×

Habari

Ma Modo 10 Waliosumbua 2016

Hamisa Mobeto Na Mwandishi Wetu|Gazeti la Ijumaa Kwenye ulimwengu wa burudani, wapo wadada wanaofahamika kwa jina la Video Queen. Kwa...

READ MORE

Denti Udsm Alia Miguuni Kwa Shigongo

Watoa mada wakiongozwa na Shigongo katika maombi. Kijana Haleluya akimuangukia jukwaani. …Shigogo akimuangalia kijana huyo. …Akiongea jambo. Haleluya akizungumza na...

READ MORE

Uzinduzi wa ‘Yamoto Taarab’ Watia Kiwewe Mashabiki Dar Live

 Kundi la Yamoto likiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wao, Saidi Fela. Mwanamuziki wa Yamoto Taarab, Fatuma Mcharuko, akitunzwa...

READ MORE

Said Fella, ‘Upendo Ni Mimi’ Wachangia Damu Temeke

Wanachama wa Taasisi ya Upendo ni Mimi wakichangia damu katika Hospitali ya Temeke. NA GABRIEL NG’OSHA/GPL Said Fella, ‘Upendo Ni...

READ MORE

Ndege ya Indonesia Yaanguka, Yaua Wote 13 Waliokuwemo

Wanajeshi wa Indonesia wakifanya uchunguzi baada ya ndege aina ya Hercules C-130 kuanguka katika eneo la misitu nchini Papua. NDEGE...

READ MORE

Miss Kachumbari wa Kachumbari Show apatikana

Mshindi wa Miss Kachumbari, Anna Mbawala akiwa amepozi baada ya kuibuka mshindi. …Akiwa na warembo wengine. Msanii chipukizi wa Bongo...

READ MORE

Wajasiriamali Wafurika Semina Ya Wezesha Mzawa

  Meza kuu kutoka kushoto ni Mtaalamu wa Kilimo na Ufugaji wa Samaki, mzee Moshi Macmillan, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni...

READ MORE

Wanamuziki Waliovuma 2016

Darassa Alianza kuvuma zaidi kuanzia Januari alipoibuka na Wimbo wa Kama Utanipenda kisha akatoa Heya Haye na Too Much. Kwa...

READ MORE

Mr Paparazi: Jokate kweli unampenda Ali Kiba au ndo’ vile?

Mwanamitindo Jokate Mwegelo (kushoto) aliponaswa na Paparazi wa IJUMAA akipewa vidonge vyake na meneja wa Ali Kiba, Seven Mosha, Mlimani City...

READ MORE

Tumbuatumbua ya Magufuli yailiza tena familia ya Malecela!

  Rais John Magufuli Matamko yawaponza Anne na Mwele Na Walusanga Ndaki/GPL DHAMIRA ya Rais John Magufuli kutaka kuwarudisha Watanzania...

READ MORE

Mambo mawili ya kumtoa machozi Sanchi

Na Imelda Mtema, Gazeti la Ijumaa Mwanamitindo ambaye hivi karibuni amekuwa gumzo kutokana na umbo lake, Jane Rimoy ‘Sanchi’ amefungukia...

READ MORE

Skendo 10 Za Mastaa zilizotikisa 2016

Modo mwenye figa ya kuvutia nchini Bongo anayekuja kwa kasi kwenye tasnia ya urembo, Sanchoka. Na Mwandishi Wetu | Gazeti...

READ MORE

Chama cha ZANU-PF Kimemtangaza Rais Robert Mugabe Kuwa Mgombea Wake Katika Uchaguzi Mkuu wa 2018

ZIMBABWE: Chama tawala ZANU-PF kimemtangaza Rais Robert Mugabe(92) kuwa mgombea wake katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2018 Mugabe mwenye umri...

READ MORE

Lwandamina Aanzia Kileleni, Yanga 3- 0 JKT Ruvu Uwanja Wa Uhuru

Kikosi cha timu ya Yanga kilichoanza dhidi ya JKT Ruvu katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar. Yanga walishinda bao 3...

READ MORE

Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela Yauzwa Milioni 19.58

Barua iliyowekwa sahihi na mwanamasumbwi Mohammad Ali na kuandikiwa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, akitoa rambi rambi...

READ MORE

Makamu wa Rais: Kila Jumamosi ya Pili ya Mwezi ni Siku ya Mazoezi Nchi Nzima

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ametoa muda wa miezi Mitatu kwa halmashauri zote...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumapili Desemba 18, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 18, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

CCM yashinda Umeya Manispaa Mpya ya Kigamboni -Dar

Uchaguzi  wa kumpata Meya wa Manispaa ya Kigamboni jijini Dar es Salaam, umefanyika na hatimaye Diwani wa Kata ya Pemba...

READ MORE

Kanda Ya Kati Waitaka Nyumba Mpya Ya Pili Ya Global

Nyumba ya Global aliyojishindia Nelly Mwangosi. GLOBAL Publishers, kampuni namba moja ya uchapishaji wa magazeti Tanzania, imetangaza nia yake ya...

READ MORE

Madai, Dude Ahamia Rasmi kwa Ester Kiama

      Stori inatoka Gazeti la AMANI DAR ES SALAAM: Kweli OFM Kiboko! Kumekuwepo na madai kwamba, mwigizaji nyota wa sinema...

