×

Habari

SHIGONGO, MASANJA WAMEKULETEA Password ya Mafanikio Yako – Video

MKURUGENZI wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, Mchungaji Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamiazji’ na Bishop Mwakiborwa wamakuleta SIKU TATU ZA...

READ MORE

KISUTU: MKE WA BILIONEA MSUYA ‘ALIVYOKIRI’ KUMUUA WIFI YAKE

IMEELEZWA na upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya dada wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Bi. Aneth Msuya kwenye...

READ MORE

RC MAKONDA: “DUDU BAYA TULIA KWANZA” – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemtaka msanii wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya‘ kutulia badala...

READ MORE

KAPTENI HILDA: MWANAMKE WA KWANZA KUENDESHA NDEGE NCHINI

Hilda Wendy Ringo KUNA kazi ambazo wanawake kamwe hawawezi kuzifikiria kuzifanya maana baadhi ya wengi wao watakuambia nataka kufungua duka...

READ MORE

Zitto Kabwe Asomewa Mashtaka Matatu Kisutu, Aachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Amber Rutty, Mpenzi Wake, James Delicious Wafikishwa Mahakamani – Video

Video queen wa Bongo Fleva, Ruth Abubakar ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Bakary Mtopali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Kampuni Yadai Mdogo wa Rostam Aziz Alivamiwa, Kupekuliwa kwa Saa 20

TAARIFA ya Kampuni ya Kilombero North Safari Ltd. Kuhusu kukamatwa kwa mfanyabiashara Akram Aziz (mdogo wake Rostam Aziz). Akram ameshtakiwa...

READ MORE

BREAKING: MAKONDA Akikabidhi Mabasi kwa Jeshi – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amekabidhi mabasi kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ na vyombo...

READ MORE

Lugola Ashtukiza Vituo vya Polisi Tabata, Buguruni, Atoa Maagizo Mazito

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amefanya ziara ya kushtukiza kituo cha Polisi Tabata na Buguruni vya...

READ MORE

BABU WA GAMBA: “Bora Ningekufa Mimi, Nilimwandalia Urithi” – Video

Katika hali ya Majonzi, Babu wa Marehemu Isaac Gamba (92), anayeitwa Wilson Biseko Nyagabona, amezungumza kwa uchungu mkubwa juu ya...

READ MORE

Benki ya Barclays Yaja na Mchongo Mpya Ligi Kuu England

BENKI ya Barclays imekuja na mchongo mpya ambapo kwa sasa mashabiki wa soka wa timu za Ligi Kuu England wanaweza...

READ MORE

BREAKING NEWS: AJALI YA TRENI DAR YAJERUHI WATU 9

TRENI ya abiria inayofanya safari zake kati ya Stesheni na Pugu, jijini Dar es Salaam imepata ajali baada ya mabehewa...

READ MORE

UNYAMA, UKATILI KWA WATOTO MAMA YAMKUTA MAZITO!

MOROGORO: Mwanamke aliyefahamika kwa jina maarufu la Mama Naa, yamemkuta mazito baada ya kunusurika kifo laivu, Risasi Mchanganyiko lina kisa...

READ MORE

MAWAKALA WA NMB WAPEWA SEMINA KUONGEZA UFANISI KATIKA KUTOA HUDUMA BORA

BENKI ya NMB imetoa semina kwa mawakala wake wanaotoa huduma za kifedha maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam,...

READ MORE

MKE WA SAMADU HASSAN AFUNGUKA CHANZO CHA KIFO CHA MUMEWE

MKE wa aliyekuwa  Habari wa Kituo cha Runinga cha Star Tv na Radio Free Africa, (Sahara Media Group) ambaye pia...

READ MORE

RC Makonda aunga mkono mradi wa TACIP

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amepongeza jitihada za Mradi wa Utambuzi wa Wasanii wa Sanaa za...

READ MORE

MSIMU MPYA WA KILI MARATHON WAZINDULIWA

WADHAMINI wakuu wa mbio ndefu, Kampuni ya bia ya TBL kupitia bia yake ya Kilimanjaro, leo wamezindua msimu mpya wa...

READ MORE

JPM Akataa Kutenga Fedha ya Katiba ya Warioba – Video

RAIS John Magufuli amesema kwa sasa hawezi kutenga fedha kwa ajili ya mchakato wa katiba mpya iliyopendekezwa na Tume ya...

READ MORE

JPM: “Hakuna Kazi Ngumu Kama Kuongoza Nchi”, Ataja Sababu – Video

Rais Dkt. John Magufuli amesema anapitia changamoto nyingi katika uongozi wake kwani kuongoza nchi ni kazi ngumu na wakati mwingine...

READ MORE

MBOWE AZIDIWA, AKIMBIZWA SAUZI KUTIBIWA

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ni mgonjwa mahututi na leo amesafirishwa kwa dharura kwenda nchini Afrika Kusini (Sauzi) kwa ajili...

