×

Habari

JAJI AASA KUHUSU JUU YA KUENDELEZA MRADI WA MABORESHO

  WATUMISHI wa Mahakama ya Tanzania wamekumbushwa kuendeleza na kuthamini maboresho yanayoendelea ndani ya Mahakama kupitia Mradi wa Maboresho ya...

READ MORE

Meya Dar Ataka Kiswahili Kifundishiwe Sekondari, Vyuo

MSTAHIKI Meya wa jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, ameishauri serikali kuanza kutumia lugha ya Kiswahili katika kufundisha masomo...

READ MORE

MIAKA 54 YA JWTZ: JENERALI MABEYO, MAKONDA WAFANYA USAFI

Wakuu hao wakiwa mstari wa mbele katika zoezi hilo.   MKUU wa Majeshi yaUlinzi nchini (JWT), Venance Salvatory Mabeyo na...

READ MORE

Hatimaye Bobi Wine Apelekwa Marekani Kutibiwa – Video

MBUNGE wa Kyadondo nchini Uganda, ambaye inadaiwa aliteswa na maafisa wa usalama, Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina Bobi Wine tayari amesafirishwa kwenda nchini...

READ MORE

Mnunuzi Makontena ya Makonda Afunguka Mazito – Video

MWANANCHI mmoja ambaye amejitokeza kwenye mnada wa kununua makontena yaliyoingizwa nchini na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul...

READ MORE

FAMILIA YA MWALIMU NYERERE YARIDHIA MSITU WA MWALIMU KUHIFADHIWA

      SERIKALI imesema iko tayari kutangaza katika Gazeti la Serikali msitu wa Mwalimu Nyerere uliopo Butiama Mkoani Mara...

READ MORE

CCM Yafanya Uchaguzi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI. Umoja wa Vijana wa CCM unapenda kuujulisha umma wa Watanzania na wanachama wote kwa ujumla...

READ MORE

MAKONTENA YA RC MAKONDA YASHINDIKANA KUUZWA – VIDEO

MNADA wa makontena 20 ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda umefanyika leo Jumamosi, Septemba 1, 2018...

READ MORE

Gari la Waziri Nusura Liue Mwendesha Baiskeli

MKAZI wa Kata ya Ngogwa, wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Marco Charles (48), amenusurika kifo baada ya kugongwa na gari lenye...

READ MORE

Watanzania 27 Wasio na Vibali Wakamatwa Mombasa

MAMLAKA ya usalama huko Mombasa, Kenya,  inaendelea na mipango ya kuwarejesha nchini Watanzania 27 wanaoshikiliwa na polisi katika kituo cha...

READ MORE

Nape, Prof Jay Walivyoshindana Kuchana Mlimani City- video

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania, wamefanya Tamasha kubwa jijini Dar es Salaam jana usiku Agosti 31, katika...

READ MORE

Wabunge Wanawake Wakusanya Bil 2.5/-Kujenga Choo Cha Mfano Majimbo Yote

CHAMA cha Wabunge Wanawake wa Bunge la Tanzania wamefanikiwa kukusanya Sh.milioni 800 kwenye harambee ya kutafuta fedha kwa ajili ya...

READ MORE

Sakata la Makontena, Lemutuz Amuomba Msamaha Waziri Mpango – Video

Mjasiriamali ambaye ni mtoto wa Waziri Mkuu Mstaafu, john Malecela, William Malecela maarufu kwa jina la Lemutuz amesema amemuomba msamaha...

READ MORE

Ombi la Muna kwa Rais Magufuli – Video

MUIGIZAJI wa Bongo Movie na mfanyabishara, Munalove amesema endapo atapata fursa ya kukutana na Rais Dkt. John Magufuli atamshauri aruhusu...

READ MORE

KWA HILI LA DKT. MWAKYEMBE, BONGO MOVIE MSHINDWE WENYEWE

JUMANNE wiki hii baada ya Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Dkt. Harrison Mwakyembe kutembelea ofisi za Global Publishers...

READ MORE

ALLY HAPI ATAMBA IRINGA KUILISHA DODOMA

  MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ally Hapi amesema anatarajia kuufanya mkoa wake kuwa kitovu cha chakula nchini na kuulisha...

READ MORE

Dar: Mgambo Washusha Kipigo Hevi kwa Raia Kisa Usafi – Video

IKIWA ni saa chache baada ya video kusambaa katika Mitandao ya Kijamii ikionyesha askari mgambo wakimpiga kijana Robson Orotho anayedaiwa...

READ MORE

ALICHOKISEMA RC PAUL MAKONDA LEO – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amevitaka vyama vyote vya siasa vinavyoendelea na Kampeni za Uchaguzi wa...

READ MORE

Hamza Majuto: Magufuli Aliniteua Nikiwa Kwenye Daladala – Video

GLOBAL TV imefunga safari mpaka katika Wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani kwa ajili ya kumtembelea na kuzungumza na Katibu...

