×

Habari

SIMANZI YATAWALA KUAGWA KWA MIILI YA WANAJESHI 3 LUGALO – VIDEO

MAMIA ya waombolezaji wamejoteka kuaga miili ya askari watatu  waliofariki kwa tarehe tofauti nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC)...

READ MORE

Mbowe, Matiko Wafutiwa Dhamana, Sasa Rumande Hadi Kesi Imalizike – Video

Mahakama ya Kisutu, imewafutia dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Matiko kwa kukiuka masharti...

READ MORE

CHUO CHA KILIMANJARO CHASHUSHA WALIMU KUTOKA ULAYA – VIDEO

Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) kilichopo katika jengo la Mama Ngoma, Mwenge na Afrikasana, Sinza jijini Dar es...

READ MORE

JWTZ Yapoteza Wanajeshi Wengine Watatu DRC

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kama mnavyofahamu linashiriki Ulinzi wa Amani ndani na nje ya Bara la...

READ MORE

MSAFARA WA DIAMOND MTWARA ‘WAVAMIWA’ – VIDEO

Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz akiwa na timu yake nzima WCB akielekea katika Tamasha la...

READ MORE

MAHAKAMA YAMWACHIA BWEGE, POLISI WAMSWEKA RUMANDE

MAHAKAMA ya Mkoa wa Lindi imemwachia kwa dhamana Mbunge wa Kilwa Kusini (CUF), Suleiman Bungara maarufu kwa jina la Bwege na...

READ MORE

EXCLUSIVE: Gardner Akiri Pengo la Ruge Kwenye Tigo Fiesta – Video

KUTOKUWEPO kwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba, katika msimu huu wa tamasha la muziki...

READ MORE

WATUHUMIWA MAUAJI YA DKT. MVUNGI WAACHIWA, WAKAMATWA TENA – VIDEO

  WATUHUMIWA  sita wanaodaiwa kumuua aliyekuwa mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Dkt. Edmund Sengondo Mvungi, leo Novemba 22,...

READ MORE

‘MAPEPO’ YA ROSE MUHANDO YAMUIBUA MBASHA

VIDEO iliyosambaa mitandaoni ikimwonyesha muimbaji maarufu wa Injili, Rose Muhando, akiwa anaombewa baada ya kupagawa na mapepo imeshtua watu wengi. ...

READ MORE

Breaking News: Bwege, Maharagande Wafikishwa Mahakamani

VIONGOZI wa ngazi ya juu wa Chama Cha Wananchi (CUF), ambao ni Mbunge wa Kilwa Kusini, Suleiman Bungara maarufu kwa...

READ MORE

ESTER BULAYA Aibua Kashfa Ya Deni La Serikali Trilioni 8 – Video

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepinga sheria mpya ya mafao ya hifadhi ya jamii kikidai sheria hiyo inamuumiza mtumishi...

READ MORE

Nesi Asimamishwa Kazi, Kisa? ‘Selfie’ Iliyoleta Utata

NESI mmoja nchini Malawi amesimamishwa kazi baada ya ‘selfie’ aliyojipiga katika wodi ya wajawazito  kumwonyesha nyuma yake mwanamke mmoja mjamzito...

READ MORE

WAJUE SAMAKI WANAOWEZA KUTIBU UGONJWA WA MOYO

  Samaki anayeweza kuurekebisha moyo wake huenda ndiyo suluhu ya matibabu kwa watu wenye matatizo ya moyo, kwa mujibu wa...

READ MORE

MTANZANIA ATEULIWA KUONGOZA SHIRIKA LA UNEP

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres,  amemteua Mtanzania, Joyce Msuya, kuwa kaimu kiongozi wa Shirika la Umoja wa...

READ MORE

MAJINI YAMTESA ROSE MHANDO !, ASIMULIA MAZITO AKIOMBEWA

VIDEO inayosambaa inayomuonyesha muimbaji maarufu wa Injili, Rose Muhando akiwa anaombewa baada ya kupagawa na mapepo imeshtua wengi. Video hiyo...

READ MORE

Lori la JWTZ Lenye Magunia ya Korosho Lapata Ajali

Gari la Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) ambalo lilikuwa limebeba tani 15 za korosho likitokea wilayani Tandaimba kuelekea Mtwara mjini...

READ MORE

FEROOZ Kushiriki Wasafi Festval “Kipaji Changu Hakifi” – Video

Msanii wa Bongo Fleva, Ferooz amesema kuwa kwa sasa ushindani wa muziki umekuwa juu sana ukilinganisha na kipindia cha nyuma...

READ MORE

AJIUA KIKATILI KISA PENZI LA BINAMU YAKE – VIDEO

MTU mmoja mkazi wa Makumbusho Kijitonyama jijini Dar es Salaam amejinyonga kwa kamba hadi kufa chumbani kwake  kwa kilichoelezwa kua...

READ MORE

LEMA Ataka Gavana wa B.o.T Ajiuzulu, Sababu Ziko Hapa – Video

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amepinga hoja za Gavana wa Benki Kuu,Profesa Florens Luoga kuwa walitumia askari wa Jeshi...

READ MORE

TANZIA: ASKOFU CHENGULA AFARIKI DUNIA

Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Evaristo Malcus Chengula (pichani) amefariki dunia asubuhi ya leo (Novemba 21, 2018) wakati...

