×

Kimataifa

Roboti Inayoweza Kushiriki Ngono Kutengezwa

HII teknolojia sasa imekuwa too much! Kila kukicha wenzetu wazungu wamekuwa wakibuni vitu vipya tofauti kabisa na fikira za kawaida...

READ MORE

Rais wa Gambia: Hakuna wa Kunitoa Madarakani, Labda Mungu Pekee

GAMBIA: Rais wa Gambia Yahya Jammeh amesema kuwa atakataa jaribio lolote la viongozi wa eneo la magharibi mwa Afrika la...

READ MORE

Balozi Wa Urusi Nchini Uturuki Auawa Kwa Risasi Akihutubia

ANKARA: Balozi wa Urusi nchini Uturuki, Andrey Karlov (62) ameuawa kwa kupigwa risasi wakati akihutubia jana Jumatatu usiku mjini Ankara,...

READ MORE

Mrembo Kutoka Puerto Rico, Stephanie Del Valle Ashinda Taji la Miss World 2016

Mshindi wa Miss World 2016, Stephanie Del Valle akivishwa taji na  Miss World 2015, Mireia Lalaguna Stephanie Del Valle akishindwa kuamini...

READ MORE

Chama cha ZANU-PF Kimemtangaza Rais Robert Mugabe Kuwa Mgombea Wake Katika Uchaguzi Mkuu wa 2018

ZIMBABWE: Chama tawala ZANU-PF kimemtangaza Rais Robert Mugabe(92) kuwa mgombea wake katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwaka 2018 Mugabe mwenye umri...

READ MORE

Barua ya Mohammad Ali kwa Mandela Yauzwa Milioni 19.58

Barua iliyowekwa sahihi na mwanamasumbwi Mohammad Ali na kuandikiwa rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, akitoa rambi rambi...

READ MORE

Sehemu Ambazo Kamwe Huruhusiwi Kuzitembelea Hapa Duniani

Najua kwamba ungefurahi sana kuona ukiizunguka dunia unavyotaka, utembelee fukwe zote duniani, hoteli na sehemu nyingine nyingi. Labda unasema kwamba...

READ MORE

Mtoto wa Rais Auawa kwa Kupigwa Risasi

MSUMBIJI: Mtoto wa Rais wa zamani wa Msumbiji Armando Emílio Guebuza, Valentina Guebuza ameuawa kwa kupigwa risasi leo asubuhi na...

READ MORE

Staili ya ‘Salamu ya Mwendokasi’ Yaitikisa Mitandao ya Kijamii

Pierre Ismael Bidoung Mpkatt (kulia) akimsalimia Paul Biya. Tangu Waziri wa Michezo nchini Cameroon, Pierre Ismael Bidoung Mpkatt ainame wakati...

READ MORE

Chatu Afa Baada ya Kumeza Mbwa

  CHATU aliyemeza mbwa mkubwa katika Jimbo la Warri nchini Nigeria, majuzi alikufa baada ya tumbo lake kuvimba kupita kiasi...

READ MORE

Mwingereza Afungwa Miezi 12 Kwa Kutaka Kumuua Trump

RAIA mmoja wa Uingereza amefungwa miezi 12 na siku moja gerezani katika jaribio la kutaka kumuua aliyekuwa mgombea urais wa...

READ MORE

Kanye West Akutana na Trump

RAPA maarufu nchini Marekani, Kanye West, ambaye hivi karibuni alilazwa hospitalini baada ya kupata matatizo ya msongo wa mawazo na...

READ MORE

Shirika la Ndege la Etihad Lang’ara Tena Tuzo za Ubora Duniani

Makamu wa Rais wa ShirIka la Ndege la Etihad, Kitengo cha Huduma kwa Wateja Linda Celestino na Meneja Masoko na...

READ MORE

Putin Ataka Kuonana na Trump Baada ya Kuapishwa

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema ataonana na Rais mteule wa Marekani, Donald Trump mara tu atakapo apishwa kuingia madarakani...