READ MORE

BREAKING NEWS: WEMA AKANA KOSA, AACHIWA KWA DHAMANA

MSANII wa filamu nchini, Wema Sepetu,  leo Novemba 1, 2018 amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka...

READ MORE

POLISI WAFANYA UPEKUZI NYUMBANI KWA ZITTO KABWE

JESHI la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni limefanya upekuzi nyumbani kwa Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha...

READ MORE

Taarifa ya TTCL Kuwafuta Kazi Wafanyakazi Wake 550

Taarifa rasmi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kuhusu kusudio la kuwafuta kazi wafanyakazi 550, ili kuliunda upya shirika hilo.

READ MORE

Serikali Yasema Haiitambui Airtel Africa Ltd

Serikali imesema haitambui mchakato wa Kampuni ya Airtel Tanzania PLC kukaribisha mwanahisa mpya, Airtel Africa Ltd ndani ya kampuni hiyo....

READ MORE

TANZIA: MTANGAZAJI SAMADU HASSAN WA STAR TV AFARIKI DUNIA

MTANGAZAJI maarufu wa Habari wa Kituo cha Runinga cha Star Tv na Radio Free Africa, (Sahara Media Group) ambaye pia...

READ MORE

Manji arejea na Ally Mayay Yanga

MWENYEKITI wa Yanga, Yusuf Manji atarejea klabuni hapo muda wowote kuanzia sasa lakini sura ya kwanza atakayoitambulisha kwenye uongozi wake...

READ MORE

Waziri Kangi Lugola Anusurika Ajali Morogoro

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, leo Jumatano, Oktoba 31, 2018  amenusurika kupata ajali wilayani Gairo, Mkoani Morogoro dereva wa...

READ MORE

Zitto Kabwe Anyimwa Dhamana Sentro

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe anayeshikiliwa na Polisi Kituo Kikuu cha Polisi, Dar...

READ MORE

Mdogo wa Rostam Aziz Kortini Kwa Meno ya Tembo, Silaha, Utakatishaji Fedha

Mfanyabiashara, Akram Azizi Abdul Rasool  ambaye ni mdogo wa Rostam Azizi ambaye ni mdogo wa Rostam Azizi amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa...

READ MORE

SIMANZI NA MAJOZI, ISAAC GAMBA AZIKWA BUNDA

SIMANZI NA MAJONZI vimetawala wakati mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, Isaac Muyenjwa Gamba ukizikwa kwenye makaburi...

READ MORE

MAMA WA ISAAC GAMBA ALIVYOMUAGA MWANAYE – PICHAZ

MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, Isaac Muyenjwa Gamba umeagwa katika ibada ya kuaga mwili huo iliyofanyika...

READ MORE

Zitto Kabwe Akamatwa Kuhusu Tuhuma za Mauaji ya Wananchi 100 – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe anashikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya...

READ MORE

Ibada ya Kuaga Mwili wa Isaac Gamba, Bunda – Pichaz

MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, Isaac Muyenjwa Gamba umeagwa katika ibada ya kuaga mwili huo iliyofanyika...

READ MORE

MAGAZETI YA GLOBAL YAPIGA HODI CHANIKA

Kikosi cha mauzo cha Kampuni ya magazeti ya Global Publishers, leo kiliingia tena mitaani kuyanadi magazeti ya Risasi na Championi...

READ MORE

CHUO CHA KITM KINAVYOWANEEMESHA WAHITIMU KIDATO CHA NNE

Chuo cha Kilimanjaro Institute of Technology and Management (KITM) kilichopo Mwenge jijini Dar es Salaam, kimetangaza neema kwa wahitimu wa...

READ MORE

MAKONDA ATOA SIKU 5 KUFUTA PICHA ZA NGONO KWENYE SIMU – Video

Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka wakazi wa mkoa huo kufuta picha za ngono kwenye simu zao...

READ MORE

Makonda Apokea Majina 200 Wanaodaiwa Mashoga, Awaanika, Ataka Wapimwe – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda ameunda Kamati ya watu 17 ya kuchunguza masuala mbalimbali yanayofanywa na...

READ MORE

BREAKING: Makonda Atangaza Msako Wacheza Filamu za Ngono Dar – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Paul Makonda ameunda Kamati ya watu 17 ya kuchunguza masuala mbalimbali yanayofanywa na...

READ MORE

Zitto Aitwa Polisi Kuthibitisha Madai ya Mauaji ya Watu 100 Kigoma

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limemtaka Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe kuwasilisha vielelezo vya madai yake kuwa...

READ MORE

Mama wa Gamba Alichoambiwa Mara ya Mwisho na Mwanaye – Video

MAMA mzazi wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW) nchini Ujerumani, marehemu Isaac Muyenjwa Gamba, amepokea kwa masikitiko makubwa...

READ MORE