READ MORE

NI SUMU? DAKTARI AMCHOMA MTOTO SINDANO, MKONO WAKAUKA!

TAHARUKI ya aina yake imezuka ndani ya hospitali moja kubwa mkoani hapa (jina linahifadhiwa kwa sababu maalum) baada ya madai...

READ MORE

MADAI MAZITO MUME AMUUA MKE WAKE BAA

MACHOZI! Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Dulla, Mkazi wa Tabata-Matumbi jijini Dar, anadaiwa kumuua mkewe, Aisha Abdallah (34),...

READ MORE

MAMBO 5 YA AJABU BINADAMU ANAWEZA KUYAFANYA (PICHA)

Kwa baadhi ya imani za walio wengi wanaamini kwamba kila binadamu yupo sawa lakini kuna wengine wanapinga jambo hilo.  ...

READ MORE

Dkt ABBAS: Wanahabri RUKSA Kuikosoa Serikali – Video

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas amesema kuwa vyombo vya...

READ MORE

WAZIRI MKUU AZINDUA JUKWAA LA FURSA ZA BIASHARA TABORA – VIDEO

Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph Kakunda ameupongeza mkoa wa Tabora kwa kuaandaa jukwaa la fursa za biashara na uwekezaji....

READ MORE

TANZANIA YATWAA TUZO YA UTALII URUSI

Tanzania imeshinda tuzo ya utalii kwa kuonekana ni eneo bora zaidi la utalii duniani nchini Urusi kwa mwaka 2018 (The...

READ MORE

YALIYOJIRI KESI YA MDEE YA ‘KUMKASHFU’ JPM – VIDEO

KESI inayomkabili Mbunge  wa Kawe kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Halima Mdee ya ambaye anatuhumiwa kutoa...

READ MORE

ZAIDI YA WAKULIMA 250 WA KIWANGWA WAPATIWA SEMINA YA KILIMO

  WAKULIMA  wa zao la mananasi wa kijiji cha  Kiwangwa, wilayani Bagamoyo  wamepatiwa elimu ya kulimo darasa ikiwa ni sambamba...

READ MORE

TAHADHARI KWA WATUMIAJI WA INSTAGRAM – (PICHA)

MTANDAO wa Instagram jana Novemba 20 umetoa onyo kwa watumiaji wa mtandao huo ambao wanatumia Apps za kupata likes na...

READ MORE

Rasmi: Manji ‘OUT’ Yanga, Hagombei Chochote, Watano Wajitosa Kumrithi

Wanachama na mashabiki wa Yanga sasa wanapaswa kujiandaa kisaikolojia kuishi maisha bila Yusuf Manji baada ya jina la mwenyekiti huyo...

READ MORE

Mtanzania Achaguliwa Katika Wanawake Bora 100 wa BBC 2018

BBC imetangaza orodha ya wanawake 100 bora wenye ushawishi kutoka kote duniani kwa mwaka 2018. Kwa usaidizi wao tutaangazia masuala...

READ MORE

Ifahamu Treni ya Kasi Zaidi Afrika

Morocco imezindua treni inayokwenda kwa kasi zaidi barani Afrika – itakayopunguza nusu ya muda unaotumika kusafiri katika miji ya biashara...

READ MORE

HII NI ZAIDI YA OFA REJESHA CAMON, NYAKUA CAMON 11 MPYA KUTOKA TECNO 

TECNO kuwasogeza karibu watumiaji wa simu za TECNO camon na hii ni baada ya tetesi zinazoendelea mitandaoni kuwa watumiaji wa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AAHIRISHA SHEREHE ZA UHURU 

  Rais Dkt. John Pombe Magufuli ameahirisha maadhimisho ya siku ya Uhuru, Disemba 9, 2018 na fedha zilizokuwa zimetengwa kwa...

READ MORE

BABU WA MIAKA 73 ANASWA UBAKAJI WA BINTIYE

BABU mwenye umri wa miaka 73, aliyefahamika kwa jina la Nnko, mkazi wa Kikatiti Wilaya ya Arumeru mkoani hapa, amejikuta...

READ MORE

MAHAFALI YA PILI YA CHUO CHA MANJANO BEAUTY ACADEMY YAFANYIKA DAR

WAHITIMU Chuo cha Urembo cha Manjano wametunukiwa vyeti katika nyanja ya urembo na vipodozi (Cosmetology). Baadhi ya wahitimu waliofika kwenye mahafali...

READ MORE

B.o.T YATAJA SABABU ZA KUTUMIA JWTZ KUKAGUA MADUKA ARUSHA

Gavana wa  Benki Kuu ya Tanzania (B.o.T), Prof. Florens Luoga amesema walilazimika kutumia askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakati...

READ MORE

Mufti Mkuu Akemea Ushoga – Video

Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zuberi ametumia Baraza la Maulid kuwataka Masheikh wa mikoa nchini kukemea vitendo vya ushoga ambavyo...

READ MORE

Maganga Aanika Hali ya Ruge, Magufuli Achangia Mil. 46 za Matibabu

RAIS  John Magufuli ametoa Dola 20,000 (Sh. Mil. 46) kuchangia matibabu ya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media...

READ MORE