×

Habari

LOWASSA Awavaa CCM, “Hata Mje 100 Nitawanyoosha” – Video

WAZIRI Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa sambamba na Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini,...

READ MORE

RATIBA YA MAZISHI YA MAREHEMU DR. GODFREY MBARUKU LEO DAR

MAZISHI ya kumzikamarehemu Dr Godfrey Michael Dafa Thomas Mbaruku aliekua mtafiti Mkuu wa Miradi mbalimbali wa Ifakara Health Institute alietwaliwa...

READ MORE

Simbachawene Amvaa MSIGWA “Unatafuta Chuki Tu” – Video

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema) Mchungaji Peter Msigwa amesema uamuzi wa Serikali kuhamia Dodoma haukuwa sahihi kwasababu si kipaumbele cha...

READ MORE

JENGO LA KAMPUNI LAGEUZWA DANGURO

KANGI Lugola (Waziri wa Mambo ya Ndani) upo? Ndivyo walivyohoji wakazi wa Sinza-Mori jijini Dar karibu kabisa na Kituo cha...

READ MORE

Muswada Wawasilishwa Kutangaza Dodoma Kuwa Makao Makuu – Video

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR – TAMISEMI), Mhe. Selemani Jafo leo...

READ MORE

POLISI WAMNASA TAPELI, MUSUKUMA KWA KUTENGENEZA FEDHA BANDIA

Jeshi la Polisi Mkoani Songwe, linamshikilia mtu mmoja ambaye amekuwa akijihusisha na matukio mbalimbali ikiwemo, ujambazi, utapeli kwa kutumia nembo...

READ MORE

ASKARI 10 MBARONI KWA TUHUMA ZA KUSABABISHA KIFO

Jeshi la polisi mkoni Tabora linawashikilia askari wake 10 kwa kusababisha kifo cha Selemani Jumapili ambaye alifariki muda mfupi baada...

READ MORE

SUNDAY SHOMARI WA VOA ANYAKUA TUZO MAREKANI

MTANGAZAJI maarufu wa Voice of America (VoA) ambao ni washirika wa Global TV Online, Sunday Shomari ameshinda Tuzo zilizoandaliwa na...

READ MORE

Mdee: Jiji la Dodoma Mmeweka Ofisi UDOM, Watoto Wapewe Mimba? – Video

MBUMGE wa Kawe kwa tiketi ya Chadema, Halima James Mdee amedai kwamba taratibu zilizotumika kuibadilisha manispaa ya Dodoma kuwa Jiji...

READ MORE

CHADEMA Watoka Nje na Kususia Kiapo cha Prof. Chiza

WABUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wametoka ndani ya Ukumbi wa Bunge wakati Mbunge wa Buyungu, Christopher Chiza...

READ MORE

Breaking News: Msafara wa Rais Magufuli Wapata Ajali Mara

MSAFARA wa Rais John Magufuli uliokuwa ukielekea wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, umepata ajali katika kijiji cha Kasuguti, kata ya Kisorya,...

READ MORE

Mwanamuziki Bob Elvis Masudi wa DR Congo Atekwa

RAPA kijana wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na mkosoaji wa Rais Joseph Kabila “amepotea” tangu Jumatano iliyopita. “Bob Elvis...

READ MORE

MBUNGE ALIPUKA: Polisi Walituteka, Ni Mpaka Damu Imwagike? – Video

  Mbunge wa Serengeti, Rioba Chacha ameuliza swali Bungeni leo kuhusu Uhuru wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi na wasimamizi...

READ MORE

EXCLUSIVE: Mtoto wa MAJUTO Afunguka Kumfukuza Mama Yao – VIDEO

KUFUATIA vuta nikuvute inayoendelea kati ya watoto wakubwa wa Aliyekuwa muigizaji nguli wa filamu Marehemu King Majuto, na Mjane wa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATENGUA NA KUTEUA

Rais Magufuli: Ole Wenu… Mtazitapika Hizo Bilioni 3.7 – Video

READ MORE

Ratiba ya Bunge Litakaloanza Leo September 4 hadi 14‬

KUTANO wa Kumi na Mbili wa Bunge unatarajiwa kuanza siku ya Jumanne tarehe 4 Septemba, 2018 na kumalizika tarehe 14...

READ MORE

MTAWA ALIJIRUSHA, ALIRUSHWA? MASWALI 6 MAZITO

Tukio la Mtawa Suzana Bartholomew ‘48’ (pichani), aliyekuwa Mkurugenzi wa Fedha na Mipango wa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Bugando...

READ MORE

MKE NUSURA ABAKWE NA SANGOMA

Hii inatisha! Mganga wa kienyeji aliyetambulika kwa jina moja la Luiza, hivi karibuni alinaswa chumbani kwa mke wa mtu akidaiwa...

READ MORE

HAYA NDIYO MAISHA YA MTOTO WA MASOGANGE

IKIWA imepita miezi kadhaa tangu Video Vixen wa Bongo, Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia na kuzikwa nyumbani kwao Mbeya, mengi...

READ MORE

TEKNOLOJIA YA KUKATA TIKETI YA MABASI KWA SMS ZA KAWAIDA

Imeanza kuzoeleka kwamba siku hizi teknolojia inaweza kufanya hata yale ambayo miaka michache iliyopita hayakuwa yakiwezekana tena! Ukitaka teksi, siyo...

