UBELGIJI imechagua meya wa kwanza mweusi kwa mara ya kwanza. Mtu huyo ni baba wa mwanasoka wa kimataifa Vincnt Kompany...
READ MOREMWENYEKITI wa zamani wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope, amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na...
READ MOREMbunge wa Chadema Arusha Mjini, Godbless Lema, mbaye pia ni Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, amesema, leo atazungumza na...
READ MOREMARA: Mbunge wa Rorya (CCM), Lameck Airo, ameliagiza jeshi la polisi kumkamata baba yake mdogo baada ya kutajwa katika mkutano...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa zamani Edward Lowassa amewataka wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kucheza kama Morani wa...
READ MOREWAKATI tukio la kutekwa kwa mfanyabishara bilionea namba moja nchini, Mohammed Dewji ‘MO’ likiwa bado ni la moto na msako...
READ MOREALIYEKUWA Katibu wa Yanga, Boni¬face Mkwasa, anatarajia ku¬rudi India kwa mara nyingine tena Novemba 6 kwa ajili ya ku¬fanyiwa vipimo...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza kukamatwa kwa waliokuwa viongozi wa Soko la Kimataifa Kariakoo kwa...
READ MORERais Dkt. John Pombe Magufuli amesema mwaka jana katika mbio za Mwenge kuna miradi ilizinduliwa lakini katika mbio za mwaka...
READ MORERAIS John Magufuli (mbele katikati) akipokea taarifa kutoka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu...
READ MOREMKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo ameipongeza Benki ya NMB nchini kwa juhudi...
READ MOREJaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma amefanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe....
READ MOREFAMILIA ya mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ aliyetekwa Alhamisi iliyopita na watu wasiojulikana, imetoa zawadi ya Sh. bilioni moja (1,000,000,000) kwa...
READ MORERatiba ya Kumuaga mtoto wa Mwalimu Christopher Mwakasege, Joshua Mwakasege aliyefariki Alhamisi October 11 :- Mwalimu atawasili Dar leo Jumatatu,...
READ MOREKIUNGO anayemudu kucheza nafasi ya ukabaji na uchezeshaji wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’, ni kama amevuruga mipango ya Kocha...
READ MORETume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la udahili kwa mara ya nne kwa waombaji ambao hawakuchaguliwa katika awamu...
READ MOREMWALIMU mkuu wa shule moja ya sekondari Jumapili iliyopita alivamiwa na kundi la watu sita akiwa darasani akachomwa na kukatwakatwa...
READ MOREWAKAZI wa Tegeta A, eneo la Kulangwa lililopo Goba jijini Dar es Salaam wamepatwa na taharuki kubwa na kulazimika kuingia...
READ MOREMSANII wa Bongo Fleva Hawa wa Nitarejea, amejikuta akirudishwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es...
READ MOREHATIMAYE Mchungaji Mwalimu Christopher Mwakasege amefunguka kuhusu kifo cha mwanaye wa kiume Joshua ambaye alifarikiAlhamisi iliyopita, majira ya saa 2,...
READ MOREMGOMBEA Ubunge Jimbo la Liwale kupitia CCM, Zuberi Kuchauka amefanikiwa kupata ushindi wa kura 34,582 sawa na asilimia 85.81%, kabla...
READ MORERAIS John Magufuli amesema serikali ya awamu ya tano itaendelea kumuenzi Baba wa Taifa hayati Mwl. Julius Nyerere kwa kuhakikisha...
READ MOREMsanii Jerry Boniface maarufu kama Mesen Selekta akishirikiana na mdogo wake Gutta waliweza kuwapagawisha mashabiki kwa mtindo wao...
READ MOREALIYEKUWA mwanamuziki wa nyimbo za taarab nchini, Mzee Yusuph, amefiwa na mama yake mzazi, Mwajuma Mzee. Taarifa kutoka kwa dada...
READ MORERAIS John Magufuli na mkewe Janeth Magufuli leo wamemtembelea mke wa hayati Mwalimu Julius Nyerere, Maria Nyerere, nyumbani kwake Msasani...
READ MOREMbunge wa Babati Mjini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA) Mkoa wa Manyara na Mwenyekiti wa...
READ MOREWAKATI Rais Dk. John Magufuli akisisitiza juu ya Watanzania kufanya kazi kwa bidii, bado kuna baadhi ya watu wanaonekana kuweka...
READ MOREGUMZO kubwa kwa sasa ni tukio la kutekwa kwa bilionea mkubwa Tanzania, Mohammed Dewji ‘Mo’ ambapo utekaji huo umesababisha ulinzi...
READ MORESKENDO ya ngono kuingia kwenye nyumba ya Mungu haipendezi; lakini kwa kuwa shetani yu kazini imedaiwa kufika ndani ya Kanisa...
READ MOREStori: Mwandishi Wetu WAHITIMU wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) ambao wameanisha kampuni yao ubunifu na usanifu iitwayo ILUS,...
READ MOREMWANDISHI wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi, huenda alirekodi tukio la kifo chake kwenye saa yake aina ya Apple...
READ MOREMbunge wa Kigoma Mjini (ACT Wazalendo) na mdau wa soka nchini, Zitto Kabwe, amewatetea wachezaji wa Timu ya Taifa ya...
READ MOREZAIDI watu 50 wamepoteza maisha kutokana na maporoko ya ardhi na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa inayoendelea kunyesha mashariki mwa...
READ MOREAfisa Habari wa Simba, Haji Manara amekamatwa na polisi kutokana na tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’....
READ MOREKAMPUNI ya Global Education Link inaendelea kupokea wanafunzi waliokosa udahili wa vyuo ndani ya nchi na wenye sifa au wanaohitaji...
READ MOREKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amemjibu Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Waziri Mkuu...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa Zamani na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, Edward ngoyai Lowassa amedai...
READ MOREBENKI ya NMB imekabidhi msaada wa vitabu na udhamini wa jezi, mabegi ya michezo na mipira kwa...
READ MOREWatu wenye matatizo ya macho takribani 700 wamefanyiwa uchunguzi na kati ya hao wagonjwa 300 waliobainika kuwa na matatizo...
READ MORE