×

Habari

NABII  OLIVIA, ELISHA   WATIMIZA MWAKA MMOJA WA HUDUMA

  MWANAMUZIKI wa nyimbo za injili, Upendo Nkone, amewapongeza Nabii Olivia na mume wake Elisha Mtangirwa kwa kutimiza mwaka mmoja...

READ MORE

JPM Ampa Mtoto Mlemavu Milioni 5, Hatembei Wala Kukaa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa msaada wa Tsh. Milioni tano baada ya kuguswa...

READ MORE

Rais Magufuli Ampa Shavu Jaji Lubuva

Mhe. Rais Magufuli amteua Jaji Mstaafu Damian Zefrin Lubuva kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

READ MORE

MUME ANAYETUHUMIWA KUMUUA MHADHIRI UDOM AKAMATWA

JESHI la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia mtuhumiwa wa mauaji ya aliyekuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Rose Manfredy...

READ MORE

KIBOKO ALIYEZUA TAHARUKI MORO, WANANCHI WAGAWANA NYAMA YAKE

KIBOKO aliyezua taharuki kwa saa kadhaa karibu na  makazi ya watu maeneo ya Kihonda-Mbuyuni karibu na Kanisa la Mangwea nje...

READ MORE

Tanzia: Profesa wa Upasuaji Chuo Kikuu Muhimbili Afariki Dunia

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS), Prof. Adrea Pembe anasikitika kutangaza kifo cha Prof....

READ MORE

CHIDI BENZ ANASWA NA MZIGO WA BANGI DODOMA – PICHAZ & VIDEO

STAA wa Bongo Fleva, Rashidi Makwiro maarufu kama ‘Chid Benz’ amekamtwa na Jeshi la Polisi jijini Dodoma kwa tuhuma za...

READ MORE

VOLKANO YAIBUKA HAWAII, YAHARIBU NYUMBA 467

VOLKANO imeibuka jana asubuhi katika visiwa vya Hawaii, Marekani, na kuharibu nyumba 467. Kuibuka kwa volkano hiyo ambapo ni pamoja...

READ MORE

Mbowe Apata Pigo, Aanguka Ghafla, Akimbizwa Muhimbili

MWENYEKITI wa CHADEMA, Freeman Mbowe amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili baada ya kuanguka ghafla alfajiri ya leo Jumatatu,...

READ MORE

BREAKING: BAJETI YA UPINZANI YAZUIWA BUNGENI, WENYEWE WASUSA

#GLOBALHABARI: Hotuba ya Bajeti mbadala ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imekataliwa bungeni kutokana na kuwasilishwa nje ya utaratibu. Wabunge...

READ MORE

KIBOKO AZUA TAHARUKI MORO – (Picha na Video)

MNYAMA aina ya Kiboko aliyeibuka na kuzua taharuki kwa saa kadhaa jirani na makazi ya watu maeneo ya Kihonda Mbuyuni,...

READ MORE

BREAKING: OFISI YA RIDHIWANI KIKWETE YATEKETEA KWA MOTO

Ofisi ya Mbunge jimbo la Chalinze (CCM), Ridhiwani Kikwete iliyopo eneo la Msolwa, Chalinze imeungua kwa moto jioni hii ya...

READ MORE

TCRA Yafafanua Kuhusu Watumiaji wa Facebook, Twitter, Instagram

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mtumiaji mmoja mmoja wa mitandao ya Facebook, Instagram na Twitter hatakiwi kujisajili.   Taarifa...

READ MORE

Basi la Msukuma Lapata Ajali Buhalahala Geita

BASI lla Msukuma ambalo linamilikiwa na Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, limegongana na uso kwa uso na gari...

READ MORE

Columbia Global Centers yawakutanisha wasanii kuzungumzia Maendeleo ya jamii

Mwanamuziki wa Bongo Fleva Frida Amani akiongea wakati wa mjadala uliondaliwa na taasisi ya Columbia Global Centers kwa wanamuziki wa...

READ MORE

SIKUKUU YA EID EL FITR ILIVYOFANA COCO BEACH, DAR

Sehemu ya wakazi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam wakiwa kwenye ufukwe wa Coco Beach jioni ya...

READ MORE

Breaking News: WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO, VYUO VYA UFUNDI 2018

Wanafunzi 70,904 waliohitimu kidato cha nne mwaka jana wamechaguliwa kujiunga na kidato cha tano, vyuo vya ufundi na vya elimu...

READ MORE

MAMA Ajifungua, Amkimbia Mtoto Kimaajabu

MARA: Inasikitisha! Wakati watu wengi wakilia kukosa mtoto, Maria Samsoni (18), mkazi wa Kijiji cha Ogembo nchini Kenya, amekamatwa na...

READ MORE

Taarifa Mpya ya TCRA Kuhusu Usajili wa Huduma za Maudhui Mtandaoni

Taarifa toka TCRA kuhusu kuongeza muda wa usajili wa watoa huduma za maudhui kwa njia ya mtandao.

