×

Habari

TANESCO Yatoa Tahadhari Kwa Wateja Kuhusu Changamoto ya Malipo ya Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeeleza kuwa kumetokea changamoto ya manunuzi ya umeme (LUKU) hali inayosababisha Wateja wake kushindwa kununua...

READ MORE

Kanisa Katoliki Lavunja Ukimya – Askofu Ruwa’ichi Asema “Hatuna Ugomvi Na Serikali” – Video

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddaeus Ruwa’ichi, amesema Kanisa Katoliki halilumbani wala kushindana...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Awahimiza Wafanyabiashara wa Machinga Complex Kumpigia Kura Dkt. Samia

Mgombea Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel John Nchimbi akiwasalimia na kuzungumza na Wananchi wa Ilala-Machinga...

READ MORE

Shangwe za Wananchi Zatikisa Mkutano wa CCM Usa River (Picha +Video)

Shamra shamra na hamasa kubwa zilitawala jana Oktoba 1, 2025 – katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi kwa...

READ MORE

Nmb PLC Yaorodheshwa Moja ya Benki 40 Bora Afrika

-Ni Benki # 1 Tanzania; Ndani ya 5 Bora Afrika MasharikiBenki ya NMB Plc imeorodheshwa miongoni mwa Benki 40 Bora...

READ MORE

JKCI, HTAF waanzisha shindano la insha shuleni kuhusu magonjwa ya moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakata Kikwete (JKCI), kwa kushirikiana na Heart Team Africa (HTAF), wameanzisha shindano la insha shuleni ikiwa...

READ MORE

Shamra Shamra za CCM Zatikisa Boma Ng’ombe, Wananchi Wajaa Uwanjani

Wananchi wa Boma Ng’ombe, wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, wamejitokeza kwa wingi kushiriki katika mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi...

READ MORE

SBL Yaimarisha Ushirikiano Wa Kibiashara Wa Nafaka Kupitia EAGC

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeungana na Baraza la Nafaka Afrika Mashariki (EAGC) kuendeleza mpango wake wa Shamba ni...

READ MORE

Dkt.Nchimbi Awanadi Wabunge wa Mkoa wa Dar

Picha za matukio mbalimbali za Mgombea Mwenza wa nafasi ya Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel  John Nchimbi...

READ MORE

Dar Es Salaam: Mkuu Wa Mkoa Chalamila Ahaidi Kuondoa Shida Ya Mwendokasi Kimara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Oktoba 1, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha...

READ MORE

Mashindano Mujarab, Ushindi Mkubwa Na Vodacom Tanzania Open 2025

Washindi wa Vodacom Tanzania Open 2025 wakiwa katika picha ya pamoja jijini Arusha, wakiwemo Njoroge Kibugu (Kenya) kwa upande wa...

READ MORE

ALAF Yazindua Mpango wa Siku Mbili wa Elimu ya Afya kwa Wafanyakazi

Kampuni ya ALAF Limited, inayoongoza katika suluhisho mbalimbali za ujenzi, leo imezindua mpango wa siku mbili wa kuwaelimisha wafanyakazi kuhusu...

READ MORE

Mwanamke Adaiwa Kumuua Mtoto, Polisi Waanza Msako Mkali

Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga linamtafuta Christina Kishiwa, mwenye umri wa kati ya miaka 30 hadi 40, kwa tuhuma za...

READ MORE

Video: Aliyekuwa Rais wa DRC Joseph Kabila Ahukumiwa Kifo kwa Uasi

Mahakama ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Septemba 30, 2025, imemhukumu aliyekuwa Rais wa nchi hiyo Joseph...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta ya Petroli na Dizeli

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa...

READ MORE

Kampuni ya Network Yashirikiana na Flydubai Kuzindua Malipo ya Simu kwa Wateja

Wasafiri wa ndege nchini Tanzania sasa wanaweza kufurahia urahisi wa kulipia tiketi zao kupitia simu za mkononi, kufuatia makubaliano kati...

READ MORE

Majaliwa Mgeni Rasmi Mkutano Wa Wadau Wa Lishe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Septemba 30, 2025 ni mgeni rasmi katika mkutano wa kumi na moja wa wadau wa...

READ MORE

Mfumo wa Kidijitali Kukusanya Taarifa za Matukio ya Wanyamapori Wakali na Waharibifu

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imekuja na mkakati wa kupata taarifa sahihi na kwa haraka kupitia Mfumo wa...

READ MORE

Mkurugenzi wa FBI Awataka Watu Kutoombeleza Kifo cha Mama Mlezi wa Tupac

Mkurugenzi wa FBI, Kash Patel, ametoa kauli tata akiwataka watu kutoombeleza kifo cha Assata Shakur, mama mlezi wa Tupac Assata...

