×

Habari

Breaking: Moto Wazuka Jengo la Benjamin Mkapa – Video

Moto umezuka leo katika jengo la Benjamin Mkapa, Millennium Tower – Dar ambapo unasadikiwa umeanzia kwenye ghorofa ya tatu. Wageni...

READ MORE

Mnigeria Akamatwa na Dola Feki za Mil.25

POLISI nchini Kenya wamemkamata raia wa Nigeria, Henry Omoaka (51) akiwa na Dola feki za Marekani 251,4000 ambazo ni sawa...

READ MORE

KAMPUNI YA VODACOM YAZINDUA OFISI WILAYANI LONGIDO

Mkuu wa Wilaya ya Longido mkoani Arusha, Frank Mwaisumbe, amezindua rasmi ofisi mpya ya Vodacom Tanzania wilayani Longido ikiwani moja...

READ MORE

Kangi Lugola Ampa Maagizo Mengine IGP Sirro

WAZIRI Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Pilisi nchini, IGP Simon Sirro, kupunguza vituo...

READ MORE

Mbio za Baiskeli ya ACACIA Kukusanya Milioni 340

Kampuni ya uchimbaji wa madini Tanzania – Acacia inatarajia kuzindua mashindani ya mbio za baiskeli kwa lengo la kukusanya zaidi...

READ MORE

Jambazi aliyetoroka kwa helikopta miezi 3 iliyopita akamatwa

Redoine Faid, jambazi sugu,  raia wa Ufaransa ambaye alitoroka jela akitumia helikopta iliyokuwa imetekwa nyara,  amekamatwa tena na polisi. Mhalifu...

READ MORE

SAFU YA UVCCM ‘KAMA YOTE’ YATEMBELEA GLOBAL

  VIONGOZI kutoka Idara tatu za Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (CCM), UVCCM leo wametembelea Kampuni ya Global...

READ MORE

ACT Wadai Serikali ‘Imekataa’ Ripoti Yake Yenyewe – VIDEO

Chama cha ACT Wazalendo kimeduwazwa na hatua ya Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kuikataa ripoti yake yenyewe...

READ MORE

DC BUNDA AMPIGISHA MAGOTI AFISA MTENDAJI WA KATA

MKUU wa Wilaya, Lydia Bupilipili anadaiwa jana Oktoba 2, 2018 alimpigisha magoti Ofisa Mtendaji wa Kata ya Chitengule, Deus Kuliga...

READ MORE

Bobi Wine Afunguka Mazito Kuhusu Rais Museveni

“Hapana jambo lolote binafsi kati yangu na Museveni,” amesema mwanamuziki wa Uganda aliyejikita katika siasa, Robert Kyagulanyi, na kuongeza “…...

READ MORE

MAOFISA USTAWI WA JAMII WAPIGWA MSASA KUHUSU UALBINO

Maofisa Maendeleo na Ustawi wa Jamii, kutoka Manispaa ya Kigoma Ujiji jana walihudhuria mafunzo ya uelewa kuhusu ualbino na elimu...

READ MORE

MAHAKAMA YAMZUIA MWANAMKE KUOLEWA NA MWANAMUZIKI

RIYADH (AFP) – MWANAMKE mmoja nchini  Saudi Arabia amejikuta akibwagwa na mahakama katika dhamira yake ya kuolewa na mtu ampendaye,...

READ MORE

MBIO ZA ROTARY DAR MARATHON 2018 ZAPIGA HODI

  Mwaka huu unaweka alama ya maadhimisho ya miaka 10 ya Mbio za Rotary Dar, tukio la hisani ambalo limekuwa...

READ MORE

MAAFALI YA 42 SHULE YA MCHANGANYIKO MAZINYUNGU YATIKISA

SHULE  ya Msingi yenye mchanganyiko wa wavulana na Wasichana, Mazinyungu iliyopo wilaya Kilosa mkoani Morogoro hivi karibuni ilifanya mahafaLi ya 42...

READ MORE

RPC Shanna: Una UKIMWI, Hutaki Kupima, “You Are Going To Die Men!” – Video

KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Mwanza, ACP Jonathan Shanna amewataka askari wa jeshi hilo mkoani humo kuhakikisha wanapima afya zao...

READ MORE

Breaking News: Magufuli Ateua Mkurugenzi Mkuu wa NIDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Arnold Mathias Kihaule kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE

MSHANGAO NYUMBANI KWA LISSU

WAKATI Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu ‘akiwachimba biti’ waliompiga risasi na kumuacha na kilema, mshangao umeibuka nyumbani kwake Tegeta...

READ MORE

MGAMBO WAFANYA TUKIO LINGINE

MGAMBO  wanaosimamia operesheni ya usafi Mkoa wa Dar es Salaam  wamefanya tukio lingine baada ya lile la kudaiwa kuwapiga raia,...

READ MORE

BETHIDEI YA KIKONGWE MIAKA 103 YATIKISA DAR!

NINI Wema Sepetu! Mbwembwe nyiiingiii kwenye bethdei yake ya kutimiza miaka 30, je, angekuwa Bibi Catherine Abdallah Batemayo aliyesherehekea kutimiza...

READ MORE

Wachina Wakamatwa Wakitoa Mafunzo ya Kijeshi kwa Mgambo

POLISI nchini Zambia wanawashikilia raia wawili wa China wkwa kutoa mafunzo kwa jeshi la mgambo mwishoni mwa wiki. Mmoja wa...