READ MORE

Alikiba kuanza kazi leo Coastal

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda, amefunguka kuwa mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Ali Saleh Kiba ‘Alikiba’, anatarajia kuanza...

READ MORE

CHINA KUTOA DOLA BIL. 60 KWA MAENDELEO YA AFRIKA  

    RAIS wa China, Xi Jinping  amesema China itatoa jumla ya dola bilioni 60 za Marekani kwenye mpango wake...

READ MORE

Walimu Wanaodaiwa Kumuua Mwanafunzi kwa Bakora Hawa Hapa

WALIMU wawili wa Shule ya Msingi Kibeta Manispaa ya Bukoba  wamefikishwa Mahakamani leo asubuhi Septemba 3, 2018   wakikabiliwea na kesi...

READ MORE

Makambo Arejea Kuipa Ugumu Simba SC

HUENDA ikawa habari njema kwa Yanga na mbaya kwa mashabiki wa Simba. Ni baada ya mshambuliaji wa Wanajangwani, Heritier Makambo...

READ MORE

RAIS JPM AMEMPONZA MAKONDA?

KWA waliosoma Biblia, kisa cha Yusufu na baba yake, Yakobo hakiwezi kuwa kigeni. Yusufu alipendwa mno na baba yake, alikuwa ni...

READ MORE

Mjue Mbuzi Damasi Anayefanya Ulinzi, Anakula Maandazi, Nyama, Wali

KAMA ulikuwa hufahamu chukua hii! Mzee Antony Mwandulami mkazi wa Mkoa wa Njombe Nyanda za Juu Kusini mwa Tanzania anafuga...

READ MORE

Rais Magufuli: Ole Wenu… Mtazitapika Hizo Bilioni 3.7 – (Video)

Rais Dkt. John Magufuli amesema atalipa mishahara ya wafanyakazi wa Marine Service kiasi cha Ths. Bilioni 3.7 wanazoidai serikali ndani...

READ MORE

SERIKALI KUPAMBANA NA MIMEA VAMIZI NGORONGORO

    SERIKALI imeazimia kurudisha ikolojia ya hifadhi ya Ngorongoro katika mazingira yake ya asili na kusisitiza kuwa shughuli zote...

READ MORE

Waziri Mavunde azindua Muonekano Mpya wa Chupa ya K-Vant

  Kampuni ya Mega Beverage Company Limited,ya mkoani Arusha, inayotengeneza pombe kali  chapa maarufu ya K Vant, imezindua chupa mpya za...

READ MORE

Lugola Afunguka Mgambo Kupiga Wananchi, Walimu Kutesa Wanafunzi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amelaani tukio lililofanywa na Mgambo wa Jiji la Dar es salaam...

READ MORE

Ngalya: Hivi Chadema Mtahesabu Kura Zipi – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua kampeni zake za uchanguzi mdogo wa udiwani katika Kata ya Kizota Jijini Dodoma, baada ya...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATATU, SEPTEMBA 3, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Septemba 3, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

GOOD NEWS Kutoka Hoteli Ya Hyatt Regency Dar Es Salaam!

Katika jitihada za kujiimarisha na kuboresha huduma zake, hoteli yenye hadhi ya Nyota Tano (Five Star Hotel), Hyatt Regency ya...

READ MORE

Madiwani Wengine Wawili CHADEMA Watimkia CCM

KIMBUNGA cha madiwani na wabunge kuhama hasa vyama vya upinzani na kwenda Chama Cha Mapinduzi (CCM),  kimeendelea ambapo jana usiku...

READ MORE

GARI LA WATALII LAGONGANA NA LORI ARUSHA

  Gari ya watalii imepata ajali mbaya Jijini Arusha.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha (SACP) Ramadhani Ng’anzi, amethibitisha kutokea kwa...

READ MORE

BREAKING NEWS: WAWILI WAFARIKI KATIKA GARI LILILOSHIKA MOTO

WATU wawili wamefariki na wengine wawili kujeruhiwa usiku wa kuamkia leo huko Dunga, Zanzibar, baada ya gari walilokuwa wakisafiria kushika...

READ MORE

WOSIA wa Mzee Majuto kwa Mtoto Wake Hamza Majuto – Video

MTOTO wa aliyekuwa muigizaji nguli wa vichekesho nchini, Amri Athumani maarufu kwa jina la ‘King Majuto’, Hamza Athumani ambaye hivi...

READ MORE

MWANAFUNZI ALIYEZIRAI KWA KIPIGO CHA MWALIMU ATOKA HOSPITALI

Mwanafunzi wa Dhule ya Sekondari ya Kalangalala mkoani Geita, Jonathan Mkono aliyepigwa na mwalimu wake na kulazwa hospitalini, ameruhusiwa kutoka...

READ MORE

WAVUVI KUNDUCHI WAOMBA KUUZIA SAMAKI SOKO LA FERI

WAVUVI wanaofanya shughuli zao katika eneo wa Kunduchi jijini Dar es Salaam, wameiomba Manispaa ya Kinondoni kuwaruhusu kwenda kufanyia biashara...

READ MORE