READ MORE

FIFA Yaiadhibu Afrika Kusini kwa Kumchezesha Mchezaji Asiye na Sifa

Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) imetoa adhabu kwa Chama cha Soka cha Afrika Kusini (SAFA) baada...

READ MORE

Dk.Mwinyi Aahidi Kujenga Masoko Mapya 5 Zanzibar

Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti...

READ MORE

Dkt. Samia Acheza Taarab na Mama Karume Katika Mkutano wa Kampeni Tanga – Video

Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Mwenyekiti wa CCM...

READ MORE

Nilipoteza Wateja Wote, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinirudishia Biashara Na Wateja Wakubwa Zaidi

Wakazi wa mtaa walinishangaa sana walipoona biashara yangu ikifungwa kwa miezi mitatu mfululizo. Nilikuwa nimepoteza kila kitu. Wateja wangu wa...

READ MORE

Video: Watuhumiwa wa Mauaji ya Shyrose Mabula Wauawa na Polisi Mbeya

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya, limetoa taarifa kuwa watuhumiwa watatu waliokuwa wakituhumiwa kumteka kisha kumuua Shyrose Mabula, mwanafunzi wa...

READ MORE

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Rugambwa wapokelewa Bukoba

Mwili wa Hayati Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, aliyefariki hivi karibuni, uliwasili leo katika Kanisa Kuu la Bikira Maria wa Huruma,...

READ MORE

Netanyahu na Trump wakutana New York kuzungumzia suluhu ya Gaza

Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu atatetea nia yake ya “kumaliza kazi” huko Gaza anakutana na Rais wa Marekani Donald...

READ MORE

Mgombea Urais CCM Dkt. Samia Aahidi Maji Safi na Salama kwa Kila Mtanzania – Video

Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mahakama Kuu Yaagiza CHADEMA Kuwasilisha Taarifa za Fedha na Mali

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Ndogo ya Dar es Salaam, imeiagiza CHADEMA kukabidhi nyaraka muhimu za kiofisi kwa aliyekuwa Makamu...

READ MORE

Shambulio Kanisa Michigan: Watu 4 Wauawa, 8 Wamejeruhiwa – Video

Watu wanne wamepoteza maisha na wengine kujeruhiwa baada ya mtu mwenye silaha kushambulia ibada katika Kanisa la Yesu Kristo la...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Atikisa Kampeni Mwenbe Yanga jijini Dar

  MGOMBEA Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Emmanuel...

READ MORE

Samia Aahidi Kujenga Barabara ya Kibaha–Morogoro kwa Ubia na Sekta Binafsi – Video

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema iwapo atapewa...

READ MORE

Zari The Bosslady Apata Ajali ya Gari, Range Rover Yake Yaharibika

Mfanyabiashara na staa maarufu wa Afrika, Zari The Bosslady, amethibitisha kuwa amepata ajali ya gari akiwa ndani ya Range Rover...

READ MORE

Vodacom Tanzania Foundation Na JKCI Washirikiana Kupanua Huduma Za Moyo Kwa Watoto

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc Philip Besiimire akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Heart Team Africa...

READ MORE

Dkt. Samia Aahidi Ujenzi wa Bandari Mpya ya Bagamoyo – Video

Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi miradi mikubwa...

READ MORE

Kikwete Awaasa Watanzania Kudumisha Umoja Na Amani – Video

KIBAHA, PWANI – Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, akihutubia wananchi wa Kibaha katika kampeni, amesisitiza kuwa Tanzania inabaki kuwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Septemba 29, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

NMB Yazindua Tawi Maalum la Nmb Tinde Mnadani

BENKI ya NMB imezindua tawi maalum la NMB Tinde Mnadani mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya kuzingatia dhamira yake ya...

READ MORE

AICC Yaendelea Kuboresha kumbi Zake, Yawakaribisha Wadau wa Kitaifa na Kimataifa

KITUO cha Kimataifa cha Mikutano (AICC)kimesema kuwa  kinaendelea kuboresha kumbi zake mbalimbali huku kikiwakaribisha  wadau  wa kimataifa na kitaifa kufanya...

READ MORE

Nilikuwa Napoteza Kila Wiki EPL, Lakini Hatua Niliyopiga Ilinifanya Ninishinde Jackpot Ya Mamilioni

Nilikuwa shabiki mkubwa wa soka na kila wiki nilikuwa nabashiri mechi za EPL. Nilihisi najua kila kitu kuhusu ligi hiyo...

READ MORE

Mixx, TCCIA na Yas Business Waungana Kuharakisha Mapinduzi ya Malipo Kijiditali

Dar es Salaam, 26 Septemba 2025. Kampuniyahuduma za kifedhakwanjiayasimu, Mixx imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chemba ya Biashara, Viwanda na...

READ MORE