READ MORE

Rwanda Kufanya Uchaguzi wa Urais Agosti 2017, Kampeni Kuanza Julai

RWANDA: Serikali ya Rwanda imetangaza tarehe za kufanya uchaguzi wa rais unaotarajiwa kufanyika mwakani 2017. Kulingana na tangazo lililotolewa baada...

READ MORE

Kiongozi wa Serikali Anusurika Kifo Baada ya Paa la Kanisa Kuanguka, Waumini 200 Wapoteza Maisha

UYO, NIGERIA: WATU zaidi 200 wamepoteza maisha huku wengine ambao idadi yao haijkafahamika wakijeruhiwa baada ya paa la kanisa walimokuwa...

READ MORE

Gari la Kubeba Mafuta Lagonga Magari 13 na Kulipuka, Watu 33 Wafariki Dunia, 6 Wajeruhiwa

NAIVASHA: Watu zaidi ya 33 wameripotiwa kupoteza maisha huku wengine sita wakijeruhiwa vibaya kufuatia ajali ya gari la kubeba mafuta...

READ MORE

Mchungaji Awanywesha Waumini Dawa ya Kuua Bakteria “Dettol”

MCHUNGAJI maarufu kwa jina la Rufus Phala kutoka kanisa la AK Spiritual Christian lililopo Makgodu, Limpopo, Afrika Kusini amewashangaza watu...

READ MORE

Upinzani Washinda Urais Ghana

GHANA: Mwanasiasa mkongwe ameshinda uchaguzi wa urais nchini Ghana kwa kupata asilimia 53 ya kura zote, ushindi ambao umepokelewa kwa...

READ MORE

Obama Aagiza Uchunguzi Ufanyike Kuhusu Tuhuma za Udukuzi Uliofanywa Urusi Kumsaidia Trump

Washington (CNN): Rais Barack Obama ameagiza uchunguzi ufanyike kuhusu tuhuma za udukuzi zilizofanywa na nchi ya Urusi katika kipindi cha...

READ MORE

Urais Gambia: Aliyekubali Kushindwa, Abadili Uamuzi, Apinga, Ataka Uchaguzi Urudiwe!

  MSHINDI wa Kiti cha Urais wa Gambia, Adama Barrow amenyimwa kutumia Televisheni ya Taifa ya nchi hiyo huku Rais...

READ MORE

Polisi Wanaume Wavalia Moka za Wanawake, Watinga Mtaani!

Maafisa kadhaa wa Jeshi la Polisi wa kiume nchini Uganda, jana Desemba 9, 2026 walivalia viatu vya kike na kushiriki...

READ MORE

Sokwe Mvuta Sigara Awa Gumzo!

Baada ya kutengenishwa na mamake muda mfupi baada ya kuzaliwa, sokwe Manno alisafirishwa hadi nchini Iraq ambapo aliishi akivuta sigara...

READ MORE

Wanasiasa wa Upinzani Burundi Wamkataa Rais Mkapa

BURUNDI: Wanasiasa wa upinzani nchini Burundi walio uhamishoni wamepinga jitihada za aliyekuwa rais wa Tanzania Benjamin William Mkapa za kutatua...

READ MORE

Tiwa Savage Arudiana Kimya Kimya na Mumewe Teja wa Madawa Teebillz

NIGERIA: MWANADADA maarufu kwenye tasnia ya muziki Barabi Afrika, Tiwa Savage amerudiana na mumewe Teebillz baada ya kuachana naye kwa kile...

READ MORE

‘Meneja wa Dangote Auawa kwa Kutoa Fedha Ndogo Kufidia Mateka’

Istifanus Bello enzi za uhai wake. WATU watatu wanaodaiwa kumteka na kumwua meneja raslimali watu wa kampuni ya Dangote Industries...

