Browsing Category
Ijumaa
Changamoto Za Kuchanganya Mapenzi Na Kazi
NI wiki nyingine ninapokukaribisha msomaji wangu kwenye ukurasa huu, mada tunayoendelea nayo ni ile tuliyoianza wiki iliyopita, ya namna ya kukabiliana na changamoto za kuchanganya mapenzi na kazi.
Jambo la msingi unalopaswa…
Hizi Hapa Mbinu Za Kukabiliana Na Maumivu Ya Mapenzi
KARIBU jamvini mdau. Ni Jumatatu nyingine tumekutana kupeana maujanja ya mapenzi na maisha kwa jumla. Unachopaswa kujua ni kwamba kila kitu kinastahili kulindwa na penzi lako linahitaji zaidi ya ulinzi. Hata kama unaona mambo ni…
Amekuvunja Moyo Wako Na Kukuacha Na Majonzi Soma Hapa
MAUMIVU katika mapenzi huwa hayazoeleki. Hata kama unajifanya wewe ni shujaa kiasi gani, inapotokea yule unayempendaye akakuumiza, akauvunja moyo wako, akaondoka na kwenda mbali na wewe, lazima utaumia sana!
Maumivu ya kimapenzi…
Kuna Wakati Mapenzi Yanafika Mwisho, Usilazimishe!
NIANZE kwa kumshukuru Mungu kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu uko poa kabisa, karibu kwenye ukurasa huu tubadilishane mawazo na kujadili mambo mbalimbali…
Hizi Hapa Siri za Wapendanao Kuishi Hadi Kuzeeka Pamoja!
Kuwakuta wapendanao wanaishi miaka nenda rudi kwa amani na furaha, si kazi ndogo. maisha ya uhusiano yana changamoto nyingi. mnaweza kuivuka hii, inakuja nyingine kali zaidi ambayo kimsingi mkizubaa tu inawasambaratisha. Ndiyo maana…
Mapenzi Huwa Yanafika Mwisho, Kubaliana Na Ukweli
NIANZE kwa kumshukuru Maulana kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo nikiwa mzima wa afya. Ni matumaini yangu kwamba na wewe msomaji wangu uko poa kabisa, karibu kwenye ukurasa huu tubadilishane mawazo na kujadili mambo mbalimbali yanayohusu…
Kwa nini Wanaume Wanaongoza kwa Usaliti?
UHUSIANO wa kimapenzi, ni jambo gumu sana. Ugumu wake unatokana na ukweli kwamba, mwanaume aliyezaliwa na kulelewa katika mazingira tofauti kabisa, anakutana na mwanamke aliyezaliwa na kukulia katika mazingira.
Wawili hawa wanaanza…
WAOGOPE WANAWAKE WA AINA HII !
KATIKA kuangalia tabia za wanawake, ni vyema ukawa chonjo kwani ukiingia chaka wanaweza kuyafanya maisha yako ya uhusiano kuwa balaa. Labda saa hizi uko katika uhusiano wa muda mrefu na mpenzi wako au sasa hizi uko mbioni unatafuta,…
Unavyoweza Kutumia Simu Kuboresha Penzi
TUNAISHI katika dunia ya utandawazi ambapo sasa karibu kila mtu anamiliki simu, hata wale wenye uwezo wa chini kabisa. Ukijaribu kufuatilia, matatizo mengi yanayotokea katika uhusiano wa kimapenzi, yanachangiwa sana na hizi simu za…
Mambo ya Kufuata ili Kumsahau Mpenzi wa Zamani
Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu upo freshi kabisa! Nakukaribisha kwa moyo mkunjufu jamvini, wiki iliyopita tulianza kujadiliana kuhusu mada hii kama inavyojieleza.
Tulipata nafasi ya kusikia ushuhuda wa dada yetu ambaye licha…
Unategemea Akufurahishe Lakini Unaishia Kulia? Soma Hapa!
UHUSIANO wa kimapenzi una changamoto nyingi sana, idadi ya wanaolizwa na mapenzi inazidi kuongezeka kila kukicha, visa vya mapenzi vya kuumiza na kutoa machozi vinazidi kutokea kila kukicha kwa hiyo kuna umuhimu wa kutafuta elimu sahihi…
Mama Dangote Amkubali Aaliyah Awe Mkwe Wake, Amuahidi Ndoa Awe Mvumilivu
Mama Dangote; ni mama wa staa mkubwa wa muziki barani Afrika, Diamond Platnumz ambaye habari za ndani kabisa zinadai kwamba anamkubali kinoma mtangazaji wa Wasafi TV, Aaliyah awe mkwe wake.
Kwa muda sasa kumekuwa…
King Kiba Ayamaliza Na Mkewe Amina
UKIACHA stori za uvamizi wa Urusi kwa Ukraine, nyingine iliyoshtua hivi karibuni na kuibua mjadala mkali ni ile ya King Kiba; mfalme wa Bongo Fleva na C.E.O wa Lebo ya Kings Music na mkewe, Amina.
Kwa mujibu wa vyombo vingi…
Lulu: Nitanyonyesha Hadi Mwisho
ELIZABETH Michael almaarufu Lulu au Mama G; ni supastaa filamu za Kibongo tangu akiwa na umri wa miaka mitano ambaye mwaka jana alijaaliwa mwanawe wa kwanza kwa mumewe, Francis Ciza almaafu DJ Majizzo.
Lulu au Lizy anasema…
Sanchi: Sijutii Kubadili Dini
MREMBO ambaye alipata umaarufu kutokana na kujaaliwa umbo matata la kuvutia, Surraiya Rimoy ‘Sanchi’ anasema kuwa, hajutii hata kidogo kitendo chake cha kubadilisha dini kutoka kuwa Mkristo na kuwa Muislam kwani imemfanya awe anajua…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Kajala: Nimepisha Mitandao Kwanza
STAA mwenye shepu yake kunako Bongo Movies, Kajala Masanja anasema kuwa, ameipisha kidogo mitandao ya kijamii ili watu waendelee na shughuli zao maana kila siku akifikiria mambo ya mitandao, yanampotezea muda wake mwingi.
Katika…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa
jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS https://apple.co/38HjiCx
Android http://bit.ly/38Lluc8
Nunua >>…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS : https://apple.co/38HjiCx
Android: http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU
Bonyeza…
Vita Nzito ya Ma-Baby Mama wa Mondi
AMKENI…amkeni… kumekucha! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kuibuka kwa vita nzito baina ya wazazi wenza (ma-baby mama) wa staa wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platnumz ambao ni Zari The Boss Lady, Hamisa Mobeto na Tanasha…
Kwa Nini Diamond Anabagua Wanawe?
SIMBA anaiwakilisha vyema nchi ya Tanzania; siyo upande wa muziki pekee, bali hadi kupata watoto na wanawake wa nje ya nchi!
Ikumbukwe kwamba, Diamond Platnumz au Chibu Dangote, amebahatika kupata watoto wanne hadi sasa…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS https://apple.co/38HjiCx
Android http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza CHAMPIONI
AU…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS https://apple.co/38HjiCx
Android http://bit.ly/38Lluc8
Bonyeza kununua CHAMPIONI
AU…
Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa
Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazeti la Ijumaa kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/=
iOS 👉 https://apple.co/38HjiCx
Android 👉 http://bit.ly/38Lluc8
CHAMPIONI
AU…
Wema Ataja Sababu Nyota Yake Kung’ara
KWA mara ya kwanza, mlimbwende wa Tanzania kwa mwaka 2006/07 ambaye ni supastaa wa Bongo Movies, Wema Isaac Sepetu ametaja sababu iliyosababisha nyota yake kung’ara na isishuke hadi leo kuwa ni kujitambua na kujua ni nini anafanya.…
Billnass Amkana Nandy
BAADA ya mwanadada Faustina Charles Mfinanga ‘Nandy’ kudai kuwa, staa wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘Billnass’ atakuwa mmoja wa washiriki wa Tamasha la Nandy Festival 2021, jamaa huyo ameibuka na kukana ishu hiyo.Kwa mujibu wa Nandy,…
Wolper Awa Mbogo Kisa Mpenzi Wake
MSANII wa filamu Bongo Jacqueline Wolper hivi karibuni amesema kuwa sbabu kubwa inayomfanya awe Mbogo kwenye uhusiano wake wa kimapenzi pindi anapogundua mwanaume wake amemsaliti huwa ni yeye kuwa mwaminifu.
Akichezesha…
Kumekucha.. Zari Aipasua Familia Ya Mondi
UNAIKUMBUKA ile vita ya Team Zari na Team Wema? Timu hizi zilikuwa zikiwapigania mastaa hao; kila moja ilimuona mtu wake ndiye mwenye haki ya kuwa mpenzi wa mkali wa muziki wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, lakini sasa mambo…
‘Moto wa Ijumaa’ Wazidi Kushika Kasi
Moto wa gazeti la Ijumaa unazidi kutikisa kupitia Promosheni ya Chemshabongo yake ya msomaji wa gazeti hilo kujibu swali lililo katika ukurasa wa pili na kujishindia mkwanja wa Tsh 30,000.
Kama kawaida yake gazeti hilo…
Gazetia la ‘Ijumaa’ Laanza Kumwaga Zawadi kwa Wasomaji
GAZETI namba moja la habari za burudani na mastaa nchini la Ijumaa limekuja kivingine baada ya kuzindua promosheni yake mpya ya chemsha bongo ambayo itakuwa inawawezesha wasomaji kujinyakulia zawadi kibao ikiwemo mkwanja kila wiki.…
Kumekucha! Acharuka Kuachana na Kusah
KUMEKUCHA! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel kucharuka ile mbaya kufuatia dua ya kumuombea aachane na baba mtoto wake wa sasa, Salmini Hoza ‘Kusah’.
“Ninashangazwa na kukereka…
Ukweli Vanessa Kubeba Mimba
DAR: Sexy lady kunako Bongo Flevani, Mariane Mdee almaarufu Mimi Mars, kwa mara nyingine amejitokeza na kutupilia mbali tetesi na uvumi ambao umekuwa ukienea kuwa dada yake, Vanessa Mdee ‘V-Money’ kwa sasa ana mimba ya mchumba’ke,…
Hamisa Mobeto Afunguka Kumzalia Watoto Watano Diamond
Wakati ndoa ya staa mkubwa wa muziki barani afrika, Nasibu abdul ‘Diamond Platnumz’ ikinukia, habari mpya ni kwamba mzazi mwenzake, mwanamitindo Hamisa Mobeto, amefunguka kuwa haoni tatizo kumzalia staa huyo mtoto wa tano, Gazeti la…
CCM Yampongeza Mobeto!
Mazito yamemfika msanii wa Bongo Fleva, mwanamitindo Hamisa Mobeto baada ya hivi karibuni kuonesha anauza vitenge vya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Mobeto alipata tenda hiyo ya kuuza vitenge vya CCM ambavyo…
Video: Dada Wa Kazi Asimulia Jinsi Marehemu Mercy Alivyouawa
MERCY Mukandara, mkazi wa Kimara Stop Over jijini Dar es Salaam, ameuawa na mumewe Erick Samson Kuberwa au la; ni kazi ya vyombo vya dola kutoa jibu la swali hilo, IJUMAA WIKIENDA limesheheni ripoti kamili chini ya kapeti Juni 16, mwaka…