×

Kitaifa

Betika: Kilichotokea Leo Bunju, Boko na Tegeta, Tazama Mwenyewe

TANGU liingie mtaani takribani mwezi sasa, Gazeti la Betika leo Jumatano, Machi 20, 2019 limweka historia ya aina yake katika...

READ MORE

CHADEMA WAMPONGEZA JPM, WATAKA TUME IUNDWE KESI ZA MAUAJI – VIDEO

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimempongeza Rais Dkt John Magufuli kwa kumuagiza Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Biswallo Mganga kuchunguza...

READ MORE

Majaliwa Aagiza Msako Mkali kwa ‘Waliompiga’ Mkandarasi Misungwi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameiagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama mkoa wa Mwanza ihakikishe inafanya msako wa watu wote waliohusika...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi Mpta Posta

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Hassan Abeid Mwang’ombe kuwa PostaMasta Mkuu.   Taarifa...

READ MORE

BOOMPLAY KUSHIRIKIANA KIBIASHARA NA WARNER MUSIC GROUP

BOOMPLAY ni app inayotoa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, imesaini makubaliano ya kushirikiana kibiashara na Warner Music,...

READ MORE

MAKONDA AMPELEKA INDIA KUTIBIWA, MSANII PASCAL CASSIAN – VIDEO

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametimiza ahadi ya kusaidia gharama za matibabu ya mshindi wa...

READ MORE

Mbunge Amtosa Maalim Seif Mchana Kweupe, Amfuata Prof. Lipumba – Video

Mbunge wa Mchinga, Hamidu Bobali ambaye awali alikuwa akimuunga mkono Maalim Seif Sharif Hamad ndani ya CUF, sasa ametangaza kumuunga...

READ MORE

THERESE: Binti aliyedaiwa kumla nyama bibi yake!

“BIBI alikuwa anaumwa sana, kwa bahati mbaya akafariki. Nilikuwa nikiishi na baba na mama yangu pamoja na bibi pamoja na...

READ MORE

BREAKING: Prof. LIPUMBA amuonya Maalim Seif na Kundi Lake – VIDEO

Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema chama hicho hakitawavumilia wanaopora mali za chama hicho na kuzihamishia...

READ MORE

Lipumba: Maalim Seif Ataiongezea ACT-Wazalendo ‘Damu Yenye Virusi’ – VIDEO

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Haruna, amesema aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Seifa Sharif Hamad, amekwenda...

READ MORE

BREAKING: ZITTO AMKABIDHI KAZI MAALIM SEIF – VIDEO

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe,  amemkabidhi maalim Seif Hamad kadi namba moja ya chama hicho ambayo imeshalipiwa kwa...

READ MORE

Masauni Aagiza Trafiki Waliomshambulia Dereva na Abiria Wawajibishwe

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameonesha kukerwa na kitendo cha askari wa wawili wa...

READ MORE

MASAUNI AIOMBA PUMA KUSAIDIA UTOLEWAJI ELIMU YA USALAMA BARABARANI 

  MAFUNZO ya elimu ya usalama barabarani yanayotolewa na Kampuni ya Mafuta ya Puma Energy Tanzania kwa wanafunzi wa shule...

READ MORE

KAULI YA DK MASHINJI BAADA YA MAALIM SEIF KUTIMKIA ACT WAZALENZO

Katibu Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk Vincent Mashinji amempongeza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi...

READ MORE

BREAKING NEWS: Maalim Seif Atangaza Kuhamia ACT-Wazalendo – Video

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad,  leo Jumatatu Machi 18, 2019, ametangaza yeye, viongozi...

READ MORE

PEMBA: OFISI ZA CUF ‘ZABADILISHWA’ KUWA ZA ACT-WAZALENDO

TASWIRA katika Chama cha Wananchi (CUF) inazidi kunoga! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia baadhi ya ofisi za chama hicho Zanzibar...

READ MORE

Mahakama Kuu ‘Yazipiga Pini’ Mali za Yusuf Manji

MAHAKAMA Kuu imezuia mali za mfanyabiashara maarufu nchini, Yusuph Manji, kutokana na madeni anayodaiwa na Benki ya NBC.   Manji anadaiwa...

READ MORE

MGOMO WA MADREVA WATIKISA MBEYA

  Madereva wa daladala jijini Mbeya wamegoma kusafirisha abiria kuanzia alfajiri ya leo Jumatatu, Machi 18, 2019 kwa kile walichokilalamikia...

READ MORE

UKITAKA KUFUNGUA HUDUMA YA CARTERING, FUATA HATUA HIZI RAHISI

  Miongoni mwa huduma ambazo zimekuwa kimbilio la wajasiriamali wengi, ni huduma ya kutoa huduma ya vyakula kwenye sherehe au...

