×

Habari

Breaking News: Polisi Dar Waua Watuhumiwa Wawili wa Ujambazi, Mmoja Ajeruhiwa

    JESHI LA POLISI Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewaua watu wawili wanaodaiwa kuwa ni majambazi huku mmoja...

READ MORE

Bunge lapinga ongezeko la ushuru vinywaji baridi

DODOMA: Serikali  imewasilisha bungeni Muswada wa Sheria ya Fedha wa Mwaka 2017 wenye marekebisho ya sheria 15 ikiwamo Sheria ya...

READ MORE

Wateja Wa Vodacom Waletewa Bando La Red

  Wateja wa Vodacom Tanzania kuanzia sasa watakuwa na furaha zaidi kwa keletewa huduma mpya ya RED. Huduma hii ni...

READ MORE

Kauli ya Jux Baada ya Ku-Graduate China

Msanii wa Bongo Fleva, Jux amesema haikuwa kazi rahisi hadi yeye kumaliza masomo yake ya elimu ya juu nchini China....

READ MORE

Hivi Ndivyo Wauaji Kibiti Walivyochoma Gari, Pikipiki

Licha ya kuwaua askari wawili wa kikosi cha usalama barabarani jana wakiwa kazini karika eneo lililo kati ya Bungu na...

READ MORE

JPM: Mtu Afungwe, Halafu Anunuliwe Chakula? Nimechoka, Nataka Wafungwa Wakalime

Rais John Magufuli amesema ni vizuri magereza yakawa na maeneo mengi ili wafungwa walime na wajue maana ya kufungwa ni...

READ MORE

MBUNGE WA CHALINZE ASHIRIKI ZIARA YA RAISI CHALINZE

Mbunge wa Chalinze ameshiriki kwenye Ziara ya Mheshimiwa Raisi Dr.John Magufuli alipofika Wilaya ya Bagamoyo. Ziara hiyo ya Raisi ambayo ilikuwa...

READ MORE

(VIDEO) JPM: Ndani ya Utawala Wangu, Hakuna Atakayepewa Mimba na Kuruhusiwa Kurudi Shule

PWANI: Rais John Magufuli amesema ndani ya wa utawala wake kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hakuna mwanafunzi...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Azindua Barabara ya Msata – Bagamoyo

PWANI: Hafla ya Rais Dkt. John Magufuli kuzindua Barabara ya Msata – Bagamoyo, Pwani imeanza kufanyika eneo katika eno la...

READ MORE

PICHAZ: Mazishi ya Ally Yanga, Shinyanga

SHINYANGA: Aliyekuwa shabiki maarufu wa Yanga, Ally Mohammed ‘Ally Yanga’ amezikwa leo nyumbani kwao mkoani Shinyanga baada ya jana kuagwa...

READ MORE

Wakazi Wa Pwani Waifurahia Huduma Ya Ukarimu Ya Vodacom

Wakazi wa kanda ya Pwani wameipokea kwa furaha kubwa huduma mpya ya Ukarimu inayotolewa na Vodacom Tanzania wakati huu wa...

READ MORE

PICHAZ: Mwili wa Ali Yanga Alivyoagwa Dodoma

MWILI wa aliyekuwa shabiki maarufu ya Klabu ya Yanga, Ally Mohammed maarufu kama Ali Yanga jana uliagwa wilayani Mpwapwa mkoani...

READ MORE

Pichaz: Maisha Basement Wafuturisha Dar

IKIWA ni mwezi mtukufu wa toba kwa waumini wa Dini ya Kiislam ambao kwa sasa wapo kwenye mfungo duniani kote,...

READ MORE

Denti UDSM Aliyeuawa na Polisi kwa Ujambazi… Ndugu Washusha Kisomo Kizito

DAR ES SALAAM: Ndugu wa aliyekuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Salum Almas (pichani) aliyeuawa na...

READ MORE

Mke wa Mtu Afanyiwa Kitu Mbaya Mwezi Mtukufu

  DAR ES SALAAM: WAKATI Waislamu ulimwenguni kote wakiwa kwenye mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani, wengine wameonekana kuendeleza matukio...

READ MORE

Rais Magufuli Amtaka Kigogo Dawasa Kuachia Ngazi

PWANI: Rais John Magufuli amemtaka Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka (Dawasa) Archado Mtalemwa ajiandae kustaafu...

READ MORE

Mapya Kifo cha Mke wa Mzee Yusuf.. Leilah, Khadija Yusuf Wachefua Ndugu!

 DAR ES SALAAM: Siku chache tu tangu kufariki dunia kwa mke wa pili wa aliyekuwa Mfalme wa Taarab Bongo, Alhaj...

READ MORE

Kibiti: Askari Wawili Wauawa, Gari Lao Lachomwa Moto

MAUAJI KIBITI. Askari Polisi wawili wa kikosi cha usalama wa barabarani wilayani Kibiti ambao majina yao bado hayajatambulika wapigwa risasi...

READ MORE

Mtoto Yatima Yamkuta Mazito, Inasikitisha

    KIBAHA: Siku chache tangu kupita kwa Siku ya Mtoto wa Afrika, mwanafunzi wa darasa la tano, Abuu Hussein...

