×

Habari

Abiria Wafurika Ubungo, Kwenda Mikoani Kula Sikukuu

Mkuu wa kitengo trafiki wa Kituo cha Mabasi cha Ubungo, Mkaguzi wa Polisi, Ibrahim Samwix akiwa chini ya basi liendalo...

READ MORE

Mkesha wa Krismasi Leo, Jahazi Kuwasha ‘Moto’ Dar Live

BAADA ya kusubiriwa kwa muda mrefu, hatimaye imefika ambapo leo (Mkesha wa Krismasi) ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani,...

READ MORE

Stars Yapanda Kwa Nafasi Nne Tu Fifa

Kikosi cha Taifa Stars. TANZANIA kupitia Taifa Stars imefanikiwa kupanda kwa nafasi nne kwenye viwango vya Shirikisho la Soka la...

READ MORE

Mpaka Home; Haya Ndo’ Maisha Halisi ya Darassa, Cheki Video Akipika Msosi Gheto

  MAKALA YA MPAKA HOME: Na Imelda Mtema | Gaztei la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 24, 2016 NIAJE mtu...

READ MORE

Wachagga Wanaporejea Nyumbani Krismasi, Mwaka Mpya!

Na Walusanga Ndaki Gaztei la Risasi Jumamosi, Toleo la Desemba 24, 2016 ASUBUHI moja mwaka jana, wiki moja kabla ya...

READ MORE

Kimya cha Mbowe Kuhusu Kupotea kwa Ben Saanane, Hatimaye Afunguka!

MBEYA: Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema amekuwa kimya muda mrefu kuhusiana na kupotea katika mazingira ya kutatanisha, msaidizi wake...

READ MORE

Namna Bora ya Wapendanao Kusherehekea Sikukuu

WENGI bado wana dhana kwamba sikukuu ni kusherehekea kwa kunywa, kula. Wapo ambao bado wanaamini sikukuu huwa haikamiliki bila kupiga...

READ MORE

Kingunge: Bila Tume Huru, Wapinzani Wasahau Kuingia Ikulu

MWANASIASA mkongwe nchini, Kingunge Ngombale Mwiru amesema bila ya kuwa na tume huru ya uchaguzi na Katiba Mpya, vyama vya...

READ MORE

Senegal Kuongoza Majeshi Kumng’oa Rais Yahya Jammeh wa Gambia

GAMBIA: JUMUIYA ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) imeiteuwa Senegal kuwa nchi itakayoongoza hatua za kijeshi kumuondoa...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Jumamosi Desemba 24, 2016 Yako Hapa

  Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 24, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa...

READ MORE

Mamilioni ya Mtoto wa Diamond Yabuma!

Stori: Mwandishi Wetu, Gazeti la Ijumaa, Toleo la Desemba 23, 2016 Matarajio ya mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ya kumtumia...

READ MORE

Baada tu ya Kuapishwa, Jaji Kaijage Aanza ‘Kupiga Mzigo’ NEC

DAR ES SALAAM: MWENYEKITI mpya wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Semistocles Kaijage,  anayeshika nafasi iliyoachwa wazi na Jaji...

READ MORE

Ndege Yatekwa Nyara Nchini Libya, Yatua Malta

MALTA: Ndege moja ya abiria ya nchini Libya imeripotiwa kutekwa nyara leo Ijumaa, Desemba 23, 2016, ikiwa kwenye safari kutokea...

READ MORE

G-Maker: Nimemgharamia Sholo Mwamba Kwa Mil. 40

Meneja wa Man Fongo, G – Maker ambaye pia ni meneja wa staa wa Ngoma ya Hunakulaga Sholo Mwamba, akifanya...

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Mwenyekiti NEC, Kamishna wa Maadili na Majaji wa Mahakama ya Rufani

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Mhe. Jaji Semistocles Kaijage kuwa Mwenyekiti wa Tume...

READ MORE

Mtanzania Khadija Naif Aitangaza Tanzania Nchini Saudi Arabia

Mtanzania Khadija Naif, mwenye umri wa miaka 31, aliejitolea kwenda kwenda nchini saudi Arabia kuitangaza Tanzani. Mtanzania Khadija Naif akionyesha...

READ MORE

Rais Magufuli na Mkewe Wamtembelea Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli na Mkewe Mhe. Mama Janeth Magufuli wamemtembelea na kumpa pole Askofu Mkuu wa Jimbo...

READ MORE

Nay Wa Mitego Atembelea Global TV, Afungukia Mimba ya Nisha!

Mwanamuziki wa Bongo Fleva anayetamba na ngoma yake ya Sijiwezi, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ akiwa Global TV Online leo...

READ MORE

Tanzia: Mpiga picha maarufu Mpoki Bukuku afariki dunia kwa ajali

Dar es Salaam; Tasnia ya habari imepata pigo kubwa kufuatia mpiga picha maarufu hapa nchini, Mpoki Bukuku aliyefariki dunia leo...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Waziri Mkuu Majaliwa Ikulu Jijini Dar

Rais John Magufuli  akisalimiana na  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Ikulu jijini Dar es salaam Desemba 23, 2016. (Picha na Ofisi...

