×

Habari

AMANDA: Tatuu ni Kama Teja wa Unga

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES MWANADADA kutoka Bongo Muvi, Amanda Poshi ameibuka na kusema kuwa kuchora michoro mwilini...

READ MORE

Ajira Inazidisha au Inapunguza Upendo?

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| MAKALA HAYA tena leo kama kawaida tunakutana kwenye kijiwe chetu cha kupeana somo na wakati...

READ MORE

Rais Magufuli Akizindua Ujenzi wa Reli ya Kimataifa Dar-Moro

RAIS Dkt John Pombe Magufuli amezindua Rasmi ujenzi wa Mradi wa Reli ya Kisasa ya Kimataifa ambayo treni ya kisasa...

READ MORE

Ridhiwani: Baba na Magufuli Wanachonganishwa

DAR ES SALAAM: Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye ni mtoto...

READ MORE

Ishu ya Roma, Davina Amuunga Mkono Wema

Na MWANDISHI WETU| RISASI MCHANGANYIKO| RISASI VIBES BAADA ya supastaa wa filamu Wema Sepetu kuwashutumu wenzake wa Bongo Muvi kwa...

READ MORE

Rais Magufuli Kuweka Jiwe la Msingi Ujenzi wa Reli ya Kisasa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo  anatarajia kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya...

READ MORE

Hassan William Mbeya: ‘Nilikuwa Msukule kwa Miaka 12’

DAR ES SALAAM: Kazi ipo! Hassan William (28) ni kijana, mwenyeji wa Kijiji cha Uturo, Mbeya ameibuka na kudai kuwa,...

READ MORE

Mambo 10 Yanayofanya Mtu Kunenepa..

WIKI iliyopita nilieleza kwa urefu tatizo la watu wanene na tukazitaja sababu tatu za watu kunenepa ukiacha zile za kula...

READ MORE

Yasome Kwenye Tovuti Yetu Magazeti Yote Tanzania Aprili 12, 2017 ya Udaku, Hardnews na michezo

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 12, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Wajumbe wa Kamati Maalum ya Kuchunguza Mchanga wa Madini

Rais Dkt John Pombe Magufuli amewaapisha wajumbe wa Kamati Maalum ya pili ya kuchunguza madini aliowachagua juzi.

READ MORE

Uamuzi Kesi ya Shkuba, Wenzake Kutolewa Kesho

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imeshindwa kutoa maamuzi kuhusu maombi ya Serikali ya Marekani ya kuwataka raia watatu wa...

READ MORE

Maziko ya Bosi wa Freemason Yatikisa, Hatua 11 za Kuchoma mwili zatajwa…

DAR ES SALAAM: Basi tena! Jana Mikocheni Makumbusho jijini hapa katika eneo maalum la kuchoma maiti, mwili wa aliyekuwa kiongozi...

READ MORE

Taarifa ya Utendaji wa TAKUKURU Yafika kwa Rais Magufuli

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli amepokea toka kwa Mkurugenzi mkuu wa TAKUKURU Kamishna Valentino Mlowola...

READ MORE

Nay wa Mitego, Rich Mavoko Kulikoni?

WAKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki anayetamba kwa ngoma yake ya WAPO na Rich Mavoko kutoka Lebo ya...

READ MORE

Kwa Nini Wanaume Huishiwa Nguvu za Kiume?

Na Tabibu wa Uwazi| Gazeti la Uwazi| Makala KUISHIWA nguvu za kiume ni jambo la kawaida kwa wanaume wengi hasa...

READ MORE

Zimamoto Kupanua Utoaji Elimu ya Huduma kwa Jamii

JESHI la Zimamoto na Uokoaji (FRF) linatazamia kujizatiti kupanua wigo wa utoaji huduma kwa jamii. Hayo yamesemwa leo na Kamishna...

READ MORE

Bungeni: Bashe Awataka Wabunge wa CCM Waache Unafiki, Asema Yupo Tayari Kutimuliwa Uanachama

Mbunge wa Nzega Mjini(CCM) Hussein Bashe amewataka wabunge wa CCM  kuacha unafiki kuhusu kuwateka watu na kwamba yeye ni mmoja...

READ MORE

Mb Doggy Awachana Kina Diamond, Kiba

Na ALLY KATALAMBULA| GAZETI LA UWAZI| SHOW BIZ MSANII mkongwe kwenye Bongo Fleva, aliyewahi kutamba na ngoma za Latifa, Si...

READ MORE

Huduma za Benki ya NMB Zasogea Mtaani Kwako

  UPATIKANAJI wa huduma za Benki ya NMB umezidi kuboreshwa na sasa umesogezwa zaidi mtaani kwako. Mteja wa NMB na...

