×

Habari

MANARA: Tusizushe Taarifa, MO DEWJI Atapatikana Mzima – Video

MSEMAJI wa KLABU ya Simba, Haji Manara amewaomba wanachama na wapenzi wa Simba watulie na kuacah vyomba vya usalama vifanye...

READ MORE

Mambosasa: Waliomteka MO ni Wazungu, Tumeweka Vizuzi Wasitoke – Video

KUFUATIA habari za kutekwa  kwa mfanyabishara maarufu nchini ambaye pia ni mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji (Mo) alfajiri...

READ MORE

RC Makonda: Tulieni Polisi Wanafanyia Kazi Utekaji wa Mo Dewji

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amewaomba wakazi wa Dar es Salaam kutulia wakati huu kuhusu kutekwa...

READ MORE

BreakingNews: Mo Dewji Atekwa na Watu Wasiojulikana – Video

Mfanyabiashara maarufu nchini ambaye pia ni mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji (Mo Dewji), anadaiwa kutekwa na watu wasiojulikana...

READ MORE

BREAKING: Makonda Atoa Maagizo Sakata la Mwendokasi Kimara – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amezungumza na wananchi wa maeneo ya kimara na Mbezi jijini Dar...

READ MORE

Airtel kutoa 1.4TZS bilioni kama gawio kwa wateja wake wa Airtel Money

      Kampuni ya simu za mkononi Airtel Tanzania inatarajia kutoa jumla ya TZS1.4 bilioni kama gawio kwa wateja...

READ MORE

INASHANGAZA! Bajaj ya Makuti Yazua Gumzo, Haijawahi Kutokea – Video

MKAZI mmoja wa Arusha anayefahamika kwa jina la Masai amefanya ubunifu wa aina yake baada ya usafiri wake wa bajaj...

READ MORE

Makonda Atoa Maagizo: Viongozi wa Mwendokasi Niwakute Kimara Stand

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema hafurahishwi na namna mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini humo...

READ MORE

KIMARA Hali Mbaya! ABIRIA Wazimia Wakigombania MWENDOKASI – Video

Changamoto ya usafiri wa mabasi yaaendayo haraka (UDART) kutoka maeneo ya Kimara kuelekea katikati ya Jiji la Dar es Salaam...

READ MORE

Kikosi cha Taifa Stars Kilichokwea Pipa Kwenda Cape Verde Leo

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeondoka leo alfajiri kwa ndege kuelekea nchini Cape Verde, kwa ajili ya kusaka...

READ MORE

Huyu Ndo Dr Kidero Anayedaiwa Kumiliki Mali za Mabilioni Kimagumashi

TUME ya Maadili na Kupambana na Rushwa (EACC) nchini Kenya imechapisha ripoti ya mali mbalimbali zinazomilikiwa na aliyekuwa Gavana wa...

READ MORE

BAD NEWS: WATU 50 WAFARIKI KWA AJALI YA BASI

WATU 50 wamefariki dunia leo, Oktoba 10, 2018, na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya ajali ya basi la abiria lililokuwa...

READ MORE

Marehemu Pancho Latino Atakumbukwa Kwa Nyimbo Hizi

Mtayarishaji wa muziki Maarufu, wa B’ Hitz Record, Pancho Latino, maarufu kama Mafia, amefariki dunia jana jioni kwenye ajali ya...

READ MORE

Raia Wageni Wakamatwa Airport Wakitorosha Mamilion ya Fedha

ABIRIA wawili Raia wa Sudan Kusini na Syria jana wamekamatwa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) wakisafirisha...

READ MORE

WANUNUZI WA MAKAHABA WANASWA DODOMA – VIDEO

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma linawashikilia wanaume watano, kwa kosa la kujihusisha na kununua wanawake wanaofanya biashara ya ngono katika...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA MKURUGENZI MKAZI WA BENKI YA DUNIA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia (WB)...

READ MORE

WATUHUMIWA 22 BIASHARA YA UKAHABA MIKONONI MWA MUROTO – VIDEO

Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watuhumiwa 29 wakiwemo makahaba 22 waliokuwa wakifanya bishara ya ngono, wanaume watano waliokuwa...

READ MORE

RPC Muruto Aanzisha Heka Heka Vijiwe vya Madada Poa, Tapeli Mbaroni – Video

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limeanzisha msako maalum uitwayo Oparesheni Heka Heka kwa Vijiwe vya Madada Poa yenye lengo...

READ MORE

Lipumba: CUF Liwale Wanakamatwa, Kupigwa na Kuwekwa Ndani – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa amesema kuna njama...

