×

Kimataifa

AU Yatoa Tamko Uchaguzi Tanzania

MWENYEKITI wa Umoja wa Afrika (AU), Moussa Faki Mahamat, ametoa wito wa uchaguzi wa amani, wenye kujumuisha kila mmoja na...

READ MORE

Hali ya Schwarzenegger Baada ya Upasuaji Moyo

STAA wa filamu za mapigano kutoka kiwanda cha filamu cha Hollywood, mkongwe Arnold Schwarzenegger, anaendelea vizuri baada ya kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Watoa Wito Uchaguzi Tanzania

  UMOJA wa Mataifa umetoa wito kwa Tanzania kuhakikisha uchaguzi mkuu wa kesho Jumatano, Oktoba 28, 2020 unafanyika kwa njia...

READ MORE

Obama Amvaa Rais Trump

RAIS wa zamani wa Marekani, Barack Obama, amemkosoa vikali Rais Donald Trump na serikali yake  jana juu ya namna alivyoshughulikia...

READ MORE

Kiongozi wa Al-Qaeda Auawa Afghanistan

VIKOSI maalum vya Afghanistan vimemuua kiongozi muhimu wa kundi la Al-Qaeda ambaye pia alikuwa akitafutwa na Serikali ya  Marekani, idara...

READ MORE

Mbwa wa Ajabu Azaliwa

Mbwa wa Cristian Mallocci alimuonesha mmiliki wake maajabu baada ya kuzaa mbwa asie wa kawaida. Mbwa huyo aliyepewa jina Pistachio...

READ MORE

Hotuba za Hitler Zapigwa Mnada

HOTUBA nane za kiongozi wa zamani wa Ujerumani, Adolf Hilter, zimepigwa mnada mapema leo kwenye Jiji la Munich, kwa kwa...

READ MORE

Mahakama ya Juu Nigeria Yachomwa Moto

Waandamanaji nchini #Nigeria wamechoma moto jengo la mahakama ya juu nchini humo wakati wakiendelea na maandamano kupinga ukatili wa polisi....

READ MORE

Kisa Baba Kutaka Kumuoa Mchumba’ke, Kijana Atoroka na Mahari

MVULANA wa miaka 17 katika Kaunti ya Tana River, nchini Kenya ametorosha mahari iliyokusudiwa kutumiwa na baba’ke kuoa mke wa...

READ MORE

Polisi Waua Raia 12 Nigeria

VIKOSI vya usalama nchini Nigeria vimeyavyatulia risasi makundi mawili ya waandamanaji na kuua watu 12 waliokuwa wakishinikiza polisi kuacha kutumia...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Burundi Ahukumiwa Maisha Jela

Rais wa zamani wa Burundi, Pierre Buyoya amehukumiwa na mahakama kuu ya nchi hiyo kifungo cha maisha jela baada ya...

READ MORE

Trump: Sudan Iwalipe Fidia Wahanga Shambulio Dar, Nairobi

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amesema serikali anayoongoza itaiondoa Sudan katika orodha ya wafadhili wa ugaidi iwapo italipa fidia ya...

READ MORE

Polisi Mbaroni kwa Kushambulia Waandamanaji Nigeria

MAMLAKA mjini Lagos, Nigeria, imewakamata polisi waliowashambulia waandamanaji wanaoendelea kuandamana dhidi ya ukatili wa polisi.   Vyombo vya habari vimeripoti...

READ MORE

Rais Trump Akubali Kuachia Madaraka

RAIS Donald Trump wa Marekani amesema yupo tayari kuachia madaraka baada ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi Novemba mwaka huu,...

READ MORE

Wanasayansi Watahadharisha Mlipuko wa Volkano DR Congo

WANASAYANSI wametahadharisha kuhusu hatari ya Mlima Nyiragongo uliopo Goma, Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia Kongo kulipuka.   Mlima huo ulilipuka...

READ MORE

Ndege za Kivita Zagongana, Tisa Wafariki!

AJALI ya ndege mbili za kijeshi aina ya helkopta za Afghanistan zimesababisha wanajeshi kujeruhiwa huko kusini mwa jimbo la Helmand...

READ MORE

Nigeria: Davido Aongoza Maandamano Dhidi ya Polisi

NYOTA wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke (Davido),  ameongoza sehemu ya maandamano ya vijana nchini humo kutaka kufutwa kwa Kikosi...

READ MORE

Rais: Niko Tayari Kujiuzulu

RAIS wa Kyrgystan, Sooronbai Jeenbekov, amesema yuko tayari kujiuzulu mara tu baraza jipya la mawaziri litakapoteuliwa wakati ombwe la madaraka...

READ MORE

Wabunge Kuchukua Likizo Kurekodi ‘Jerusalema’

WABUNGE nchini Kenya wiki ijayo watachukua mapumziko mafupi kwenda kurekodi video ya densi ya Jerusalema maarufu kama #JerusalemaDanceChallenge ambayo imekuwa...

READ MORE

Mshukiwa Shambulio la Westgate Atekwa Baada ya Kuachiliwa Kortini

MTU mmoja ambaye hakupatikana na hatia katika shambulio la kigaidi la Westgate nchini Kenya ametekwa nyara alipokuwa akielekea nyumbani.  ...

READ MORE

Marekani Yajaribia Miwani Maalumu ya Mbwa wa Kijeshi

JESHI  la Marekani limeonyesha miwani ya ukweli inayovaliwa na mbwa wa kijeshi, iliyoundwa ili kupokea maagizo kwa mbali.   Teknolojia...

