×

Habari

Kutoka Bungeni Mjini Dodoma Leo Novemba 8, 2017 (Pichaz +Video)

Mkutano wa 9 wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo umeendelea mjini Dodoma ambapo mwenyekiti wa bunge, Mussa...

READ MORE

Tume ya Haki za Binadamu: Waliobomolewa Buguruni Wameonewa, Lazima Walipwe

      Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, imesema kwamba ubomoaji wa nyumba katika eneo la mita...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lawanasa 95 kwa Kuwaibia na Kuwabugudhi Abiria Stendi ya Ubungo

Kamanda Mambosasa akizungumza na waandishi wa habari. Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewafikisha katika Mahakama ya...

READ MORE

Video: Watoto 29 Wafanyiwa Unyama na Wazazi Wao Mkoani Mwanza

Licha ya Sheria ya Mtoto ya Mwaka 2009 na Mkataba wa Kimataifa wa Haki za Mtoto wa mwaka 1989 kuweka...

READ MORE

Mlipuko Waua Wanafunzi Sita Kagera

    Wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Kihinga mkoani Kagera, wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 wamejeruhiwa baada...

READ MORE

Bei Za Kupiga Picha Daraja La Nyerere, Kigamboni

Baada ya kuwepo kwa mkanganyiko wa gharama za kupiga picha kwenye daraja la Nyerere Kigamboni hatimaye serikali imetangaza mchanganuo wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Awachimba Mkwara Mawaziri Kutoa Matamko Yasiyotekelezeka

Mawaziri na manaibu wao, wametakiwa kujiepusha na utoaji wa matamko yasiyotekelezeka ili kuepuka mikanganyiko serikalini. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu,...

READ MORE

Uzalishaji Wa Mazao Ya Chakula Na Biashara Umeongezeka Nchini

Serikali imesema kuwa utekelezaji wa mpango wa Kilimo Kwanza umekuwa na mafanikio katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara...

READ MORE

Kenya: Kesi Mbili Zawasilishwa Mahakamani Kupinga Ushindi Wa Kenyatta

Kesi mbili zimewasilishwa katika mahakama ya juu nchini Kenya, zikitaka kufutwa kwa ushindi wa rais Uhuru Kenyatta kufuatia uchaguzi wa...

READ MORE

OPERESHENI YA KUKAMATA WEZI KAZI ZA WASANII YAENDELEA DAR

Askari wakikamata CD feki, eneo la Buguruni Sokoni, Dar. Operesheni hiyo ikiendelea. Kompyuta zilizokamatwa zikipelekwa kwenye gari la polisi.  ...

READ MORE

Video: Mzee wa Miaka 75 Afunga Ndoa na Bibi wa Miaka 60, Ndoa Yawa Gumzo!

Ndoa ya wahenga, Seleman Said Songo mwenye umri wa miaka 75 na Mariam Said Fupi mwenye umri wa miaka 60,...

READ MORE

Mwanamke afutwa kazi kwa kuuonyesha msafara wa Trump kidole cha kati

Mwanamke aliyepigwa picha akiuonyesha msafara wa rais Donald Trump ishara ya kidole cha kati ameripotiwa kufutwa kazi na kampuni iliomuajiri...

READ MORE

Rais Magufuli Anastahili Pongezi, Amefunua Blanketi Lililotufunika

MUNGU ni mwema kwa sababu ametufikisha leo tukiwa wazima, hakika ahimidiwe daima. Leo nachukua nafasi hii kumpongeza Rais Dk. John...

READ MORE

Waziri Wa Tamisemi Atoa Maagizo 6 Kwa Wakuu Wa Mikoa

Waziri wa Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Selemani Jafo, ametoa maelekezo kwa wakuu wa...

READ MORE

Wasiojulikana Wataka Kumuua Mzee Majuto!

  TAKRIBAN siku 10 baada ya kudai kutapeliwa milioni 25 na kampuni moja ya filamu (jina linahifadhiwa) mbele ya Waziri...

READ MORE

BREAKING NEWS: Gavana Afariki Katika Ajali, Kenya

GAVANA  wa kaunti ya Nyeri nchini Kenya, Wahome Gakuru amefariki mapema siku ya Jumanne kufuatia ajali mbaya ya barabarani katika...

READ MORE

Polisi Wachukua Simu Ya Zitto Kabwe

Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo ameripoti katika Kituo cha Uchunguzi wa Makosa ya Kiuchumi, Kamata, Kariakoo kwa ajili...

READ MORE

Serikali Yasema Haiwezi Kuajiri Vijana Wote Nchini (Video)

Serikali kupitia Naibu Waziri wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Kazi Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Peter Mavunde amesema...

