×

Habari

Wapwa wa Rais Watiwa Mbaroni kwa Kuingiza Kilo 800 za Cocaine, Marekani

MAREKANI: WAPWA wawili wa Rais wa Venezuela, Nicolás Maduro wamepatikana na hatia ya kujaribu kuingiza takribani Kilogramu 800 za Mihadarati...

READ MORE

Anyongwa Hadi Kufa kwa Kukutwa na Misokoto 14 ya Bangi!

Singapore: Mwanamme mmoja raia wa Nigeria amenyongwa hadi kufa nchini Singapore kwa kuhusika kwenye ulanguzi wa Madawa ya Kulevya baada...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi Novemba 19, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumamosi Novemba 19, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mwili wa Msichana Anayetarajia ‘Kufufuliwa’ Wahifadhiwa kwa Teknolojia Cryonics

Msichana ambaye alitaka mwili wake ugandishwe na kuhifadhiwa kwa matumaini kwamba anaweza kurejeshewa uhai wake siku za usoni, alipata ushindi...

READ MORE

Ester Bulaya Ambwaga Tena Wassira ‘Tyson’

Esther Bulaya (Chadema). Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Mwanza leo imetoa uamuzi wa kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa...

READ MORE

Kigwangalla Aongoza Siku ya Takwimu Afrika

Naibu Waziri wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Hamis Kigwangalla, akihutubia katika hafla hiyo....

READ MORE

Asilimia 41 ya Silaha Zote Tanzania Bara Hazijahakikiwa, Mwisho Dec 20, Wahusika Kufutiwa Leseni

Kaimu Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai,  CP-Robart Boaz akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).Akisikiliza maswali ya wanahabari yaliyokuwa yakiulizwa....

READ MORE

Video: Majambazi Wavamia Duka Mwanza, Wamuua Mama wa Kihindi kwa Risasi

  WATU wanaosadikia kuwa ni majambazi wakiwa na silaha za moto, wamevamia duka moja lililopo Mtaa wa Nkurumah (Katikati ya...

READ MORE

RwandAir Yanunua Ndege Kali Afrika, Duniani ya Pili

MOJA ya vitu ambavyo vina ‘kiki’ sana kwenye Mataifa ya Afrika Mashariki kwa sasa ni pamoja na huduma za usafiri...

READ MORE

Kamanda Sirro: Makonda Ni Mwenyekiti Wangu, Kama Ana Wasiwasi Atajua Atachukua Hatua Gani Dhidi Yetu

Kamanda wa Polisi mkoa wa Dar es Salaam, Simon Sirro, amesema kama Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul...

READ MORE

RC Makonda: Mnasubiria Nitumbuliwe? Mimi Najua Nipo kwaKusudi la Mungu

Dar es Salaam: Baada ya kauli ya Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kusema atamwajibisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpya, Wamo DCI- Diwani Athuman na Jaji Warioba

Rais John Pombe Magufuli (kulia) akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Sinde Warioba, Ikulu, jijini Dar (picha na maktaba)....

READ MORE

JPM Aikosa Tuzo ya Person of the Year 2016 Inayotolewa na Forbes

Aliyekuwa Mwendesha Mashtaka wa Serikali na Wakili nchini Afrika Kusini Thuli Madonsela jana ametangazwa kuwa ndiye mshindi  wa Tuzo ya...

READ MORE

Mwanafunzi wa UDOM Afikishwa Kortini Akidaiwa Kuwafadhili Al-Shabaab

Dodoma: Mtu mmoja anayehusishwa na vitendo vya ugaidi, Azan Abubakary amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Dodoma Mjini na kusomewa...

READ MORE

Mwanamke Afariki Akiombewa kwa ‘Nabii’, Akutwa Bila Nguo Akiwa Amenyolewa Nywele na Nyusi

ARUSHA: Mwanamke  mkazi wa Unga-Limited jijini Arusha , Lightness Kivuyo ameripotiwa kufa wakati akifanyiwa maombi nyumbani kwa mchungaji aliyejulikana kama...

READ MORE

Tecno Hawa Hapa Tena….Uko Tayari Kwa Jambo Kubwa?

  Kampuni inayoongozwa kwa kuuza simu bora na imara kwa bei nafuu, Tecno kila siku wanaumiza vichwa kuhakikisha kwamba una...

READ MORE

‘Fisi’ Mwenye HIV Akili Mahakamani Kuwa Alifanya Mapenzi na Wajane na Mabinti Wadogo 104

Uamuzi wa kesi ya mwanamme anayejulikana kwa jina la Eric Aniva nchini Malawi unatarajiwa kutolewa wiki hii, baada ya kukutwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa Novemba 18, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Ijumaa Novemba 18, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Kifo Chenye Utata cha Kigogo Mstaafu Jeshi la Magereza Uchunguzi Waanza

Dodoma: Naibu Kamishna mstaafu wa Magereza nchini (DCP), Luhusa Chiza (62) amefariki dunia katika mazingira ya utata kwenye Hoteli ya...