READ MORE

Mapya Yaibuka, Zari Kujenga Hospitali ya Wanawake Dar

MIONGONI mwa mambo ya kumfanya staa akumbukwe hata baada ya kifo chake ni pamoja na kurudisha kwa jamii (to give...

READ MORE

Namna Bora a Kusherehekea Sikukuu na Umpendaye

  NDUGU zetu Waislamu, baada ya kupitia katika kipindi cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, hatimaye Sikukuu wa Eid el Fitr imewadia...

READ MORE

Ili Kuweka Video Facebook, Instagram Unatakiwa Usajili – Video

Mhandisi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Francis Mihayo, amezungumza na vyombo vya habari na kuelezea mabadiliko ya sheria mpya...

READ MORE

MAPENDEKEZO YA BAJETI YA SERIKALI MWAKA 2018/19

1.0 UTANGULIZI 1. Mheshimiwa Spika, kutokana na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu...

READ MORE

MZEE MWINYI AONGOZA SWALA YA EID EL FITR DAR

RAIS Mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, mapema leo Ijumaa amewaongoza waumini wa Kiislamu katika kusherehekea Sikukuu ya...

READ MORE

Global Publishers Inawatakia Eid Njema

Wafanyakazi wote wa Kampuni ya Global Publishers & Ent. Ltd inayochapisha Magazeti ya Amani, Championi, Ijumaa, Risasi na Uwazi na...

READ MORE

KOMBE LA DUNIA: URUSI YAINYUKA SAUDI ARABIA 5-0 (VIDEO)

MCHEZO wa ufunguzi wa michuano ya fainali ya Kombe la Dunia umemalizika Uwanja wa Luzhniki kwa wenyeji Urusi kuibuka na...

READ MORE

MJAMZITO AWALAANI MADAKTARI AKIKATA ROHO!

DAR ES SALAAM: Binadamu anapofariki dunia akiwa na kinyongo na mtu huku akimwachia maneno yamtakiayo mabaya, wahenga waliita hali hiyo...

READ MORE

WAJAWAZITO WAPATATISHIO JIPYA!

UPEPO wa maisha ya Maria na Consolata Mwakikuti, pacha walioungana ambao walifariki dunia hivi karibuni na kuzikwa mkoani Iringa baada...

READ MORE

Airtel, SportPesa wazindua promosheni kwa wateja wa Airtel Money

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel leo kwa kushirikiana na SportPesa imezindua promosheni ya mwezi mmoja ijulikanayo...

READ MORE

Breaking News: Serikali Kufuta Kodi Taulo za Kike – Video

SERIKALI imesema inapendekeza kuondoa kodi ya ongezeko la thamani (VAT) kwenye taulo za kike nchini ili kuweza kuwapa fursa wanafunzi...

READ MORE

LIVE BUNGENI: Waziri Mpango Akiwasilisha Bajeti ya Serikali 2018 / 2019

Jumla: Tsh 32.48 trilioniMapato ya ndani: Tsh 20.89 trilioni (64.3%)Mapato yatokanayo na KODI: Tsh 18.0 trilioni (13.6% ya pato la...

READ MORE

Breaking News: Ajali ya Basi Yaua Wanajeshi 10 wa JKT

#BREAKINGNEWS: Basi lenye namba za usajili T 755 BAB lililokuwa likisafiri kutoka mkoani Tabora kuelekea mkoani Mbeya, limepata ajali leo...

READ MORE

Simanzi na Vilio Kuagwa Miili ya Wanafunzi, Wafanyakazi UDSM – Video

SIMANZI na majonzi vimetawala miongoni mwawaombolezaji wakati wa kuaga miili ya wanafunzi wawili na wafanyakazi wawili wa Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Wasomaji Kutusua Maisha na Global Kuanzia Kesho (Picha + Video)

  KUANZIA kesho (Ijumaa) Kampuni ya Global Publishers itaanza kuendesha shindano maalum lililopewa jina la ‘Tusua Maisha na Global’ kwa...

READ MORE

Wanafunzi, Wafanyakazi UDSM Waliofariki Ajalini Waagwa – Video

Miili ya miili ya wafanyakazi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) waliofariki kwa ajali baada ya...

READ MORE

Waziri Angelina Mabula Apata Pigo Tena

NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angelina Mabula.  amepata pigo la kuondokewa na mumewe aliyefariki dunia jana...

READ MORE

MAKONDA AANZA UTEKELEZAJI AGIZO LA RAIS MAGUFULI

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameanza kufanyia kazi agizo la Rais Dkt. John Pombe Magufuli la...

READ MORE

Lembeli Atangaza Kurejea CCM

Mbunge wa zamani wa Kahama, James Lembeli ametangaza kurejea CCM. Ametangaza uamuzi huo leo Juni 13, 2018 muda mfupi baada...

READ MORE

Hatimaye Wema Afika Mahakamani Baada ya Kutoka India

  MUIGIZAJI wa filamu nchini, Wema Sepetu, leo alifika mahakamani baada ya kudaiwa akitokea India alikokwenda kufanyiwa upasuaji kama ilivyoelezwa...

READ MORE