×

Habari

Tuzo za wasanii za EATV zazinduliwa

Mkuu wa Masoko wa EATV, Roy Mbowe (kushoto) na Afisa habari wa BASATA, Aristides Kwizela (kulia)wakimsikiliza Mkuu wa Masoko na...

READ MORE

Wamiliki wa Mabasi ya Mikoani Kugoma Kusafirisha Abiria Jumapili Hii

CHAMA cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa) kimesema kitasitisha huduma ya kusafirisha abiria kwenda mikoa yote nchini Jumapili ili kufanya...

READ MORE

Tabora: Waliojeruhiwa na Majambazi Wafariki

Kamanda wa Mkoa wa Tabora, Khamis Issah Sulemani. WATU wawili waliokuwa wamejeruhiwa kwa risasi wakati wa mapambano na majambazi katika...

READ MORE

Ulinzi Ndoa ya Masanja Kufuru | Steve Nyerere, Mama Wema Wazua Gumzo

Hatari; Bi Harusi Aliyetekwa Siku ya Send Off Yake Basata; Nay wa Mitego Huru Kuendelea na Muziki Wema na Mama...

READ MORE

JPM Awajulia Hali Spika Job Ndugai na Waziri Mkuu Mstaafu John Malecela

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Waziri Mkuu mstaafu John Samuel Malecela ambaye...

READ MORE

Shigongo Atoa Semina kwa Ma-DC Wastaafu

  Eric Shigongo akitoa semina ya Mambo 10 ya Kufanya ili Kufanikiwa Wakati wa Hali Ngumu ya Uchumi kwa wakuu...

READ MORE

Wasomaji Makongo Wasema ‘Uwazi Ndiyo Mpango Mzima’

        Adinani Omari msomaji wa Uwazi, mkazi wa Makongo Juu akilisoma gazeti hilo. Anayemshuhudia ni muuzaji wa magazeti ya Global,...

READ MORE

Orijino Komedi Kuchukuliwa Hatua kwa Kuvaa Sare za Polisi

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia kwa baadhi ya watu...

READ MORE

Pof. Ndalichako Abaini Wanafunzi Hewa Zaidi ya 1000 Vyuo Vikuu

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako amesitisha malipo ya posho za kujikimu kwa wanafunzi wa vyuo vikuu...

READ MORE

Ma-DC Wastaafu Wajiunga PSPF, Rais JPM Awapongeza

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (TAMISEMI), George Simbachawene, (kulia),akimkabidhi kadi ya kujiunga na uanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF,...

READ MORE

Ilala Boys Waibuka Mabingwa Airtel Rising Stars

    Mbunge wa Ilala (CCM) Mussa Zungu akimkabidhi kombe Nahoza wa Timu ya Simba Queen, Hadija Ally baada ya kushinda...

READ MORE

Rudisha Aibuka Kinara wa Mbio za Olimpiki Mita 800

Mwanariadha raia wa Kenya,  David Lekuta Rudisha amedhihirisha umwamba wake baada ya kushinda mbio za mita 800 huko Rio De...

READ MORE

Vijana Wagomea Gari la Jeshi Kubeba Jeneza la Mzee Aboud Jumbe

Maziko ya Rais wa Pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe Mwinyi (96) aliyefariki dunia juzi jijini Dar es Salaam yalifanyika jana...

READ MORE

Askari JWTZ Atiwa Mbaroni kwa Tuhuma za Kutengeneza Vyeti Feki

POLISI mkoani Kigoma imewatia mbaroni watu watano akiwemo askari mmoja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa...

READ MORE

Ma-DC Wastaafu Wajiunga Pspf, JPM Awapongeza Kwa Kujipanga Kimaisha

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, (TAMISEMI), George Simbachawene, (kulia), akimkabidhi kadi ya kujiunga na uanachama wa Mfuko wa Pensheni...

READ MORE

Kubenea Ajisalimisha Polisi, Ahojiwa kwa Saa 2

SAED Kubenea Mbunge wa Jimbo la Ubungo jana alijisalimisha Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam na...

READ MORE

Meneja Global Akabidhi Hundi ya Milioni 7 Kwa Wauza Magazeti

Meneja wa Global Publishers, Abdalalah Mrisho akiwakabidhi wauza magazeti mfano wa hundi ya shilingi milioni saba. Wauzaji wa magazeti wakishikilia...

READ MORE

Maeneo Hatari ya Ukahaba Dodoma Mjini

Na Leonard Msigwa/GPL TUNAHAMIA Dodoma ndiyo kauli mbiu ya sasa, leo tunaangazia maeneo hatari kwa biashara ya ukahaba mjini Dodoma....