READ MORE

Nunua Bidhaa Mtandaoni Kupitia Mastercard na M-Pesa

WANUNUZI  wa bidhaa mtandaoni huenda sasa wakapata machaguo zaidi ya ulipaji baada ya shirika la huduma za kifedha la Mastercard...

READ MORE

Msigwa Azuiwa Kufanya Mikutano Jimboni Kwake

MBUNGE wa Jimbo la Iringa mjini, Peter Msigwa, amepigwa marufuku na jeshi la polisi mkoani humo  kuendelea na mikutano yake...

READ MORE

Castle Lager Yamleta Samuel Eto’o Tanzania

  KAMPUNI  ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Castle Lager imemualika mmoja ya wachezaji bora barani Afrika, Samuel...

READ MORE

MUNA ALIA NA WATOTO HAWA

MIEZI kadhaa baada ya mwanadada Rose Alphonce ‘Muna Love’ afiwe na mwanaye Patrick Peter, ameamua kumuenzi mwanaye huyo kwa kufanya...

READ MORE

USAFIRI WA MAFIA NI HATARI MARA MBILI YA MV NYERERE  

MAZINGIRA ya usafirishaji abiria kupitia Bandari ya Nyamisati iliyopo Rufiji kwenda Mafia mkoani Pwani, ni hatari sana mara mbili ya...

READ MORE

Djuma: Naenda Yanga Mimi!

BAADA ya Simba kuamua kuachana na Kocha Masoud Djuma, mwenyewe Amefunguka huku akisisitiza asingependa kuzungumza maneno mengi, lakini alipoulizwa suala...

READ MORE

MV NYERERE: JPM APOKEA RAMBIRAMBI SH. 125M KUTOKA KWA RAIS KENYATTA

Rais John Magufuli amepokea hundi ya shilingi milioni 125 kutoka kwa Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ambayo iliwasilishwa na Balozi...

READ MORE

Kyerwa: JPM Awasimamisha Kazi RPC, OCD, Mkuu wa Upelelezi, OCS – Video

Mhe Rais John Magufuli ameagiza kusimamishwa kazi kwa RPC mkoa wa Kagera pamoja na OCD wilaya ya Kyerwa, Mkuu wa...

READ MORE

Chege, Billnas Walivyopagawisha Mashabiki Tamasha la Tigo Fiesta Iringa

    Tamasha la Tigo Fiesta Vibe Kama Lote 2018 limeendelea usiku wa kuamkia jumatatu kwenye uwanja wa Samora mjini...

READ MORE

Halotel kuwazawadia wateja wake maadhimisho ya miaka 3

  IKIWA katika shamrashamra ya kuadhimisha miaka 3 ya utoaji wa huduma kwa watanzania, Kampuni ya mawasiliano ya simu ya...

READ MORE

OCD Kyerwa Mikononi mwa Sirro kwa Kusindikiza Kahawa ya Magendo

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amemtaka Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera SACP Augustino Olomi kuwachukulia...

READ MORE

Breaking: AJALI ya Basi la Arusha Express, Wanne Wafariki, 11 Wajeruhiwa

Watu wanne wamefariki dunia na wengine 11 kujeruhiwa ambapo watano kati yao hali zao ni mbaya baada ya kutokea ajali...

READ MORE

RAIS WA INTERPOL AJIUZULU, HAJULIKANI ALIPO

  TAARIFA  zilizotolewa na taasisi ya polisi wa kimataifa (Interpol) zimesema, rais wake, Meng Hongwei,  amejiuzulu wadhifa wake na kumtaja aliyekuwa...

READ MORE

Kichuya Aahidi Mabao Zaidi Simba

AKIFUNGA bao lake la kwanza katika msimu huu wa Ligi Kuu Bara, kiungo mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya ameibuka na...

READ MORE

Waziri Shonza Ampa za Chembe Sister Fey

NAIBU Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Juliana Shonza amempa za chembe msanii wa Bongo Fleva, Faidha Omary ‘Sister...

READ MORE

INASIKITISHA! MTOTO ATEKWA, ACHINJWA

BUKOBA: Wakati watoto wawili, Idrisa Ally (13) na Gabriela Kilimba (3) wa jijini Dar wakiwa hawajulikani walipo baada ya hivi...

READ MORE

Polepole: Wabunge Wanaohamia CCM Mwisho Mwaka Huu

KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphrey Polepole amesema wabunge wa upinzani wanaotaka kujiunga na chama...

READ MORE

Waziri Azindua Mbio za Acacia, Amwaga Milioni 280

NAIBU Waziri wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Joseph Kakunda,  amezindua mpango wa mashindano...

READ MORE

Kagere, Okwi Wavamiwa Dar

  WASHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi na Mnyarwanda, Meddie Kagere juzi Jumamosi wamezua balaa ndani ya timu hiyo baada...

READ MORE