READ MORE

Trump Kusitisha Uagizwaji wa Ndege Mpya za Air Force One

Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump amesema anataka kufuta ombi la ununuzi wa ndege mpya za Air Force One ambazo...

READ MORE

Maelfu Waomboleza Kifo cha ‘Iron Lady’

INDIA: Maelfu ya waombolezaji wamejitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa Jayalalithaa Jayaram, mmoja wa wanasiasa mashuhuri nchini India,. Mkuu...

READ MORE

Ubalozi Feki wa Marekani Wagunduliwa Ghana

Maafisa wa usalama nchini Ghana wamewakamata watu watatu kwa kuhusishwa na kuwa na ubalozi feki wa Marekani mjini Accra nchini...

READ MORE

Waziri Mkuu Italia, Matteo Renzi Ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Italia, Matteo Renzi amejiuzulu baada ya kukubali kushindwa katika kura ya maamuzi kuhusu marekebisho ya katiba nchini...

READ MORE

Majivu ya Mwili wa Fidel Castro Yazikwa Santiago, Cuba

SANTIAGO, CUBA: Majivu ya aliyekuwa rais wa Cuba, Fidel Castro yamezikwa katika kiunga cha makaburi mjini Santiago, na hivyo kumaliza...

READ MORE

Miili ya Waliouawa Kwenye Mapigano Uganda Yazikwa

MIILI ya watu takriban 51 wasiojulikana, waliouwawa kwenye mapambano baina ya askari wa usalama na wapiganaji wanaotaka kujitenga na walio...

READ MORE

Mnigeria Ateuliwa Katika Bodi ya Washauri wa Uchumi wa Donald Trump

RAIS mteule wa Marekani, Donald Trump, amemteua mfanyabiashara raia wa Nigeria, Adebayo Ogunlesi (pichani juu), kuwa mmojawapo katika bodi ya...

READ MORE

Rais Barrow Kuwaachia Wafungwa wa Kisiasa, Kuibakiza Gambia ICC

RAIS Mteule wa Gambia, Adama Barrow ameliambia Shirika la Habari la Associated Press (AP) kuwa atawaachia huru kutoka gerezani wanasiasa...

READ MORE

Trump Aaanza Kuitibua China

Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Uchina, Wang Yi Wizara ya mashauri ya nchi za nje ya Uchina,...

READ MORE

Rais wa Angola, Dos Santos Hatogombea Kwenye Uchaguzi Mkuu Mwakani

ANGOLA: Kituo cha radio cha Angola kinasema kwamba, Rais Jose Eduardo dos Santos, ambaye ametawala taifa hilo kwa karibu miongo...

READ MORE

Upinzani Washinda Urais Gambia

Mgombea wa upinzani, Adama Barrow aliyeshinda urais kwa kupata kura 263,515. Mgombea wa upinzani, Adama Barrow ameshinda uchaguzi wa urais nchini...

READ MORE

Ajali ya Colombia: Ndege Ilichelewa Kupata  Mafuta Kituo Kilichofuata

  Mabaki ya ndege iliyoanguka nchini Colombia ikiwa na wachezaji wa klabu ya Chapocoense ya Brazil. Eneo la milima ilipoanguka ndege...

READ MORE

Trump Amteua Jenarali ‘Mad Dog’ Kuwa Waziri wa Ulinzi Marekani

Jenerali James Mattis maarufu kama ‘Mad Dog’. Rais Mteule wa Marekani, Donald Trump amefanya mkutano wa kwanza wa hadhara tangu...

READ MORE

Soyinka Aichana Green Card Yake, Ni Baada ya Kutoa Ahadi Hiyo Iwapo Trump Angeshinda Uchaguzi

MWAFRIKA wa kwanza kupata Tuzo la Nobel ambaye ni raia wa Nigeria anayeishi nchini Marekani, Wole Soyinka (pichani juu), ametimiza...

READ MORE