×

Habari

Baba wa Vincent Kompany Awa Meya wa Kwanza Mweusi Ubelgiji

UBELGIJI imechagua meya wa kwanza mweusi kwa mara ya kwanza.  Mtu huyo ni baba wa mwanasoka wa kimataifa Vincnt Kompany...

READ MORE

Hans Pope Amekamatwa na TAKUKURU

MWENYEKITI wa zamani wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope,  amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na...

READ MORE

Lema Kuzungumzia Kutekwa Kwa Mo Dewji Leo

  Mbunge wa Chadema Arusha Mjini, Godbless Lema, mbaye pia ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, amesema, leo atazungumza na...

READ MORE

Mbunge wa Rorya Aagiza Baba Yake Akamatwe

MARA: Mbunge wa Rorya (CCM), Lameck Airo,  ameliagiza jeshi la polisi kumkamata baba yake mdogo baada ya kutajwa katika mkutano...

READ MORE

LOWASSA ATOA KAULI KWA TAIFA STARS NA TFF

WAZIRI Mkuu wa zamani Edward Lowassa amewataka wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kucheza kama Morani wa...

READ MORE

WAKATI MO AKITAFUTWA, MAMA ATEKWA, AUAWA KIKATILI

WAKATI tukio la kutekwa kwa mfanyabishara bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ likiwa bado ni la moto na msako...

READ MORE

Mkwasa kurudi India Novemba 6

ALIYEKUWA Katibu wa Yanga, Boni¬face Mkwasa, anatarajia ku¬rudi India kwa mara nyingine tena Novemba 6 kwa ajili ya ku¬fanyiwa vipimo...

READ MORE

RC MAKONDA AAGIZA KUKAMATWA KWA VIGOGO WALIOHUJUMU SOKO LA KARIAKO – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza kukamatwa kwa waliokuwa viongozi wa Soko la Kimataifa Kariakoo kwa...

READ MORE

JPM Awataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kujieleza – Video

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema mwaka jana katika mbio za Mwenge kuna miradi ilizinduliwa lakini katika mbio za mwaka...

READ MORE

JPM Akutana na Wakimbiza Mwenge 2018 Ikulu

RAIS John Magufuli (mbele katikati) akipokea taarifa kutoka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu...

READ MORE

MKUU WA MAJESHI JWTZ AIPONGEZA NMB KUKUZA MCHEZO WA GOLF

    MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo ameipongeza Benki ya NMB nchini kwa juhudi...

READ MORE

JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA

    Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma  amefanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe....

READ MORE

BREAKING: FAMILIA YATOA SH. BIL 1 ATAKAYEFANIKISHA KUMPATA MO

FAMILIA  ya mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ aliyetekwa Alhamisi iliyopita na watu wasiojulikana, imetoa zawadi ya Sh. bilioni moja (1,000,000,000) kwa...

READ MORE

RATIBA YA KUAGA NA KUZIKA MWILI WA MTOTO WA MWAKASEGE

Ratiba ya Kumuaga mtoto wa Mwalimu Christopher Mwakasege, Joshua Mwakasege aliyefariki Alhamisi October 11 :-   Mwalimu atawasili Dar leo Jumatatu,...

READ MORE

Fei Toto Avuruga Mipango Ya Zahera, Aondolewa Yanga

KIUNGO anayemudu kucheza nafasi ya ukabaji na uchezeshaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ni kama amevuruga mipango ya Kocha...

READ MORE

Taarifa Kutoka TCU, Wanafunzi Wanaaomba Kujiunga Vyuo Vikuu

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la udahili kwa mara ya nne kwa waombaji ambao hawakuchaguliwa katika awamu...

READ MORE

MWALIMU ACHOMWA VISU NA KUFA MBELE YA WANAFUNZI WAKE

MWALIMU mkuu wa shule moja ya sekondari  Jumapili iliyopita alivamiwa na kundi la watu sita akiwa darasani akachomwa na kukatwakatwa...

READ MORE

KIMENUKA KULANGWA-TEGETA ‘A’, WANANCHI WAMLILIA LUKUVI

WAKAZI wa Tegeta A, eneo la Kulangwa lililopo Goba jijini Dar es Salaam wamepatwa na taharuki kubwa na kulazimika kuingia...

READ MORE

Safari ya Kwenda Kutibiwa India, Hawa Nitarejea Akwama Airport

MSANII wa Bongo Fleva Hawa wa Nitarejea, amejikuta akirudishwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es...

READ MORE

HATIMAYE MWAKASEGE AFUNGUKA KIFO CHA MWANAYE

HATIMAYE Mchungaji Mwalimu Christopher Mwakasege amefunguka kuhusu kifo cha mwanaye wa kiume Joshua ambaye alifarikiAlhamisi iliyopita, majira ya saa 2,...

