×

Kimataifa

Jela Mitano kwa Kusambaza Virusi vya Corona

Mwanaume mmoja huko Vietnamese amehukumiwa kifungo cha miaka mitano gerezani kwa kosa la kukiuka masharti dhidi ya kujikinga na Covid-19...

READ MORE

Taliban Watangaza Serikali ya Mpito Afghanistan

KUNDI la Taliban wametangaza serikali mpya ya mpito nchini Afghanistan, itakayoongozwa na mmoja wa waanzilishi wa kundi hilo, mwanamgambo aliyekuwa...

READ MORE

Wasichana Wavuliwa Nguo kisha Kutembezwa Uchi

WASICHANA wapatao sita wadogo katika eneo la kati mwa India wamevuliwa nguo na kutembezwa katika maandamano wakiwa uchi kama sehemu...

READ MORE

Wananchi Washangilia Jeshi Kumpindua Rais Conde

Mamia ya raia wa Guinea wamejitokeza barabarani kuunga mkono kikosi cha makomandoo kilichomteka na kumuweka kizuizini Rais wa nchi hiyo...

READ MORE

Daktari Ajiondoa Kizazi “Sitaki Kuzaa Wala Kuitwa Mama”

KATIKA hali ya kushangaza, wakati watu wanahangaika kutafuta kizazi, kusaka watoto, mwanadada aliyefahamika kwa jina la Priyanka Ramgoolam (25) ambaye...

READ MORE

Michael Williams Akutwa Amefariki Dunia

MUIGIZAJI maarufu wa filamu kutoka nchini Marekani Michael Williams amefariki dunia. Nyota huyo amekutwa amefariki nyumbani kwake usiku wa Septemba...

READ MORE

Jasusi Mwanamke Apotea, Rais na Waziri Mkuu Watofautiana

KUPOTEA kwa Ikran Tahlil ambaye ni wakala wa Shirika la Kitaifa la Ujasusi na Usalama (Nisa) nchini Somalia mnamo Juni...

READ MORE

Mtoto wa Gaddafi Achiwa Huru

Mtoto wa tatu wa kiongozi wa zamani wa Libya, Muammar Gaddafi, ameachiwa huru kutoka jela ya mji mkuu wa Tripoli,...

READ MORE

Guinea: Mechi ya Kimataifa Yaahirishwa

Kufuatia machafuko nchini Guinea, mchuano wa timu ya taifa hilo wa kufuzu kwa kombe la dunia dhidi ya Morocco nyumbani...

READ MORE

Rais Zuma Amaliza Kifungo Chake Jela

RAIS wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ambaye alihukumiwa kifungo cha miezi 15 jela baada ya kukaidi agizo la...

READ MORE

Wanaopinga Taliban: Tupo Tayari kwa Mazungumzo

  KIONGOZI wa Kundi la Wapiganaji wanaopinga kundi la Taliban nchini Afghanistan anayeongza vita vikali dhidi ya Taliban katika Bonde...

READ MORE

Mapacha Walioungana Vichwa Watenganishwa

WATOTO pacha wenye umri wa mwaka mmoja ambao walizaliwa wakiwa wameungan nyuma ya vichwa vyao wameweza kuonana kwa mara ya...

READ MORE

Kauli ya Jeshi Baada ya Kumpindua Rais Conde Guinea

UMOJA wa Afrika (AU) umelaani mapinduzi ya kijeshi nchini Guinea na kulitaka jeshi la nchi hiyo kumuachilia Rais Alpha Conde...

READ MORE

Kimbunga Ida Chaua Watu 41 Marekani

RAIS wa Marekani Joe Biden anasema “uwekezaji wa kihistoria ” unahitajika kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa, huku maeneo...

READ MORE

Watu 12 Wafariki DR Congo kwa Sumu ya Mgodini

KARIBU watu 4,500 wameugua kusini mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kufuatia kuvuja kwa sumu kutoka kwa mgodi wa almasi...

READ MORE

Mchungaji Achoma Moto Mawigi ya Muumini

Mchungaji Cyril Utomi kutoka Nigeria ameyachoma mawigi na vipodozi vya muumini wa kike kwa madai asingeweza kukutana na Yesu akiwa...

READ MORE

Kampuni za Simu Zageukia Biashara ya Magari ya Umeme

USHINDANI katika sekta ya mawasiliano duniani unaendelea kushika kasi huku baadhi ya kampuni za simu zikianza kugeukia biashara ya utengenezaji...

READ MORE

Wahamiaji 20 kutoka Morocco wafariki-baharini

Wahamiaji 20 wasio wa kawaida waliojaribu kufika kwenye Visiwa vya Canary kusini-magharibi mwa Uhispania kutoka pwani ya Morocco walipoteza maisha...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha 4 Auawa kwa Mapanga Kisa Mke wa Mtu

MWANAFUNZI wa kidato cha nne katika Shule ya Sekondari ya Kapsumbeiywo huko Kuresoi Kusini, Kaunti ya Nakuru nchini Kenya ameuawa...

READ MORE

Mwanamke Afariki Baada ya Kupata Chanjo ya Pfizer

SERIKALI ya New Zealand imeripoti kile inachoamini kuwa kifo cha kwanza kinachohusisha chanjo ya corona ya Pfizer. Bodi huru inayosimamia...

READ MORE

Kimbunga Ida Chaleta Maafa Marekani

KIMBUNGA kikali, Ida kimesababisha madhara makubwa nchini Marekani ikiwa ni pamoja na kuvunja majengo na kuvuruga huduma ya nishati kwenye...

