×

Habari

Majuto Adaiwa Kumtokea Mkewe

DAR ES SALAAM: Baada ya maneno mengi huku ndugu wa aliyekuwa mumewe, Amri Athuman ‘King Majuto’ wakidaiwa kumnyima huduma muhimu...

READ MORE

Rais Magufuli Akagua Shamba la Mboga Chato

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikagua bustani za mbogamboga mbalimbali zilizokuwa zikilimwa na Marehemu...

READ MORE

Diamond, WCB Wamuombea Ommy Dimpoz kwa Mungu

STAA wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ameweka pembeni tofauti zilizokuwepo kati yake na Ommy Dimpoz katika wakati huu ambapo Dimpoz...

READ MORE

Amuua Mkewe kwa Risasi, Naye Ajinyonga Porini

MKAZI wa Kijiji cha Ikongoro wilayani Uyui Said Ramadhan ambaye alimuua mkewe Mwajuma Hussein kwa kumpiga risasi kutokana na kile...

READ MORE

Wahamiaji Haramu Waliovalia Sare za Vyama vya Siasa Wanaswa Moro

JESHI la Uhamiaji Mkoa Morogoro linawashikilia wahamiaji haramu 21 waliokamatwa maeneo mbalimbali huku baadhi yao wakidaiwa kutumia mabasi ya abiria,...

READ MORE

Rais Magufuli Amtuma Kikwete Zimbabwe

  Rais Dkt. John Magufuli amemtuma Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt. Jakaya Kikwete kumwakilisha katika sherehe za uapisho...

READ MORE

Kisa Video Yake na Diamond, Wema Awapa Makavu Akina…. – Video

MALKIA wa Bongo Movie, Wema Sepetu amewaponda wanaofuatilia maisha yake mara baada ya kupiga kipande cha video akiwa na X...

READ MORE

NEC Yatangaza Uchaguzi Jimbo la Kuchauka Aliyetimkia CCM

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa Jimbo la Liwale Mkoa wa Lindi, kufutia kujiuzulu kwa alieyekuwa...

READ MORE

Hali Tete, Ommy Dimpoz Arudishwa Sauzi Kutibiwa

STAA wa Bongo Fleva, Omar Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ amerudishwa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ kwa ajili ya matibabu baada ya hali yake...

READ MORE

Wilaya ya Nzega yakabiliwa na changamoto ya Uharibifu wa Mazingira

      Changamoto kubwa inayoikabili Wilaya ya Nzega Mkoani Tabora ni uharibifu mkubwa wa mazingira utokanao na uvunaji holela...

READ MORE

MADAI YA KUBWIA UNGA, NDUGU WA DARASSA WAVUNJA UKIMYA!

BADO gumzo lipo kila kona nchini, kwa mashabiki wa Muziki wa Bongo Fleva kutaka kufahamu wapi alipo mwanamuziki mwenye viwango...

READ MORE

Baada ya Kumpakazia Mazito, Ridhiwani Awatolea Uvivu Chadema

IKIWA ni muda mfupi baada ya akaunti za Instagram yenye jina la chadema_in_blood  kuchapisha taarifa kwamba Mbunge wa Chalinze (CCM)...

READ MORE

DEREVA WA TRENI MBARONI BAADA YA KUKUTWA AMELEWA

JESHI la Polisi Mkoa wa Tabora limewakamata watu watatu kwa matukio tofauti akiwemo dereva aliyekuwa akiendesha treni ya abiria huku...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YAMKAANGA MKURUGENZI IGUNGA

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Hesebu za Serikali za Mitaa (LAAC) imeshindwa kuendelea na mahojiano na viongozi wa Halmashauri...

READ MORE

SHILOLE, DOGO ASLAY WASAINI MKATABA WA TTCL NA NYUMBANI KUMENOGA

    SHIRIKA  la Mawasiliano Tanzania, TTCL jana limetiliana saini na msanii wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva) Zuena Mohamed...

READ MORE

WASHINDI WA DROO YA SABA NA NANE WAKABIDHIWA ZAWADI

Hatimaye washindi wa droo ya saba na nane kwenye Shindano la Tusua Maisha na Global, leo wamekabidhiwa zawadi zao walizojishindia,...

READ MORE

MAONI YAPOKELEWA KUIFANYA DODOMA KUWA MAKAO MAKUU

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa imeanza kupokea maoni ya wadau mbalimbali kuhusu muswada wa...

READ MORE

BREAKING: NACTE Yatoa Maagizo Makali kwa Vyuo vya Ufundi- Video

BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi NACTE limezitaka taasisi zote zinazotoa elimu na ya Ufundi nchini kuhakikisha kuwa zimesajiliwa...

READ MORE

ANZISHENI KAMATI ZA MAZINGIRA KATIKA NGAZI ZOTE – MAKAMBA

  Jamii imetakiwa kufahamu kuwa Kamati za Mazingira katika ngazi zote zipo kwa mujibu wa Sheria, Sheria ya Mazingira kifungu...

