×

Habari

Lady Jaydee Kaolewa na Rastaman?

Staa wa Bongo Fleva, Lady Jaydee ‘Anaconda’  akiwa katika matembezi na Rastaman. Wakiwa katika mazungumzo matamatam katika Hoteli ya Serena...

READ MORE

RC Makonda: Wazazi Wenye Watoto Wahalifu ‘Panya Road’ Kukamatwa

DAR ES SALAAM: Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul, Makonda amewataka wazazi kuwalea watoto wao katika maadili mema...

READ MORE

Polisi Dar Wakamata Wauza Shisha, Majambazi & Silaha (Video)

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro, akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Baadhi ya bastola...

READ MORE

Aunt Ezekiel: Achana na Mimi Wewe Wema Sepetu

  MASTAA wawili waliokuwa mashosti siku za nyuma, Aunty Ezekiel na Wema Sepetu ‘Madam’ wameingia kwenye msuguano tena hivi karibuni...

READ MORE

Rais Mugabe: Kuna Watu Ndani ya ZANU PF Wanakwenda kwa Wachawi Kuniroga Nife

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe, mwenye umri wa mika 92, anazungumzia kuhusu kustaafu , lakini swali ambalo bado watu wanahoji...

READ MORE

Wachina Kupewa Elimu Ya Mlipa Kodi

Mkurugenzi wa Huduma na Elimu Kwa mlipakodi (TRA), Richard Kayombo (kulia) akizungumza na wanahabari(hawapo pichani) pembeni yake Mchina ni Mwenyekiti...

READ MORE

Kanye West Augua Ghafla, Alazwa Hospitali!

MAREKANI: Rapper maarufu nchini Marekani aliyewahi kutangaza nia ya kugombea urais wa nchi hiyo mwaka 2020, Kanye West, jana Jumatatu...

READ MORE

Baada ya Kusota Mahabusu kwa Siku 19, Lema Kujaribu Tena Kuomba Dhamana Mahakamani Leo

ARUSHA: Jaribio jingine la maombi ya dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema linafanyika leo baada ya kusota...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 22, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 22, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Yanga Yamtangaza Rasmi Lwandamina Kuwa Kocha Wao, Kuanza Kazi Mzunguko wa Pili

Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC leo asubuhi akihojiwa na waandishi wa habari, amefafanua kwa kina ujio wa kocha mpya George...

READ MORE

Rais Magufuli Atuma Salamu kwa Rais wa China

Rais wa China Rais Xi Jinping. Dar es Salaam. Rais John Pombe Magufuli, ametuma salamu kwa Rais wa China Rais...

READ MORE

Hii Ndiyo Stendi Mpya ya Mabasi Msamvu, Baada ya Kukarabatiwa, Sasa Inang’aa Kama Airport!

Upande wa kuingilia abiria kwenye stendi hiyo. Abiria wakisubili usafiri. Moja ya mabasi hayo likiingia eneo la stendi na kupakia...

READ MORE

HakiElimu Yataka Waziri wa Elimu Apunguziwe Madaraka

Dar es Salaam. Shirika la HakiElimu limeitaka Serikali kufuta utaratibu wa sasa unaompa madaraka waziri wa elimu kubadilisha mifumo ya...

READ MORE

Moses Machali Aihama ACT- Wazalendo na Kujiunga CCM

Aliyewahi kuwa Mbunge wa Jimbo la Kasulu Mjini kupitia NCCR-Mageuzi (2010–2015) kisha kuhamia ACT-Wazalendo mwaka 2015, Moses Machali leo amehamia...

READ MORE

Obama: Sitanyamaza Wakati wa Utawala wa Trump

Rais wa Marekani anayeondoka madarakani Barack Obama amesema huenda akazungumza, kinyume na utamaduni wa siasa Marekani, iwapo mrithi wake Donald...

READ MORE

RC Gambo Aagiza Manyara Ranchi Irejeshwe Kwa Wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akiwasalimiana na viongozi wa Wilaya katika eneo la mapokezi wakati wa ziara...

READ MORE

Eric Shigongo: Novemba 19, 2016 Jumamosi ya Machozi Kwangu

Kumbukumbu za Kweli za Maisha Yangu Eric Shigongo. Nawaomba radhi sana wananchi wa Singida,  sikuweza kuwepo Namfua baada ya waandaaji...

READ MORE

NACTE: Zoezi la Kupokea Maombi ya Kujiunga na Masomo ya Cheti, Diploma 2016/2017 Kufungwa Rasmi Leo

Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) linapenda kuwaarifu Wadau na Umma kwa ujumla kuwa zoezi la kupokea maombi...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu Novemba 21, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 21, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Bibi Mbaroni kwa Kumlisha Kinyesi Mjukuu Wake

MWANZA: BIBI mmoja aliyejulikana kwa jina la Amina Hamisi (56) mkazi wa Mtaa wa Mahina, Kata ya Butimba, Jijini Mwanza,...