READ MORE

Pchaz: Mzee Aboud Jumbe Mwinyi Alivyozikwa Zanzibar Leo

Viongozi wa kitaifa wakishiriki katika sala ya kumwombea Ras wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, marehemu Alhaj Abood Jumbe iliyofanyika...

READ MORE

Rais Edgar Lungu Ashinda Uchaguzi Zambia

Rais Edgar Lungu. RAIS Edgar Lungu ametangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi wa urais nchini Zambia kwa kupata asilimia 50.35 ya...

READ MORE

BASATA Yamfungulia Nay wa Mitego

Katikati ni katibu wa Baraza la sanaa Tanzania, BASATA, Godfrey Mungereza akizungumza na wanahabari wakati wa kutoa tamko la kumfungulia...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ahimiza Soka la Wasichana

Timu za wasichana zinazoshiriki mashindano ya Airtel Rising Stars mkoani Lindi tayakwa ukaguzi wakati wa ufunguziwa michuano hiyo iliyofanyika Nachingwea...

READ MORE

Wafunga Ndoa Kwenye Daraja la Kioo China

Si jambo linaloweza kufikiriwa na kila mtu kulitenda wakati wa siku maalum, lakini wapenzi wa kichina walichagua kusherehekea harusi yao...

READ MORE

Mzee Aboud Jumbe Kuzikwa Leo Nyumbani Kwake Mjini Magharibi

Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, marehemu Mzee Aboud Jumbe anatarajiwa kuzikwa leo Jumatatu nyumbani...

READ MORE

Rais Edgar Lungu Anaongoza Kura Zambia, Wapinzani Wapinga!

Rais Edgar Lungu. Lusaka, Zambia. Matokeo ya awali ya uchaguzi wa rais wa Zambia yaliyotangazwa leo Jumatatu na Tume ya...

READ MORE

CUF Yampiga Profesa Lipumba Kugombea Uenyekiti

ALIYEKUA Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, ametoswa rasmi kuwania nafasi hiyo katika uchaguzi wa chama hicho...

READ MORE

Job Ndugai Aomba Kukaa Meza Moja na UKAWA

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Job Ndugai, amekiri bunge hilo kusambaratika na kuwa vipandevipande kutokana na...

READ MORE

Mapigano Yazuka Tena Sudan Kusini

Leonard Msigwa na Mtandao Mapigano yamezuka tena baina ya pande hasimu nchini Sudan Kusini. Kuna hofu kuwa Sudan Kusini huenda...

READ MORE

Aboud Jumbe Mwinyi Afariki Dunia

Aboud Jumbe Mwinyi enzi za uhai wake. ALIYEKUWA rais wa pili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kati ya tarehe 7...

READ MORE

Imamu, Msaaidizi Wake Wauawa Marekani

Leonard Msigwa/GPL IMAMU Maulama Akonjee (55) na msaidizi wake Thara Uddin (64) wameuawa kwa kupigwa risasi katika mitaa ya Queens...

READ MORE

Wakazi wa Korogwe Jeshini Hatarini Kuambukizwa Magonjwa

Takataka zilizotelekezwa eneo la Kimara, Korogwe-Jeshini na kuwa kero kwa wakazi wa eneo hilo. Na Leonard Msigwa WAKAZI wa eneo...

READ MORE

Upinzani Waongoza Kura za Urais Zambia

Hakainde Hichilema TUME ya Taifa ya Uchaguzi nchini Zambia (ECZ) imetangaza matokeo ya awali ya uchaguzi mkuu uliofanyika juzi Alhamisi...

READ MORE

Fidel Castro Agonga Miaka 90

Fidel Castro RAIS wa zamami wa Cuba na Kiongozi mwanamapinduzi, Fidel Castro anasherehekea kutimiza miaka 90 tangu kuzaliwa kwake. Fidel...

READ MORE

Papa Francis Awatembelea Waliokua Makahaba Zaidi ya 20 Roma

Roma, Italia Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis amewashangaza makahaba wa zamani 20 alipowatembelea katika ziara ya kushitukiza...

READ MORE

Ndege yaanguka mtini, yateketea na kuua sita

Virginia, Marekani Ndege ndogo iliyokuwa na watu sita imeanguka kwenye mti na kuteketea kwa moto wakati ikijaribu ikitua Uwanja wa...

READ MORE

Sizonje ya Mrisho Mpoto Yamkuna JPM

Utunzi mahiri wa mashairi na ughani uliotukuka wa Mrisho Mpoto, umeligusa sikio la Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Hakan Sukur

Turkish authorities have issued a warrant for the arrest of former football star and legislator Hakan Sukur over his links...

READ MORE