READ MORE

Baada ya Mkurugenzi wa NIMR Kutumbuliwa, Prof. Kitila Mkumbo Ameyasema Haya

BAADA ya kutenguliwa kwake na Rais Dkt. John Magufuli, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu, NIMR,...

READ MORE

Eric James Shigongo: Dimbwi la Damu-01

ERIC JAMES SHIGONGO: DIMBWI LA DAMU-01 Ilikuwa ni siku ya jumapili mjini Arusha, mawingu yalitanda kila mahali angani na manyunyu...

READ MORE

Sehemu Ambazo Kamwe Huruhusiwi Kuzitembelea Hapa Duniani

Najua kwamba ungefurahi sana kuona ukiizunguka dunia unavyotaka, utembelee fukwe zote duniani, hoteli na sehemu nyingine nyingi. Labda unasema kwamba...

READ MORE

Penzi la Jide, Nusu Bongo, Nusu Nigeria

Mpenzi wa Jide, Spicy naye akifunguka mbele ya kamera za Global TV Online. BAADA ya kukaa muda mrefu bila kumtambulisha...

READ MORE

Ngassa Kama Utani Katua Mbeya City

Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Fanja FC, Mrisho Ngassa enzi akiwa Yanga. Wilbert Molandi,Dar es Salaam KIUNGO mshambuliaji wa zamani...

READ MORE

Breaking News: Mbuge Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Apata Ajali, Mtoto Afariki Kwenye Ajali Hiyo

MBEYA: Taarifa zilizoripotiwa na kituo cha runinga cha ITV leo Desemba 17, 2016 zinasema kuwa Mbunge wa Jimbo loa Mbeya...

READ MORE

Dr Mwele Malechela Aliyetumbuliwa Asema ‘Safari Itasonga kwa Msaada wa Mungu’

BAADA ya kutenguliwa kwake na Rais Dkt. John Magufuli, aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu, NIMR,...

READ MORE

Lwandamina Mtihani Wa Kwanza Ligi Kuu Leo

  Kocha Mkuu wa Yanga, George Lwandamina. Khadija Mngwai, Dar es Salaam KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina, anatarajia kuanza...

READ MORE

Wasifu wa Prof. Yunus Mgaya Aliyeteuliwa Kuwa Mkurugenzi Mkuu Wa NIMR

Prof. Yunus Daud Mgaya aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR kujaza nafasi ya Dkt Mwele Malecela ambaye uteuzi wake ulitenguliwa...

READ MORE

Mahakama Yatupa Pingamizi la Serikali Katika Kesi ya Mbunge Lema

ARUSHA: Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imetupilia mbali pingamizi la mawakili wa serikali ilizoweka dhidi ya taarifa ya dharura ya...

READ MORE

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR, Amteua Prof. Mgaya Kushika Wadhifa Huo

Taarifa kutoka IKULU inasema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, tarehe 16 Desemba, 2016 ametengua...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Desemba 17, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 16, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Serikali Yakanusha Kuwepo Kwa Ugonjwa wa ZIKA Nchini

WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imesema hakuna uthibitisho wa kuwepo kwa ugonjwa wa Zika nchini....

READ MORE

Wanasheria Kutoa Misaada kwa Wananchi Mkoani Dar es Salaam

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, akiongea na wanasheria na wanahabari ofisini kwake leo. …Akisisitiza jambo katika...

READ MORE

Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema

Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama...

READ MORE

Aunt Ezekiel: Siku ya Kwanza Kufanya Mapenzi na Moze Iyobo, Tulikuwa Tunaangalia TV (+Video)

Aunt Ezekiel: Siku ya Kwanza Kufanya Mapenzi na Moze Iyobo, Tulikuwa Tunaangalia TV Aunt Ezekiel: Kama Nina Mimba, Hairudi Ndani,...

READ MORE

Mwanzilishi wa JamiiForums Asomewa Mashtaka 3 Kisutu, 2 Apata Dhamana, Apelekwa Gereza la Keko

Mwanzilishi wa JamiiForums, Maxence Melo ameshtakiwa kwa makosa matatu likiwemo la kuendesha na kumiliki tovuti ambayo haijasajiliwa hapa nchini kinyume...

READ MORE

Aunt Ezekiel: Kama Nina Mimba, Hairudi Ndani, Itatoka Nje (+Video)

Aunt Ezekiel: Siku ya Kwanza Kufanya Mapenzi na Moze Iyobo, Tulikuwa Tunaangalia TV Aunt Ezekiel: Kama Nina Mimba, Hairudi Ndani,...

READ MORE

Yanga Yamtoa Chirwa Kwa Mkopo, Yasajili Mbadala

Mshambuliaji wa Yanga raia wa Zambia Obrey Chirwa. Klabu ya Yanga imemtoa kwa mkopo mshambuliaji wake raia wa Zambia Obrey...

READ MORE

Kuwepo kwa Ugonjwa wa ZIKA Nchini, Waziri Ummy Asema Hawajapokea Taarifa Yoyote Kutoka NIMR

DAR ES SALAAM: Kufuatia taarifa zilizothibitiswa na Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR) kuhusu kugunduliwa kwa Virusi vya...

READ MORE