×

Habari

Trump na Putin Zimeiva, Sasa Kupiga Kazi kwa Ushirikiano

Ikulu ya Urusi imesema kwamba rais Vladimir Putin amezungumza kwa njia ya simu na rais mteule wa Marekani Donald Trump,...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumanne Novemba 15, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumanne 15, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

D’Banj Apewa Tuzo Bungeni Uingereza

MWANAMUZIKI Mnigeria ambaye amekuwa kinara wa kunyakuwa tuzo katika tasnia ya sanaa, D’Banj amepata tuzo ya Entertainment Icon Award 2016...

READ MORE

Mwijage Akaribisha Miradi Kutoka Nje

Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akizungumza na wafanyabiashara kutoka Ubelgiji. Meza kuu ilivyoonekana. Mwakilishi wa kundi la...

READ MORE

Wadaiwa Sugu Mikopo Elimu ya Juu Kuchukuliwa Hatua Kali, Wapewa Mwezi 1

Mkurugenzi Mtendaji Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu, Abdul Razaq, akizungumza na wanahabari. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Congo DR Ajiuzulu na Balaza Lake

DRC: Waziri Wkuu nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Augustin Matata Ponyo, amejiuzulu na kutoa fursa ya kuteuliwa mrithi wake...

READ MORE

Kidato cha Pili Wameanza Kufanya Mitihani ya Taifa Leo

Wanafunzi wa kidato cha pili nchini wameanza kufanya mitihani yao ya upimaji leo katika shule za sekondari 4,669 zilizopo Tanzania...

READ MORE

Wazazi Wamcharanga Vibaya Mtoto Wao Mchanga Usoni!

NIGERIA: KATIKA hali isiyo ya kawaida, wazazi wa mtoto mmoja mchanga wamecharanga usoni mtoto huyo kwa kutumia kitu chenye ncha...

READ MORE

Walichokiandika Mastaa wa Bongo Katika Kurasa Zao za Instagram

Kupitia kurasa zao za Instagram mastaa mbalimbali wa hapa Bongo wakiwemo Diamond Platnumz, Wema Sepetu, Ali Kiba, Jaqueline Wolper, Shilole,...

READ MORE

Unapoachwa Ni Muda Muafaka Wa Kufikia Malengo Yako!

Na Gabriel Ng’oshaMpenzi msomaji ni Jumatatu nyingine murua ambayo mwenyezi Mungu ametujalia, hivyo hatuna budi kumshukuru kwa hilo. Bila kupoteza...

READ MORE

Donald Trump Kuwarejesha Wahamiaji Milioni 3 Kwao

Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump asema wahamiaji haramu kati ya milioni mbili ama tatu watasafirishwa kutoka Marekani baada ya...

READ MORE

Magazeti Yote ya Tanzania Leo Jumatatu Novemba 14, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Jumatatu 14, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi na Maiti 20 Nitajirike – 4

ILIPOISHIA SEHEMU YA TATU “Kwa hiyo hauna ndugu?” aliniuliza. “Ndiyo! Ila nakwenda kutafuta maisha…” nilimjibu. Akanionea huruma, kiukweli macho yake...

READ MORE

Kesi ya Akina Zombe: Mkuu wa Upelelezi wa Kinondoni, SP Bageni Hukumu ya Kunyongwa Hadi Kufa

Dar es Salaam: Aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Mrakibu wa Polisi (SP),Christopher Bageni amewasilisha maombi Mahakama ya Rufaa...

READ MORE

Trump Akataa Kulipwa Mshahara wa Urais, Afanya uteuzi wa Awali wa Viongozi

MAREKANI: Rais mteule wa Marekani, bilionea Donald Trump amesema hatakubali kupokea mshahara wa urais pindi atakapokuwa madarakani.   Trump ameweka...

READ MORE

Zimbambwe Yaichapa Taifa Stars 3-0

KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo kimeshindwa kufurukuta baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-0 kutoka...

READ MORE

Clinton Aitupia Lawama FBI kwa Kushindwa Urais

Aliyekuwa mgombea urais nchini Marekani kupitia Chama cha Democratic, Hillary Clinton, amesema kushindwa kwake ghafla katika uchaguzi uliopita, kulichangiwa sana...

READ MORE

Waziri Nape Atembelea Uwanja wa Nyamagana Mwanza

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye (wa nne kulia), akiteta jambo na Afisa Habari, Ofisi ya Mkuu...

