×

Kitaifa

Mbowe Afunga Mjadala wa Lowassa, Amtaja Dkt. Slaa!

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema uamuzi uliofanywa na Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai...

READ MORE

BREAKING: MBOWE ASEMA KUNA UGONJWA WA ‘BURUDANI’ GEREZANI – VIDEO

MWENYEKITI  wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe,  amesema amekutana na mambo mengi ya kuumiza alipokuwa mahabusu...

READ MORE

Wafutiwa shitaka la mauaji baada ya Rais Magufuli kuamuru uchunguzi

MKURUGENZI wa mashtaka nchini (DPP), Biswalo Mganga, amewafutia shitaka la mauaji watuhumiwa Musa Sadiki na Edward Matiku baada ya agizo...

READ MORE

BAADA YA KUVULIWA UBUNGE, NASSARI AMJIBU SPIKA NDUGAI

IKIWA ni saa chache baada ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,  kutangaza kumvua Ubunge, aliyekuwa Mbunge wa  Arumeru Mashariki, Joshua...

READ MORE

SHUHUDIA MTAMBO WA KISASA WA ASALI

UFUGAJI wa nyuki katika mkoa wa Singida unatarajiwa kuongeza tija kwa wafugaji kutokana na kuanzishwa kwa mtambo wa kisasa wa...

READ MORE

Washindi 15 wapatikana promosheni ya Tia kitu pata vituz na DStv!  

  Kampuni ya MultiChoice nchini kupitia king’amuzi chake cha DStv imechezesha droo yake ya tatu ya promosheni ya “Tia kitu,...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YAKAGUA MRADI WA UPANUZI  JENGO LA UTAWALA DUCE

  Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeiagiza serikali kuhakikisha inafanikisha upatikanaji wa kiasi cha...

READ MORE

Breaking News: Spika Ndugai Amvua Ubunge Joshua Nassari

Spika wa Bunge, Job Ndugai leo Alhamisi, Machi 14, 2019, amemvua Ubunge, Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (CHADEMA), baada...

READ MORE

Mbowe Yamkuta Majanga Mengine

SIKU chache baada ya kutoka mahabusu, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amekumbana na pigo lingine...

READ MORE

LISSU AFUTIWA MSHAHARA NA POSHO ZAKE BUNGENI – VIDEO

MBUNGE wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu amethibitisha kuwa Uongozi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia kwa...

READ MORE

HII NDO ‘PITCH HATARI’ YA SOKA ITAKAYOJENGWA DODOMA

Rais Magufuli amekutana na kufanya mazungumzo na timu ya wataalamu wa Tanzania na Misri wanaoshughulikia ujenzi wa uwanja wa michezo...

READ MORE

JPM Akutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje Wa Urusi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje...

READ MORE

TABORA: Wanawake Wajiekea Tumbaku Ukeni Kupunguza Hamu ya Ngono

  WANAWAKE mkoani Tabora wamekuwa wakitumia tumbaku  na ugoro ambayo huiweka sehemu za siri ili kupunguza hamu ya tendo la...

READ MORE

Wabakaji Waachiwa Huru, Sababu? Sura ya Aliyebakwa Haivutii!

WANAUME wawili waliachiliwa huru na mahakama ya Italia kwa makosa ya kumbaka mwanamke, baada ya majaji kuamua kuwa mwathirika ana...

READ MORE

Spika Ndugai Awakaribisha Mbowe na Matiko Bungeni

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemkaribisha Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kuendelea na shughuli...

READ MORE

Polisi Yaua Majambazi Watatu Kigoma

JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuua majambazi watatu kati ya watano waliofanya tukio la unyanganyi wa kutumia silaha za...

READ MORE

Polisi vs ‘CUF ya Lipumba’ Hapatoshi

MKUTANO Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), upande wa Profesa Ibrahim Lipumba, umesimama baada ya kutokea kutoelewana baina ya viongozi...

READ MORE

VIFO VYA RUGE, KIBONDE FUNZO KUBWA

DAR ES SALAAM: FUNZO kubwa! Ndiyo kauli iliyosikika ka­tika vinywa vya wengi, kuelezea vifo vya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji...

READ MORE

ZAMBI ATAJA UTAJIRI WA LINDI KWENYE UWEKEZAJI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi  amesema mkoa wake una utajiri mkubwa katika sekta ya uwekezaji na una fursa...

READ MORE

AJIFUNGUA WATOTO WANNE KWA MPIGO, AMLILIA JPM – VIDEO

BINTI wa miaka 24, Radhia Solomon,  mkazi wa Mtaa wa Chemchemi, Magomeni-Mapipa jijini Dar es Salaam, ambae amejifungua watoto wanne...