READ MORE

Tamasha la Mziki Mnene Lawapagawisha Wakazi wa Mwananyamala Chini ya Vodacom Tanzania

Wasanii wa muziki wa Singeli wakionyesha vipaji vyao vya kusakata muziki huo kwenye tamasha lililodhaminiwa na Vodacom Tanzania la Mziki...

READ MORE

Makamu Mwenyekiti wa Zamani Yanga Afariki Dunia

KLABU ya Yanga leo alfajiri imepata pigo baada ya kuondokewa na mmoja kati ya  viongozi wake wa juu waliopata kuiongoza...

READ MORE

Fikiria, Soma, Msomeshe Kujiajiri Si Kuajiriwa!

HABARI mpenzi msomaji, nikualike tena kwa upendo wa dhati kabisa katika somo letu linalojieleza hapo juu. Kupata nafasi hii ya...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Charles Kichere Kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA

Rais Dk. John Pombe Magufuli leo amemteua Bw. Charles E. Kichere kuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania...

READ MORE

Watu 96 Wafariki Baada ya Treni Kuacha Njia India

  WATU zaidi ya 96 wamefariki dunia leo baada ya mabehewa 14 ya treni kuacha njia kaskazini mwa Jimbo la...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 10

ILIPOISHIA SEHEMU YA TISA “Huu una masharti makubwa mawili,” aliniambia mganga. “Yapi?” “Moja, unatakiwa kuwaua wazazi wako wote wawili,” aliniambia...

READ MORE

Busungu Anusurika Kifo Ajalini Dakawa

   Mshambuliaji wa Klabu ya Yanga, Malimi Busungu amenusurika kifo katika ajali ya gari jana jioni katika eneo la Dakawa...

READ MORE

Rais JPM Atengua Uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRA

Rais Dk. John Pombe Magufuli leo ametengua uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili Novemba 20, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 20, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Manchester United Watoshana Nguvu na Arsenal

Manchester United wanaonolewa na Kocha asiyeishiwa maneno, Jose Mourinho waliyokuwa nyumbani kweye uwanja wao wa Old Trafford, wameshindwa kutamba mbele...

READ MORE

Majuto: Nataka Nikifa Nizikwe Kama Steven Kanumba

NA IMELDA MTEMA | RISASI JUMAMOSI: Wiki hii, Mpaka Home ilifunga safari mpaka mkoani Tanga, nyumbani kwa mchekeshaji maarufu wa...

READ MORE

Magari ya Mwalimu Nyerere Kivutio Kikubwa Makumbusho ya Taifa

DAR ES SALAAM: NI kumbukumbuku na historia ya aina yake kwa taifa letu! Yale magari aliyokuwa akiyatumia Aliyekuwa Rais wa...

READ MORE

Busu la Jennifer Lopez Lavunja Ndoa ya Marc Anthony na Mkewe Shannon

VYANZO vya habari vya E! News na Us Weekly vimeripoti kwamba, ndoa ya mwimbaji maarufu duniani, Marco Antonio Muñiz ‘Marc...

READ MORE

Trump Alipa Dola Milioni 25 Kumaliza Kesi

MAREKANI: WAKILI wa rais mteule wa Marekani, Donald Trump ametatua kesi ya mamilioni ya madola iliyokuwa inamkabili mteja wake ili...

READ MORE

Maalim Seif Azuiliwa na Jeshi la Polisi Kufanya Mkutano wa Ndani Mtwara

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif akisalimiana na viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) mara baada ta kutua Mtwara Mjini...

READ MORE

Tabiri Mshindi wa Leo Kati Manchester United Vs Arsenal

Here it is – your @Arsenal team to play Manchester United#MUFCvAFC pic.twitter.com/sHEgfu4okr — Arsenal FC (@Arsenal) November 19, 2016 Today’s...

READ MORE

Wema ‘This is Too Much’ Bwana!

Beautiful Onyinye, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ . WEMA Isaac Sepetu! Kama kuna Mtanzania hamfahamu muigizaji huyu wa filamu, basi ni...

READ MORE

Ofisa Mtendaji wa Kata Mbaroni kwa Kubaka Mwanafunzi Darasa la Tatu

MWANZA: Jeshi la Polisi Mkowa wa Mwanza wanamshikilia Ofisa Mtendaji wa Kata ya Mkuyuni, Bwana James Chiragwire kwa tuhuma za...

READ MORE