×

Habari

Rais wa Uturuki, Recep Erdogan Awasili Nchini Kwa Ziara ya Kikazi

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa   na Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan  aliyefuatana na  mkewe, Mheshimiwa Emine Erdogan (kulia) wakifuhia ngoma...

READ MORE

Watu 36 Wamefariki Dunia na Wengine Zaida ya 50 Kujeruhiwa Katika Ajali ya Train India.

Mashuhuda wakiangalia Treni iliyopinduka. INDIA: Katika jimbo la Andhra Pradesh huko India watu 36 wamefariki dunia na wengine wengi zaidi...

READ MORE

Wananchi Jimbo la Dimani, Zanzibar Wapiga Kura

Wananchi wakiangalia majina yao kabla ya kupiga kura katika kituo cha Bweleo katika jimbo la Dimani leo. Hatimaye wananchi wa...

READ MORE

Uchaguzi wa Ubunge Jimbo la Dimani na Madiwani Tanzania Bara

Wanachi wakipiga kura katika chaguzi zilizopita. Uchaguzi wa madiwani unafanyika kwenye kata Ishirini (20) katika Halmashauri Kumi na Tisa (19)...

READ MORE

Kilichojiri Siku Moja Baada ya Kuapishwa Trump

Baadhi ya waandamanaji wakiwa na mabango barabarani. JUMAMOSI hii mamilioni ya wanawake duniani, waliandamana kupinga kuapishwa Rais Donald Trump akiwa...

READ MORE

Tanzia: Kamanda wa Polisi wa Zamani Dkt. Mohamed Chico Afariki Dunia

Kamanda wa polisi wa zamani mkoa wa Kilimanjaro Dkt. Mohamed  Chico amefariki dunia  usiku wa kuamkia leo jijini Dar es...

READ MORE

Mwanjale Mchezaji Bora wa Desemba 2016

    Sentahafu wa Simba, Method Mwanjale. Sentahafu wa Simba, Method Mwanjale amechaguliwa kuwa mchezaji bora Desemba wa Ligi Kuu...

READ MORE

Sekeseke la Mauaji Mabibo Jijini Dar

  Wakazi na wafanyabiashara wa Mabibo jijini Dar es Salaam wakiwa wameizunguka ofisi ya soko la Mabibo-Mwisho alimohifadhiwa mtu anayetuhumiwa...

READ MORE

Watoto wa Mastaa Gumzo Mtandaoni

Mtoto wa Esma Platnumz akiwa na Mjomba wake, DJ Romy Jones. HAPO awali ushindani kwa mastaa ulikuwa ni ufahari katika...

READ MORE

Kikwete Akutana na Mabilionea, Aliko Dangote na Bill Gates

Rais Mstaafu Jakaya Kikwete (kushoto), Alhaji Aliko Dangote (katikati) na Bill Gates (kulia). Rais wa awamu ya nne wa Jamhuri...

READ MORE

Baada ya Bilicanas na Shamba, Serikali ‘Yakamata’ Hoteli ya Mbowe wilayani Hai, Kilimanjaro

 Ikiwa ni takribani miezi mitano sasa tangu Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe alipoondolewa katika jengo la Bilicanas lililokuwa pia...

READ MORE

Yahya Jammeh ‘Alivyosepeshwa’ Gambia Kwenda Kuishi Uhamishoni

Aliyekuwa Rais wa Gambia, Yahya Jammeh. Aliyekuwa Rais wa Gambia, Yahya Jammeh ameondoka nchini humo baada ya mvutano wa muda...

READ MORE

Ditto Kumtoa Afande Selle 2017

Lameck Ditto (kushoto) akiongea na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally (kulia). Mkali wa Bongo Fleva anayetikisa kwa sasa...

READ MORE

Ujumbe wa Mpoto Wahusishwa na Baa la Njaa

Mrisho Mpoto akiwa Global Tv Online Mwanamuziki wa Muziki wa Asili Bongo na mtumbuizaji kwa staili ya kughani mashairi, Mrisho...

READ MORE

Magazeti Yote ya Leo Jumapili, Januari 22, 2017

Soma kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo Jumapili, Januari 22, 2017. Pia endelea kutembelea Global Publishers kwa habari zote zinajiri...

READ MORE

Aliyetumbuliwa na JPM Ukuu wa Mkoa, Amteua Kuwa Mbunge

Rais Dkt John Pombe Magufuli leo Jumamosi, Januari 21, 2017 amemteua Anne Kilango Malecela kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri...

READ MORE

Hadithi ya Eric Shigongo: Dimbwi la Damu-05

ERIC SHIGONGO DIMBWI LA DAMU-05 GLOBAL PUBLISHERS Roho mkononi Tehran: Katika nchi zilizopiga vita madawa ya kulevya kwa nguvu zote...

READ MORE

Albamu Mpya ya AIM ya Navy Kenzo Haikamatiki Mitandaoni

IKIWA ni baada ya Kundi la Navy Kenzo linaloundwa na wasanii wawili kutoka Bongo, Aika na Nahreel kuachia Albamu yao...

