×

Kimataifa

Tanzia: Mendonca Afariki Dunia, Amliza Neymar

MWIMBAJI maarufu wa Brazil ambae pia mshindi wa tuzo la Grammy 2019  kwa Amerika ya Kusini, Marilia Mendonca (26) amefariki dunia...

READ MORE

Rais Akwaa Skendo ya Kuchepuka

RAIS aliyeko madarakani wa Ghana, William Addo Dankwa Akufo-Addo amekwaa skendo nzito akidaiwa kuchepuka na mwanamama Serwaa Broni.   Skendo...

READ MORE

Maumbile ya Mwalimu, Yawavuruga Wazazi

DUNIA haiishi vituko, nakuletea hii kutoka Marekani ambapo mwalimu anayefundisha watoto wadogo katika shule moja iliyopo New Jersey amezua gumzo...

READ MORE

Aliyehukumiwa Jela, Azawadiwa Bilioni 57

MAHAKAMA ya Jijini la Chikago nchini Marekani, Ijumaa, Oktoba 31, 2021  imemzawadia dola million 25 ambazo ni zaidi ya shilingi...

READ MORE

Kiongozi wa Mapinduzi Sudan Amfuta Kazi Mwendesha Mashtaka

Kiongozi wa mapinduzi yaliyofanyika wiki iliyopita Sudan, Luteni Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, amemfuta kazi Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali (DPP),...

READ MORE

Jengo la Ghorofa 22 Laporomoka Nigeria

WAOKOAJI wanafanya kazi usiku kucha kutafuta manusura katika mji wa Lagos nchini Nigeria baada ya jengo la ghorofa 22 kuporomoka...

READ MORE

Mwanafunzi Afariki kwa Kuzama Mtoni Akipiga Picha

ZIARA katika Chemchemi ya Maji ya Kimaya, Mto Chepkulo kaunti ya Bomet nchini Kenya imegeuka kuwa mauti baada ya mwanafunzi...

READ MORE

Mwanaume Afungua Kesi Kisa Mkewe Kuitwa ‘Babe’ Kwenye Whatsapp

Mwanaume mmoja anayetambulika kwa jina Jamiu, mkazi wa Ijebu Ode, katika jimbo la Ogun nchini Nigeria, ameshutumiwa kwa kumuita mke...

READ MORE

Aliyemuua Mama Yake Akamuweka Kwenye Sanduku, Aachiwa

MWANAMAMA Heather Mack raia wa Marekani ambaye alihukumiwa kutumikia kifungo cha miaka 10 jela nchini Indonesia kwa kosa la kumuua...

READ MORE

Marufuku Kuvaa Hivi Marekani

Shule tatu za msingi katika jimbo la New York zimepiga marufuku mavazi ya Halloween yanayofanana na yale yaliyovaliwa na washiriki...

READ MORE

Facebook Yabadili Jina Sasa ni ‘Meta’

KAMPUNI Facebook imebadilisha jina lake la kampuni na kujiita Meta ikiwa ni mpango wake wa kujiimarisha sokoni. Kampuni hiyo imesema...

READ MORE

Mrembo Ajiua Kisa Kutelekezewa Watoto, Aacha Ujumbe Insta

BINTI mwenye umri wa miaka 21, ambaye ni mama wa watoto 2, amejiuwa kutokana na msongo wa mawazo uliosababishwa na...

READ MORE

Bibi Harusi Agundua Mumewe Hana Miguu Baada ya Kufunga Ndoa

MAPENZI ni upofu na Waswahili wanasema kipenda roho hula njama mbichi! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio lililogusa mioyo ya...

READ MORE

Maajabu: Tiger Afanyiwa Birthday

Nakuvutia huu uzi kutokea pande za Texas Marekani, ambapo mnyama aina ya Tiger aliyepewa jina la Elsa amefanyiwa sherehe ya...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kuvunja TV ya Mama Yake

KIJANA Ronald Kipkemboi kutokea nairobi nchini Kenya amehukumiwa kifungo cha miezi sita na mahakama nchini humo mara baada ya kuvunja...

READ MORE

Mrembo Akiwasha “Barabara Mbovu Imeninyima Mume”

MREMBO mmoja amelalamika kuwa barabara mbovu inayounganisha jamii kadhaa katika eneo lake imemzuia kupata mume akidai kwamba wanaume ambao wanatakiwa...

READ MORE

Familia ya Watoto 11 Wenye Majina Yenye Herufi Zinazofanana

Familia ya Gwenny Blanckaert na Marino Vaneeno imekuwa na utamaduni wa kipekee linapokuja suala la kuwapa majina watoto wao ambapo...

READ MORE

Waliofanya Fujo Msafara wa Makamu wa Rais Wakamatwa

MAOFISA wa Polisi katika Mji wa Busia nchini Kenya, wamewakamata watuhumiwa nane wanaodaiwa kuhusika na vurugu zilizotokea Jumamosi katika ziara...

READ MORE

China Yatangaza ‘Lockdown’ Mji wa Lanzhou

SERIKALI ya China imetangaza kufunga shughuli zote za kawaida kwenye mji wa Lanzhou wenye watu takriban milioni 4 na kuaamuru...

READ MORE

Kijana Atupwa Jela Miaka 25 kwa Ku-Google Namna ya Kuua

Kijana Jamar Bailey (21) mkazi wa Birmingham amehukumiwa kifungo cha zaidi ya miaka 25 jela mahakama ya Birmingham Crown nchini...

