×

Habari

Shirika La Ndege La Etihad Laingia Makubaliano Ya Kihistoria Na ‘Precision Air’

Ndege ya Precison Air ATR-33300 KATIKA hatua za kuhakikisha inayafikia maeneo mengi Afrika Mashariki, Shirika la Etihad la Umoja wa...

READ MORE

Rais wa Gambia: Hakuna wa Kunitoa Madarakani, Labda Mungu Pekee

GAMBIA: Rais wa Gambia Yahya Jammeh amesema kuwa atakataa jaribio lolote la viongozi wa eneo la magharibi mwa Afrika la...

READ MORE

Aliyekufa Muda Mfupi Baada ya Kubatizwa Azikwa Kiislam

Kijana Issa Juma aliyeripotiwa kufariki dunia Jumapili iliyopita, muda mfupi baada ya kubadili dini na kubatizwa katika mto mmoja kwa...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania LeoAlhamisi Desemba 22, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 22, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Mpenzi Wako Anapokusaliti, Lazima Ujifunze Kitu

Mpenzi msomaji wangu, bila shaka uko poa kabisa, bila kukupotezea muda wako twende moja kwa moja kwenye mada ambayo nimekuandalia...

READ MORE

Miss Tanzania 2016 Arejea Nyumbani, Aahidi Kuanika Figisu Alizofanyiwa na Miss Kenya

Miss Tanzania 2016, Diana Edward Lukumay alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Akiwa...

READ MORE

Saida Karoli Anavyoibadili Bongo Fleva

Makala: Andrew Carlos | Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Toleo la Desemba 21, 2016 KWA miaka kadhaa sasa, maoni ya mashabiki...

READ MORE

Mgomo Yanga, Mshahara Ni Kisigizio Tu, Siri Imefichuka

 Wachezaji wa timu ya Yanga wakifanya maombi na Kocha wao George Lwandamina.  Na Mwandishi wetu| Gazeti la Championi J5 Wachezaji wa...

READ MORE

Meya Dar Apiga Marufuku Magari Kufungwa Minyororo Kwenye Maegesho

DAR ES SALAAM: Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amepiga marufuku kampuni zinazohusika na suala la kukusanya...

READ MORE

Majambazi wawili wauawa katika majibizano na polisi wilayani Rungwe

MBEYA: Watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wameuawa kwa kupigwa risasi na bunduki tatu zimekatwa kwenye mapambano ya kujibizana risasi...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latoa Ufafanuzi wa Maiti za Mto Ruvu, Kupotea Kwa Saanane

Na Denis Mtima DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi limesema kuwa liliamua kuruhusu kuzikwa kwa miili ya watu saba iliyokutwa...

READ MORE

Kilichojiri Katika Mgomo wa Saa 24 Wachezaji wa Yanga

        Meneja wa Yanga akizungumza na watu walio ndani ya gari. Wilbert Molandi na Musa Mateja |...

READ MORE

Niyonzima: Sasa Msuva Atakuwa Mfungaji Bora

Mshambuliaji wa timu ya Yanga. Wilbert Molandi | Championi Jumatano NAHODHA na kiungo mchezeshaji wa Yanga Mnyarwanda, Haruna Niyonzima amejiapiza kuwa,...

READ MORE

Shilole Afanya Birthday Ya Nguvu

  Stori: Musa Mateja | Global TV Msanii wa filamuna muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohamed Shilole, jana alifanya birthday...

READ MORE

Wolper Amchomesha ‘Mahindi’ Harmonize

Na Imelda Mtema |  Gazeti la Risasi Mchanganyiko DAR ES SALAAM:  Katika hali inayoonyesha amekufa ameoza, nyota wa Bongo Fleva kutoka...

READ MORE

Ndugu Waitenga Familia ya Mzee Small

Na Gladness Mallya | Risasi Mchanganyiko, Toleo la Desemba 21, 2016 DAR ES SALAAM: Miaka miwili tangu kufariki kwa msanii...

READ MORE

Amissi Tambwe Ampasua Kichwa Kocha Simba SC

Mshambuliaji wa timu ya Yanga, Hamis Tambwe. Nicodemus Jonas | Gazeti la hampioni Jumatano, Toleo la Desemba 21, 2016 INGAWA...

READ MORE

Watuhumiwa Mauaji ya Bondia Mashali Warudishwa Rumande

Na Gabriel Ng’osha, Gazeti la Risasi Mchanganyiko, Toleo la Desemba 21, 2016 DAR ES SALAAM: Vijana saba wanaoshtakiwa kwa tuhuma...

READ MORE

Haya Ndio Maisha Halisi ya Ben Pol, Mbali na Muziki Sana Analima Vitunguu

   Mwanamuziki mahiri wa Bongo Flava, Bernard Paul ‘Ben Pol’  akiwa na mtoto wake nyumbani kwake Tabata- Aroma, jijini Dar....

