×

Habari

Lugola Amtaka OCS Chang’ombe Kuwaachia Huru Watuhumiwa – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemtaka Mkuu wa Kituo cha Polisi (OCS), Chang’ombe, Temeke, jijini Dar...

READ MORE

NIMEPATA DAWA YA TRAFIKI WALA RUSHWA; TUITUMIE !

KAZI ya kufanya kila siku bila kuimaliza inachosha. Hata kula nako kusikokuwa na kikomo ni hatari kwa afya; vipi suala...

READ MORE

NAIBU KATIBU MKUU OFISI YA MAKAMU WA RAIS ATEMBELEA KIWANDA CHA UREJERESHAJI KISARAWE

    NAIBU Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Joseph Sokoine, ametembelea kiwanda cha urejereshaji (recycling) kinachojengwa Kisarawe mkoani Pwani...

READ MORE

HII KALI! WATAPIKA MSIBANI WAKIDAI KUNYWA MAJI YA SUMU

ZAIDI ya waombelezaji 10 katika msiba wa marehemu Mugusuhi Mwita wa Kitongoji cha Kwinyunyi katika Kijiji cha Matongo Wilaya ya...

READ MORE

HII HAPA TAARIFA MUHIMU KWA UMMA KUTOKA NIDA

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) inapenda kuwajulisha Wananchi wote kuwa; imefungua Dawati maalumu la Usajili wa Vitambulisho vya Taifa...

READ MORE

EXCLUSIVE: KOCHA GOR MAHIA AMFUATA BANDA SAUZI

ALIYEKUA kuwa Kocha wa Gor Mahia FC ya Kenya, Dylan Kerr (51), ametangazwa rasmi kuwa Kocha Mkuu wa Klabu ya...

READ MORE

Kangi Lugola Aibuka Zenji kwa Dkt. Shein

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola,  yuko visiwani Zanzibar kwa ajili ya ziara ya kikazi visiwani humo...

READ MORE

Mauaji ya Khashoggi: Wasaudi 18 Kuzuiwa Kuingia Ujerumani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Heiko Maas, amesema leo kuwa Berlin itawapiga marufuku raia 18 wa Saudi Arabia kuingia...

READ MORE

Kampuni ya Fast-Jet Kujiondoa Katika Soko la Tanzania Hi

Shirika la Ndege la Fastjet linatarajia kuondoka katika soko la Tanzania, baada ya kujiendesha kwa hasara kutokana na sababu mbalimbali,...

READ MORE

TRA Imekuja na Hii Mpya, Mpaka Tutaelewa Tu! – Video

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema ipo katika mchakato wa kuweka elimu ya kodi katika mitaala ‘syllabus’ ya elimu nchini...

READ MORE

Shein Aipongeza China Kwa Kusaidia Maendeleo Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein ameipongeza Serikali ya Jamhuri ya Watu wa...

READ MORE

Moto California: 76 Wafariki, 1,300 Hawajuliani Walipo

Jumla ya watu 76 wamethibitika kufa kutokana na moto wa msituni uliotokea California ya Kaskazini nchini Marekani ambapo maelfu ya watu...

READ MORE

VISIWA VINACHOKABILIANA NA MAGONJWA HATARI DUNIANI

Wasafiri wanaozuru visiwa vya barani Afrika vinavyofahamika kama Bijagos wanatarajia kujionea mandhari ya kipekee ya fukwe za kale na misitu...

READ MORE

Mbwa Kutumika Kugundua Malaria kwa Binadamu

Wanasayansi nchini Uingereza na Gambia wanasema wana ushahidi wa awali unaoonyesha kuwa mbwa wanaweza kunusa malaria. Wanasayansi hao wamewafunza mbwa...

READ MORE

Shigongo Awatia Moyo Wanafunzi Vyuo Vikuu Dar

MKURUGENZI Mtendaji wa Makampuni ya Global Group na Mhamasishaji Maarufu Afrika Mashariki na Kati, Eric Shigongo amewaasa wanafunzi wa mwaka...

READ MORE

Mwanafunzi IFM Amfanyia ‘Sapraizi’ Shigongo

Mwanafunzi wa IFM, Yusuph Abas akimkabidhi Eric Shigongo picha yenye sura yake aliyoichora kwa mkono wake.MWANAFUNZI wa Mwaka wa kwanza katika...

READ MORE

Kiwanda cha Magereza Arusha Chateketea kwa Moto

Kiwanda cha Samani cha Jeshi la Magereza jijini Arusha kimeteketea moto usiku wa kuamkia leo na kusababisha hasara kubwa kutokana...

READ MORE

Bodi ya Mo, Matola kimeeleweka Simba

BODI ya Udhamini ya Simba Sports Club Limited iliyo chini ya mfadhili wao bilionea, Mohammed Dewji ‘MO’ ipo kwenye hatua...

READ MORE

37 Wafariki Kwenye Mapigano Kati ya Waislamu na Wakristo

WATU zaidi ya  37 wamekutwa wamefariki katika mji mmoja katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, kutokana na mapigano kati yaWakristo...

READ MORE

JESHI USU LA WANYAMAPORI LAZINDILIWA, SERENGETI MARA – VIDEO

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan, Oeo amezindua rasmi Jeshi USU litakalokuwa na majukumu ya kulinda wanayama Pori na rasilimali...

