×

Habari

LIVE Kutoka Bungeni, Uwasilishwaji wa Bajeti Kuu ya Serikali 2017/2018

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango, muda huu anasoma hotuba yake kuhusu mwelekeo wa bajeti ya serikali ya...

READ MORE

RC Mghwira Atembelea Familia ya Ndesamburo na Kutoa Pole

  Mghwira aliyeteuliwa hivi karibuni na Rais John Magufuli amewasili katika eneo lake jipya la kazi ikiwa ni siku mbili...

READ MORE

Yanga 2-4 AFC Leopard Nusu Fainali ya SportPesa Super Cup (Full Match)

SpotiHausi: Live Match Yanga Vs AFC Leopard (SportPesa Super Cup) Yanga wanaondolewa mashindanoni kwa penalti. Leopards wanapata penalti 4, Yanga...

READ MORE

Hotuba ya Waziri wa Fedha Dk. Mpango KuhusuHali ya Uchumi na Mpango wa Maendeleo

Hotuba ya Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip I. Mpango (Mb), ya hali ya uchumi 2016 na mpango...

READ MORE

VIDEO: Kocha wa Chelsea, Antonio Conte Ampiga Chini Diego Costa

Kocha wa mabingwa wa Ligi Kuu England, Antonio Conte amemuandikia ujumbe mshambuliaji wake, Diego Costa kuwa hamhitaji. Awali ilionekana Costa...

READ MORE

SpotiHausi Leo, Saa 8:00 Mchana, ni Yanga Vs AFC Leopard LIVE

#SpotiHausi ni kipindi cha #Michezo kinacholetwa kwako na #GlobalTVOnline kila #Alhamisi Wachambuzi wa michezo Wilbert Molandi, Philip Nkini watakuwa wakiichambua LIVE mechi...

READ MORE

RC Anna Mgwhira Avuliwa Uenyekiti wa ACT- Wazalendo

Chama cha ACT Wazalendo  kimesitisha rasmi uenyekiti wa aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho tangu kuanzishwa kwake, Anna Mghwira, baada ya...

READ MORE

Pichaz + Video: Warriors Yawachapa Cleveland 118 kwa 113 NBA, Usiku wa Kuamkia Leo (Game 3)

ZIKIWA zimebaki sekunde 45.3 kabla ya mchezo kumalizika katika ligi ya mpira wa kikapu (basketball) nchini Marekani, Kevin Durant wa...

READ MORE

VIDEO: Watoto Majeruhi wa Ajali ya Lucky Vincet Waanza Mazoezi ya Viungo

Watoto Sadia, Wilson na Doreen wameendelea na mazoezi ya mwili na viungo chini ya Uangalizi wa Dkt. Elias Mashalla na...

READ MORE

Tundu Lissu Aibeza ACT-Wazalendo

GABRIEL NG’OSHA |AMANI| HABARI DAR ES SALAAM: Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu amekibeza Chama...

READ MORE

Waraka wa Dk. Slaa Kufuatia Kifo cha Mzee Ndesamburo

Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbroad Slaa amesema kuwa amesikitishwa sana na kifo cha...

READ MORE

LIVE Kutoka Bungeni, Uwasilishwaji wa Bajeti Kuu ya Serikali 2017/2018

Serikali imetoa takwimu ikielezea hali ya ukuaji uchumi katika kipindi cha mwaka 2016 na kueleza kuwa kiwango hicho kimeendelea kukua...

READ MORE

Maamuzi Ya Kikao Cha Kamati Ya Uongozi Juu Ya Uenyekiti Wa Chama Cha ACT

Tarehe 3 Juni, 2017 Mwenyekiti wa chama chetu cha ACT Wazalendo, Mama Anna Elisha Mghwira aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

Kikwete, Mwinyi Waongoza Wawaombolezaji Mazishi ya Balozi Sisco Mtiro

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Mh. Dk. Jakaya Kikwete akiweka mchanga kaburini wakati aliposhiriki katika mazishi ya Marehemu Balozi...

READ MORE

Rayuu Atoa Sababu Za Kutokufunga Mwezi Mtukufu

Stori: Mayasa Mariwata |Amani | Habari MSANII kutoka Bongo Muvi, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ amefunguka kuwa ugonjwa wa vidonda vya tumbo...

READ MORE

Nisha Adai Kuwa Na Uhusiano Na Mbwa

 Stori: Gladness Mallya | Amani | Habari WAKATI waumini wa Dini ya Kiislam wakiendelea na Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa...

READ MORE

Shehe Mkuu Dar Kumsomea Wema Sepetu Kisomo Kizito!

 STORI: GABRIEL NG’OSHA NA MAYASA MARIWATA | AMANI | HABARI DAR ES SALAAM: Kufuatia mabalaa mbalimbali ambayo yamekuwa yakimuandama Miss...

READ MORE

Simu Ya Mwenza Wako Ya Nini? Unajipa Presha Bure…

KWA wanandoa, uaminifu limekuwa ni jambo la msingi sana ndiyo maana kila siku tunasema, ili udumu na huyo uliyeingia naye...

