×

Habari

MAREKANI YAISHTAKI KAMPUNI YA HUAWEI

  MAREKANI imeishtaki kampuni kubwa ya mawasiliano ya China, Huawei,  na ofisa mkuu wake wa fedha, Meng Wanzhou.   Mashataka...

READ MORE

Askari JWTZ Afariki Akijiokoa Kubakwa na Fundi Ujenzi

ASKARI wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) kambi ya Tabora, Esther Gway,  amefariki wakati akijiokoa katika tukio la ubakaji lililotekelezwa...

READ MORE

JPM Aeleza Kwa Nini Hakumteua DPP Kuwa Jaji – Video

RAIS  John Magufuli amesema miongoni mwa majina aliyopelekewa yakiwa yamependekezwa kuteuliwa kuwa majaji ni Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali (DPP)  Biswalo...

READ MORE

Baada ya Kuhama CUF, Mtolea Aapishwa na Ndugai – Video

Aliyekuwa Mbunge mteule Abdallah Mtolea ameapishwa na Spika wa Bunge, Job Ndugai kuwa Mbunge kamili wa Temeke (CCM) wakati wa kuanza...

READ MORE

MA-RC WAKABIDHIWA AWAMU YA PILI YA VITAMBULISHO VYA WAMACHINGA

                                       ...

READ MORE

Pumzika Mama Abdul, Hivi Ndivyo Alivyozikwa – VIDEO

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa muigizaji mkongwe wa Bongo Muvi, Salome Nonge maarufu kwa jina la Mama Abdul leo Januari 28, 2019...

READ MORE

MIEZI MIWILI BAADA YA NDOA…. MISS TZ AFUMANIWA, ALA KICHAPO!

DUNIA ina mambo! Wakati wanawake wengi waki­itamani ndoa ili kujijengea heshima, mambo yamekuwa tofauti kwa mshiriki wa Miss Tanza­nia 2008,...

READ MORE

MAPYA YAIBUKA! SERIKALI YAMRUDISHA TIDO KORTINI

IKIWA ni siku tatu tu tangu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando,  aachiwe huru baada...

READ MORE

Kilichotokea Leo Mahakamani Polisi Waliosindikiza Dhahabu Mwanza

SHAURI namba 1/2019 la uhujumu uchumi, rushwa na kutakatisha fedha dhidi ya watu 12 wakiwemo askari polisi wanane katika mahakama...

READ MORE

Wananchi Wachoma Kanisa Wakidai Linaleta Pepo Wachafu

WANANCHI wenye hasira kali wanadaiwa kuvamia katika eneo la Kanyogoga Wilaya ya Gulu nchini Uganda na kuchoma Kanisa moja muda...

READ MORE

WANAFAMILIA WALIOFARIKI KWA KULA CHAKULA CHENYE SUMU WAONGEZEKA

IDADI ya wanafamilia waliokufa kutokana na kula chakula kinachosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Shanake, Kiuyu-Mbuyuni Wilaya ya Micheweni,...

READ MORE

TEDEF WAONGOZA KONGAMANO LA KUMPONGEZA MAGUFULI

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Tanzania Ecomic Diplomacy Elevation Foundation (TEDEF)  kwa kushirikiana na mashirika mengine yasiyo ya kiserikali, juzi (Jumamosi)...

READ MORE

Beki Mghana Azam FC ampa matumaini Pluijm

BEKI wa kati wa Azam FC, Mghana, Daniel Amoah, amerejesha matumaini kwenye kikosi cha Mholanzi, Hans van Der Pluijm kinachoshiriki...

READ MORE

NMB yafuta tozo mbalimbali kwa wateja

KATIKA kuharakisha kasi ya maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla, ikiwemo kuchagiza idadi ya Watanzania wanaotumia huduma...

READ MORE

BREAKING: UTEUZI MPYA, MAJAJI WAULA, WAKUU WA WILAYA WATUMBULIWA -VIDEO

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais John Magufuli amefanya uteuzi mpya jioni hii wa majaji na wakuu wa...

READ MORE

NYUMBA YATEKETEA KWA MOTO MAGOMENI DAR

Ajali ya Moto imetekeza nyumba iliyopo Magomeni Kagera mtaa wa Texas Jijini Dar es salaam Mchana wa leo. Chanzo cha...

READ MORE

DTB TANZANIA YAENDESHA WARSHA KWA WATEJA DODOMA

  Benki ya DTB-Tanzania, leo imeendesha warsha ya siku moja kwa wateja wake wenye biashara ndogondogo na kati waliopo katika...

READ MORE

MTOTO WA KALAJA BAADA YA KUFELI ATIWE MOYO

Baada ya matokeo ya kidato cha nne kutoka hivi karibuni, mtoto wa msanii maarufu Kajala, Paula imefahamika kuwa amefeli na...

READ MORE

BRAZIL: WATU 34 WAMEFARIKI BAADA YA BWAWA KUPASUA KINGO ZAKE

Watu 200 hawajulikani waliko baada ya bwawa la maji kuvunja kingo zake katika mgodi wa kampuni ya chuma kusini mashariki...