READ MORE

Bungeni Dodoma: Zitto Kabwe Awatuhumu Usalama Kuhusika na Utekaji wa Wananchi

[Sehemu ya 3 ya Hotuba ya ndugu Kabwe Zuberi Ruyagwa Zitto (MB) kuhusu Mapitio na mwelekeo wa kazi za Serikali...

READ MORE

SHOGA; Unajua Mzee Anapenda Nini Kwenye Chakula?

Na SOPHIA MA`MDOGO| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NI Jumanne nyingine shoga nimekutana nawe kwenye kona yetu hii ya mahaba, kona...

READ MORE

VIDEO: Maduka Yateketea Kwa Moto Mkubwa Kigamboni

TUKIO la ajali mbaya ya moto ulioteketeza maduka usiku wa kuamkia leo katika maeneo ya Kigamboni, Dar es Salaam limeacha...

READ MORE

Viongozi wa Dini Nchini Wakutana Kujadili Kuhamasisha Uhuishaji wa Katiba Mpya

Viongozi wa dini mbalimbali nchini, leo wamekutana katika Ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, Posta jijini Dar es Salaam kujadiliana...

READ MORE

Wanawake Wengi Hubakwa na Kushambuliwa, Kabila la Wala Watu Sehemu ya 14

Na ELVAN STAMBULI| GAZETI LA UWAZI| MAKALA NAENDELEA kukuletea habari za watu wanaokula binadamu wenzao huko Papua New Guinea. Tumeeleza...

READ MORE

Yanga Wacharuka Ishu Ya Kadi Tatu Za Fakhi, Watinga TFF, Bodi ya Ligi

Unaweza kumekucha kwa kuwa Kamati ya Utendaji ya klabu ya Yanga imeitaka Bodi ya Ligi Kuu Bara kutothubutu kuwapa pointi...

READ MORE

Juma Nkamia Kamshangaa Waziri Mwakyembe Kuhudhuria Mkutano wa Roma

Mbunge wa Chemba Juma Nkamia leo alipata nafasi ya kusimama Bungeni Dodoma  katika kuchangia maoni kuhusu mapitio ya mapato na...

READ MORE

Dayna Abadilishwa na Tuzo

  Na Boniphace Ngumije| UWAZI | SHOWBIZ MWANADADA kiwango kwenye Tasnia ya Muziki Bongo, Mwanaisha Said ‘Dayna Nyange’ amesema kuwa...

READ MORE

Afisa wa uhamiaji auawa kwa Risasi

Na : Boniphace Ngomije & Ally Katalambula/GPL/Uwazi D AR ES SALAAM: Simanzi! David Mulungu, 40, (pichani) Afisa Uhamiaji jijini hapa,...

READ MORE

Basata Walinirudisha Sana Nyuma

  NA BONIPHACE NGUMIJE |GAZETI LA UWAZI| SHOWBIZ MKALI wa mich­ano ambaye anakim­biza kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva...

READ MORE

Mwigulu atoa tamko Bashe…

Na Mwandishi Wetu GPL/ Uwazi D ODOMA: Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba jana alitoa tamko kufuatia madai ya...

READ MORE

Odemba Studio kwa Diamond

STORI: BONIPHACE NGUMIJE NA IMELDA MTEMA | UWAZI| DAR ES SALAAM Mwanamitindo maarufu Bongo na Miss Temeke 1997, Miriam Julius...

READ MORE

Shkuba Mikononi mwa Trump

STORI: MWANDISHI WETU | GAZETI LA UWAZI |  DAR ES SALAAM Ofisi ya Waziri wa Katiba na Sheria, imewasilisha maombi...

READ MORE

Yasome Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumanne, Aprili 11, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 11, 2017. Ni yale ya...

READ MORE

VIDEO: Simulizi ya Kutekwa kwa Roma na Wenzake Watatu, Inasikitisha!

RAPA Roma Mkatoliki amezungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la utekaji lililomkuta yeye pamoja na wenzake watatu usiku wa...

READ MORE

Harmorapa, Bahati Haiji Mara Mbili!

Muandaaji: Ojuku Abraham | RISASI JUMAMOSI | MZEE BUNDUKI ATHUMANI Omary ambaye Sasa ni gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii na...

READ MORE

Lulu Diva: Amber, Gigy Si Saizi Yangu!

STORI: BONIPHACE NGUMIJE | RISASI JUMAMOSI | MIKITO NUSUNUSU MWANADADA aliyewahi kuwa video Vixen Bongo, Lulu Abassi ‘Lulu Diva’ hivi...

READ MORE

Ugonjwa wa Usonji Kwa Watoto (Autism)

USONJI au Autism kwa kitaalamu, ni tatizo linalowasumbua watoto wengi lakini kwa bahati mbaya, jamii hvaina uelewa wa kutosha kuhusu...

READ MORE

Yasome Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumamosi, Aprili 08, 2017

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, April 08, 2017. Ni yale ya...

READ MORE