READ MORE

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Alhamisi June 8, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, June 8, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Zile Sauti za Kimahaba Mtandaoni…Dude la Wema, Mbowe Kimenuka!

MWANDISHI WETU | RISASI MCHANGANYIKO | HABARI DAR ES SALAAM: Siku chache baada ya kusambaa kwa sauti katika mitandao ya...

READ MORE

Breaking News: Baada ya IGP Sirro Kuzuru Pwani, Askari Mgambo Mwingine Apigwa Risasi Mkuranga

  MKURANGA: Askari mgambo aliyetambulika kwa jina la Nurdin Kisinga amepigwa risasi leo June 7, 2017 majira ya saa 9...

READ MORE

Global TV Online LIVE: Nyani Wanaopatikana Zanzibar Pekee Duniani!

SUBSCRIBE NOW: https://www.youtube.com/user/uwazi1 GLOBAL TV Online, kwa hisani kubwa ya TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA), inakuletea kipindi cha FAHARI YA TANZANIA...

READ MORE

Exclusive: Dakika 26 za Mama Anna Mghwira Nyumbani Kwake Baada ya Kuapishwa (VIDEO)

SAA chache baada ya Anna Mghwira kuapishwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli, kuwa Mkuu...

READ MORE

Global TV Online: Usikose Kutazama Kipindi cha Wanyama Live saa 11 Jioni leo

Usikose kutazama kipindi cha mbuga za wanyama leo kikirushwa LIVE kupitia Global TV Online leo saa 11:00 jioni. Kutazama kipindi...

READ MORE

Isco Fundi Anayetaka Kubaki Real Madrid

Madrid, Hispania | Championi Jumatano | Makala PAMOJA na kwamba Cristiano Ronaldo alipewa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Fainali ya...

READ MORE

Takwimu Za Fainali NBA 2016/2017 Zipo Hapa

Takwimu za mchezo wa pili Robo 1 2 3 4 Jumla Cavaliers: 34 30 24 25 113 Warriors: 40 27...

READ MORE

Bodaboda Ajigongesha Makusudi Kwenye Nguzo Akiwa Amembeba Askari, Afariki

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limelazimika kutumia mabomu kuwatawanya madereva bodaboda zaidi ya 100 waliokuwa wanaandamana kuelekea eneo la Ibinzamata...

READ MORE

Lebron Vs Curry Mkali Zaidi Huyu Hapa

NBA | CHAMPIONI JUMATANO | MAKALA LEBRON James na Stephen Curry, wote hivi sasa wapo mzigoni wakiendelea kuzitumikia timu zao...

READ MORE

Lebron James Mchezaji Bora Zaidi Katika Mpira Wa Kikapu Wa Cleveland Cavaliers

NA SALEH ALLY | CHAMPIONI JUMATANO | MAKALA KWA sasa hakuna ubishi mchezaji bora zaidi katika mpira wa kikapu kuwa...

READ MORE

VIDEO: Taifa Stars Warejea Nyumbani Kutoka Kambini Misri

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), linaamini kikosi cha Taifa Stars kiko vizuri tayari kuimaliza Lesotho. Stars imerejea nchini leo baada...

READ MORE

Kocha Simba Ataja Kilichosababisha Wakatolewa Sportpesa Super Cup

Mashabiki wengi wa Simba, jana Jumanne walionekana kuwa na nyuso za huzuni baada ya timu yao kutolewa na Nakuru All...

READ MORE

VIDEO: Sakata la Kusimamishwa Bungeni, Halima Mdee, Ester Bulaya Kumpeleka Ndugai Mahakamani

NA HILLARY DAUDI | GLOBAL TV ALIYEKO KILIMANJARO IKIWA ni siku chache baada ya Spika Job Ndugai kuwasimamisha wasihudhurie Bunge...

READ MORE

Bungeni: Halima Mdee na Ester Bulaya Kulipwa nusu Mshahara

Wabunge wa Chadema, Halima Mdee (Kawe) na Ester Bulaya (Bunda Mjini) ambao wamesimamishwa kuhudhuria vikao vya Bunge, watalipwa nusu mshahara...

READ MORE

VIDEO: Huzuni Yatanda Wakati Mwili wa Mzee Ndesamburo Ukiingizwa Kaburini

MOSHI: Mazishi ya Mzee Philemon Ndesamburo Kiwelu, yalifanyika jana Juni 6, 2017 nyumbani kwake, KDC Moshi mkoani Kilimanjaro na kuhudhuriwa...

READ MORE

Shilole Amlilia Mungu Akaunti Yake Kuingiliwa

Stori: Gladness Mallya | Risasi Mchanganyiko | Za Motomoto News STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemlilia...

READ MORE

Mama Lulu Amaliza Bifu Na Mama Kanumba

Stori; Mwamdishi wetu | Risasi Mchanganyiko | Habari DAR ES SALAAM: Baada ya kuwa katika mgogoro kwa muda mrefu, wazazi...

READ MORE