×

Habari

DIMPOIZ: ‘NILIKULA SUMU’ USAHA ULIKARIBIA KWENYE MAINI

MSANII wa Bongo Fleva, Omary Nyembo maarufu kama Ommy DImpoz amefunguka A-Z kuhusu ugonjwa wake wa koo ulivyokuwa ukimsumbua na...

READ MORE

MASTAA BONGO WAANDISHI WA HABARI KUTEMBELEA MRADI WA SGR

WASANII fani mbalimbali wamekutana na waandishi wa habari tarayi kwa ziara maalum ya kutembelea mradi mkubwa wa reli ya kisasa...

READ MORE

IGP SIRRO APANGUA MAKAMANDA WA POLISI, AMWONDOA SHANA MWANZA

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro amefanya mabadiliko ya makamanda wa polisi wa mkoa wa Mwanza na...

READ MORE

BREAKING: JPM Afanya Ziara Channel 10, Magic FM, Awapa Mamilioni na Mjengo – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli leo Jumanne, Februati...

READ MORE

BREAKING NEWS: WABUNGE WATIMUA BUNGENI BAADA YA ALAMU – VIDEO

TAHARUKI imeibuka Bungeni huku Kikao cha Bunge kikivunjika kwa muda huku wabunge wakilazimika kukimbia kutoka ndani ya Ukumbi wa Bunge...

READ MORE

SHINDANO YA VIPAJI DUCE: ‘INJINIA SOOOMA HIYOOO!”

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kampasi ya DUCE, wikiendi iliyopita walifanya tamasha la nguvu la kuonyesha...

READ MORE

DED WA ADAIWA KUUA MKULIMA KANISANI KWA RISASI – VIDEO

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Itigi, mkoani Singida, Pius Luhende na Askari wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za...

READ MORE

Nape Nnauye Ajiuzulu

KATIBU wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai amethibitisha kupokea barua ya mbunge wa Mtama Mh. Nape Nnauye kujiuzulu nafasi ya Mwenyekiti...

READ MORE

SHIZA KICHUYA wa Kimataifa

MAISHA ya winga kipenzi cha mashabiki wa Simba, Shiza Kichuya yanakwenda kubadilika kwa kiasi kikubwa. Alianza mwaka akiumiza kichwa kujua...

READ MORE

Ndugai Aitaka Serikali Ieleze Kuhusu Mauaji ya Watoto Njombe

Spika wa Bunge, Job Ndugai ameiagiza Serikali kutoa kauli kuhusu mauaji ya watoto yanayoendelea mkoani Njombe kabla ya kuahirishwa kwa...

READ MORE

Kesi ya Lissu Yafufuka, Wadhamini Wake Waitwa Kisutu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru wadhamini wa Mbunge wa Singida Mashariki kupitia tiketi ya Chama cha Chadema, Tundu Lissu...

READ MORE

Serikali Yafanunua Inavyonunua Korosho Chini ya Bei Elekezi ya Sh 3,300 – Video

SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu madai ya watu wa kada mbalimbali, akiwemo Mbunge wa Mchinga (CUF), Hamidu Bobali,  kuwa korosho inanunuliwa...

READ MORE

HII NDO MBINU MPYA YA KUSAFIRISHA MADAWA YA KULEVYA

WAFANYABIASHARA wa Dawa za kulevya aina ya Mirungi wamebuni mbinu mpya za kusafirisha Dawa hizo kwa kutumia magari ya Kifahari...

READ MORE

Nabii Bushiri mahakamani kwa kutakatisha fedha

NABII wa aina yake asiyeishiwa vituko, Shepherd Bushiri, amefikishwa mahakamani jijini Johannesburg leo ambako yeye na mkewe wanakabiliwa na mashtaka...

READ MORE

MJALIWA AKUTANA na Mwinyi, Lugola, Kabudi na Mahiga

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global...

READ MORE

Ubalozi Wa Tanzania Ujerumani Wamjibu Lissu

Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani, Dk Abdallah Possi ametoa tamko akijibu madai ya Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu...

READ MORE

POLISI ALIYEKUTWA AMEKUFA CHUMBANI…SIMANZI

KIFO cha polisi wa Kikosi cha Kuzuia Ghasia (FFU), Justine Alfred Marobo kimeacha simanzi nzito kufuatia askari huyo kuwa kipenzi...

READ MORE

MGUNDUZI WA TANZANITE, MZEE NGOMA AZIKWA SAME

MGUNDUZI wa madini ya Tanzanite na Madini ya Jasi Marehemu Jumanne Ngoma ambaye alifariki katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini...

READ MORE

CHADEMA WAINGIA VITA NA KARIA, WAMTAKA AMUOMBE RADHI LISSU

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeingia vitani na Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania, Wallace Karia baada ya kutoa...

