×

Habari

DJ Khaled Aachia Video ya ‘WILD THOUGHT’

MWANAMUZIKI maarufu wa Marekani, DJ Khaled, ameachia video ya wimbo wake wa Wild Thought aliyompa shavu Rihanna  na Bryson Tiller....

READ MORE

Breaking News: Rugemalira, Kigogo IPTL Wasomewa Mashtaka 6 Kisutu, Wasweka Rumande

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James...

READ MORE

Breaking News: Polisi Dar Wakamata Majambazi 5 na Bastola 2 – (VIDEO)

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata watuhumiwa watano wa ujambazi pamoja na bastola mbili. Akizungumza...

READ MORE

Msafara wa Sumaye Wazuiliwa, Meya wa Ubungo Achukuliwa na Polisi

DAR ES SALAA: Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu...

READ MORE

HAI: Nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya Yatekekezwa kwa Moto Usiku

KILIMANJARO: Nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Hai, Dkt. Amini Uronu imechomwa moto usiku wa kuamkia leo na watu...

READ MORE

ROMA: Historia Itaandikwa Dar Live Idd Mosi

NAJUA hukuijua hii! Huku sakata lake la kutekwa likiwa limemalizwa kiaina, staa wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Ibrahim Musa...

READ MORE

Marekani Imeitungua Ndege ya Jeshi la Syria

Marekani imeitungua ndege ya kijeshi ya Syria iliyokuwa ikijiandaa kuwashambulia wanamgambo wa IS ambao wamekuwa wakihatarisha maisha ya wananchi wa...

READ MORE

Droo Ndogo ya 4 ya Shinda Nyumba: Bila Mke Wangu Nisingepata Pikipiki

  WAKATI Bahati Nasi­bu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili ikiende­lea katika hatua ya droo ndogo, ambapo wiki iliyopita ilichezeshwa...

READ MORE

Okwi aibana Simba, ataka 110m asaini

  MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi, amewataka viongozi wa Simba kama wanahitaji saini yake, waweke milioni 110 mezani...

READ MORE

Yanga: Himid Kataka 60m, Tunampa

DAR ES SAALM: YANGA baada ya kumkosa Jonas Mkude wa Simba aliyeamua kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia timu hiyo,...

READ MORE

Leila Azimia Nusu Saa Msiba wa Chiku

MSIBA UNAUMA! Ndiyo maneno pekee unayoweza kusema baada ya mtandao huu kushuhudia mke mkubwa wa Mzee Yusufu, Leyla Rashidi akizimia...

READ MORE

Mo Adondosha Milioni 125 Simba

DAR ES SALAAM: JUZI uongozi wa Simba ulifanya hafla ya kutoa tuzo kwa wachezaji wake waliofanya vizuri katika michuano ya...

READ MORE

Jimmy Mafufu Amelikimbia Jiji?

DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za kitemi Bongo, Jimmy Mafufu amepinga vikali madai ya baadhi ya watu kuwa amelikimbia...

READ MORE

GlobalNewsUpdates: Gari Lagonga na Kuua Mmoja Karibu na Msikiti

LONDON, UINGEREZA: Mtu mmoja ameuawa na wengine wanane kujeruhiwa baada ya gari kugonga umati wa watu waliokuwa wakitembea karibu na...

READ MORE

Sakata la Makinikia: Wananchi wa Tarime Walivyovamia Mgodi wa North Mara

Siku  chache baada ya Rais Dk. John Magufuli  kukabidhiwa ripoti ya pili ya kuchunguza mchanga wa dhahabu wa Kampuni ya...

READ MORE

Ubuyu Ulionyooka: Chuz Akamatwa Rushwa ya Ngono!

DAR ES SALAAM: Ubuyu huu siyo wa nchi hii! Mkongwe wa filamu na tamthiliya za Kibongo, Tuesday Kihangala ‘Chuz’, yupo...

READ MORE

Msambwanda wa Anti Lulu Wayeyuka!

DAR ES SALAAM: Mwanadada anayesifika kwa kutingisha wowowo lake hasa awapo kwenye kundi la watu, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’ amepukutika...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumatatu June 19, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Juni 19, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Mashindano ya Qur-an ya Dunia Yafanyika Diamond Jubilee, Dar (Pichaz +Video)

Abdulmjid Mujahid kutoka Yemen ameibuka mshindi wa mashindano ya kimataifa ya Qur-an yaliyozishindanisha nchi kumi ambapo mshindi amezawadiwa dola 5000...