READ MORE

Mwanamke Kupata Mimba Akiwa na Mimba

SAYANSI inasitasita kuamini juu ya uwezekano wa mwanamke kupata ujauzito huku akiwa na ujauzito mwingine tayari.   Lakini visa vilivyowatokea...

READ MORE

Mama Aliyejifungua Watoto 9 kwa Mkupuo Aanika Sura Zao

HABARI nyingine njema ambayo inakimbiza urimwenguni ni kuhusu mwanamke mmoja raia wa Mali, Halima Cisse, (26) ambaye mwezi Mei alijifungua...

READ MORE

Kituo cha Biashara na Hoteli Angani Kuzinduliwa

UNAAMBIWA Kampuni maarufu duniani ya Utalii wa angani ya Blue Origin ambayo inamilikiwa na bilionea wa dunia ambaye ni mmiliki...

READ MORE

Amuua Mkewe Kisa Kuambiwa Bwege Kitandani

MWANAUME mmoja nchini Kenya, Stephen Nyangeri Mauti mwenye umri wa miaka 25, ameshtakiwa kwa tuhuma za kumuua mkewe Faith Nyatich...

READ MORE

Amuuwa Mmiliki wa Paka kwa Hasira

Unaambiwa huko Florida, jamaa mmoja anayejulikana kwa jina la Cliffton Bliss Jr (58) anashtakiwa kwa kosa la kumuuwa kwa risasi...

READ MORE

Sudan Yatangaza Hali ya Hatari

RIPOTI za jeshi kuchukua mamlaka nchini Sudan ni “pigo kubwa ” kwa kipindi cha mpito kuelekea utawala wa kiraia, limesema...

READ MORE

Familia ya Mshukiwa wa Mauaji ya Watoto 14 Yagoma Kuzika

FAMILIA ya mshukiwa sugu wa mauaji ya watoto zaidi ya 10, Masten Wanjala aliyekiri ambaye aliuliwa kwao baada ya kutoroka...

READ MORE

Rais Erdogan Atimua Mabalozi 10

RAIS  wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan amemuagiza waziri wake wa mambo ya nje kuwatimua mabalozi wa nchi 10, zikiwemo Ujerumani...

READ MORE

Haya Ndo Mataifa Ambayo Hula Nyama ya Mbwa na Paka

TAIWAN imepiga marufuku uuzaji na ulaji wa paka na mbwa kufuatia visa kadhaa vya ukatili dhidi ya wanyama na kuzua...

READ MORE

Milionea Mdogo Zaidi Akamatwa

KIJANA milionea maarufu nchini Afrika Kusini, Sandile Shezi mwenye umri wa miaka 23 ambaye anajiita ‘Milionea Mwenye Umri Mdogo Zaidi’...

READ MORE

Mwizi Aonekana Kwenye Simu Baada ya Kuiiba

WATUMIAJI wa mitandao ya kijamii nchini Misri wamempongeza mtu mmoja aliyejionesha uso wake kwa maelfu ya watu wakati alipokuwa akiiba...

READ MORE

Maiti ya Mwanariadha Agnes Tirop Yapasuliwa

IKIWA ni takribani wiki moja tangu kuuawa kwake, maiti ya mwanariadha maarufu nchini Kenya, Agnes Tirop imefanyiwa upasuaji katika chumba...

READ MORE

Jamaa Yamkuta Baada ya Kukojoa Hapa

JESHI la Polisi mjini Kakamega wamemkamta jamaa mmoja kwa kumpiga na kumjeruhi mwenzake aliyepuuza onyo kwa umma kutokojoa hadharani.  ...

READ MORE

Amuua Mwenzake Kisa Nauli ya Bodaboda

KWELI dunia ina mambo…. Jeshi la Polisi nchini Kenya, Jeshi la Polisi ncini Kenya wanamshikilia mshukiwa wa mauaji ambaye aanadaiwa...

READ MORE

Kibaka Amchoma Kisu Askari na Kumuibia

JESHI la Polisi nchini Kenya wanamsaka kijana mmoja kibaka ambaye alimvamia na kumjeruhi ofisa wa polisi wa mwanamke katika eneo...

READ MORE

Bodaboda Aliyeokota Mil 115 Akazirejesha kwa Mwenyewe

Siku chache zilizopita, tukio lisilo la kawaida lilitokea nchini Liberia na kuzua gumzo kubwa kwenye mitandao ya kijamii.   Lilikuwa...

READ MORE

Kijana Aliyeitwa Nyani, Apelekwa Shule, Ageuka Staa

WASWAHILI wanasema Mungu sio hapangiwi….! Huu ni miongoni mwa misemo maarufu ya kiswahili inayotumiwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa jambo ambalo...

READ MORE

Maajabu: Kikongwe wa Miaka 70 Ajifungua Mtoto wa Kwanza

Unaweza usiamini lakini huo ndiyo ukweli, ukisikia dunia ina maajabu basi haya ni miongoni mwake. Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji...

READ MORE

Colin Powell; Jenerali wa Jeshi Aliyeiongoza Marekani Kumng’oa Saddam Hussein

-Aliweka rekodi ya kuwa Mmarekani mweusi wa kwanza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje – Akakataa kugombea urais na kumpendekeza...

READ MORE

Rais Kenyatta Aondoa Masharti ya Kutotoka Nje

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta ameondoa masharti ya kutotoka nje usiku kwa wananchi wake ambayo yaliwekwa  tangu Machi 2020 ili...

READ MORE