×

Habari

Balozi Mahiga: Tanzania Haina Mpango wa Kujitoa ICC

Tanzania imesema haina mpango wa kujiondoa katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) iliyoko The Hage nchini Uholanzi licha ya...

READ MORE

Nisha Adaiwa Kutapeli, Ang’aka!

Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anadaiwa kutapeli watu kwa dawa zake za kupunguza tumbo ambapo watu wamedai...

READ MORE

Rose Ndauka Aswekwa Lupango

Sexy lady wa sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka (pichani) anadaiwa kuswekwa lupango kwa takriban saa nne kabla ya kuchomolewa...

READ MORE

Kadja Nito: Kwenye Ndoa Nafuata Upendo Siyo Pesa

Mwanamuziki wa kike wa Bongo Fleva, Khadija Said ‘Kadja Nito’ anayetarajiwa kufunga ndoa Jumamosi ijayo amefunguka kuwa kwa mumewe mtarajiwa,...

READ MORE

Sitta Achaguliwa Meya Kinondoni

DIWANI wa Kata ya Msasani katika Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta amechaguliwa kuwa Meya mpya wa manispaa hiyo katika uchaguzi...

READ MORE

Mawigi: Namzimia Niyonzima Hadi Naumwa

Dar es Salaam: Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Mary Mawigi (pichani juu) ameibuka na kudai kuwa, anamzimia mwanakabumbu Haruna Niyonzima...

READ MORE

Video: Mpambano Wa Isha Mashauzi, Malkia Leyla Ulikuwa ‘Balaa’!

Kabla ya mpambano Abubakari Soud ‘Amigo’ wa Jahazi alipanda jukwaani kuwanogesha mashabiki. Mtangazaji wa Redio Times FM, Aisha Mbegu (kulia)...

READ MORE

The Oriental Restaurant Introduces “The Oriental Market” at Hyatt Regency Dar es Salaam

    The ever popular Oriental Restaurant at Hyatt Regency Dar Es Salaam introduces a new fun and energetic way to...

READ MORE

Sare za CCM Zamshusha Cheo Mwalimu Mkuu

Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kasamwa ya mkoani Geita, Dennis Otieno anadaiwa kushushwa cheo kutokana na kuzuia wanafunzi kuvaa...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumatatu Oktoba 24, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzani leo Jumatatu Oktoba 24, 2016. Pia usikose kutembelea...

READ MORE

Baada ya Uchaguzi wa Umeya Kuvunjika, Chadema Kwenda Mahakamani Kudai Haki

“CHADEMA ilianzisha Operesheni Umoja wa Kupambana Udikteta Tanzania (UKUTA), hatuwezi kukaa kimya tena, Nyerere alikataza Vijana kuwa wanyonge na waoga,...

READ MORE

Wakazi wa Kimara Wafurahia Tamasha La Mziki Mnene Chini ya Vodacom Tanzania

  Msanii wa Singeli Victor Laina akifanya vitu vyake kwenye tamasha lililodhaminiwa  na Vodacom Tanzania la Mziki Mnene katika viwanja...

READ MORE

Watu 2 Wanashikiliwa na Polisi kwa Kukutwa na Meno ya Tembo Simiyu

Jeshi la Polisi mkoani Simiyu linawashikilia watu wawili kwa kukutwa na meno ya tembo yenye uzito wa kilo sita ikiwa...

READ MORE

Uchaguzi wa Umeya Ubungo Waahirishwa

Uchaguzi wa kumpata Meya wa Ubungo umeahirishwa leo hadi hapo itakapotangazwa tena baada ya madiwani wa Chadema na CUF kususa...

READ MORE

Washindi Wote Wa Tuzo Za MTV Africa Music Awards 2016

  Mshindi wa tuzo ya Best Female Yemi Alade (Nigeria) akifanya mahojiano na MTV katika red Carpet ya MTV Africa...

READ MORE

Washindi Wa Tuzo Za MTV Africa Music Awards 2016

Staa wa Bongo Fleva,  Diamond Platnumz akiwa katika red Carpet ya MTV Africa Music Awards 2016 Staa wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Video: Manji Atangaza Rasmi Kuahirisha Mkutano Wa Yanga

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Yusufu Manji akitoa tamko lake kwa wanahabari (hawapo pichani). Mkutano na wanahabari ukiendelea. Baadhi ya...

READ MORE

Rais Magufuli Alivyoweka Jiwe La Msingi ujenzi Wa Hosteli Za UDSM Jana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kabla ya kuweka jiwe la msingi katika...