READ MORE

Breaking: Prof Lipumba Ashinda Kesi, Sasa Ni Mwenyekiti Halali wa CUF

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo, Machi 18, 2019,  imetoa hukumu inayotambua Profesa Ibrahim Haruna Lipumba kuwa Mwenyekiti...

READ MORE

Benki ya NBC yanogesha uzinduzi wa Shika Ndinga ya EFM Redio

    BENKI ya NBC imesema itaendelea kusogeza huduma zake karibu zaidi na wananchi ili kuweza kukidhi mahitaji ya wale...

READ MORE

PM Majaliwa Azindua Soko la Dhahabu Geita, Atoa Onyo

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa tahadhari kwa wadau wote wa madini kuwa atakayekamatwa anatorosha madini, atachukuliwa hatua za kisheria ikiwemo...

READ MORE

Kangi Lugola Awapima Madereva Walevi Moro

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amefanya operesheni kubwa ya kukagua na kupima ulevi wa pombe kwa madeveva wa...

READ MORE

Polisi Yaua Jambazi Tanga

JESHI la Polisi wilayani Muheza mkoani Tanga limemuua kwa kumpiga risasi Mkazi wa Dar es Salaam, Mwinyiheri Nuhu, likidai alikuwa...

READ MORE

TFS YAHIMIZA WATANZANIA KUTUNZA MISITU KWA AJILI YA VIZAZI VYA SASA NA VIJAVYO

WAKALA wa Huduma za Misitu Tanzania(TFS) umewahimiza Watanzania kutunza misitu kwa ajili ya kizazi cha sasa na kijacho huku ikifafanua...

READ MORE

QNET yatoa fursa ya ‘kufanya kazi kwa bidii na kuleta mabadiliko chanya’

Machi 16, 2019, Dar es Salaam: Kampuni yenye asili ya Asia ya mauzo ya moja kwa moja QNET imeendesha maonyesho...

READ MORE

WOLPER KWENYE MAOMBI MAZITO TAMASHA LA DAUGHTERS OF ZION – PICHAZ

MSANII maarufu wa filamu nchini, Jacquiline Wolper ameungana na mastaa wenzake, waumini na wananchi wengine kuhudhuria katika Tamasha la Daughters of...

READ MORE

JPM AWASHTUKIZA MAGEREZA UKONGA, AFANYA MAAMUZI MAGUMU – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 16 Machi, 2019 amefanya ziara ya kushtukiza...

READ MORE

Waziri Aagiza Kuongezwa Dalala 10 Kusaidia Mwendokasi

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo, ameagiza kuongezwa kwa mabasi...

READ MORE

KAMATI YA BUNGE YARIDHISHWA NA UKARABATI CHUO KIKUU ARDHI

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Ndalichako akimkabidhi Kaimu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Huduma na Maendeleo...

READ MORE

Gari la Wanafunzi Lagonga Treni, Mmoja Afariki

Gari la abiria lenye namba za usajili T930 DML aina ya Toyota Coaster lililobeba wanafunzi wa sekondari limegonga Treni eneo...

READ MORE

MZEE MAGALI Awashangaa Bongo Muvi

MSANII wa Bongo Muvi aliyehamishia makazi yake Chicago nchini Marekani, Charles Magali ameshangazwa na mastaa wakubwa wa filamu kugalagazwa na...

READ MORE

QNET Kuleta bidhaa zake za kuboresha maisha nchini Tanzania

  Kampuni yenye asili ya Asia ya mauzo ya moja kwa moja QNET itaendesha maonyesho ya bidhaa na huduma zake...

READ MORE

TTCL YAZINDUA ENEO MAALUM LA MAPOKEZI MAKAO MAKUU

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) leo limezindua eneo la mapokezi ya shirika hilo lililopo Makao Makuu ya Shirika, jijini...

READ MORE

Makonda Amtmbelea Mtoto Hamis, Muhimbili, Amshushia Maombi – Video

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Machi 15, 2019 amemtembelea na kumjulia hali mtoto Hamisi ambaye...

READ MORE

Mwili wa Mwanafunzi Aliyeuawa Wakutwa Kichakani

MWANAFUNZI wa kidato cha kwanza katika shule ya sekondari ya Yungwe wilayani Nyang’hwale Mkoani Geita, Alex Pastory amekutwa ameuwawa kwenye...

READ MORE

KAULI ya POLISI Kuhusu Kijana Aliyesingiziwa Kesi, Akaokolewa na JPM – Video

Makao Makuu ya Jeshi la Polisi nchini kupitia msemaji wake, Ahmed Msangi limefafanua kuhusu kijana, Mussa Sadiki, aliyemundikia barua, Rais...

READ MORE