READ MORE

MBUGA ZA WANYAMA TANZANIA NA MAAJABU YAKE

JIOONEE MAAJABU YA MAISHA YA WANYAMA PORINI NchiniTANZANIA, Kutoka katika Mbuga za wanyama za Serengeti National Parks, Arusha National Parks...

READ MORE

Mzungu abambwa ‘akikonki konki’

DAR ES SALAAM: Raia wa kigeni (Mzungu) amenaswa laivu akionesha mahaba ya aina yake kwa dada yetu wa Kibongo aliyefamika...

READ MORE

KONGAMANO LA KUFUNGA MWAKA CHUO KIKUU DAR

Chuo Life Tanzania inakuletea Kongamano kubwa la kihistoria la vijana wa vyuo vikuu vyote vya Dar es Salaam (CHUO LIFE...

READ MORE

MJUMBE AANIKA MAISHA YA LULU

DAR ES SALAAM: Msanii wa Filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ambaye kwa sasa yupo huru baada ya kumaliza kifungo chake...

READ MORE

Mama ampa masharti bwana wa Mobeto

DAR ES SALAAM: Msimamo! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mama wa mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Mobeto, Shufaa Rutiginga kuonesha msimamo...

READ MORE

MAJAJI WA CHINA WATUA BONGO, WAJIFUNZA KITU….!

Majaji watano kutoka Mahakama Kuu ya nchini China wameitembelea Mahakama ya Tanzania ili kujifunza namna mfumo wa utoaji haki wa...

READ MORE

RC MAKONDA, MEYA MWITA, WATEMBELEA MSAMVU STAND – MORO

Uongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda, Meya wa Jiji,...

READ MORE

MAKAMU WA RAIS BENKI YA AFRIKA “DOLA 300M ZINAKUJA TANZANIA”

Rais John Pombe Magufuli, leo Ijumaa, Novemba 16, 2018 amekutana na Makamu wa Rais wa Benki ya Dunia (Afrika), Dr. Hafez...

READ MORE

Breaking News: WAZIRI MKUU Ahairisha Bunge Hadi Mwakani – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo amelihutubia Bunge wakati akiahirisha mkutano wa 13 wa bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano...

READ MORE

NENO ‘SHEMEJI’ lilivyotumika kuua ‘majambazi’ 7 Mwanza – VIDEO

KAMANDA wa Polisi Mkoa Mwanza, Jonathan Shanna,  amethibitisha kuuawa kwa watu saba wanaosadikiwa kuwa ni majambazi, katika eneo la Kishili,...

READ MORE

NABII Shillah Ataja Watu Wanaotaka ‘Kumteka’ – Video

NABII wa Kanisa la Bethel Ministry, Daniel Shillah amefunguka mazito ambayo yanaonyesha viashiria vya watu ambao wanamtafuta na kutaka kumteka.  ...

READ MORE

CUF Wamponda Mtolea, Wampongeza Magufuli- Video

CHAMA cha Mwananchi (CUF) upande wa mwenyekiti wa chama hicho anayetembulika na Msajili wa Vyama vya Siasa, Prof. Ibrahimu Lipumba, ...

READ MORE

Spika Ndugai Apongeza NMB Kutoa Elimu ya Ujasiriamali Kwa Watanzania

    Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema kuwa watanzania wengi wamekuwa wakishindwa kufikia malengo yao kutokana na kutokuwa na...

READ MORE

‘Masaji ni tiba kubwa kwa wanamichezo’

SUALA la massage ‘masaji’ ni kitu ambacho kimekuwa na taswira tofauti katika jamii ya Afrika ikiwemo Tanzania, wengi wamekuwa wakijua...

READ MORE

Meya Iringa Anaswa na Takukuru Akipokea Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imemkamata Meya wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe (CHADEMA), kwa tuhuma za...

READ MORE

UNDANI BABU ALIYEDAIWA KUBAKA KATOTO

DAR ES SALAAM: Mkazi wa Mburahati Motomoto jijini Dar, Mohammed Hassan ‘Babu Komeni’ anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 65,...

READ MORE

MREMBO ADAIWA KUMUUA MCHUMBA WAKE!

MREMBO ambaye ukimuona unaweza kusita kuamini anachodaiwa kukifanya, yuko mikononi mwa polisi akituhumiwa kumuua mchumba wake aitwaye Erick Msodiki mkazi...

READ MORE

KIGOGO POLISI ALIYENASWA NA KABINTI KITANDANI, UTATA WAIBUKA!

SIKU nane baada ya kigogo aliyekuwa Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani wa Mkoa (RTO) kabla ya kustaafu, Mashaka Mdachi...

READ MORE

Mjane Moro afanyiwa kitu mbaya

MOROGORO: Baada ya mumewe ambaye alikuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani hapa, Nyakatale Alphonce kufariki dunia miezi minne iliyopita, mjane ambaye...

READ MORE

KUPOTEA KWA MTOTO, BALAA LA MGANGA USIPIME!

DAR ES SALAAM: Majanga! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya sakata la kupotea kwa mtoto Gabriella Kilimba (3) kuchukua sura mpya...

READ MORE