×

Habari

Daktari Achambua Ugonjwa wa Mbowe

BAADA ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe kulazwa Hospitali ya Muhimbili kwa saa 24, madaktari waliozungumza na gazeti hili juzi...

READ MORE

Mzee Majuto Arejea Kutoka India, Apelekwa Muhimbili – Video

MUIGIZAJI nguli nchini Tanzania, Amri Athuman maarufu kama Mzee Majuto amewasili nchini na kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Kilimo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Dkt. Yohana Luhunga Budeba kuwa Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

MBOWE ASABABISHA KESI YA VIGOGO WA CHADEMA KUPIGWA KALENDA

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kusikiliza kesi inayowakabili Viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maedeleo (HADEMA) kwa sababu Mwenyekiti wa...

READ MORE

Hali ya Mwarabu Fighter Baada ya Kupata Ajali na Kupasuka Kichwa – Video

KUFUATIA Bodigadi wa Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz, Mwarabu Fighter aliyepata ajali mbaya alfajiri ya leo katika eneo la...

READ MORE

Afariki kwa Kugongelewa Misumari Kichwani na Bosi Wake

MWANAMME mmoja, Robert Muchangi aliyepigiliwa misumari miwili kichwani na bosi wake nchini Kenya amefariki dunia jana Juni 22 katika Hospitali...

READ MORE

MWARABU FIGHTER APATA AJALI, APASUKA KICHWA

BODIGADI wa Staa wa Bongo Fleva, Diamond Platinumz, Mwarabu Fighter amedai kuwa amepata ajali mbaya iliyosababisha kupasuka kichwani na kukimbizwa...

READ MORE

Madawa ya Kulevya Yamuua Kaka’ke Eric Omondi!

KAKA mkubwa wa mchekeshaji maarufu, Eric Omondi, Joseph amefariki dunia huku dawa za kulevya zikitajwa kuwa ndiyo chanzo.  Saa chache kabla...

READ MORE

Mama Amvaa Mchungaji, Asambaratisha Ndoa ya Bintiye Kanisani

DAR ES SALAAM: Vuta picha bibi harusi ameshavaa shela, bwana harusi ameshatinga suti yake matata kabisa, wameshaingia madhabahuni kanisani, tayari...

READ MORE

Tajiri Aliyedaiwa Kuuawa na Nyumba Ndogo Giza Nene

NI Majonzi! Ndilo neno pekee unaloweza kulitamka kufuatia kifo cha tajiri mmoja aliyefahamika kwa jina la Emmanuel Exaud Makyao ambaye...

READ MORE

TAASISI YA WAZALENDO NA NGUVU YA MWANAMKE WAADHIMISHA ‘SIKU YA MTOTO WA AFRIKA’

TAASISI ya Wazalendo Tanzania kwa kushirikiana na Taasisi ya Nguvu ya Mwanamke leo wameadhimisha Siku ya Mtoto wa Afrika katika...

READ MORE

Papa Francis Amteua Askofu Mkuu Ruwaichi Kumrithi Pengo

  BABA Mtakatifu Francis amemteua Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Mwanza Yuda Thaddeus Ruwaichi kuwa mrithi mtarajiwa wa Jimbo Kuu la Dar...

READ MORE

Benki ya Walimu Waungana na Maxmalipo Kutoa Huduma

MWALIMU Commercial Bank (MCB) imeongeza matawi ya utoaji wa huduma za kibenki kwa kuwatumia mawakala wa Maxmalipo. Mfanyakazi wa Maxmalipo...

READ MORE

JPM: Wizara ya Kazi Wanatueletea Wafanyakazi Vilaza – Video

RAIS John Magufuli amefunguka na kusema kuwa amebaini kuna matatizo ndani ya Wizara ya Kazi, Ajira na Vijana kuhusu watu wanaoajiriwa...

READ MORE

John Heche: Umeme Ndio Chaka Lenu la Ufisadi – Video

Mbunge wa Tarime (Chadema), John Heche, amedai chaka la Ufisadi nchini kwa miaka mingi limekuwa ni sekta ya Umeme huku...

READ MORE

MSIGWA: Tunapiga Makofi, Hakuna Pesa Tusidanganyane Hapa! – Video

MBUNGE wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, akichangia hoja katika mjadala wa  Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019...

READ MORE

MBUNGE CCM: Sitaandamana, Lakini Waziri Usikurupuke – Video

Mbunge wa viti maalumu (CCM), Mwanne Nchemba, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya Serikali 2018 / 2019...

READ MORE

BASHE: Uchumi Wetu ‘Umepakwa Poda’ – Video

MBUNGE wa Nzega Mjini, (CCM), Hussein Bashe, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha Bajeti Kuu ya serikali 2018 / 2019...

READ MORE

Obama Ashutumu Ukatili wa Kutenganisha Familia

RAIS mstaafu wa Marekani Barack Obama aliitumia Siku ya Wakimbizi Duniani kumshutumu Rais wa Marekani,   Donald Trump  katika sera yake ya kuwatenganisha...