READ MORE

Hii Funga Mwaka ya 2016! Kutana na Familia Inayoishi Makaburini Dar

  Makala: Waandishi Wetu | Gazeti la Uwazi, Toleo la Desemba 20, 2016 Dar es Salaam: Unaweza kudhani ni simulizi...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatano Desemba 21, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 21, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Kaburi la Banza Latelekezwa

STORI: ISSA MNALY NA MAYASA MALIWATA | GAZETI LA UWAZI, Toleo la Desemba 20, 2016 DAR ES SALAAM: Kaburi la...

READ MORE

Serikali Yakanusha Kuhusu Kuwazuia Watumishi wa Umma Kukopa Benki

Kumekuwa na taarifa inasambazwa katika mitandao ya kijamii, makundi ya ‘WhatsApp’, ‘Facebook’ na majukwaa mbalimbali ikieleza kuwa Serikali imepiga marufuku...

READ MORE

Godbless Lema Akubaliwa Kukata Rufaa ya Dhamana

ARUSHA: Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, imelikubali ombi la  Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema,  la kuongezewa muda wa kuwasilisha...

READ MORE

Ngariba wa Wakurya Dar Aibuka, Awatahiri Watoto Saa 9 Usiku!

Na Gabriel Ng’osha | Gazeti la Uwazi, Toleo la Desemba 20, 2016 TOHARA ni jambo la muhimu na la lazima...

READ MORE

Wambura Ataka Wasanii Kurasimisha Kazi Zao

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura, akizungumza mbele ya wanahabari. Rais wa Taasisi ya...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Viongozi Wapya wa CCM Walioteuliwa Hivi Karibuni na DC Mteule wa Ubungo

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo Mteule Mhe. Kisare Makori (kushoto) akibadilishana mawasiliano na na viongozi wapya wa CCM walioteuliwa hivi...

READ MORE

Hadithi: Insane (Mwendawazimu -01)

Mtunzi: Nyemo Chilongani “Kwanza anza kuutoa huo mlango, mafuta yameanza kumwagika, gari linaweza kulipuka nakwambia,” ilisikika sauti ya mwanaume mmoja....

READ MORE

Hatari Sana! Vitovu vya Vichanga, Maji ya Maiti Vyauzwa kwa Siri Kubwa, Dar

Na Mwandishi wetu | Gazeti la Uwazi Toleo la Desemba 20, 2016 DAR ES SALAAM: Hatari! Kuna msemo kwamba, kila...

READ MORE

‘Gia’ ya Rais Magufuli Ndani ya Chama Yawakosha Nguvu CCM

Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar, Juma Simba, akizungumza na wanahabari. …Akisikiliza maswali ya wanahabari. Wanahabari...

READ MORE

Balozi Wa Urusi Nchini Uturuki Auawa Kwa Risasi Akihutubia

ANKARA: Balozi wa Urusi nchini Uturuki, Andrey Karlov (62) ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akihutubia jana Jumatatu usiku mjini Ankara,...

READ MORE

Mpambano wa Nichane Nikuchane, R.O.M.A Vs Darassa Gumzo ‘Vichwa Kuwaka Moto’, Dar Live

Zimesalia siku 15 tu kufikia Mkesha wa Mwaka Mpya ambapo ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo...

READ MORE

Wahifadhi: Hakuna Kaburi La Faru John

Arusha. Sakata na kifo cha Faru John (38), limechukua sura mpya baada ya wahifadhi wa eneo la Sasakwa Singita Grumet...

READ MORE

Baba Mzazi wa Ben Saanane Aliyepotea Kukagua Maiti Iliyowekwa Kwenye Kiroba

KILIMANJARO: Wakati polisi wakisema kuwa wanaufanyia mchakato wa vipimo vya vinasaba (DNA), mwili wa mtu anayedaiwa kuuawa nje kidogo ya...

READ MORE

AjaliYaua Watu Wanne Wakiwemo Polisi Wawili

DODOMA: Watu wanne wakiwamo polisi wawili, wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupindua katika kijiji cha...

READ MORE

Mtoto Miaka 3 Auzwa Akatolewe Kafara!

Stori: Waandishi Wetu, Gazeti la Risasi Jumamosi Dar es Salaam: Ni madai ya kushangaza! Kwamba, baadhi ya wanawake ombaomba waliopiga...

READ MORE

Mrembo Kutoka Puerto Rico, Stephanie Del Valle Ashinda Taji la Miss World 2016

Mshindi wa Miss World 2016, Stephanie Del Valle akivishwa taji na  Miss World 2015, Mireia Lalaguna Stephanie Del Valle akishindwa kuamini...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa: Kaburi la Faru John Litafutwe, Lifukuliwe na Mifupa Yake Ipimwe DNA

ARUSHA: WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda tume kuchunguza taarifa inayoelezea utaratibu uliotumika kumhamisha Faru John kutoka Hifadhi ya...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumatatu Desemba 19, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 19, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE