NA OJUKU ABRAHAM | RISASI JUMAMOSI | MZEE BUNDUKI SIKU zote maisha ni vile unavyotaka yawe na kila mmoja ana...
READ MOREDavid alichanganyikiwa, hakuamini kile alichokiona, picha ya msichana Sarafina ikaja kichwani mwake, hakuamini kama kweli yule msichana aliyechoka, aliyekongoroka, asiyekuwa...
READ MORE“Hey,. Hey,. Hey..wee vipi mbona walala namna hiyo weye? kumekucha haya amka upesi, haupo kwenu hapa” Nilistushwa katika usingizi mzito,...
READ MOREUzuri wa Gloria ulikuwa balaa, David alikuwa na mawazo tele, kila alipokaa alimfikiria msichana huyo mrembo. Alikuwa mtoto wa kishua,...
READ MOREDavid hakutaka kukumbuka kuhusu Sarafina, kwake, msichana huyo alikuwa kama wengine tu, kutembea nao na kufanya mapenzi kisha kuwaacha wakiwa...
READ MORENa. Erick Evarist +255 768 811595, Risasi Jumamosi, Mahusiano MAPENZI ni uvumilivu. Watu mnakutana ukubwani, mnaanzisha uhusiano kila mmoja akiwa...
READ MOREYapata saa saba za usiku nilikuwa mbele ya kitanda alicho lalila Nasra nikiwa kiumbe mwingine mwenye uwezo wa ajabu. Ni...
READ MORE“Nesi….nesi fungua mlango!” alisikika mwanaume mmoja akipiga kelele, saa ilionyesha ni saa saba usiku. “Kuna nini jamani?” “Huyu dada! Analalamika...
READ MORENiliibuka mbele ya watu wanne katika jumba lililokuwa halijamilika kujengwa, wale watu wanne kimwonekano walikuwa ni vijana waliozamia katika matumizi...
READ MOREBaada ya saa kadhaa ndege ikaanza kuingia katika uwanja wa ndege jijini Mwanza, Richard akateremka na kuanza kuelekea katika jengo...
READ MOREGhafla.. Nilistuka kutoka katika usingizi ilikuwa ni saa kumi na mbili asabuhi ndani ya gereza la bangwe, nilijinyanyua mahala pale...
READ MOREMoyo wa Richard haukuwa na nafuu, ulitawaliwa na majonzi tele, alikosa furaha ambayo alitegemea kwamba angeipata. Alihuzunika mno kwa sababu...
READ MORENilikuwa mbele ya hospitali ya maweni, yapata saa tatu za usiku, nilikuwa nimefura kwa hasira na chuki kubwa dhidi ya...
READ MORESarafina hakuwa na habari na Richard, kwake, mwanaume huyo alionekana kuwa mtu wa kawaida, asiyejiweza ambaye hakuwa na uhakika kama...
READ MORETayari maghalibi ilikuwa imeingia kwani mwanga hafifu wa njano ulipenya katika dirisha la lockup ya polisi na kuniangazia mahala nilipo...
READ MOREMTUNZI: NYEMO CHILONGANI Miongoni mwa wanaume waliokuwa wakimpenda Sarafina alikuwa kijana Richard Lema. Huyu hakumpenda msichana huyo kipindi hicho tangu...
READ MORETaarifa za ajali ya wachezaji wa timu ya joy zilikuwa gumzo karibu nchi nzima, taarifa zilisema gari liltumbukia katika kolongo...
READ MOREMTUNZI: Nyemo Chilongani SIMU: 0718069269 “Jamani leo natangaza rasmi….” alisikika jamaa mmoja akiwaambia wenzake. “Tangaza…” wenzake walisema huku wakicheka....
READ MOREGhafla tajiri Abdulwakil alirejea na fahamu zake tofauti na walivyofikiri madaktari, baada ya kufungua macho yake aliangaza huku na huku...
READ MOREMapafu…mapafu yanauma…yanashindwa kufanya kazi? yanapata moto…pumzi..pumzi hakuna kabisa….. Oooh my god kumbe hivi ndivyo inavyo kuwa roho inapo mtoka mtu?aah,pumzi...
