×

Habari

Cloud 112: Nafurahia maisha ya ndoa

  MAMBO vipi shabiki namba moja wa Mpaka Home? Natumai upo poa sana. Kama ilivyo ada ya safu hii ni...

READ MORE

Tecno Dude Ndiyo Simu ya Kijanja Mjini

  Katika kuadhimisha kilele cha Sikukuu ya Sabasaba, Kampuni ya Simu ya Tecno jana Ijumaa iliendelea na promosheni yake kabambe...

READ MORE

NAY WA MITEGO NA WEWE UNATAKA KIKI

  NI True Boy tena, Emmanuel Elibariki maarufu kwa jina la Nay wa Mitego. Safari hii amekuja na kibao chake...

READ MORE

Ngumi za Global TV… Idd Pialali Achimba Mkwara Kibabe!!

    BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Idd Pialali ni mmoja kati mabondia watatu wa Tanzania watakaopanda ulingoni Julai...

READ MORE

Vitabu vya Shigongo Vinapatikana Banda la AIC – Sabasaba, Dar

  WASOMAJI wa Vitabu vya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo wameombwa kufika katika banda la AIC...

READ MORE

Awania Kuweka Kuweka Rekodi ya ‘HIPS’ Kubwa

MWANAMKE kibonge, Bobbi-Jo Westley (43) wa Pennyslvania, Marekani, mwenye uzito wa kilo 245.8 na kiuno cha sentimita 241.3 ameamua kwamba...

READ MORE

Mambo ya kufanya unapokuwa na stress

  SIKITIKO la mahaba lashinda msiba! Umewahi kusikia maneno hayo ya wahenga? Bora usimuliwe lakini usipitie kipindi cha sikitiko la...

READ MORE

Lulu Aweka Rekodi Serikali ya JPM

  IMEVUJA! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’, anatajwa kuwa ndiye staa pekee wa kike Bongo aliyeweka...

READ MORE

Ajibu awatia mzuka Moro

  BAADA ya kumtambulisha rasmi mchezaji wake mpya, Ibrahim Ajibu kutoka Simba, mashabiki wa Yanga mkoani hapa, wamesema wana imani...

READ MORE

VIDEO: Mikanda ya Ubingwa wa Ndondi wa Global TV Afrika Mashariki na Kati Hadharani

  BAADA ya miaka sita kupita bila ya Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem, Dar kutumika katika mch­ezo wa...

READ MORE

Makamu wa Rais Aongoza Waombolezaji Kuuaga Mwili wa Marehemu Shebuge

        Mwili wa Marehemu Karani wa Baraza la Mawaziri, Hassan Rashid Shebuge aliyefariki Julai 06, 2017 katika...

READ MORE

Naibu Waziri wa Kilimo Ampigia Saluti Mrisho Mpoto

  Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi ambaye ndiye mbunge wa Ngorongoro, William Ole Nasha leo alipotembelea banda la...

READ MORE

Dah Inauma Sana! Dogo Bradley Lowery Afariki Dunia

  Shabiki wa klabu ya Sunderland wa umri wa miaka sita Bradley Lowery, ambaye tatizo lake la kiafya liligusa nyoyo...

READ MORE

“Shocking!” Jay Z, Gloria Carter Na Hadithi Iliyoushtua Ulimwengu

SIKU kadhaa zilizopita, nguli wa Muziki wa Hip Hop duniani, Shawn Carter ‘Jay Z’ aliachia albamu yake mpya, 4:44 kupitia...

READ MORE

Mr. Shinda Nyumba Awa Kivutio Sabasaba

  IKIWA ni maadhimisho ya Siku ya Maonyesho ya Biashara Kimataifa maarufu kama Sabasaba, Mr Shinda Nyumba ambaye ni mhamasishaji...

READ MORE

WHO: Ugonjwa wa Kisonono Umeanza Kuwa Sugu, Huenda Usitibike Tena

Shirika la afya Duniani, WHO, limetoa tahadhari kuwa, ugonjwa wa zinaa wa kisonono, umeanza kuwa sugu dhidi ya dawa ya...

READ MORE

Chunga Kauli Zako Siyo Kila Kitu cha Kuzungumzwa-2

  NI Ijumaa nyingine tunapokutana jamvini, nakukaribisha kwa moyo mkunjufu. Wiki iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mada hii, ya kuwa makini...

READ MORE

Serikali Kuyafutia Leseni Maduka Kubadilisha Fedha Sept. 2

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa waraka kwa wafanyabiashara wa maduka ya kuuza na kununua fedha za kigeni kuomba...

READ MORE

Pacman: Niko Fiti, Nitashusha Ndonga za Ukweli Dar Live

    BAADA ya miaka sita kupita bila ya Ukumbi wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhem, Dar kutumika katika mch­ezo...

