×

Habari

Mchungaji Akutwa Akisali Uchi na Wanawake 7

MCHUNGAJI wa Kanisa la Full Gospel  na waumini wake ambao ni wanawake saba wanashikiliwa na Jeshi la Polisi katika wilaya ya Rukiga nchini...

READ MORE

NDITIYE AMFUKUZA MSIMAMIZI WA UJENZI WA BANDARI CHATO

            NAIBU Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye, amemfukuza msimamizi wa ujenzi wa...

READ MORE

Volkano yaibuka Indonesia siku chache baada ya tetemeko la ardhi, tsunami

KUIBUKA kwa volkano katika Mlima Soputan, katika kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, kunafuatia siku chache baada ya tetemeko la ardhi...

READ MORE

KAMPUNI YA VODACOM YAAHIDI WANAHISA KUENDELEA KUWA KINARA KATIKA SOKO

  KAMPUNI ya Simu za Mkononi Vodacom Tanzania imebainisha kuwa imejipanga kukabiliana na matatizo ya kiushindani sokoni ili kuhakikisha kampuni hiyo...

READ MORE

Ebitoke Atangaza Rasmi Kung’atuka Kwenye Kundi Lake

MUIGIZAJI wa comedy nchini, aliyejizolea umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ (20) ametangaza kujiondoa kwenye kundi lake...

READ MORE

Kimenuka! CHADEMA, CCM Wachapana Ngumi Dar

JANA Jumatano, Oktoba 3, 2018 kulitokea tukio la aina yake kwenye Ukumbi wa Anatoglo uliopo Manispaa ya Ilala jijini Dar...

READ MORE

VIDEO YA TUKIO MAALUM IKULU LEO, JPM APOKEA UGENI MZITO

Mhe. Rais Magufuli amepokea hati za utambulisho za Mabalozi walioteuliwa kuziwakilisha nchi za Ubelgiji, Norway, Sweden, Palestina na Kuwait hapa...

READ MORE

WATOTO WANAOZUIA MVUA KUNYESHA

KWA zaidi ya muongo mmoja baadhi ya familia katika kaunti ya Kilifi nchini Kenya wamekuwa wakijifungua watoto wenye hali isio...

READ MORE

Breaking: Moto Wazuka Jengo la Benjamin Mkapa – Video

Moto umezuka leo katika jengo la Benjamin Mkapa, Millennium Tower – Dar ambapo unasadikiwa umeanzia kwenye ghorofa ya tatu. Wageni...

READ MORE

Mnigeria Akamatwa na Dola Feki za Mil.25

POLISI nchini Kenya wamemkamata raia wa Nigeria, Henry Omoaka (51) akiwa na Dola feki za Marekani 251,4000 ambazo ni sawa...

READ MORE

KAMPUNI YA VODACOM YAZINDUA OFISI WILAYANI LONGIDO

Mkuu wa Wilaya ya Longido mkoani Arusha, Frank Mwaisumbe, amezindua rasmi ofisi mpya ya Vodacom Tanzania wilayani Longido ikiwani moja...

READ MORE

Kangi Lugola Ampa Maagizo Mengine IGP Sirro

WAZIRI Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Pilisi nchini, IGP Simon Sirro, kupunguza vituo...

READ MORE

Mbio za Baiskeli ya ACACIA Kukusanya Milioni 340

Kampuni ya uchimbaji wa madini Tanzania – Acacia inatarajia kuzindua mashindani ya mbio za baiskeli kwa lengo la kukusanya zaidi...

READ MORE

Jambazi aliyetoroka kwa helikopta miezi 3 iliyopita akamatwa

Redoine Faid, jambazi sugu,  raia wa Ufaransa ambaye alitoroka jela akitumia helikopta iliyokuwa imetekwa nyara,  amekamatwa tena na polisi. Mhalifu...

READ MORE

SAFU YA UVCCM ‘KAMA YOTE’ YATEMBELEA GLOBAL

  VIONGOZI kutoka Idara tatu za Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), UVCCM leo wametembelea Kampuni ya Global...

READ MORE

ACT Wadai Serikali ‘Imekataa’ Ripoti Yake Yenyewe – VIDEO

Chama cha ACT Wazalendo kimeduwazwa na hatua ya Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuikataa ripoti yake yenyewe...

READ MORE

DC BUNDA AMPIGISHA MAGOTI AFISA MTENDAJI WA KATA

MKUU wa Wilaya, Lydia Bupilipili anadaiwa jana Oktoba 2, 2018 alimpigisha magoti Ofisa Mtendaji wa Kata ya Chitengule, Deus Kuliga...

READ MORE

Bobi Wine Afunguka Mazito Kuhusu Rais Museveni

“Hapana jambo lolote binafsi kati yangu na Museveni,” amesema mwanamuziki wa Uganda aliyejikita katika siasa, Robert Kyagulanyi, na kuongeza “…...

READ MORE

MAOFISA USTAWI WA JAMII WAPIGWA MSASA KUHUSU UALBINO

Maofisa Maendeleo na Ustawi wa Jamii, kutoka Manispaa ya Kigoma Ujiji jana walihudhuria mafunzo ya uelewa kuhusu ualbino na elimu...