READ MORE

Jpm Aamuru Watatu Kuchunguzwa Kwa Kutaka Kuiibia Serikali Mabilioni (Video)

RAIS Dk. John Magufuli, ameamuru kukamatwa kwa watumishi watatu wa serikali, kwa tuhuma za kuandika madai yasiyo halali, kwa lengo...

READ MORE

Wanachama 12 wa Chadema Wafikishwa Makamani Arusha

Wanachama 12 wa Chadema mkoani Arusha wanaotuhumiwa kumshambulia mgombea udiwani wa CCM katika Kata ya Muriet, Francis Mbise wamefikishwa Mahakama...

READ MORE

Rais Magufuli Azindua Uwanja wa Ndege wa Kagera (Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, yupo ziarani mkoani Kagera ambapo mbai na mambo mengine,...

READ MORE

Zitto Kabwe Aripoti Polisi, Kurejea Novemba 17 (Video)

KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, leo ameripoti  kituo cha polisi Chang’ombe jijini Dar es Salaam ambako anakabiliwa na...

READ MORE

Trump Atoa Pole Kwa Wafiwa 26 Waliouawa Kanisani Texas (Live Video)

RAIS Donald Trump wa Marekani ametoa pole kwa wafiwa wa watu 26 waliouawa kwa kupigwa risasi na mtu mwenye silaha...

READ MORE

Mwanamfalme Wa Saudi Arabia Afariki Katika Ajali Ya Ndege

MWANA wa mfalme  nchini Saudi, Arabia Mansour bin Muqrin,  amefariki baada ya helikopta aliyokuwa akisafiria kuanguka karibu na mpaka wa nchi...

READ MORE

Usichokijua Kuhusu Vita Ya Marekani VS Korea Kaskazini-10

Wiki iliyopita tuliona sarakasi za Kim Jong-un, kiongozi wa Korea Kaskazini ambaye ni mtu korofi dhidi ya taifa lenye nguvu...

READ MORE

Aliyekuwa Kiongozi Wa Catalonia Ajisalimisha Kwa Polisi

  Aliyekuwa kiongozi wa Catalonia Carles Puigdemont na waliokuwa washauri wake wanne wamejisalimisha kwa polisi nchini Ubelgiji, kwa mujibu wa...

READ MORE

Kamati Kuu ACT-Wazalendo kutuma wawakilishi polisi

    Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kamati kuu ya chama hicho haitakwenda kuripoti polisi kama ilivyoagizwa bali itawakilishwa na mwenyekiti...

READ MORE

RC WANGABO: WATAKAOWANYANYASA WAANDISHI WA HABARI KUKION

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Mh. Joachim Wangabo amewatahadharisha wakuu wa wilaya na wapenda maendeleo wote Mkoani Rukwa wasiwanyanyase waandishi...

READ MORE

KANISA LA KKKT LAADHIMISHA MIAKA 500 YA MATENGENEZO

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), linaungana na waumini wengine wa kanisa la Kilutheri duniani kuadhimisha miaka 500 tangu...

READ MORE

Majina Ya Mikopo Yaliyotolewa na HESLB Awamu ya Tatu 2017/2018

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetoa orodha ya Awamu ya Tatu ya wanafunzi 7,901 wa Mwaka...

READ MORE

Tume Ya Uchaguzi Yateua Madiwani 3 Wa Viti Maalum

Tume ya Uchaguzi katika kikao chake cha tarehe 3 November 2017 imeteua madiwani watatu kujaza nafasi za Udiwani katika Halmashauri...

READ MORE

JUKWAA LA KATIBA KUWASHITAKI POLISI KWA KUZUIA MAANDAMANO

MWENYEKITI wa Jukwaa la Katiba Tanzania (JUKATA), Hebron Mwakagenda amesema wameazimia kufungua kesi ya kudai haki ya kufanya maandamano ya...

READ MORE

Twitter Watoa Ufafanuzi Baada Ya Akaunti Ya Trump Kufungwa

Mfanyakazi katika kampuni ya mtandao wa kijamii wa Twitter, ameifunga akaunti ya Rais wa Marekani, Donald Trump, @realdonaldtrump, kitendo ambacho...

READ MORE

Kushuka Kwa Thamani Ya Shilingi Nchini Benki Kuu Yatoa Ufafanuzi

Serikali kupitia Benki Kuu (BoT) imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa za kushuka kwa thamani ya shilingi nchini.

READ MORE

Global Tv Online: Usikose Kutazama Tamthilia ya Shevola Leo Saa 12:00 Jioni

GLOBAL TV Online inakuletea mfululizo wa Tamthilia maarufu. Naamini uliiona lakini haikua yote au ulisikia ubora wa TAMTHILIA TA SHEVOLA...

READ MORE