READ MORE

Akilimali: Wazee Yanga Tunampigia Dua Ajibu

  KATIBU wa Baraza la Wazee wa Yanga, Ibrahim Akilimali, amemtaka mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Ibrahim Ajibu kufanya kazi...

READ MORE

TANZIA: Karani wa Baraza la Mawaziri, Hassan Shebuge afariki dunia leo

  Karani wa Baraza la Mawaziri, Hassan Ramadhani Shebuge (mara nyingi husimama pembeni mwa Rais wakati wa viapo), amefariki dunia....

READ MORE

Pichaz + Video: Mazishi ya Mkongwe wa Muziki, Shaaban Dede

  Mwimbaji mkongwe nchini wa muziki wa dansi, Shaban Dede aliyefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Ijumaa Julai 7, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Julai 7, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Kijana Shabani Nasoro Apigwa Ndoa Ya Mkeka Msibani

  WATU WEWEEEE! Julai 3, mwaka huu, kijana Shabani Nassoro mkazi wa Tuangoma jijini Dar amejikuta akipigwa ndoa ya mkeka...

READ MORE

Kaburi la Mtu Mashuhuli Lafukuliwa Uganda

    Kaburi la Mtunzi wa Wimbo wa Taifa wa Uganda marehemu, George Kakoma limefukuliwa na watu wasio julikana Jumanne...

READ MORE

Wastara: Heri Nimfuate Sajuki

  KUFUATIA kusumbuliwa na matatizo ya mara kwa mara ya kiafya, mwanamama mkali wa Bongo Muvi, Wastara Juma anaonekana kukata...

READ MORE

Polisi Waua Watuhumiwa Wawili Msitu wa Ngomboroni Kibiti

  DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi nchini limewaua watu wawili wanaodaiwa kufanya mauaji katika Wilaya za Mkuranga, Kibiti na...

READ MORE

VIDEO: Washindi wa Spoti Hausi Smart Phone Walivyopatikana Zawadi Zao

HATIMAYE washindi wawili wa Shindano la Spoti Housi Smart Phone, wamepatikana leo, katika mchakato wa kuchuja majina uliofanyika mubashara kupitia...

READ MORE

Simulizi ya Maisha ya Ebitoke… Aliyoyapitia si Mchezo!

  KOMEDIANI wa kike Bongo, Anastazia Exavery ‘Ebitoke’ (19) anayefanya vizuri zaidi kupitia mitandao ya kijamii alipitia mambo mengi ikiwemo...

READ MORE

Skauti Tanzania Yagonga Miaka 100

  Chama cha Skauti Tanzania kinatarajiwa kuadhimisha miaka 100 ya uskauti tangu kuanzishwa kwake, maadhimisho yatakayofanyika kuanzia tarehe 21 hadi...

READ MORE

Ommy Dimpoz Asaini RockStar4000, Aungana na Kiba

  MKALI wa muziki, Ommy Dimpoz amesaini kufanya kazi na label kubwa ya muziki, RockStar4000 inayofanya kazi kwa ukaribu na...

READ MORE

Buriani Shaban Dede ‘Kamchape’, Simulizi ya Maisha Yake Isome Hapa

  Mwimbaji mkongwe nchini wa muziki wa dansi, Shaban Dede amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taifa ya...

READ MORE

Yaliyojiri Mahakamani Kisutu Kesi ya Yeriko Nyerere, Leo

  MAHAKAMANI KISUTU: Mfanyabiashara Yeriko Nyerere anayekabiliwa na kesi ya uchochezi wa kimtandao, mapema leo Julai 6 amefika katika Mahakama...

READ MORE

Esha Buhet Ateswa na Kisirani cha Mimba

STAA wa sinema za Kibongo, Esha Buhet amefunguka namna anavyoteswa na kisirani cha mimba hivyo kuwaomba watu wamsamehe pindi atakapowakwaza....

READ MORE

Siku Chache Baada ya Kutolewa Hospitali…. Jini Kabula Adaiwa Kuzua Timbwili Hotelini

  MSANII wa filamu Bongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ juzikati alidaiwa kuzua timbwili la aina yake kwenye Hoteli ya Lamada iliyopo...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Waziri Kindamba Kuwa Afisa Mtendaji Mkuu TTCL

#Breaking: Rais @MagufuliJP amemteua Waziri Waziri Kindamba kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL. Kabla ya uteuzi alikuwa akikaimu nafasi hiyo....

READ MORE

Yasome Hapa Mashtaka 7 Aliyosomewa Manji Akiwa Amelazwa Muhimbili

  Yusufu Manji na wenzake jana walisomewa mashtaka saba yakiwemo ya kuhujumu uchumi wa nchi, kukiuka sheria ya usalama wa...

READ MORE