READ MORE

USAJILI: Kauli ya Yanga Kuhusu Kuondoka kwa Niyonzima

TAARIFA KWA UMMA ​ Yanga SC kupitia kwa Katibu Mkuu Boniface Mkwasa inapenda kuwajulisha wanachama, wapenzi na washabiki wa Yanga...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Afukunyua Madudu ya Mamlaka Maji Safi – Pwani

  PWANI: Rais Magufuli amezindua rasmi mradi wa kusafirisha maji wa Ruvu Juu, Pwani ikiwa ni siku ya pili ya...

READ MORE

Gigy, Amber Lulu wamlipua Msanii Mwenzao Baby Madaha

DAR ES SALAAM: Kufuatia kauli ya Mbon­go Fleva, Baby Joseph Madaha maarufu kama Baby Madaha, aliyoitoa hivi karibuni kwamba ma-video...

READ MORE

Breaking News: CUF ya Prof. Lipumba Yamaliza Mgogoro na CUF ya Maalim Seif

CUF – CHAMA cha Wananchi, upande unaoungwa mkono na Profesa Ibrahim Lipumba, kimetangaza kumaliza mgogoro uliokuwa ukifukuta ndani ya chama...

READ MORE

Wateja wa Vodacom Waletewa Bando la RED

Wateja wa Vodacom Tanzania kuanzia sasa watakuwa na furaha zaidi kwa keletewa huduma mpya ya RED. Huduma hii ni mpango...

READ MORE

JPM Afungua Kiwanda cha Vifungashi Cha Global Packaging, Pwani

Rais John Magufuli amefungua kiwanda cha vifungashi cha Global Packaging (T) LTD mjini Kibaha asubuhi hii ikiwa ni siku ya...

READ MORE

Rais Magufuli Atuma Salam za Rambirambi Kufuatia Kifo cha Ally Yanga

Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salam za rambirambi kwa wanafamilia, wanachama wa CCM, uongozi wa Yanga na wanamichezo wote...

READ MORE

Mtoto Akumbwa Na Gonjwa La Ajabu

HUJAFA ujaumbika! Ndiyo maneno unayoweza kusema kutokana na mtoto Amina Raheem (16) ambaye ni mwanafunzi wa darasa la saba katika...

READ MORE

Kafulila: Naunga Mkono Juu Ya Hatua Zinazochukuliwa na Rais Sakata La Escrow (Picha + Video)

KADA maarufu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), David Kafulila amesema anaunga mkono hatua zote zinazochukuliwa na Rais wa...

READ MORE

Breaking News: Shabiki Wa Yanga, Ally Yanga Afariki Dunia Ajalini

Taarifa zilizoifikia Global Publishers hivi punde zinaeleza shabiki mkubwa wa Yanga, maaruffu kwwa jina la Ally Yanga amefariki dunia. Gari...

READ MORE

Maalim Seif: Hii Ndiyo Siri Yangu na Karume -02

WIKI iliyopita aliyewahi kuwa makamu wa kwanza wa Rais wa Zanzibar na sasa ni Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif...

READ MORE

Mmh! Amber Rose ni Kweli au Unatudanganya tu

  HIVI ni kweli ama? Huku ikiwa imepita miezi sita tangu mwaka uingie, mwanamitindo mwenye jina kubwa aliyekuwa mpenzi wa...

READ MORE

Jay Z Aonekana Nje kwa Mara ya Kwanza

LABDA hukuipata! Ishu ipo hivi! Kwa mara ya kwanza mwanamuziki mwenye jina kubwa katika tasnia ya Muziki wa Rap nchini...

READ MORE

Miezi Miwili Baada ya Kifo cha Baba Yao, Watoto wa Bosi wa Freemason Wafunguka

DAR ES SALAAM: Takriban miezi miwili baada ya kifo cha aliyewahi kuwa Bosi wa Jamii ya Siri (Secret Society) ya...

READ MORE

HII NDIYO REPORT YA ESCROW/IPTL ILIYOZUA KASHESHE KWA RUGEMARILA NA SINGH

(TUJIKUMBUSHSHE ILIVYOKUWA SIKU RIPOTI YA ESCROW IKIWASILISHWA BUNGENI) Baada ya bunge kwenye kikao cha asubuhi kusema swala la Escrow limeingizwa...

READ MORE

Kifo cha Mke wa Mzee Yusuf… Simanzi, Majonzi, Vilio na Huzuni!

DAR ES SALAAM: Simanzi! Habari yenye kuumiza moyo inamhusu aliyekuwa Mfalme wa Taarab Bongo na Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi...

READ MORE

Rais Magufuli Kufanya Ziara ya Kikazi ya Siku 3 Mkoani Pwani

Rais Dkt John Pombe Magufuli kufanya ziara ya kikazi ya siku 3 mkoani Pwani ambapo atazindua viwanda vikubwa 5.

READ MORE

Mtu Mmoja Akamatwa Akiingiza Nyama Zikiwa na Smart Phones 5 Kwa Wafungwa Gereza la Keko

DAR: Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Nombo mkazi wa Dar, amekamatwa leo Juni 19, 2017 akijaribu kuingiza simu...

READ MORE

Mtoto wa miaka 14 Aibuka Kinara wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an

KIJANA wa miaka 14, Khamis Said ameibuka kinara kuhifadhi Qur- an kwa juzuu kumi katika mashindano madogo yaliofanyika leo Jumatatu...

READ MORE

DJ Khaled Aachia Video ya ‘WILD THOUGHT’

MWANAMUZIKI maarufu wa Marekani, DJ Khaled, ameachia video ya wimbo wake wa Wild Thought aliyompa shavu Rihanna  na Bryson Tiller....

READ MORE