READ MORE

Breaking News: Zuberi Kuchauka Wa CCM Ashinda Ubunge Liwale

MGOMBEA Ubunge Jimbo la Liwale kupitia CCM, Zuberi Kuchauka amefanikiwa kupata ushindi wa kura 34,582 sawa na asilimia 85.81%, kabla...

READ MORE

Ahadi ya Rais Magufuli Kwa Mama Maria Nyerere – Video

RAIS  John  Magufuli amesema serikali ya awamu ya tano itaendelea kumuenzi Baba wa Taifa hayati Mwl. Julius  Nyerere kwa kuhakikisha...

READ MORE

Mesen Selekta, Gutta wapagawisha Tigo Fiesta -Vibe Kama Lote Mtwara

    Msanii Jerry Boniface maarufu kama Mesen  Selekta akishirikiana na mdogo wake Gutta waliweza kuwapagawisha mashabiki kwa mtindo wao...

READ MORE

Breaking News: Mzee Yusuf Afiwa na Mama Yake, Azikwa Unguja

ALIYEKUWA mwanamuziki wa nyimbo za taarab nchini, Mzee Yusuph, amefiwa na mama yake mzazi, Mwajuma Mzee. Taarifa kutoka kwa dada...

READ MORE

Rais Magufuli na Mkewe Wamtembelea Maria Nyerere

RAIS John Magufuli na mkewe Janeth Magufuli leo wamemtembelea mke wa hayati Mwalimu Julius Nyerere, Maria Nyerere,  nyumbani kwake Msasani...

READ MORE

Mbunge wa Chadema Babati Mjini Ajivua Ubunge, Atimukia CCM

Mbunge wa Babati Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Mkoa wa Manyara na Mwenyekiti wa...

READ MORE

OFM YAFUMUA SOKO LA GONGO DAR!

WAKATI Rais Dk. John Magufuli akisisitiza juu ya Watanzania kufanya kazi kwa bidii, bado kuna baadhi ya watu wanaonekana kuweka...

READ MORE

HIVI NDIYO ULINZI NYUMBANI KWA MO DWEWJI ULIVYOIMARISHWA!

GUMZO kubwa kwa sasa ni tukio la kutekwa kwa bilionea mkubwa Tanzania, Mohammed Dewji ‘Mo’ ambapo utekaji huo umesababisha ulinzi...

READ MORE

SKENDO YA NGONO KANISANI

SKENDO ya ngono kuingia kwenye nyumba ya Mungu haipendezi; lakini kwa kuwa shetani yu kazini imedaiwa kufika ndani ya Kanisa...

READ MORE

WAHITIMU WA CHUO CHA NIT WATEMBELEA GLOBAL

Stori: Mwandishi Wetu WAHITIMU wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) ambao wameanisha kampuni yao ubunifu na usanifu iitwayo ILUS,...

READ MORE

Madai: Khashoggi Aliuawa Ndani ya Ubalozi wa Saudia

MWANDISHI wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi,  huenda alirekodi tukio la kifo chake kwenye saa yake aina ya Apple...

READ MORE

TAIFA STARS KUFUNGWA NA CAPE VERDE, ZITTO AMTAJA MO DEWJI

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo) na mdau wa soka nchini, Zitto Kabwe, amewatetea wachezaji wa Timu ya Taifa ya...

READ MORE

Maporomoko ya ardhi yawaua zaidi ya 50 Uganda

ZAIDI watu 50 wamepoteza maisha kutokana na maporoko ya ardhi na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha mashariki mwa...

READ MORE

Sakata la Mo, Manara Akamatwa na Polisi

Afisa Habari wa Simba, Haji Manara amekamatwa na polisi kutokana na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’....

READ MORE

Je! Unataka Kusoma Chuo Nje Ya Nchi? Bonyeza Hapa

KAMPUNI ya Global Education Link  inaendelea kupokea wanafunzi waliokosa udahili wa vyuo ndani ya nchi na wenye sifa au wanaohitaji...

READ MORE

DKT BASHIRU AMJIBU LOWASSA PAPO KWA HAPO – VIDEO

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amemjibu Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu...

READ MORE

Lowassa Adai Nchi Ina Hofu, Chuki – Video

WAZIRI Mkuu wa Zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, Edward ngoyai Lowassa amedai...

READ MORE

NMB YAKIFADHILI KITUO CHA VIJANA DON BOSCO KWA MILIONI 15

        BENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vitabu na udhamini wa jezi, mabegi ya michezo na mipira kwa...

READ MORE

WAGONJWA WA MACHO 300 NCHINI WAFANYIWA UPASUAJI NDANI YA SIKU TANO

  Watu wenye matatizo ya macho takribani 700 wamefanyiwa uchunguzi na kati ya hao wagonjwa 300 waliobainika kuwa na matatizo...

READ MORE