READ MORE

Ahukumiwa Kifo Baada ya Kuua ‘Makahaba’ Tisa – Video

MTU mmoja, Gracious David-West (26), amehukumiwa kifo baada ya kukiri kuwanyonga wanawake tisa nchini Nigeria.   Gracious aliyewaua wanawake hao...

READ MORE

Chanzo Ajali ya Ndege ya Ukraine Chabainika

NAIBU Waziri Mkuu wa Ukraine, Oleg Uruskiy, amesema kuwa chanzo cha ajali ya ndege ya kijeshi iliyoanguka katika mji wa...

READ MORE

Mshauri wa Whitehouse Aambukizwa Corona

Ugonjwa wa Covid-19 unaendelea kusambaa miongoni mwa wandani wa Rais wa Marekani Donald Trump, huku mshauri wa Ikulu ya White...

READ MORE

Biden: Oktoba 15 Mdahalo Usifanyike Kama Trump Bado ana COVID-19

Mgombea wa urais nchini Marekani kwa tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden amesema mdahalo wa pili wa urais uliopangwa...

READ MORE

Walioshambulia Westgate Watiwa Hatiani

MAHAKAMA nchini Kenya, leo Oktoba 7, 2020 imewakuta na hatia washukiwa wawili y kupanga njama ya kutekeleza ugaidi na kusaidia...

READ MORE

Maajabu Mvuvi Aliyevua Samaki Albino

  MVUVI  nchini Uingereza amesema amepata bahati ya kuvua samaki aina ya papa mwenye albinism (zeruzeru)  akapiga naye picha kisha...

READ MORE

Trump Aondoka Hospitali, Akazia Vita Dhidi ya Corona

RAIS  wa Marekani, Donald Trump ameruhusiwa kutoka kwenye hospitali ya kijeshi ya Walter Reed alikokuwa amelazwa kwa siku tatu akitibiwa...

READ MORE

Mwalimu Asimamishwa Kazi, Tattoo Zake Zawavuruga Watoto

MWALIMU mmoja nchini Ufaransa anayetambulika wa jina Sylvain Helaine mwenye umri wa miaka 35 amesimamishwa kuwafundisha watoto wa chekechea nchini...

READ MORE

Mapigano Kati ya Armenia na Azerbaijan Yapamba Moto

Vikosi vya Armenia na Azerbaijan vimeshambuliana kwa maroketi na makombora wakati ambapo mapigano yanazidi kwenye eneo la Nagorno-Karabach. Armenia imesema...

READ MORE

Hatimaye Hukumu Shambulio la Westgate Kutolewa

MAHAKAMA moja nchini Kenya inatarajiwa kutoa uamuzi wa kesi inayohusisha wanaume watatu walioshtakiwa kwa kuwasaidia wanamgambo wenye silaha kushambulia jengo...

READ MORE

Hofu Yatanda Hali ya Trump!

RAIS wa Marekani, Donald Trump, anaendelea kupewa uangalizi wa karibu akiwa hospitali ambako anapokea matibabu ya Covid-19. Kuna tashwishi kuhusu...

READ MORE

Chama Tawala Nchini Kenya Chapendekeza Naibu Rais wa Kenya, William Ruto Aondolewe katika nafasi yake

Chama cha Jubilee kimependekeza Naibu Rais wa Kenya, William Ruto kuondolewa katika nafasi yake kama Naibu Kiongozi wa Chama hicho....

READ MORE

Trump, Mkewe Wakutwa na Corona

RAIS Donald Trump wa Marekani amesema  yeye na mke wake, Melania Trump, wamepatikana na virusi vya corona na wako kwenye...

READ MORE

Mwanajeshi: Niliwaua Warembo Sababu Nilionewa Nikiwa Mdogo

MWANAJESHI wa kitengo maalum cha makombora, Alexey Alexandrov (35), amekiri kuwaua kwa pamoja warembo wawili, Ksenia Soltanova na Rafiki yake...

READ MORE

Wabunge Wakataa Msaada wa Kondomu

WABUNGE nchini Malawi wamekataa kupokea msaada wa  kondomu zaidi ya 200,000 walizopewa na shirika moja la kutoa misaada. Mipira hiyo...

READ MORE

Mshukiwa Mauaji ya Kimbari Kushtakiwa Tanzania

MAHAKAMA ya rufaa nchini Ufaransa imekubali kumpeleka mshukiwa wa mauaji ya kimbari nchini Rwanda, Felicein Kabuga, kushtakiwa nchini Tanzania.  ...

READ MORE

Kijana Awaua Wazazi Wake Kisa Corona

Raia wa China Huang Mouyang (22) anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za mauaji ya Wazazi wake wote wawili ambao inadaiwa...

READ MORE

Maziwa Matatu Yagunduliwa Sayari ya Mars

MAZIWA matatu ya chini ya ardhi yamegunduliwa karibu na eneo la kusini mwa sayari ya Mars. Wanasayansi pia wamethibitisha uwepo...

READ MORE

Mtu wa Kwanza Kutibiwa HIV Afariki kwa Saratani

MTU  wa kwanza kutibiwa virusi vya ukimwi (HIV), Timothy Ray Brown, amefariki kutokana na saratani. Brown ambaye pia alijulikana kama...

READ MORE