READ MORE

Tamasha la Mziki Mnene Chini ya Vodacom Lawapagawisha Wakazi Ukonga

Baadhi ya wakazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam wakipagawa na mziki wa kizazi kipya wa Singeli wakati wa Tamasha...

READ MORE

SMZ Yakanusha Taarifa za Kifo cha Balozi Omar Ramadhan Mapuri

  Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inapenda kukanusha taarifa kutoka kwenye baadhi ya Mitandao ya Kijamii ikidai kwamba, Kamishna wa Tume...

READ MORE

Nilifanya Mapenzi Na Maiti 20 Nitajirike – 3

  ILIPOISHIA SEHEMU YA PILI “Mbona huongei jamani? Tatizo nini?” aliniuliza huku akinisogelea.“Nataka kufika Ifakara mpenzi!” nilimwambia kwa sauti ndogo.“Hakuna...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumapili Novemba 13, 2016 Yako Hapa

Angalia kilichoandikwa katika magazeti ya Tanzani leo Novemba 13, 2016. Pia usikose kutembelea tovuti hii mara kwa mara kwa habari...

READ MORE

Sitta Azikwa Nyumbani Kwao Urambo Tabora

Wananchi wa Urambo wakitoa heshima za mwisho kwa mwili wa Spika wa Bunge Mstaafu, Samuel John Sitta. Staa wa Bongo...

READ MORE

Askari Ajipiga Risasi Kifuani, Afariki Dunia!

MTWARA: Askari wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara, aliyetambulika kwa jina la PC Sengerama amefariki dunia baada ya kudaiwa...

READ MORE

Facebook Yaonyesha Wafu Waliyo Hai

HALI isiyo ya kawaida, mtandao maarufu Duniani unaomilikiwa na bilionea Mark Zuckerberg wa Facebook umetoa ujumbe kimakosa unaoonyesha kuwa watu...

READ MORE

Amber Lulu, Lulu Diva kupendezesha Usiku wa Mastaa Kesho

Video Queen Lulu Auggen ‘Amber Lulu’. VIDEO Queen wanaotikisa kunako video za Kibongo kwa sasa, Lulu Auggen ‘Amber Lulu’, Lulu...

READ MORE

Wanasayansi Udsm Wafurahia Kuhitimu

Wahitimu mbalimbali wa kozi za masomo ya sayansi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja....

READ MORE

Aunt Ezekiel Ateketeza Laki Sita Kwa Picha (Zicheki Hapa)

Staa wa filamu za Bongo, Aunt Ezekiel (28), pamoja na mzazi mwenzie Moses Iyobo (22) wakiwa katika pozi. Aunt Ezekiel...

READ MORE

Kambi Kubwa ya Jeshi la Marekani Yashambuliwa, Wanne Wauawa

Bagram: Watu wanne wamefariki dunia na wengine 14 kujeruhiwa baada ya Wanamgambo wa Taliban kuishambulia Kambi Kubwa ya Jeshi la...

READ MORE

Giggy Money: Mara Nyingi Nashinda Na Nguo Za Ndani (Mpaka Home)

Mwanadada machachari ambaye sasa hivi yupo ndani ya mjengo wa Radio Choice FM kama mtangazaji, si mwingine ni Gifty Stanford...

READ MORE

Chombo Kisichotambulika Chaanguka Kutoka Angani

Kifaa kikubwa chenye urefu wa mita 4.5 (futi 15) na upana wa mita 1.2 ambacho hakijatambulika kimeanguka kutoka angani Kaskazini...

READ MORE

Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Kanda ya Dar Yatamatika

Mkuu wa kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Jacquiline Materu (katikati )akiwa na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe...

READ MORE

Reli ya Standard Gauge Kutoka Dar-Mwanza Kuanza Kujengwa Dec 6, 2016

Hatua ya kwanza ya maandalizi ya ujenzi wa reli ya Standard Gauge imeshaanza ambapo awamu ya kwanza ya ujenzi huo...

READ MORE

Ali Kiba Awatolea ‘Povu’ Wanaomtukana Wizkid Mitandaoni Kuhusu MTV EMA

DAR ES SALAAM: IKIWA ni baada ya waandaaji waTuzo za MTV EMA 2016 kumpokonya tuzo ya Best African Act mwanamuziki...

READ MORE