READ MORE

Wasanii wa Filamu Wanawake Wapongezwa Kuchangia Damu

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni,  Ally Salum Hapi akizungumza na wanachama wa CWTF. WAIGIZAJI wa filamu wanawake nchini wamepongezwa kwa...

READ MORE

Kama Ulikuwa Hujui, Hawa Ndiyo Wauza Madawa ya Kulevya Walioitikisa Dunia

Na: Nyemo Chilongani Labda ulikuwa miongoni mwa watu waliosikia taarifa ya kukamatwa kwa muuza madawa ya kulevya nchini Mexico, Joaquín...

READ MORE

Kwa Mpango Huu… Azam FC Wanaiba Fedha Za Bakhresa

Kikosi cha timu ya Azam. MAKALA – BONGO: Selemani Matola, Championi Ijumaa 23.12.2016 MIAKA 20 iliyopita tofauti na Simba na...

READ MORE

Mahakama Yafuta Kesi ya Mtuhumiwa wa Escrow

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemwachia huru Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwekea,...

READ MORE

Nisha Adaiwa Kuua Kichanga

Stori: Mwandishi Wetu | Gazeti la Ijumaa, Toleo la Desemba 23, 2016 MSANII wa fi lamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’...

READ MORE

Kuelekea Sikukuu, Serikali Yapiga Marufuku Kuingiza Nyama za Kuku Waliochinjwa Kutoka Nje

IKIWA zimebakia siku chache kuelekea Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya, Serikali imepiga marufuku kuagiza na kuingiza nyama za kuku...

READ MORE

Magazeti Yote Ya Tanzania Leo Ijumaa Desemba 23, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Desemba 23, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Sangoma Abambwa Akimroga Darassa

Na Waandishi Wetu | Gazeti la Aman, Toleo la Desemba 22, 2016   DAR ES SALAAM: Kufuatia uwepo wa madai...

READ MORE

Maswali Matano Ajali za Sugu Tangu Aingie Bungeni!

   Na Sifael Paul | Gazeti la Amani, Toleo la Desemba 22, 2016 MBEYA: Kufuatia kuandamwa na ajali za mara...

READ MORE

Azikwa Kaburi Moja na Kondoo na Kuku, Nusura Azikwe na Mjukuu Aliye Hai

Wanafamilia   wakiwa   wamelizungika kaburi la marehemu Ngaga  aliyezikwa kaburi  moja na kondoo pamoja na  kuku mweusi  leo kwenye  kitongoji cha...

READ MORE

Wabunge Wavurugana Tena bungeni Nchini Kenya

NAIROBI, KENYA: Wabunge wa upinzani nchini Kenya wametoka bungeni kwa hasira mapema leo asubuhi desemba 22, 2016 katika Mji Mkuu...

READ MORE

Mwanakijiji azua hofu kujenga ghorofa la miti

Na Gregory Nyankaira, Amani MARA: Juma Wazere, mkazi wa Kijiji cha Singu mwenye umri wa miaka 54, amewapa hofu wenzake...

READ MORE

Wenye Kumbi za Starehe Watakiwa Kuzingatia Usalama

DAR ES SALAAM: JESHI la polisi nchini limewataka wamiliki wa kumbi za starehe  kuzingatia uhalali, matumizi na usalama wa kumbi...

READ MORE

Jeshi la Polisi Lajipanga Kudhibiti Ajali Msimu wa Sikukuu

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohammed Mpinga Dar es Salaam: Jeshi la Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, limesema...

READ MORE

Viongozi wa Wamada Watembelea Ofisi za Global Publishers

Chama cha Wauza Magazeti Dar es Salaam (WAMADA), wakiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi na Wahariri wa...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Aagiza Kukamatwa Mwandishi wa Habari wa ITV

Mwandishi wa habari wa Kituo cha ITV mkoani Arusha, Khalfan Lihundi, anashikiliwa na polisi katika Kituo cha Polisi Usa River,...

READ MORE

Shahidi Wa Pili Atoa Ushahidi Kesi Ya Tundu Lissu

ASP Kimweli, Mratibu Msaidizi wa Jeshi la Polisi ambaye ni shahidi wa pili katika kesi inayomkabili Tundu Lissu, Mbunge wa...

READ MORE

Bwana Harusi Aliyeingia Mitini: Shetani Alinipitia

Mayasa Mariwata na Gabriel Ng’osha | Gazeti la AMANI, Toleo la Desemba 22, 2016 DAR ES SALAAM: Katika kile kinachoonekana...

READ MORE

Godbless Lema Augua Ghafla Gerezani, Ashindwa Kufika Mahakamani

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema Kesi iliyokuwa isikilizwe jana 21 Desemba 2016 inayomkabili Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema...

READ MORE