READ MORENilikuwa nimedhamiria kutoa roho za watu na niliamini kusingekuwa na mtu ambaye angenitisha kwa lolote lile. Niligundua kwamba kupitia ajali...
READ MOREBaada ya Manjit kukabidhiwa kampuni yake na Multilat eral Investiment Inc. kwa haraka alichukua uamuzi wa kuibadilisha kampuni yake jina na ...
READ MOREWanaokula nyama za watu waliona bora miili wale wao kuliko kuoza na kuliwa na funza! ELVAN STAMBULI NA MTANDAO |...
READ MORENikiwa pale katika kile chumba pweke nimeegemea ukuta fikra zilinipeleka nyumbani, namwona mama yangu akiwa ni mwenye tabasamu pana siku...
READ MOREILIPOISHIA Nilihisi hisia zote, nilijua kwamba nilikuwa nafanya mapenzi na Majeed lakini cha kushangaza baada ya dakika kadhaa, nikashtuka kutoka...
READ MOREILIPOISHIA Nikatulia kwenye kiti lakini sikuwa na amani hata kidogo. Nikaagiza juisi, ilipokuja, nikachukua na kuanza kunywa taratibu. Wakati juisi...
READ MOREKwa mbali kabisa nikiwa sielewi A wala B fahamu zangu zikiwa zimepotea, lakini kama nukta kumi ama kumi na moja ...
READ MOREIlikuwa harufu mbaya na kali mno, Leah na Manjit walishindwa kuelewa ilitokea sehemu gani ndani ya nyumba! Walijaribu kuita jina...
READ MOREShabir alimpiga Victoria kwa mateke na ngumi bila huruma, akilalamika kitendo cha Victoria kuitoa mimba ya mtoto wake! Victoria alilia...
READ MOREILIPOISHIA Nikakifuata kiti kimoja na kutulia, tukaletewa vitabu vidogo kwa lengo la kuimba nyimbo za kumtukuza shetani, mbali na vitabu...
READ MORE“Hii nyumba ya mzee Ramadhani Nswima,. ni nyumba au mti wa mwembe huu!.nyumba gani mvua kidogo inavuja kama tuko nje!.nyumba...
READ MOREVumbi zito lilikuwa likitimka ilikuwa ni hali ya hatari, Nicholaus alijua kifo kimemfikia baada ya kukichenga kwa muda mrefu, lakini...
READ MORENilipofika bafuni nikaanza kujiuliza kama kweli Majeed alikuwa mwanaume rijali au la, isingekuwa rahisi hata kidogo kwa mwanaume aliyekamilika kuniacha...
READ MOREBaada ya kukaa na kumfikiria sana Majeed, nikajilaza kitandani ambapo nikapitiwa na usingizi, nilipokuja kushtuka, tayari ilikuwa asubuhi. Nikatoka kitandani...
READ MORENa HASHIMU AZIZ|CHAMPIONI IJUMAA| MAKALA MARA nyingine tunapokutana katika uwanja wetu huu mzuri, tukijuzana na kuelimishana kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo...
READ MOREKIGOMA-2000 Jina langu naitwa Vegasi Mbwana marafiki walipenda kuniita Vega, ni mzaliwa wa Kigoma Ujiji, nina miaka thelathini na...
READ MOREMlinzi alizidi kumvuta Nicholaus kumrudisha wodini lakini kwa Nicholaus kitendo hicho kilikuwa ni kuingia hatarini! Kukamatwa kwake kulimaanisha kifo na...
READ MOREHuo ndiyo ulikuwa mpango wake, hakutaka kumuacha Fabian kwani aliona kuwa aliharibu kila kitu, hasa kumchukua msichana ambaye alikuwa akimpenda...
READ MOREILIPOISHIA Hakukuwa na mtu aliyejibu swali lake, kila mmoja akabaki kimya. Nilibaki nikijiuliza juu ya ya mahali pale kutetemeka. Wakati...
READ MORENa OJUKU ABRAHAM| RISASI MCHANGANYIKO| HABARI DAR ES SALAAM: Wakati vita dhidi ya madawa ya kulevya jijini Dar vikipanuka na...
READ MORE