READ MORE

Yanga Yaichapa Ashanti Bao 4-0, FA Cup

Mabingwa watetezi Kombe la Shirikisho, Yanga wameanza kampeni yao ya kulitetea kombe hilo vizuri kwa kuitwanga Ashanti United kwa mabao...

READ MORE

Mbalizi Nao Wanasema ni Zamu Yao Kushinda Nyumba Msimu Huu

Msomaji akisoma Gazeti la Risasi Mchanganyiko linalokuwa mtaani kila Jumatano. Wasomaji wakichangamkia Magazeti ya Championi na Risasi Mchanganyiko. Wakijaza kuponi...

READ MORE

Wachina Waishio Tanzania Washerehekea Siku Yao ya Mwaka Mpya

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan akizungumza jambo katika sherehe hizo. Balozi wa China hapa nchini, LU Youging akizungumza jambo...

READ MORE

Moyo Sukuma Damu: Hazina Iliyofichwa Maktaba Mwaka Mzima!

    Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erik Evarist (wa kwanza kulia) akimuonyesha Lameck Ditto (katikati) utengenezaji wa gazeti la...

READ MORE

Mbasha: Ukiona Ndoa Imedumu Kuna Mmoja Kajifanya Bwege!

LEO Januari 21, 2017 mwimbaji wa nyimbo za Injili hapa Bongo, Emmanuel Mbasha ameweka wazi kuwa jambo la kuelewana kwenye...

READ MORE

Video: Donald Trump Aapishwa Kuwa Rais wa 45 wa Marekani (+Pichaz 40) za Matukio

  WASHNGTON DC, MAREKANI: Mfanyabiashara Maarufu duniani, Donald John Trump ameapishwa rasmi kuwa Rais wa 45 wa Marekani huku bwana...

READ MORE

Maneno ya Mike Sangu kwa Mama Kanumba Baada ya Kumtambulisha Mrithi wa Mwanaye

GLADNESS MALLYA, Gazeti la Risasi Jumamosi, Toleo la Januari 21, 2017 KUTOKANA na hivi karibuni mama wa aliyekuwa staa mkubwa...

READ MORE

Mshindi wa Chemsha Bongo ya Shinda Nyumba kwa Leo ni Jafar Nzowa

Mshindi wa Chemsha Bongo ya #ShindaNyumba2 kwa leo ni Jafar Nzowa amwenye namba za simu 0752826061. ‘Alikomenti’ kupitia tovuti ya...

READ MORE

Video + Picha: Barack Obama na Mkewe Walivyosepa Washington DC

Kutoka kushoto ni First Lady Melania Trump, Karen Pence, Rais Donald Trump, Makamu wa Rais Mike Pence, Barack Obama, Joe...

READ MORE

Acha Maneno, Miliki Nyumba kwa Shilingi 500 Tu

Wauza magazeti wakimuelekeza msomaji namna ya kujaza kuponi ya Shinda Nyumba iliyoko ukurasa wa pili wa kila Gazeti linalochapishwa na...

READ MORE

Maambukizi Kwenye Mfuko Wa Kizazi (Pelvic Inflamatory Disease)

MAAMBUKIZI haya ni ya vijidudu katika via vya uzazi ambapo wadudu hupanda kutoka kwenye utupu wa mwanamke na kuingia kwenye...

READ MORE

Umeyasikia Maneno ya Trump Mara Baada tu ya Kuapishwa Kuwa Rais?

MAREKANI: Rais Donald Trump wa Marekani ameahidi kuwaunganisha Wamarekani alipokuwa anawahutubia muda mfupi mara baada ya kuapishwa kuwa rais wa...

READ MORE

Tatizo la Fangasi Kwenye Ubongo

ATIZO la fangasi katika ubongo (Mucormycosis), ni ugonjwa ambao katika siku za hivi karibuni umekuwa maarufu huku ukisababisha vifo vya...

READ MORE

Hatimaye Rais Jammeh ‘Amekubali Kuachia Madaraka’ Gambia

GAMBIA: Hatimaye Kiongozi wa muda mrefu nchini Gambia, Yahya Jammeh (pichani) amekubali kung’atuka na kuondoka nchini humo, rais anayetambuliwa na...

READ MORE

Magazeti ya Yote ya Leo Jumamosi, Januari 21, 2017

Soma kilichoandikwa kwenye magazeti ya Tanzania leo Jumamosi, Januari 21, 2017. Pia endelea kutembelea Global Publishers kwa habari zote zinajiri...

READ MORE

Ditto: Moyo Sukuma Damu ni ‘Idea’ ya Miaka Miwili

Msanii wa kizazi kipya anayesumbua kwa sasa na ngoma yake mpya ya Moyo Sukuma Damu, Lameck Ditto leo katika mahojiano...

READ MORE

Balozi wa WGFA Atangaza Fursa za Kuuza Bidhaa Uarabuni kwa Wajasiriamali

Khadija akizungumza na waandishi wa habari wa Global Publishers, leo. Wewe ni mjasiriamali mdogo na una ndoto za kukua kibiashara...

READ MORE