×

Habari

ACACIA Wafanya Sherehe Kuwaaga Wafanyakazi Wao

Acacia yakamilisha usitishaji wa uchimbaji mgodi wa Bulyanhulu. Mgodi huo umepunguza wafanyakazi 1,200, wakandarasi 800, sasa wamebaki wafanyakazi 200. Ilielezwa...

READ MORE

Watatu Wakamatwa na Polisi Tip -Sinza, Kisa Maombi Kwa Lissu (Video)

  Watu watatu wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa Chadema wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa kuhojiwa kuhusu mpango wa...

READ MORE

Kikao Cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Kuanza Kesho

Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kinatarajiwa kufanyika kesho Sepetemba 18 mwaka huu chini ya Makamu...

READ MORE

Madenti Mashindano ‘Genius Cup’ Watunukiwa Vyeti

WANAFUNZI 60 kutoka katika Shule za Sekondari za Feza jijini Dar es Salaam, jana walitunukiwa vyeti vya ushindi baada ya...

READ MORE

Polisi Wafanya Doria Sinza Kuzuia Maombi Ya Bavicha

Watu wawili wanaosadikiwa kuwa ni wanachama wa Chadema wanashikiliwa na Polisi Mkoa wa Kinondoni kwa kuhojiwa kuhusu mpango wa maombezi...

READ MORE

RC Mrisho Gambo Apiga Marufuku Watumishi wa Umma Kukamatwa

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amepiga marufuku viongozi wa Serikali kuwakamata na kuwaweka rumande watumishi wa umma bila...

READ MORE

Zitto Anena Nyumba Yake Kuteketea Moto Kigoma

  Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amewataka wananchi kuwa watulivu wakati Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi kubaini chanzo...

READ MORE

Mbunge wa CCM Amtembelea Lissu Hospitalini Nairobi

MBUNGE wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu (CCM) amemtembelea Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu aliylazwa...

READ MORE

Breaking News: Nyumba ya Zitto Kabwe Yateketea kwa Moto

  NYUMBA ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (ACT – Wazalendo) iliyopo Mwandiga, mkoani Kigoma yateketea kwa moto. Habari...

READ MORE

Mwanamke Mkongwe Zaidi Duniani Afariki

MWANAMKE mmoja wa Jamaica anayedhaniwa kuwa mtu mkongwe zaidi duniani, Violet Mos Brown amefariki akiwa na umri wa miaka 117 ...

READ MORE

Jukata Wasema Serikali Haijatenga Fedha Kukamilisha Katiba Mpya

JUKWAA la Katiba Tanzania (Jukata) limesema limebaini kwamba baada ya kuifuatilia na kuichambua bajeti ya Wizara ya Katiba na Sheria...

READ MORE

Bavicha Wasisitiza Kumuombea Lissu Kesho

BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAVICHA) limesema kuwa wataendelea na mpango wao wa kumuombea dua Mbunge...

READ MORE

Bongo Movie, Bongo Fleva & Wanasoka Waungana Kampeni ya Uzalendo Kwanza

KAMPENI ya Uzalendo Kwanza iliyoanzishwa na Wasanii wa Filamu, Bongo Movie imezidi kuota mizizi baada ya kutanua matawi yake kwa...

READ MORE

Baada ya Kushutumiwa na UN, Tanzania Yaikana Korea Kaskazini

SERIKALI ya Tanzania imesema imeshtushwa baada ya kuorodheshwa miongoni mwa nchi za Bara la Afrika ambazo zimechunguzwa na Umoja wa...

READ MORE

Polisi Yawapiga Stop Chadema Kufanya Maombi kwa Lissu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepiga marufuku maandamano, maombi na mikusanyiko isiyo halali huku likielekeza kuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Awatumia Salamu Watu Wasiojulikana

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Septemba 15, 2017 ameelezea juu ya kusikitishwa kwake na tukio la kinyama la kushambuliwaji kwa...

READ MORE

RC, Gambo apunguza kero za wananchi Arumeru

MKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo ametoa msaada wa mifuko 200 ya saruji na nondo tani mbili, kwa ajili...

READ MORE

CHADEMA Watangaza Kumuombea Tundu Lissu Jumapili Hii (Video)

MAKAMU Mwenyekiti wa Baraza la Vijana CHADEMA Taifa (BAVICHA), Patrick Ole Sosopi amefunguka na kusema wao kama chama wameamua kuwakutanisha...

READ MORE

Spika Ndugai Awatahadharisha Wabunge Kuhusu Usalama Wao -(Video)

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amewatadharisha wabunge kuwa makini na usalama wao mahali popote wanapokwenda kufuatia matukio mengi ya uhalifu...

READ MORE

Breaking News: Askofu Gwajima Afutiwa Kesi Yake Kisutu

  ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amefutiwa kesi ya kushindwa kutunza silaha baada ya mahakama kushindwa...