READ MORE

MAHAKAMA YAMZUIA MWANAMKE KUOLEWA NA MWANAMUZIKI

RIYADH (AFP) – MWANAMKE mmoja nchini  Saudi Arabia amejikuta akibwagwa na mahakama katika dhamira yake ya kuolewa na mtu ampendaye,...

READ MORE

MBIO ZA ROTARY DAR MARATHON 2018 ZAPIGA HODI

  Mwaka huu unaweka alama ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mbio za Rotary Dar, tukio la hisani ambalo limekuwa...

READ MORE

MAAFALI YA 42 SHULE YA MCHANGANYIKO MAZINYUNGU YATIKISA

SHULE  ya Msingi yenye mchanganyiko wa wavulana na Wasichana, Mazinyungu iliyopo wilaya Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni ilifanya mahafaLi ya 42...

READ MORE

RPC Shanna: Una UKIMWI, Hutaki Kupima, “You Are Going To Die Men!” – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Jonathan Shanna amewataka askari wa jeshi hilo mkoani humo kuhakikisha wanapima afya zao...

READ MORE

Breaking News: Magufuli Ateua Mkurugenzi Mkuu wa NIDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

MSHANGAO NYUMBANI KWA LISSU

WAKATI Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ‘akiwachimba biti’ waliompiga risasi na kumuacha na kilema, mshangao umeibuka nyumbani kwake Tegeta...

READ MORE

MGAMBO WAFANYA TUKIO LINGINE

MGAMBO  wanaosimamia operesheni ya usafi Mkoa wa Dar es Salaam  wamefanya tukio lingine baada ya lile la kudaiwa kuwapiga raia,...

READ MORE

BETHIDEI YA KIKONGWE MIAKA 103 YATIKISA DAR!

NINI Wema Sepetu! Mbwembwe nyiiingiii kwenye bethdei yake ya kutimiza miaka 30, je, angekuwa Bibi Catherine Abdallah Batemayo aliyesherehekea kutimiza...

READ MORE

Wachina Wakamatwa Wakitoa Mafunzo ya Kijeshi kwa Mgambo

POLISI nchini Zambia wanawashikilia raia wawili wa China wkwa kutoa mafunzo kwa jeshi la mgambo mwishoni mwa wiki. Mmoja wa...

READ MORE

BREAKING: Polisi Yawashikilia 60 Kwa ‘Kuhujumu’ TANESCO – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu zaidi ya 60 kwa tuhuma za kufanya uhalifu na...

READ MORE

Kumbe Mwokota Makopo New York ni Bilionea!

Lisa Silversmith ambaye anajulikana pia kama Fiona Fiekowsky, 67, mwokota makopo katika Jiji la New York, ni tajiri mkubwa anayemiliki...

READ MORE

BREAKING: Shule za Hazina, Alliance, Nyingine 6 Zafutiwa Matokeo – Video

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifutia matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu ya msingi, shule nane za...

READ MORE

Njemba Wakamatwa na Mabilioni ya Fedha Feki, Ngozi na Shanga

WATUHUMIWA watatu, raia wa Mali, wamekamatwa eneo la Westlands, jijini Nairobi, Kenya, wakiwa na mabilioni ya fedha feki ambazo ni...

READ MORE

JPM, Mkewe Watoa Milioni 25 kwa Wajasiriamali wa Feri Dar

RAIS John  Magufuli ametoa shilingi milioni 20 na mkewe Janeth Magufuli ametoa shilingi milioni tano kwa wajasiriamli wa Feri Wilaya...

READ MORE

AIBU KUBWA! MUME WA MTU ATAITIWA SKENDO KUPIGA CHABO

MOROGORO: Hii ni aibu ya mwaka! Ndiyo iliyompata mume wa mtu, Fikiri Juma ambaye ni baba wa familia, kufuatia kutaitiwa...

READ MORE

Updates: Mbunge ‘Bwege’ Aachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Jimbo la Kilwa Kusini kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF), Seleman Bungara anapenda kujiita ‘Bwege’ anashikiliwa na...

READ MORE

HIVI NDIVYO MUUZA PWEZA ANAVYOMZIDI KIPATO MFANYAKAZI WA BENKI

SHIMO kuu la kwanza la umaskini wa milele ni pale mtu anapoamka asubuhi na kusema; ‘Sina kazi ya kufanya’. Ukiwauliza...

READ MORE

MTOTO BEAUTY ALIYEIBIWA KISHA KUPATIKANA, WAZAZI WATOA FUNDISHO

DAR ES SALAAM: Tukio la mtoto Beauty Yohana wa Mbezi jijini Dar kuibwa katika mazingira ya kutatanisha akiwa kanisani kisha...

READ MORE

JPM Atoa Milioni 20 Kujenga Ofisi ya Wajasiriamali Kivukoni Dar

Rais Dkt. John Pombe Magufuli jana tarehe 1 Oktoba, 2018 ameahidi kutoa shilingi milioni 20 kwa ajili ya kusaidia ujenzi...

READ MORE

WANAWAKE KAENI CHONJO… MKE AUAWA KWA SUMU

DAR ES SALAAM: Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Hajra Salehe, mkazi wa Magomeni Mwembechai jijini Dar amekutwa amefariki dunia...

READ MORE

AJALI MBAYA… DEREVA WA NAPE AFICHUA MAZITO

BAADA ya hivi karibuni kupata ajali mbaya ya gari, dereva wa Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, Michael Sangu ‘Mike’...

READ MORE