READ MORE

Baada ya Kuhamishiwa Muhimbili, Rais Magufuli Amtembelea Kitwanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo Jumamosi, Februari 2, 2019 amemtembelea na mjulia Mbunge wa...

READ MORE

APP YA GLOBAL YAZINDULIWA KAMPASI YA DUCE CHUO KIKUU DAR – VIDEO

Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Kampasi ya DUCE, jana walifanya tamasha la kuonyesha vipaji mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

MAPYA YA MTOTO ALIYEKARIRI VIONGOZI WOTE

KAGERA: Mtoto aliyewahi kutikisa kwenye vyombo vya habari na mitandao mbalimbali nchini Itham Mahfudh (4) kutokana na kipaji chake cha...

READ MORE

Kampeni ya Binti CCM kutua Ocean Road

Mwenyekiti wa Binti CCM Kampeni, Debora Charles, amesema kuwa kesho wanatarajia kukutana na wasina na wadau mbalimbali  ili kuweza kuwatia...

READ MORE

Kasesela Anasa Video: Mchungaji Akifanya Mapenzi na Binti wa Mchungaji Mwenzake

MKUU wa Wilaya ya Iringa Mjini Richard Kasesela amelishauri Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania KKKT Dayosisi ya Iringa kumuondoa...

READ MORE

KIDUME ALIYEFUFUKA AFARIKI TENA

  MWANAMME  wa Ethiopia ”aliyefufuka” wakati wa mazishi yake miezi mwili iliyopita amefariki dunia tena.   Hirpha Negero alithibitishwa kufa...

READ MORE

WALIOSHAMBULIA KENYA WAKIONA, MAREKANI YAWATUNGUA 24

MAREKANI imesema kuwa vikosi vyake vimefanya mashambulizi ya makombora ya anga kulenga kundi la kigaidi la Al-Shabaab nchini Somalia na...

READ MORE

MTOTO MWINGINE ACHINJWA NJOMBE

Mtoto wa miaka 10, ambaye ni mwanafunzi wa darasa la pili, amekutwa ameuawa kikatili na mwili wake kutelekezwa kichakani eneo...

READ MORE

AKA Afunguka KOLABO na DIAMOND na HARMONIZE! – VIDEO

MSANII nguli wa muziki kutoka Africa Kusini, AKA, ametua Bongo mapema leo na kufikia katika Hoteli ya Sea Cliff iliyopo...

READ MORE

Catherine Ruge: “Sio Trilioni 1.5 Tena, Bali ni Trilioni 2.4” – Video

MBUNGE wa Viti Maalum mkoani Mara, kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Catherine Ruge, amesema, kiasi cha Sh. 2.4...

READ MORE

HAYA Nyo Madhara ya Kutumia SMARTPHONE Gizani – Video

PALE taa zinapokuwa zimezimwa usiku, usiitumie simu yako ya mkononi (smart phone). Huo ni ushauri uliotolewa na taasisi moja ya...

READ MORE

Dakika 6 za Halima Mdee Vs Naibu Spika Tulia Kuhusu Ripoti ya CAG – Video

JIUNGE NA FAMILIA YA GLOBAL TV UPANDE MTANDAO WA MAFANIKIO Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club ==> Global...

READ MORE

Baba, Mama Nandy Niliumia Sana, Akirudia Nitakufa! – Video

Ukitaja wasanii ambao wanafanya vizuri kwa upande wa wanawake hutoacha kulitaja jina la Nandy ambaye kwa sasa anatamba na kibao...

READ MORE

Baada ya Kumhoji CAG, Hatimaye PAC Yaanika Kilichotokea Sakata la Trilioni 1.5 – Video

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imesema uhakiki uliofanywa kuhusu sakata la ufisadi wa Sh1.5 trilioni katika mfuko...

READ MORE

MWILI WA MVUMBUZI WA TANZANITE WAAGWA DAR, WAPELEKWA SAME KUZIKWA

  MWILI wa Mvumbuzi wa madini ya Tanzanite, mzee Jumanne Ngoma (84) aliyefariki dunia juzi Jumatano, Januari 30, 2019, umeaswaliwa katika msikiti...

READ MORE

Akamatwa na maiti akisafirisha kwenye treni

  MWANAMME mmoja anashikiliwa na vyombo vya dola baada ya kukutwa akisafiri na maiti ya mtoto kwenye treni ikiwa kwenye...

READ MORE

MAMBO 5 YA JOKATE; FUNDISHO KWA MASTAA BONGO!

MJASIRIAMALI mashuhuri nchini Marekani, Warren Buffett amewahi kusema; tofauti kati ya watu wenye mafanikio na watu wenye mafanikio zaidi ni...

READ MORE