READ MORE

MAAMUZI YA KOCHA STARS BAADA YA KUWATOSA WACHEZAJI WA SIMBA

KOCHA wa timu ya Tanzania, Taifa Stars, M-Cameroon, Emmanuel Amunike, amekutana na wachezaji Simba aliowaondoa kwenye kikosi chake baada ya...

READ MORE

Uzinduzi wa Filamu ya Bahasha Watikisa Dar

Uzinduzi wa filamu ya BAHASHA umefanyika usiku wa kuamkia leo Mlimani City katika Ukumbi wa Century Cinemax jijini Dar es...

READ MORE

Wanafunzi Waandamana Mwenzao Kupigwa na Mwalimu Hadi Kuzirai

WANAFUNZI wa kidato cha tano na sita katika Shule ya Sekondari Kalangalala mkoani Geita wameandamana kwenda kwenye ofisi ya Mkuu wa...

READ MORE

TAARIFA MUHIMU KUTOKA OFISI YA RC MAKONDA

Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam inashangazwa na taarifa zinazo sambaa mtandaoni juu ya kuwepo kwa Mkutano...

READ MORE

Hofu Mauaji ya Albino Yaongezeka Kuelekea Uchaguzi wa 2020 – Video

HOFU ya mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi nchini inadaiwa kuongezeka hasa kuelekea katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka...

READ MORE

Mtoto Kuuawa kwa Kipgo, Mkuu wa Shule, Makamu, Afisa Elimu Wasimamishwa

KIFO cha mwanafunzi wa shule ya msingi Kibeta Siperius Eradius aliyedaiwa kuuawa na mwalimu wake kimeondoka na walimu watatu huku...

READ MORE

JPM AWASHA MOTO MAKONTENA YA MAKONDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wote nchini kutekeleza majukumu yao kwa...

READ MORE

Kimenuka! JPM Ataka Makonda Ayalipie Kodi Makontena Yake- Video

Rais John Magufuli ashangazwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingiza makontena 20 nchini...

READ MORE

MAKONTENA YA MAKONDA KUPIGWA MNADA JUMAMOSI

BAADA ya kushindikana kuuzwa kkwenye mnada wa kwanza kutokana na wateja kutofika bei, mnada wa pili wa makontena 20 yenye...

READ MORE

RC HAPI: Hata Msigwa Anaweza Kurudi CCM – Video

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi, leo Alhamisi, Agosti 30, 2018 ametembelea ofisi za makampuni ya Global Group...

READ MORE

MultiChoice Yatangaza Washindi Wa Mafunzo ya Filamu Nairobi

MultiChoice Tanzania, Imetangaza  washindi  wanne waliokidhi vigezo katika shindano la MultiChoice Talent Factory lilizinduliwa rasmi mapema mwezi Mei mwaka huu....

READ MORE

MWAKYEMBE Afanya Maandalizi, Kuwakutanisha DIAMOND, ALIKIBA

DAR ES SALAAM: Kufuatia madai ya muda mrefu ya kuwepo kwa bifu kubwa kati ya mastaa wakubwa wa muziki wa...

READ MORE

Daktari Bingwa Atumwa Kuchunguza Mwili wa Mtoto Aliyeuawa Kagera

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ameeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha mwalimu mmoja katika...

READ MORE

RC ALLY HAPI AAHIDI MAKUBWA IRINGA

Ally Hapi akiongea jambo katika ofisi za Global Group. MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ali Hapi,  amesema anatarajia kuufanya mkoa...

READ MORE

RC Ally Hapi Atembelea Ofisi za Global Group – Pichaz

MKUU wa Mkoa wa Iringa, Ally Salum Hapi,  leo Alhamisi, Agosti 30, 2018 ametembelea ofisi za makampuni ya Global Group...

READ MORE

Lugola Awatoa Nje ya Kikao Maofisa wa Zimamoto

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewatoa nje Makamanda zaidi ya 30 kwa kosa la kutaja Jeshi la...

READ MORE

Taarifa Muhimu Kutoka Ofisi ya Rais- IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli, atafanya ziara ya kikazi katika mikoa ya Mwanza, Mara na Simiyu...

READ MORE

MAZISHI ya MAMA ‘SUGU’, Mbowe, Msigwa Wanena Mazito! – Video

MAMA mzazi Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi, Bi. Desderia aliyefariki dunia katika Hospitali yaTaifa ya Muhimbili, amezikwa jana...

READ MORE

RAIS WA ZIMBABWE AMTEUA JENERALI MWAMUNYANGE

RAIS Emmerson Mnagangwa wa Zimbabwe, amteua Mkuu wa Majeshi wa Tanzania Mstaafu, Jenerali Davis Mwamunyange katika Tume ya Kutathmini Athari...

READ MORE