READ MORE

Shirika la Ndege la Etihad Lapanua Huduma Zake Ulaya          

Ndege ya mizigo ya  Shirika la Ndege la Etihad, Boeing 777 kupitia kitengo chake cha Etihad Cargo. Idara ya Usafirishaji...

READ MORE

Ma-DJ wa Bongo Kuchuana Kesho Manzese

DAR ES SALAAM: CHAMA Cha Muziki wa Disco Tanzania (TDMA) kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar...

READ MORE

Mrema Ataka Wafungwa Waliolipiwa Faini Waachiliwe

Mwenyekiti wa Bodi ya Parole Taifa Dk. Augustine Lyatonga Mrema akisoma taarifa yake. …Akionyesha nakala za malipo ya benki. Nakala za...

READ MORE

Waziri Mpango Mgeni Rasmi Siku ya Takwimu Afrika Kesho

Meneja Takwimu za Pato la Taifa (NBS), Daniel Masolwa, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Mkutano na wanahabari ukiendelea. WAZIRI wa...

READ MORE

Rais JPM Asaini Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametia saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka...

READ MORE

Wazungu Waliomtia Mtu Mweusi Kwenye Jeneza Akiwa Hai Washtakiwa

Theo Martins Jackson Mtu mweusi nchini Afrika Kusini ambaye alidaiwa kulazimishwa kuingia katika jeneza na wakulima wawili weupe kwa kupita...

READ MORE

Mwigulu Aonyesha Mfano kwa Wadaiwa Bodi ya Mikopo, Aanika Marejesho ya Mkopo wake

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba ameonyesha mfano bora kwa wadaiwa wa Mikopo ya Elimu ya Juu...

READ MORE

Rais Buhari Atakiwa na Wanahabari Kujiuzulu

RAIS Muhammadu Buhari wa Nigeria ametakiwa kuachia nafasi hiyo na kundi la upinzani la vyombo vya habari linalojulikana kama Wailing...

READ MORE

Lipumba Atishia Kumpiga Marufuku Maalim Seif Kufanya Mikutano Tanzania Bara

Mwenyekiti    wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema atampiga marufuku Katibu Mkuu wa Chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad kufanya...

READ MORE

Wanahabari Watimuliwa kwa Bunduki Kesi ya Lema, Mahakama Yalionya Jeshi la Polisi

Arusha: Wakati askari polisi saba watatoa ushahidi mahakamani katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema,...

READ MORE

Lwandamina Siwezi Kuwatema Wachezaji Kabla Ya Kuwaona

  Kocha mpya wa Yanga, George Lwandamina  (kushoto) akiwa na Mhariri Kiongozi wa Magazeti ya Championi, Saleh Ally. Na Saleh...

READ MORE

Azam FC Yawasajili Nyota Wawili Kutoka Ghana

Uongozi wa Klabu ya Azam FC jana ulisaini mikataba na washambuliaji wawili nyota kutoka nchini Ghana ambao ni Samuel Afful...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumatano Novemba 17, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumatano 17, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Trump Ashtukiza Mgahawani, New York

Rais mteule wa Marekani Donald Trump aliwashangaza wateja, na wanahabari wanaofuatilia safari zake, baada ya kujitokeza kwa kushtukiza katika mgahawa...

READ MORE

Makonda Amkaanga Kamanda Sirro, Adai anakula Rushwa za Wauza Shisha, Waziri Mkuu amgeuzia kibao

Dar es Salaam: Waziri  Mkuu, Kassim Majaliwa amesema atamwajibisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda iwapo hatasimamia...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Azindua Mradi wa Uboreshaji Miundombinu ya Umeme Dar

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka wakazi wa Jiji la Dar es Salaam watumie fursa ya uwepo wa umeme wa uhakika...

READ MORE

Kigwangalla Akifunga Kiwanda cha Afro-American Kinachozalisha Viroba Feki

DAR ES SALAAM: Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla, ameendelea na usimamizi...

READ MORE

Mpemba Kinara wa Meno ya Tembo Aliyetajwa na Rais Magufuli Apandishwa Kortini

DAR ES SALAAM: MTUHUMIWA wa makosa ya kukamatwa na nyara za serikali, Yusuf Ali Yusuf maarufu kama Shehe Mpemba (35)...

READ MORE

Huu Ndiyo Mjengo Atakapohamia Rais Obama Baada ya Trump Kuapishwa

JANUARI 2017, Rais wa Marekani anayemaliza muda wake, Barack Obama ataondoka kwenye Ikulu ya nchi hiyo, White House na kuelekea...

READ MORE