wameteuliwa kuwa wajumbe ya Bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania –...

READ MORE

HEAMEDA MEDICAL CLINIC YAENDESHA KAMBI YA KUPIMA MAGONJWA

  KLINIKI ya Magonjwa ya Moyo Heameda iliyopo Bunju B jijini Dar es Salaam imeanzisha kambi maalumu ya siku mbili...

READ MORE

INASIKITISHA! Maiti za Watoto Watatu Zilivyokutwa Kwenye Gari Bovu Dar

WATOTO watatu wa familia moja walitoweka tangu Oktoba 15, mwaka huu katika Mtaa wa Njaro wilayani Temeke, Dar es Salaam wamekutwa...

READ MORE

Mambo Tambarare na M-Pesa, Ukikosea Unarudisha Pesa

Popote ulipo unaweza kurudisha miamala uliyokosea papo hapo kupitia M-Pesa yako. Piga *150*00# chagua akaunti yangu kisha Chagua rudisha muamala.

READ MORE

THE 2ND ANNUAL ICT PROFESSIONALS CONFERENCE, 2018 (AIPC)

The Information and Communication Technology (ICT) Commission is pleased to invite all ICT practitioners to the 2nd – Annual ICT...

READ MORE

Wakazi watano washinda Milioni 161.5 za M-Bet

  Jumla ya washindi watano wameshinda jumla ya Sh161, 467,950 baada ya kubashiri kwa usahihi droo ya kampuni ya M-Bet...

READ MORE

Sakata la Clip; Kubenea, Komu Waomba Radhi Chadema – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamewaomba radhi viongozi...

READ MORE

Breaking: Kimenuka! Kubenea, Komu Wavuliwa Uongozi – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamevuliwa nyadhifa zao...

READ MORE

BAADA YA KUONDOKA SIMBA, MASOUD DJUMA APATA TIMU LIGI KUU

ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba, Masoud Djuma amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuifundisha AS Kigali inayocheza Ligi Kuu...

READ MORE

Diwani wa Magomeni, Mmliki Shule za Green Acres, Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Magomeni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmiliki wa shule za Green Acres, Julian Bujugo,  amefariki...

READ MORE

DC Hai Afunga Maduka ya Mwenyekiti Chadema, Aagiza Achunguzwe – Video

Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kuyafunga maduka ya Mwenyekiti wa...

READ MORE

Vigogo ACACIA Wafikishwa Kortini, Wasomewa Mashitaka 39

ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia, Deo Mwanyika na  Mshauri wa Serikali ndani ya Kampuni...

READ MORE

BIBI NUSURA AFE AKIMLILIA LUKUVI

Bibi mmoja aliye­fahamika kwa jina la Rehema Shabani mkazi wa Kulangwa, Tegeta ‘A’ jijini Dar, hivi karibu­ni nusura afariki dunia...

READ MORE

HALOTEL YAADHIMISHA MIAKA MITATU YA KUANZISHWA KWAKE

    Napenda kuwakaribisha nyote katika Mkutano huu muhimu tunapoadhimisha miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa huduma za Kampuni yetu ya...

READ MORE

WAKATI MO AKISAKWA ALIYETEKWA SIKU 14 A IBUKA KANISANI

WAKATI mfanyabi­ashara ambaye ni bilionea maarufu Bongo, Mohammed Dewji akisakwa kila kona bila mafanikio, kijana Chris­topher Stambuli (pichani) ambaye alitekwa...

READ MORE

DONGE LA BILIONI MOJA LA MO LAIBUA KIZAAZAA

TUKIO la mfanyabiashara Mohammed Dewji (pichani) aliyetekwa hivi karibuni na watu wasiojulikana limekuwa likichukua sura mpya kila siku ambapo baada...

READ MORE

CHADEMA Wanunua Magari Mapya ya Kazi Maalum – Pichaz

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, leo Jumatano, Oktober 17, 2018 kimeyaonyesha hadarani magari yake aina ya Ford Ranger ambayo...

READ MORE

HESLB Yawapangia Mikopo Wanafunzi 25,532 Awamu ya Kwanza

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019...

READ MORE

WAZIRI Mkuu Ethiopia Ameteua Baraza la Mawaziri, Aweka Rekodi Hii

WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameteua baraza la mawaziri 20, ambapo 10 kati yao ni wanawake. Kwa mara ya...

READ MORE

Maonyesho ya Utalii Yafunika Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kwamba maonyesho ya Utalii yanayofanyika Zanzibar...

READ MORE

Breaking: Watoto 6 Wafariki kwa Radi, 25 Wajeruhiwa Geita

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza wanafunzi sita wa Shule ya Msingi ya Emaco Vision English Medium ya mjini Geita wamefariki dunia leo...

READ MORE

Makamu wa Rais Acacia, Mwanyika na Lugendo Watiwa Mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewakamata aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia,...

READ MORE

UTURUKI: Mwili wa Khashoggi Ulikatwakatwa Vipande Kuficha Ushahidi

KWA mujibu wa ofisa mmoja wa serikali ya Uturuki asema mwili wa mwanahabari, Jamal Khashoggi, ulicharangwa vipande baada ya kuawa...

READ MORE

Lowassa Ashiriki Kuaga Mwili wa Mtoto wa Mwakasege

WAZIRI Mkuu wa zamani na Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa jana Jumanne, Oktoba 16, 2018 aliungana na...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Mh. January Henry...

READ MORE

Maneno ya Mwakasege Wakati wa Kuaga Mwili wa Mwanaye

MCHUNGAJI Mwalimu Christopher Mwakasege jana Jumanne Oktoba 16, 2018 aliongoza maombi ya ibada ya kuaga mwili wa mwanaye wa pekee...

READ MORE

BREAKING: Ishu ya MO Dewji, Serikali Yamjibu LEMA – Video

Serikali imesema inao uwezo wa kuchunguza uhalifu wa aina yoyote nchini kwa kutumia vyombo vyake vya ndani ikiwemo Jeshi la...

READ MORE

BI HARUSI ATOWEKA NA MICHANGO!

ARUSHA: Mrembo aliyejulikana kwa jina la Doreen Aloyce, anadaiwa kutoweka na michango ya harusi, hali iliyosababisha wachangiaji kucharuka.   Chanzo makini...

READ MORE

BASI LA NEW FORCE LATUMBUKIA KITONGA, 10 WAJERUHIWA

TAKRIBANI watu kumi wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya New Force lililokuwa likitokea Mbeya kuelekea Dar es Salaam kutumbukia...

READ MORE

NILICHOKIONA NYUMBANI KWA HAYATI NYERERE

 JUZI Jumapili, Oktoba 14, imetimia miaka 19 tangu kufariki dunia kwa muasisi wa taifa hili na rais wake wa kwanza,...

READ MORE

Hans Poppe Apandishwa Mahakamani Kisutu Dar

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Poppe,  leo amefikishwa mara ya kwanza katika Mahakama ya...

READ MORE

Paul Allen Mwasisi-Mwenza wa Microsoft Afariki

Paul Allen, bilionea aliyekuwa mmoja wa waasisi wa kampuni la Microsoft  na Bill Gates mnamo 1975, amefariki dunia kwa kansa.   Allen ambaye...

READ MORE

HAJI MANARA AACHIWA KWA DHAMANA

MSEMAJI  wa Klabu ya Simba, Haji Manara, ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na polisi kwa takribani siku nne. Manara...

READ MORE