READ MORE

Tundu Lissu Kufanya Ziara Marekani

Mwanasheria Mkuu wa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi katika nchi mbili...

READ MORE

Dkt Abbas: “Wanaokosoa Miradi ya Serikali ni wa kupuuzwa”

  MKURUGENZI Mkuu wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt. Hassani Abbas, mapema leo amepata fursa...

READ MORE

UNYAMA! Wavuvi 4 Wauawa Baharini Kikatili, Kisa Kitakuliza – VIDEO

WATU wanne ambao walikuwa wavuvi, wanadaiwa kuuawa kinyama huku wengine kadhaa wakiwa hawajulikani walipo.   Katika tukio hilo lililojiri hivi...

READ MORE

Mbeya: Aliyeoa Yatima Mlemavu Gumzo, Wanavyoishi Utashangaa! – Video

  WAKATI wanandoa wasiyokuwa na ulemavu hata wa kidole gumba wakiishi maisha ya kutwangana makonde na kununiana, hali ni tofauti...

READ MORE

Inasikitisha! Watoto Watano wa Familia Moja Wafariki, Sumu Yatajwa

WATOTO watano wa familia moja wakazi wa Shehia ya Shanake, Wilaya ya Micheweni,  Pemba, wamefariki dunia na wengine wawili wamelazwa...

READ MORE

RC Makonda: “Mdee, Msigwa Ole Wenu Mtukane” – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dsm Paul Makonda amezindua mabweni ya wanafunzi katika Shule ya Mtakatifu Joseph inayomilikiwa na Kanisa Katoliki,...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumbaka na Kumuweka Unyumba Mwanafunzi Darasa la 4

Linus Mayaya (35), mkazi wa kijiji cha Kateka, Kalambo mkoani Rukwa, ametiwa matatani kwa kudaiwa kumbaka mwanafunzi wa darasa la...

READ MORE

AWESO AWASWEKA NDANI MHANDISI, MKANDARASI, KISA HIKI HAPA! – VIDEO

NAIBU Waziri wa Maji na Umwagiliaji, Jumaa Aweso,  ameamuru kukamatwa na kuwekwa mahabusu kwa Mhandisi wa Maji wa Wilaya ya...

READ MORE

TEMEKE: Ili Upige Muziki Kwenye Shughuli Lazima Ulipe Tsh 50,000

Manispaa ya Temeke itaanza kutoza TZS 50,000 ili kutoa kibali kwa mtu anayetaka kufanya shughuli za kijamii zikiwemo kupiga muziki...

READ MORE

MUME AMFANYIA MKEWE, BINTIYE KITU MBAYA

DAR ES SALAAM: WANANDOA kugombana ni jambo la kawaida, lakini inapofikia hatua ya kuharibu samani mbalimbali za familia na kufanya...

READ MORE

BOMBA LA MAFUTA: MAWAZIRI WA JPM, WA MUSEVENI WAKUTANA

Waziri wa Nishati, Dkt Medard Kalemani, Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Paramagamba Kabudi, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo...

READ MORE

Watanzania wawili wakamatwa kwa kuingiza bangi Kenya

WATANZANIA wawili, Annah Mwisawa, 34, na  Jackson Josephat, 20, wamekamatwa nchini Kenya kwa kuingiza bangi nchini humo yenye thamani ya...

READ MORE

MUNA, BABA PATRICK VITA MPYA

DAR ES SALAAM: Baada ya sarakasi za hapa na pale kisha ukimya kutawala, hatimaye mwigizaji wa filamu za Kibongo, Rose...

READ MORE

Mwanamke Aliyeng’atwa Na Nyoka Akiwa Haja Kubwa Chooni Asimulia

  MWANAMKE mmoja nchini Australia “ameruka kutoka kwa kiti cha choo” baada ya kung’atwa na nyoka aina ya chatu.  ...

READ MORE

BREAKING NEWS: TIDO MHANDO ACHIWA HURU – VIDEO

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando, leo Ijumaa, Januari 25, 2019 ameachiwa huru na Mahakama...

READ MORE

Ofisi ya Waziri Mkuu Yafungukia Taarifa Zinazosambazwa WhatsApp

OFISI ya Waziri Mkuu inapenda kuujulisha UMMA wa Watanzania kuwa kumekuwepo na taarifa zilizozua taharuki baina ya wananchi kupitia mitandao...

READ MORE

Zahera Aitaja Mipango ya Ubingwa Yanga SC

KOCHA wa Yanga, Mkongo, Mwinyi Zahera amefunguka kuwa kama waamuzi watabadilika na kuchezesha kwa kufuata sheria basi timu yake itaendelea...

READ MORE

Selcom Unveils Platform For Banks Fund Transfer

SELCOM Tanzania in collaboration with Business Connexion (BCX), have launched a new digital platform, which will be enable people to...

READ MORE

DC KINONDONI  ATOA SIRI YA NYUMBA YAKE

    MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo amefunguka kuwa toka ameezeka nyumba yake kwa kutumia  mabati ya kutoka ...

READ MORE