READ MORE

BREAKING: Polisi Yawashikilia 60 Kwa ‘Kuhujumu’ TANESCO – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu zaidi ya 60 kwa tuhuma za kufanya uhalifu na...

READ MORE

Kumbe Mwokota Makopo New York ni Bilionea!

Lisa Silversmith ambaye anajulikana pia kama Fiona Fiekowsky, 67, mwokota makopo katika Jiji la New York, ni tajiri mkubwa anayemiliki...

READ MORE

BREAKING: Shule za Hazina, Alliance, Nyingine 6 Zafutiwa Matokeo – Video

BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limezifutia matokeo ya mtihani wa taifa wa kuhitimu elimu ya msingi, shule nane za...

READ MORE

Njemba Wakamatwa na Mabilioni ya Fedha Feki, Ngozi na Shanga

WATUHUMIWA watatu, raia wa Mali, wamekamatwa eneo la Westlands, jijini Nairobi, Kenya, wakiwa na mabilioni ya fedha feki ambazo ni...

READ MORE

JPM, Mkewe Watoa Milioni 25 kwa Wajasiriamali wa Feri Dar

RAIS John  Magufuli ametoa shilingi milioni 20 na mkewe Janeth Magufuli ametoa shilingi milioni tano kwa wajasiriamli wa Feri Wilaya...

READ MORE

AIBU KUBWA! MUME WA MTU ATAITIWA SKENDO KUPIGA CHABO

MOROGORO: Hii ni aibu ya mwaka! Ndiyo iliyompata mume wa mtu, Fikiri Juma ambaye ni baba wa familia, kufuatia kutaitiwa...

READ MORE

Updates: Mbunge ‘Bwege’ Aachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Jimbo la Kilwa Kusini kwa tiketi ya Chama Cha Wananchi (CUF), Seleman Bungara anapenda kujiita ‘Bwege’ anashikiliwa na...

READ MORE

HIVI NDIVYO MUUZA PWEZA ANAVYOMZIDI KIPATO MFANYAKAZI WA BENKI

SHIMO kuu la kwanza la umaskini wa milele ni pale mtu anapoamka asubuhi na kusema; ‘Sina kazi ya kufanya’. Ukiwauliza...

READ MORE

MTOTO BEAUTY ALIYEIBIWA KISHA KUPATIKANA, WAZAZI WATOA FUNDISHO

DAR ES SALAAM: Tukio la mtoto Beauty Yohana wa Mbezi jijini Dar kuibwa katika mazingira ya kutatanisha akiwa kanisani kisha...

READ MORE

JPM Atoa Milioni 20 Kujenga Ofisi ya Wajasiriamali Kivukoni Dar

Rais Dkt. John Pombe Magufuli jana tarehe 1 Oktoba, 2018 ameahidi kutoa shilingi milioni 20 kwa ajili ya kusaidia ujenzi...

READ MORE

WANAWAKE KAENI CHONJO… MKE AUAWA KWA SUMU

DAR ES SALAAM: Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Hajra Salehe, mkazi wa Magomeni Mwembechai jijini Dar amekutwa amefariki dunia...

READ MORE

AJALI MBAYA… DEREVA WA NAPE AFICHUA MAZITO

BAADA ya hivi karibuni kupata ajali mbaya ya gari, dereva wa Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye, Michael Sangu ‘Mike’...

READ MORE

ALIYEDAI KUCHOMWA MOTO NA BOSI WAKE SAA 32 ZA MATESO

DAR ES SALAAM: Odemali Henry (28), mkazi wa Buguruni jijini Dar es Salaam, amepitia mateso makali ya saa 32 baada...

READ MORE

TIGO FIESTA 2018- VIBE KAMA LOTE YAJA NA PROMOSHENI YA DATA KAMA LOTE

      KAMPUNI inayoongoza kwa mageuzi ya kidigitali, Tigo Tanzania leo imetangaza promosheni murwa kwa wateja wote watakaonunua vifurushi...

READ MORE

SSRA YAWATAKA WAFANYAKAZI KUELEWA HAKI ZAO ZA MFUKO WA FIDIA

    MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini (SSRA) Dkt. Irene Isaka,...

READ MORE

MANARA Amlipua Ajibu Imani za Kishirikina!!

Ofisa Habari wa Klabu ya Simba, Haji Manara, ameamua kufunguka kuhusiana na namna kiungo wa Yanga, Ibrahim Ajib namna alivyoanzisha...

READ MORE

WAZEE CHADEMA: WANAOHAMA UPINZANI WANASHINIKIZWA – VIDEO

BARAZA la Wazee wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limesema hatua ya baadhi ya viongozi na wanachama wa vyama...

READ MORE

AIRTEL YAZINDUA MNARA WA 3G  MIKUMI, WATU 30,000 KUNUFAIKA

  KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imezindua mnara wa mawaliano wenye uwezo wa kutoa huduma za Intanet kwa...

READ MORE

TANGA: WAHAMIAJI HARAMU 28 WAKAMATWA MSITUNI

WAHAMIAJI haramu wapatao  28 ambao ni raia wa Ethiopia wamekamatwa kwenye Msitu wa Maili Kumi uliopo wilayani Handeni mkoani Tanga...

READ MORE

Indonesia: Kaburi la urefu wa mita 100 kuzikwa watu 1,300

MAANDALIZI ya kuizika miili ya takribani watu 832 waliofariki baada ya nchi ya Indonesia kukumbwa na tetemeko la ardhi pamoja...

READ MORE