×

Habari

ACT Wazalendo Yajibu Pingamizi la Luhaga Mpina kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama

Chama cha ACT Wazalendo kimewasilisha rasmi maelezo kwa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, kikiweka wazi msimamo wake kuhusu...

READ MORE

CHADEMA Yapeleka Shauri Mahakamani Kupinga Maelekezo ya Msajili

Kaimu Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, akiambatana na mawakili wa chama hicho,...

READ MORE

Oryx na Serikali Watangaza Uzinduzi wa Mfumo wa Usambazaji wa Gesi Soko la Samaki la Ferry

Dar es Salaam, 21 Agosti 2025: Kampuni ya ORYX Energies Tanzania kwa kushirikiana na Serikali na wadau wa soko, imetangaza...

READ MORE

NMB Benki Yatoa Elimu kwa Wafanyabiashara wa Dodoma Kupitia NMB Business Club

Benki ya NMB imeendelea kuimarisha uhusiano wake na wateja wa kibiashara kwa kutoa elimu na ufafanuzi kuhusu huduma na masuluhisho...

READ MORE

Kashera: Watumishi wa Serikali Kufichua Siri ni Kosa la Jinai

Unajua kwamba mtumishi wa serikali aliyekula kiapo, akitoa siri ni kosa la jinai na anaweza kufungwa? Omar Kashera, mshauri na...

READ MORE

Spinoleague 2025, Moto Mpya wa Burudani na Zawadi za Kihistoria

Ikiwa ni msimu mwingine wa ushindani wa hali ya juu, Meridianbet imewashia moto mpya wapenzi wa burudani na zawadi. Ni...

READ MORE

Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi msikitini Nigeria

Watu 27 wauawa katika shambulio la kigaidi msikitini Nigeria Magaidi waliokuwa na silaha jana Jumanne waliwauwa waumini karibu 27 waliokuwa...

READ MORE

Mwili wa Mwanafunzi Aliyeuawa kwa Tuhuma za Wizi wa Simu Wapumzishwa Babati – Video

Mwili wa aliyekuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari Qashi, Yohana Amani Konki (18), umepumzishwa Agosti 19, 2025, katika kijiji cha...

READ MORE

Viongozi wa Ulaya Waungana na Zelensky Safari ya White House Kukutana na Trump

Baadhi ya viongozi wa Ulaya, wameamua kuandamana na Rais Volodymyr Zelensky wa Ukraine katika safari yake ya kwenda Washington katika...

READ MORE

Pesa Kibao Zipo Meridianbet Leo

Jumatano ya leo imekuja kivingine na wakali wa ubashiri kwani nafasi ya wewe kuondoka na mkwanja ni kubwa sana. Mechi...

READ MORE

Wananchi Arusha Wapewa Elimu Kuhusu Matumizi ya Nishati Safi ya Kupikia ya Umeme

Wananchi wa Mkoa wa Arusha wameelimishwa kuhusu matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa kutumia umeme kupitia kampeni maalum ya...

READ MORE

Dk Biteko Kuzindua Telnolojia ya Kuondoa Uvimbe Bila Upasuaji

        NAIBU Waziri Mkuu, Dotto Biteko anatarajiwa kuzindua teknolojia mpya ya kuondoa uvimbe mwilini bila upasuaji inayofahamika...

READ MORE

Serikali Yaipongeza NMB Kuchangia Mil. 30/- Taifa Stars CHAN 2024

SERIKALI imeishukuru na kuipongeza Benki ya NMB, kwa mchango wa Sh. Mil. 30 iliyoutoa kuhamasisha mashabiki na wachezaji wa Taifa...

READ MORE

Kimwanga Alivyochukua Fomu ya Kugombea Udiwani Kata ya Makurumla

MGOMBEA wa nafasi ya udiwani Kata ya Makurumla iliyopo Magomeni Jijini Dar es Salaam kwa tıketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)...

READ MORE

Mgombea Udiwani Wa Kata Ya Makurumla Achukua Fomu Ya Kuwania Udiwani

Mgombea udiwani wa Kata ya Makurumla ,Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Mkoani Dar es Salam, kupitia CCM Bakari Kimwanga leo...

READ MORE

Trump na Zelenskyy Wakutana White House, Wajadiliana Amani ya Ukraine – Video

Rais wa Marekani Donald Trump alikutana kwa mara ya pili mwaka huu na Rais wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy katika Ikulu...

READ MORE

CHADEMA Yataka Polisi Watoe Maelezo Kuhusu Wanachama Waliokamatwa Pwani

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeiomba Jeshi la Polisi kutoa maelezo kuhusu hatma ya wanachama wake 10 waliokamatwa wilayani...

READ MORE

Zelensky Yuko Tayari Kukutana na Putin, Asema Mazungumzo ni “Hatua ya Amani”

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema yuko tayari kushiriki mazungumzo na Rais wa Urusi, Vladimir Putin, ikiwa hatua hiyo itasaidia...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yasherehekea Miaka 25 Kwa Bonanza La Michezo Arusha

Arusha, Tanzania – Vodacom Tanzania PLC imefanya sherehe ya miaka 25 toka kuanzishwa kwake kwa kuandaa bonanza la michezo jijini...

READ MORE

Burkina Faso Yafukuza Afisa Mkuu wa UN Kufuatia Ripoti ya Ukiukaji wa Haki za Watoto

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imefukuza afisa mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN) nchini humo, Carol Flore-Smereczniak, baada ya...