READ MORE

MTV Mama: Kiba Vs Diamond, Derby Nyingine Sauz Leo

Makala: Erick Evarist PICHA lilianza kwenye shoo ya Mombasa, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ alipokuwa akikamua jukwaa moja na msanii...

READ MORE

Mtangazaji wa The Playlist ya Times FM Kurusha MTV MAMA Live leo

  MTANGAZAJI maarufu wa Kipindi cha The Playlist kinachoruka kupitia Kituo cha Redio cha 100.5 Times FM, Omary Tambwe ‘Lil...

READ MORE

Bozi: Mastaa Tunaishi kwa kuchuna mabuzi!

     Msanii wa filamu Bongo, Fatuma Ayubu ‘Bozi’ akijiweka sawa nyumbani kwake maeneo ya Kinondoni-Studio jijini Dar MPAKA HOME: Imelde...

READ MORE

Siri Za Chumbani Za Uwoya, Wolper Zaanikwa!

  Staa mwenye mvuto Bongo, Irene Uwoya. Stori: Hamida Hassan, Ijumaa Mastaa wa kike wenye mvuto Bongo, Irene Uwoya na...

READ MORE

Rais Ataka Utitiri Wa Vyuo Vikuu Uondolewe

Rais John Magufuli RAIS John Magufuli amesema kumekuwa na utitiri wa vyuo vikuu nchini, hivyo ni lazima sifa za vyuo...

READ MORE

Magazeti Ya Tanzania Leo Oktoba 22, 2016

  MAGAZETI ya leo Oktoba 22, 2016  stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzaniakwenye kurasa za mbele na nyuma ili...

READ MORE

Umoja wa Ulaya, SADC Kuimarisha Ushirikiano na Afrika Mashariki

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Augustine Mahiga akizungumza. Baadhi ya washiriki kwenye mkutano huo....

READ MORE

NMB Yapongezwa na Waziri wa Fedha na Mipango

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango anayekata utepe (katikati) na kulia kwake ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Charles...

READ MORE

Mfalme wa Morocco Kuwasili Nchini Keshokutwa

MFALME Mohamed VI wa Morocco anatarajiwa kuwasili nchini keshokutwa Oktoba 23 ambapo atapokelewa na Rais John Magufuli. Akizungumza na wanahabari...

READ MORE

Ithan Mahafudh: Mtoto wa miaka 2 mwenye ufahamu mkubwa anayedai kusoma ‘UDOM’ (Video)

Mtoto mwenye umri wa miaka miwili, Ithan Mahafudh, amethibitisha kuwa na kipaji kikubwa kinachowashangaza wengi, baada ya kuonekana akiwa na...

READ MORE

Davido Awapigia Magoti Wanigeria

STAA wa muziki wa Nigeria, Davido (pichani juu) amewaomba Wanigeria kumpa muda rais wa nchi yao, Muhammadu Buhari kutokana na...

READ MORE

Obama Asikitishwa na Malalamiko ya Trump

  Barack Obama na Donald Trump. Rais Barack Obama wa Marekani ameyaelezea malalamiko yaliyotolewa na mgombea kupitia chama cha Republican, Donald...

READ MORE

Tyga: Nilionywa Kutompenda Kylie, Nikapotezea

  Michael Ray Stevenson ‘Tyga’ na Kylie Jenner. Mwanamuziki Michael Ray Stevenson ‘Tyga’, amefunguka kuwa amewahi kuonywa kutoingia kwenye uhusiano wa...

READ MORE

Serikali Yakubali Kurejesha Posho ya Sh. 8500 kwa Siku kwa Wanafunzi

Erasmi Leon, Rais wa Wanafunzi wa UDSM, akiwahutubia wanafunzi katika mgomo uliofanyika Mei mwaka huu chuoni hapo.   Bodi ya...

READ MORE

Nicki Minaj Adaiwa Kuachana Rasmi na Meek

Madai ya Nicki Minaj kumwagana na Meek Mill yalianza kuvuma tangu Agosti, mwaka huu lakini juzikati yalitokea mazingira ya kudhihirisha...

READ MORE

DC Longido Azindua Mradi wa Kuzalisha Umeme Kijiji Cha Kitumbeine

Mkuu wa Wilaya ya Longido Mkoani Arusha Mh. Daniel Chongolo na Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya ENGIE AFRICA Bw....

READ MORE