READ MORE

UBA YASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MISAADA HOSPITALI YA TEMEKE

      Benki ya United Bank for Africa Tanzania (UBA) imesherehekea siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa...

READ MORE

NMB yazindua ‘Floti Fasta’ kwa Mawakala wao

  VINARA wa huduma za kibenki nchini, Benki ya NMB, wamezindua huduma ya kidijitali ya kuwawezesha Mawakala wa NMB kupata...

READ MORE

HUKU JPM AKIIBUA ISHU YA MO MKURUGENZI DAR ATEKWA SAA 5,700

INATISHA! Wale watu wasiojulikana wanadaiwa kumteka mkurugenzi na mmoja wa wamiliki wa kampuni maarufu ya kusambaza vifaa tiba jijini Dar...

READ MORE

MAMA SAMIA AKWEA PIPA KUMWAKILISHA JPM SUMMIT

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Kampala, Uganda kushiriki...

READ MORE

Masikini Aveva na Kaburu

ALIYEKUWA Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ wameendelea kusota rumande baada ya kesi yao kuahirishwa...

READ MORE

LUGOLA: WAPINZANI WANAOMTUKANA RAIS WAKAMATWE

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewaagiza Makamanda wa Polisi nchini washirikiane na Wakuu wa Mikoa na...

READ MORE

INASIKITISHA! UJUMBE WA KIBONDE KWA MKEWE WALIZA WENGI

DAR ES SALAAM: Inasikitisha! Kifo cha Mtangazaji wa Clouds FM, Ephrahim Kibonde bado kinaendelea kuwaumiza wengi, Risasi Jumamosi limebaini, jumbe...

READ MORE

SERIKALI YAHAKIKISHA VYANZO VYA MAJI VINALINDWA

    SERIKALI imesema itahakikisha kuwa vyanzo vya maji vinavyopeleka maji Mto Rufiji havivamiwi kwa shughuli za kilimo na kibinadamu...

READ MORE

WACHUNGAJI WAMUOMBEA MAKONDA KUMLINDA NA MAADUI (Picha +Video)

Mchungaji Kiongozi Dk Getrude Lwakatare almaarufu Mama Lwakatare wa Kanisa la Mlima wa Moto Assemblies of God la Mikocheni B...

READ MORE

Tigo kuwawezesha wasichana kujiendeleza kiteknolojia

    Ijumaa, Machi 8, 2019  Kampuni ya mawasiliano ya Tigo, imeelezea dhamira yake ya kusaidia kuwajengea uwezo wasichana na...

READ MORE

Wateja 15 waibuka kidedea Promosheni ya DStv ya Tia Kitu pata vituz!!

    Ijumaa Machi 08, 2019. Hatimaye washindi 15 wa wiki ya pili ya promosheni ya “Tia kitu pata vituz”...

READ MORE

KIFO CHA KIBONDE NI PENGO KUBWA KWA TAIFA-MAJALIWA

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema kifo cha aliyekuwa Mtangazaji Muandamizi wa kituo cha redio cha Clouds, Ephraim Kibonde ni...

READ MORE

BREAKING: WATU 5 WAFARIKI KWA KULIPUKIWA NA PETROLI SAME

Watu watano wamefariki dunia baada ya petroli iliyokuwa ndani ya nyumba waliyokuwemo kulipuka mkoani Kilimanjaro. Licha ya waliopoteza maisha, wengine...

READ MORE

BOOMPLAY INASHEHEREKEA WANAMUZIKI WA KIKE KATIKA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI

Boomplay ni app nambari moja kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, inasherehekea Siku Ya Wanawake Duniani 2019...

READ MORE

MWILI WA KIBONDE WAAGWA MWANZA, KUZIKWA JUMAMOSI – PICHA

Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Media Group, Ephraim Kibonde utawasili leo usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa (JKNIA)...

READ MORE

Taarifa Ya Mganga Mkuu wa Mwanza, Kifo Cha Ephraim Kibonde

MGANGA Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Dk. Thomas Rutachunzibwa leo Machi 7, 2019 ametoa taarifa juu ya kifo cha aliyekuwa mtangazaji...

READ MORE

Taxify kuanza kufahamika kwa jina la ‘Bolt’

KAMPUNI inayotoa huduma za usafirishaji Barani Afrika na Ulaya Taxify imebadilisha nembo na jina lake kuwa ‘Bolt’. Mabadiliko hayo ya...

READ MORE

BREAKING NEWS: MTANGAZAJI EPHRAIM KIBONDE AFARIKI DUNIA

IKIWA ni siku tisa tangu kituo cha Utangazaji cha Clouds Media kupata pigo kwa kuondokewa na aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na...

READ MORE