READ MORE

JPM Amteua CAG Mstaafu, Ludovick Utouh

RAIS Magufuli amemteua CAG Mstaafu, Ludovick Utouh kuwa Mwenyekiti wa Taasisi ya Uhamasishaji Uwazi na Uwajibikaji katika Rasilimali za Madini,...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO ALHAMISI, JUNI 21, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Juni 21, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Walionaswa Vituo vya Masaji Watoa Ushuhuda Mzito!

  Kwa waliobahatika kusoma gazeti la jana la Uwazi, watakuwa wanaelewa nini tumeamua kukichimba na kukianika kwa manufaa ya taifa...

READ MORE

MY GOD KUNA NINI JAMANI?

DAR ES SALAAM: My God (Mungu wangu) kuna nini? Ndivyo walivyozungumza kwa uchungu baadhi ya wakazi wa Mbeya baada ya...

READ MORE

Sababu Za Global Publishers Kupandisha Bei Ya Magazeti

  KAMPUNI ya Global Publishers LTD, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Championi, Ijumaa, Risasi, Amani, Ijumaa Wikienda na Spoti Xtra,...

READ MORE

Waliokula Nyama ya Kiboko Hatarini… Dokta Afunguka!

 MOROGORO: Ilikuwa ni patashika nguo kuchanika! Wananchi wa Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro mjini, wamekumbwa na taharuki baada ya...

READ MORE

Rais Ateua Tume Mpya ya Uchaguzi Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein, leo Juni 20, 2018 amemteua Jaji Mkuu...

READ MORE

Breaking News: Waziri Lukuvi Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu NHC

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Wiliam Lukuvi ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Nyumba NHC,...

READ MORE

‘BWEGE’: Waziri MPANGO Ajiuzulu, Tutaandamana Arudishe Pesa Zetu – Video

MBUNGE wa Kilwa Kusini (CUF) Suleimani Bungara, maarufu kama Bwege amemtaka Spika wa Bunge la Tanzania Job Ndugai, awe sehemu...

READ MORE

JPM Ateua Naibu Msajili Vyama vya Siasa

Rais Magufuli amteua Bw. Mohammed Ali Ahmed kuwa Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa Zanzibar.

READ MORE

Zantel yaja na nguvu kubwa, Yaboreshaji mtandao wake

  Kutokana na kuimarisha miundombinu ya mtandao wake wa data kwa teknolojia za kisasa zaidi, Zantel inawahakikishia wateja wake kuwa...

READ MORE

SUGU: Mimi Si DIAMOND Wala ROMA, ‘Ningempiga’ SHONZA – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi ‘SUGU’, amelilalamikia Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kuufungia wimbo wake wa #219...

READ MORE

WABUNGE WA CCM WAMUAGA KINANA

Mwenyekiti wa Kamati ya Wabunge wa CCM, Kassim Majaliwa amemkaribisha Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Bashiru Ally na kumuaga...

READ MORE

Njemba Apewa Kichapo Moro Kwa ‘Kuwasachi’ Wananchi Mifukoni

KIJANA  mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja juzi alinusurika kifo baada ya kupokea kichapo cha nguvu kutoka kwa wananchi...

READ MORE

Meghan Markle Ahudhuria Mashindano ya Kwanza ya Farasi

WANANDOA Meghan Markle na mwanamfalme wa Uingereza, Prince Harry,  amehudhuria kwa mara ya kwanza mashindano ya farasi maalum kwa familia ya...

READ MORE

Ndugai: Watanzania Wafunge Milango Ndo Wale Samaki? Hii ni Dharau – Video

  SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amemuwakia Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina na kueleza masikitiko yake kufuatia kitendo cha...

READ MORE

Waziri Aomba Radhi Maofisa Wake Kupima Samaki kwa Rula – Video

WAZIRI wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina leo Jumatano, Juni 20, 2018 ameliomba radhi Bunge kwa kitendo cha maofisa wa...

READ MORE

RIPOTI KAMILI: Vituo vya Masaji Dar Kugeuzwa Madanguro

KWA wasomaji wa gazeti la jana linalochapishwa na Kampuni ya Global Publishers la Ijumaa Wikienda, watakuwa wanaelewa nini ambacho tumeamua...

READ MORE

MUME MBARONI KIFO CHA MKEWE!

NI shida! Mwanaume mmoja aliyetambulika kwa jina la Willibafosi William, mkazi wa Mbezi-Makabe, jijini Dar es Salaam amejikuta akitiwa mbaroni...

READ MORE

SHKUBA, WENZAKE WAHENYA KORTINI ‘KWA TRUMP’

  DAR ES SALAAM: Wakati vita ya kupambana na madawa ya kulevya ikionekana kufanikiwa kwa kiasi flani hapa nchini, taarifa...

READ MORE