READ MORE

Jinsi Dominica, Barrick Gold Walivyojadili Upya Mkataba wa Makinikia

  SERIKALI ya Jamhuri  ya Dominica na kampuni ya uchimbaji dhahabu ya Barrick Gold ya Canada nao walifanya mazungumzo kumaliza...

READ MORE

Kinachoendelea Kwenye Msiba wa Mke Mdogo wa Mzee Yusufu

Marehemu Bi Chiku, ambaye alikuwa mke mdogo wa Mzee Yusuf. ALIYEKUWA mke mdogo wa Mzee Yusufu, aitwaye Bi Chiku, alifariki...

READ MORE

Mamlaka Ya Hali Ya Hewa Yatoa Tahadhari Ya Kuwepo Upepo Mkali Pwani Leo

Mamlaka  ya Hali ya Hewa nchini imetoa tahadhari ya kuwepo upepo mkali na mawimbi makubwa baharini katika maeneo ya Mwambao...

READ MORE

Breaking News: Mzee Yusuph Amefiwa na Mke Wake Usiku Huu

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi Modern, Mzee Yusuf amefiwa na mkewe usiku huu. Mmoja wa Wakurugenzi wa Jahaz Modern...

READ MORE

Ufunguzi Ndondo Cup 2017… Makuburi FC Vs Stim Tosha Zatoshana Nguvu

LEO Jumamosi Juni 17 zilikuwa shamra shamra za uzinduzi wa michuano ya soka la mitaani maarufu kama Ndondo Cup 2017...

READ MORE

Ishu ya Mchele wa Plastiki Bongo, Kiwanda Kinachodaiwa Kutengeneza Chavamiwa (Pichaz + Video)

  DAR ES SALAAM: Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na uvumi una­osambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii, juu...

READ MORE

Rama Mla Nyama za Watu, Baada ya Kutoka Gerezani Aanika Matukio Ya Kutisha

DAR ES SALAAM: Exclusive! Kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalum siku chache tangu atoke gerezani, mtoto aliyewahi kuwa gumzo,...

READ MORE

Unamkumbuka Rama ‘Mla Nyama za Watu’? – Mtazame LIVE Interview Kupitia Global TV

Exclusive! Kwa mara ya kwanza katika mahojiano maalum siku chache tangu atoke gerezani, mtoto aliyewahi kuwa gumzo, Ramadhan Seleman Musa...

READ MORE

Droo Ndogo ya Nne Shinda Nyumba… Washindi Wapongeza Kukabidhiwa Ving’amuzi (Video)

Mwakilishi wa TING, Caroline Collent (kushoto) akimkabidhi zawadi ya King’amuzi, Ally Ramadhani Kazi. DAR ES SALAAM: Baada ya washindi watatu...

READ MORE

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima (+Pichaz 20)

Mkali wa muziki wa Hip Hop  Bongo, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki, baada ya juzi kuibukia Shule ya Mchikichini iliyopo Mbagala...

READ MORE

BreakingNews: Makamu wa Rais Bi. Samia Azindua Fursa za Ajira na Wachina UDSM

Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania, leo amezindua fursa za ajira kati ya Watanzania na Wachina, zoezi...

READ MORE

Simba Yahamia kwa Ngoma

UNDAVA undava tu kwani Simba baada ya kuchukuliwa mchezaji wake Ibrahim Ajibu na Yanga, nayo inapambana kuhakikisha inamsajili straika Donald...

READ MORE

Nandy: Sipendi Kolabo!

MWANAMUZIKI anayetamba na Ngoma ya Wasikudanganye, Faustina Charles`Nandy’ amefunguka kuwa hapendi kufanya kolabo na msanii yeyote kwa sasa bali ataendelea...

READ MORE

Nisha Adaiwa Kumchukua Bwana wa Shilole

STAA wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anadaiwa kuwa kwenye mahaba motomoto na aliyekuwa mpenzi wa msanii mwenzake, Zuwena...

READ MORE

Mrisho Mpoto Alamba Shavu Ngorongoro

DAR ES SALAAM: Msanii wa muziki wa asili nchini Tanzania, Mrisho Mpoto maarufu kwa jina la ‘Mjomba’ amelamba shavu jingine...

READ MORE

Mr Universe Atua Bongo, Ashusha Somo kwa Vijana

Mr Universe Tanzania mwaka 2002, Matukio Chuma, amewataka vijana wa Kitanzania kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza ndani na nje ya nchi...

READ MORE

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo,...

READ MORE