READ MORE

Kisutu: Watathmini wa Almasi wa Serikali Wafikishwa Mahakamani

  Watathmini wa serikali wa almasi, Archard Kalugendo na Edward Rweyemamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini wamefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Dereva wa Mbunge John Heche Avamiwa, Akatwa Mapanga

DEREVA wa Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, John Heche (Chadema) amevamiwa na watu wasiojulikana kisha kumkata kwa mapanga usiku...

READ MORE

Waziri Mkuu, Majaliwa Aahirisha Bunge Hadi Novemba

WAZIRI Mkuu, Kasimu Majaliwa akitoa Hoja ya Kuahirisha Bunge mjini Dodoma leo amefafanua kuhusu hali ya wakulima na changamoto wanazokumbana...

READ MORE

Polisi, TCRA Watoa Ufafanuzi Kuhusu Uhalifu Mitandaoni

JESHI la Polisi nchini kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) wametoa ufafanuzi kuhusu kushamiri kwa uhalifu wa makosa...

READ MORE

Vigogo Walionaswa na Shehena ya Almasi Airport Wapandishwa Kortini

WATUHUMIWA waliokamatwa na mzigo wa Almasi zenye thamani ya Sh 32.3 bilioni katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...

READ MORE

Droo Kubwa Shinda Nyumba Itakuwa Jumatano ya Kihistoria Tanzania

KUNA historia nyingi zipo na zinawekwa nchini Tanzania tangu pale taifa lilipopata uhuru, Desemba 9, 1961. Mojawapo ya historia zinazoelekea...

READ MORE

Yusuf Manji Aachiwa Huru, Afutiwa Mashtaka ya Uhujumu Uchumi (Video)

MAHAKAMA ya leo Alhamisi, Septemba 14, imemuachia huru mfanyabiashara Yusuf Manji (41) na wenzake katika kesi ya uhujumu uchumi baada...

READ MORE

Hakimu Akinukisha Kortini Sakata la Harbinder Seth Kukataliwa Kutibiwa

MSHTAKIWA Habinder Sethi ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa bado hajatibiwa. Sethi amesema hayo mahakamani baada ya wakili wake...

READ MORE

Breaking News: Kubenea Augua Ghafla Dodoma, Alazwa

  Dodoma. Mbunge wa Ubungo(Chadema), Saed Kubenea ameugua ghafla na kupumzishwa katika zahanati ya Bunge. Katibu wa wabunge wa Chadema,...

READ MORE

MWANDISHI AANIKA SIRI MAUAJI YA ALBINO KWENYE KITABU

 Jalada la kitabu cha ‘MIFUPA YA ALBINO’.   MWANDISHI wa habari mwandamizi nchini, Daniel Mbega, amekamilisha kuandika kitabu kinachofichua siri...

READ MORE

Mbunge Ataka Jaji Mkuu Aondolewe kwa Kufuta Uchaguzi wa Rais

MBUNGE wa umoja wa kisiasa wa Jubilee nchini Kenya amewasilisha muswada bungeni akiitaka Mahakama Kuu nchini humo kumwondoa madarakani Jaji...

READ MORE

Viongozi Vyama Visivyo na Wabunge Bungeni Wamtunishia Misuli Jaji Mutungi

Viongozi wa vyama vya siasa ambavyo havina wawakilishi bungeni, leo wamezungumzia namna wanavyoipinga barua waliyotumiwa na Msajili wa Vyama vya...

READ MORE

Mbunge Aanika Ukweli Kuhusu Deni la Ndege Iliyompeleka Lissu Nairobi

MBUNGE wa Mpendae – Zanzibar, Salim Turky (CCM) leo Alhamisi, Septemba 14 amefafanua kuhusu ukweli wa ndege iliyomsafirisha Mbunge wa...

READ MORE

Kisa Lissu… Mchungaji Msigwa, Amvagaa Spika Ndugai

MBUNGE wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amemjia juu Spika wa Bunge, Job Ndugai akimtaka kuacha kudanganya kuwa ndege iliyomsafirisha...

READ MORE

Spika Ndugai Amjibu Godbless Lema Kuhusu Lissu (Video)

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amesema anamsamehe Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema kwa maneno aliyosema kwenye mitandao ya...

READ MORE

MATIBABU YA LISSU SH 10 MILIONI KWA SIKU, CHADEMA YAOMBA MSAADA

Chadema imetangaza kuanzisha kampeni maalumu kuchangisha fedha kwa ajili ya kumgharimia mbunge wake, Tundu Lissu anayeendelea kupata matibabu mjini Nairobi...

READ MORE

Droo Kubwa Shinda Nyumba Bado Siku 13 Mjengo Upate Mwenyewe

  DROO kubwa ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili inatarajiwa kuchezeshwa Septemba 27 mwaka huu, hiyo ikiwa...

READ MORE

Mabomu Yatumika Kuwatawanya Madiwani Geita

Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwatawanya wananchi na madiwani waliofunga  barabara ya kuingia kwenye Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM)....

READ MORE