READ MORE

Simulizi Binti Aliyemchoma Moto Mpenzi Wake

PIGA picha umelala na mpenzi wako ukiwa umemuegemea, ambaye kabla ya kulala mlikuwa na furaha tu na ghafla unaamka na...

READ MORE

Rais Hichilema Awafuta Kazi Wakuu wa Jeshi na Polisi

  RAIS mpya wa Zambia Hakainde Hichilema jana Jumapili ameteua wakuu wapya wa jeshi na kuwaondoa wakuu wote wa polisi...

READ MORE

Marekani Yazuia Shambulio Jingine Kabul

JESHI la Marekani kwa kutumia ndege zake zisizo na rubani katika Mji Mkuu Kabul limefanikiwa kuzima shambulio jingine baya la...

READ MORE

Waziri Achukua Pesa za Umma Kufanya Honeymoon, Yamkuta

Mamlaka ya kupambana na rushwa nchini Malawi, ACB imemkamata aliyewahi kuwa waziri wa maji na maendeleo ya umwagiliaji nchini humo,...

READ MORE

Aliyetaka Kujilipua Kwenye Mazishi Akamatwa

MSHAMBULIAJI anayeshukiwa kuwa wa kujitoa muhanga amekamatwa nchini Uganda kwa kupanga kujilipua katika mazishi ya kamanda wa jeshi anayefahamika kama...

READ MORE

Tanzania Yasikitishwa na Denmark Kufunga Ubalozi Wake

  Serikali ya Tanzania imeeleza kusikitishwa kwake na uamuzi wa Serikali ya Denmark kutangaza kuufunga ubalozi wake nchini Tanzania wakati...

READ MORE

Polisi Anayeshirikiana na Tapeli wa Mitandao Yamkuta

MKUU wa polisi wa Nigeria amepokea ripoti ya uchunguzi kuhusu afisa wa juu aliyesimamishwa kazi Abba Kyari, ambaye anatafutwa kwa...

READ MORE

Ufaransa Yazungumzia Tukio la Mauaji Dar

Wizara ya Mambo ya nje nchini Ufaransa inasema, mpaka sasa hakuna kinachoashiria kuwa makabiliano ya risasi siku ya Jumatano kati...

READ MORE

Watu 8 Wafa kwa Kuangukiwa na Winchi

Watu wanane wakiwemo raia wawili wa China wameuawa mjini Nairobi Kenya kufuatia ajali ya korongo au winchi yaani mtambo wa...

READ MORE

Wanajeshi 13 wa Marekani Wauawa Afghanistan

SHAMBULIO kubwa limetokea jana Alhamisi, Agosti 25, 2021 katika Uwanja wa Ndege wa Kabul nchini Afghanistan na kusababisha vifo vya...

READ MORE

Nguli wa Madawa ya Kulevya Duniani Akamatwa Dubai

MAOFISA mjini Dubai wamethibitisha kumkamata mmoja wa walanguzi wakubwa kabisa wa dawa za kulevya wanaotafutwa ulimwenguni pamoja na mshirika wake...

READ MORE

Ruto Amjibu Kenyatta: ”Sitajiuzulu Kamwe”

Naibu wa Rais nchini Kenya, William Ruto siku ya Jumanne alisema kwamba hatojiuzulu saa chache tu baada ya Rais Uhuru...

READ MORE

Mwanamke Atokwa Maziwa Kwenye Kwapa Baada ya Kujifungua

KUJIFUNGUA mtoto kunakuja na mabadiliko mengi katika mwili, mabadiliko ambayo megine ni ya kawaida na yasiyo ya kawaida. Mwanamke mmoja...

READ MORE

Polisi Aibuka Hospitali, Amuua kwa Risasi Mkewe Akitibiwa

MAOFISA wa polisi wanachunguza kisa kimoja ambapo mwenzao kutoka Kituo cha Polisi cha Njoro nchini Kenya amepiga risasi na kumuua...

READ MORE

Hichilema Aapishwa Kuwa Rais wa Zambia – Video

Hakainde Hichilema amekula kiapo kuwa rais wa Zambia mbele ya umati wa watu waliokuwa wakishangilia Uwanja wa Mashujaa katika mji...

READ MORE

Mbaloni kwa Kukutwa na Viungo vya Binadamu Kwenye Friji

MWANAUME mmoja mwenye umri wa miaka 28 anashikiliwa na polisi kwa mauaji mkoa wa Bono. Polisi nchini Ghana wanachunguza mauaji...

READ MORE

Mwanamke wa Afghanstan Ajifungua Kwenye Ndege ya Kijeshi ya Marekani

KUTOKANA na vurugu zinazoendelea nchini Afghanistan imeelezwa kuwa mwanamke mmoja raia wa Afghanistan amejifungua mtoto wa kike ndani ya ndege ya jeshi ya...

READ MORE

Aliyekataa Chanjo Afariki kwa Corona

Mtangazaji wa vipindi vya radio katika Jimbo la Tennessee nchini Marekani Bw. Phil Valentine aliyekuwa mmoja kati ya watu waliozipinga...

READ MORE

Afariki kwa Kula Nyama ya Kuku Mgonjwa

Binti mwenye umri wa 7 kutoka kijiji cha Igumo wadi ya Marimanti katika Kaunti ya Tharaka Nithi nchini Kenya ameaga...

READ MORE