READ MORE

WASHINDI TUSUA MAISHA NA GLOBAL KUKABIDHIWA ZAWADI ZAO LEO

WAKATI washindi wa droo ya saba na nane wa Shindano la Tusua Maisha na Global wakitarajiwa kukabidhiwa zawadi zao leo,...

READ MORE

VICHAKA VYA ITIGI ‘ITIGI THICKETS’ HATARINI KUTOWEKA

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mheshimiwa, January Makamba jana  alihitimisha ziara yake ya...

READ MORE

UWT YASISITIZA KUSIMAMIA VIPAUMBELE VYAKE

  Umoja wa Wanawake Watanzania (UWT) umezungumzia namna ulivyojipanga kuhakikisha unasimamia vipaumbele vyake katika kipindi cha mwaka 2018-2019 ambavyo ni...

READ MORE

Halotel yaja na Ninogeshe na Halopesa ya Nandy

  Kampuni ya mawasiliano ya Halotelimezindua kampeni kabambe ya “Ninogeshe na Halopesa” maalum kwa wateja wanaotumia huduma za Halopesa. Kuanzia sasa, wateja...

READ MORE

Nyoka Afunga Mtaa Moro!

MOROGORO: Moro kunani? Siku chache baada ya kutokea kwa tukio la paka kumng’ata bibi maeneo ya Mwembesongo, mwanzoni mwa wiki...

READ MORE

MBOWE: Waliomuua Akwilina Wapo, Mnataka Kutufunga, Hatuogopi – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Taifa (Chadema), Freeman Mbowe, amefafanua kuhusu kinachoendelea juu ya kesi inayomkabili yeye na...

READ MORE

WAKILI AJITOA KESI YA MBOWE NA WENZAKE

WAKILI Jeremiah Mtobesya aliyekuwa akiwawakilisha Mwenyekiti wa Chama cha demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake nane wa chama...

READ MORE

BREAKING: Kilichofanywa na Serikali Kuhusu Panya Road – Video

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia wamezindua jarida maalum la kuhusu...

READ MORE

Mabasi Mawili ya Wanafunzi Yagongana, Dereva Afariki

Mabasi mawili ya wanafunzi ya Shule za Kivulini na  Nyamunge yamengana uso kwa uso katika Barabara ya Mwanza–Simiyu katika eneo...

READ MORE

BREAKING: Bobi Wine Akamatwa Upya Baada ya Kuondolewa Mashtaka

MBUNGE  wa Kyadonddo nchini Uganda,  Robert Kyagulanyi  maarufu Bobi Wine,  amekamatwa muda mfupi baada ya mahakama ya kijeshi kumuondolea mashtaka...

READ MORE

Breaking News: Bobi Wine Aachiwa Huru, Besigye Akamatwa

Taarifa za hivi punde kutoka Uganda ni kwamba mahakama ya jeshi imemuondolea mashtaka mbunge wa Kyadondo Robert Kyagulanyi. Inaarifiwa kwamba...

READ MORE

Rufaa ya Chadema Korogwe Yapokelewa

Rufaa ya mgombea Ubunge wa Jimbo la Korogwe (Chadema), Amina Saguti imepokewa jana na Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi Wilaya ya...

READ MORE

Mbunge Bobi Wine Kufikishwa Mahakama ya Kijeshi Leo

MBUNGE Robert Kyagulanyi maarufu kwa jina Bobi Wine leo anatarajiwa kurudishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Gulu Kaskazini mwa Uganda. Taarifa hiyo imewashtua mawakili...

READ MORE

Mwalimu Asakwa kwa Tuhuma za Kumuoa Mwanafunzi Wake

Ofisa Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema, mkoa wa Mwanza, Benjamin Siperato ameagiza mwalimu mmoja wa Shule ya...

READ MORE

MOBETO: KUOLEWA NA DIAMOND SAWA; ILA…

KWA wanamitindo wakali Bongo, Hamisa Mobeto ni moja kati ya warembo ambao wanafanya vizuri na kusumbua kwenye mitandao ya kijamii...

READ MORE

Hii Ndo Hoteli Chimbo la Mawaziri na Wabunge GEITA – Video

HABARI NJEMA! Wageni wote na wenyeji wa mkoa wa Geita napenda kuwapa habari njema ya kuwa sehemu pekee unayoweza kupumzisha...

READ MORE

WAHAMAIAJI HARAMU KAGERA WAHUKUMIWA JELA MIAKA 20

Mahakama ya Wilaya ya Ngara imewahukumu raia wanne wa Rwanda kwenda jela miaka 20 kila mmoja, baada ya kukutwa na...

READ MORE

Bwawa la Urughu Kutangazwa Kama Eneo Lindwa – Kimazingira

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba ameendelea na ziara yake ya...

READ MORE

Gari la Bangi Lapinduka, Polisi Walidaka! – Video

JESHI la Polisi mkoani Pwani, linamsaka dereva aliyefahamika kwa jina la Moshi Ramadhan Malinganya, mkazi wa Kisarawe kwa tuhuma za...

READ MORE