READ MORE

Miaka 28 Ya Benki Ya Exim Tanzania Safari Ya Ukuaji, Ubunifu Na Kusonga Mbele Pamoja Na Wewe 

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Exim Bank Tanzania, Jaffari Matundu (kulia), akikata keki wakati wa maadhimisho ya miaka 28 ya benki...

READ MORE

Meridianbet Virtuals, Burudani ya Papo kwa Papo, Ushindi wa Haraka

Dunia ya michezo ya kubashiri inabadilika kwa kasi, na sasa Meridianbet imeleta mapinduzi makubwa kupitia Virtual Betting. Hii ni nafasi...

READ MORE

CCM Yatangaza Rasmi Ratiba ya Vikao vya Uteuzi wa Wagombea Wabunge

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vyake vya kitaifa ambavyo ajenda kuu itakuwa ni uteuzi wa wagombea Ubunge...

READ MORE

Polisi Pwani Wakamata Watu 10 kwa Njama za Uhalifu Kibaha – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawashikilia watu 10 kwa tuhuma za kupanga njama za kufanya uhalifu. Kamanda wa Polisi...

READ MORE

Sababu ya Ndoa za Sasa Kuvunjika Mapema

NAMSHUKURU Mungu kwa kunilinda, kuniongoza na kunijalia pumzi bure ili nizungumze nawe kupitia safu nzuri ya maisha na uhusiano ya...

READ MORE

Tandika Jamvi Lako Mechi za Leo

Leo hii mechi nyingi zipo kwaajili yako wewe, suka jamvi lako la ushindi hapa na uondoke na mapene ya Meridianbet....

READ MORE

Bahati: Shujaa wa Tabora Anayeandika, Kupika na Kufua kwa Miguu – Video

Wakazi wa Tabora wanaomfahamu Bahati Iddi Nzimano (45) humuelezea kama mfano wa uvumilivu na uthubutu wa kuishi maisha kwa masharti...

READ MORE

Mwenyekiti wa BAWACHA Serengeti ajiunga ACT Wazalendo

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWACHA) Kanda ya Serengeti, Resemary Kirigini, amejiunga rasmi na Chama cha ACT Wazalendo....

READ MORE

DR Congo yakasirishwa na uteuzi uliofanywa na serikali ya Kenya huko Goma

Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imekosoa vikali hatua ya Kenya kuteua afisa wake wa kidiplomasia katika mji...

READ MORE

Waandishi wa Habari Kanda ya Kaskazini Waaswa Kuheshimu Maadili Uchaguzi Mkuu 2025

Waandishi wa habari kutoka Kanda ya kaskazini wameaswa kuzingatia sheria na maadili huku wakitanguliza uzalendo kwa Nchi katika utekelezaji wa...

READ MORE

Tanzania, Burundi Zazindua Ujenzi Wa Reli Ya SGR Uvinza-Musongati

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo (Jumamosi, Agosti 16, 2025) ameshiriki uwekaji wa jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya...

READ MORE

Cheza, Kusanya Pointi, Shinda Zawadi, Yote Kupitia Meridianbet Missions

Meridianbet Missions ni mfumo mpya na wa kisasa ulioundwa kwa ajili ya wapenzi wa michezo ya ubashiri, unaobadilisha kila dau...

READ MORE

Mkutano wa Trump, Putin Alaska Waisha Bila Makubaliano ya Kusitisha Mapigano Ukraine – Video

Anchorage, Alaska – Rais wa Marekani Donald Trump na Rais wa Urusi Vladimir Putin wameondoka Alaska bila kufikia makubaliano ya...

READ MORE

CHADEMA Yalaani Yanga Kuhusishwa na Siasa, Yataka Fedha Zirudishwe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeitaka Klabu ya Yanga kujiepusha na Siasa huku kikieleza wasiwasi wake juu ya taarifa...

READ MORE

Waziri Jafo Atembelea Mabanda Kariakoo Festival 2025 – Picha

Dar es Salaam, Agosti 15, 2025 – Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dkt. Selemani Jafo, amefanya ziara ya kushirikiana...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yasherehekea Miaka 25 Kwa Kula Keki Na Wateja Wao

Dar-es-Salaam, Kampuni ya Vodacom Tanzania, ambayo imejivunia kuwahudumia wateja wake kwa kipindi Cha miaka 25, kwa kutoa huduma mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

Mpina Achukua Fomu ya Urais kwa Tiketi ya ACT-Wazalendo

Dodoma, Agosti 15, 2025 – Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Mhe. Jaji wa Mahakama ya Rufaa,...

READ MORE

Akili Mnemba Yavumbua Dawa Mpya Zinazoweza Kupambana na Kisonono Sugu na MRSA

Watafiti wametangaza uvumbuzi wa aina mbili za dawa mpya za kupambana na maambukizi sugu (antibiotics) zinazoweza kuua vimelea vya kisonono...

READ MORE

Luhaga Mpina Kuchukua Fomu ya Kugombea Urais Leo Dodoma

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, anatarajiwa kuchukua fomu ya...

READ MORE

TBL Yawawezesha Wakulima wa Shayiri Monduli Juu Kuboresha Uzalishaji

Monduli Juu, Arusha, 15 Agosti 2025. Tanzania Breweries Plc (TBL), mshiriki muhimu katika mnyororo wa thamani wa kilimo nchini Tanzania,...

READ MORE