×

Kitaifa

Mwanafunzi Chuo Kikuu Tumaini ashinda Mil 226.8 za M-BET

    MWANAFUNZI wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Meshack Daniel (22) ameshinda Sh milioni 226.8...

READ MORE

Mojabet Yadhamini fainali za Bongo Star Search (BSS)

KAMPUNI ya Mojabet inayojishughulisha na mchezo wa kubahatisha kupitia mmoja ya michezo yake ya Boompesa leo imetangaza kudhamini fainali za...

READ MORE

RC MAKONDA KUPAMBA SHEREHE ZA MIAKA 18 YA MAGIC FM KESHO, TANDALE

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Paul Makonda, anatarajiwa kuzipamba sherehe za kutimiza miaka 18 ya kituo cha Redio cha...

READ MORE

JAJI AAHIRISHA KESI YA MBOWE KWA NUSU SAA – Video

  UPANDE wa Serikali umekata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

RAIS MAGUFULI, KENYATTA, MUSEVENI WAKUTANA ARUSHA – PICHAZ

                Picha na Ikulu 

READ MORE

ZITTO AZUILIWA KUMSHIKA MBOWE MKONO MAHAKAMANI – VIDEO

Leo Novemba 30, 2018 mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, na Mbunge Wa Tarime, Ester Matiko, wamefikishwa mahakama kuu kanda...

READ MORE

Mahakama Yapiga Chini Pingamizi la Serikali, Sasa Rufaa ya Mbowe Kusikilizwa

JAJI Rumanyika wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Ijumaa, Novemba 30, 2018 imetupilia mbali pingamizi la Upande...

READ MORE

Hatimaye Viwanja vya Leaders Vyafungwa Rasmi

Kutokana na malalamiko ya wazee, vikongwe na wagonjwa, Manispaa ya Kinondoni imepiga marufuku kufanyika shughuli zote zinazoambatana na matumizi ya...

READ MORE

WAFUASI WA CHADEMA, CUF WATIMULUIWA MAHAKAMA KUU – VIDEO

JESHI la Polisi limewatimua wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Mahakama...

READ MORE

ITAKULIZA! Ombi Kubwa la Mke wa Azory kwa JPM – Video

IKIWA ni mwaka mmoja sasa umepita tangu kupotea kwa Mwandishi wa Habari za Uchunguzi wa Gazeti la Mwananchi, Azory Gwanda,...

READ MORE

Mhadhiri Aitwa Kuhojiwa, Ni Aliyeripoti kwa JPM Rushwa ya Ngono UDSM

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Vicensia Shule (Pichani) ameitwa kwenye kamati ya maadili ya chuo hicho kuhojiwa...

READ MORE

KAMA HUJUI! HIVI NDO ‘VITU KONKI’ ANAVYOVIPENDA MAGUFULI – VIDEO

IKIWA ni mwendelezo wa kuitengeneza Tanzania mpya ya uchumi wa viwanda, unaoendana sambamba na kukuza kilimo cha mazao mbalimbali yakiwemo...

READ MORE

MSHINDI BSS: NIOKOENI NAKUFA

MAISHA hayatabiriki na Waswahili husema hujafa hujaumbika! Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search ‘BSS’ mwaka 2009, Paschal Cassian huwezi...

READ MORE

AUTOPRO YAWAPELEKA BEACH YATIMA WA ‘GREEN PASTURES’ DAR

  KAMPUNI ya Autopro imejumuika na watoto yatima wa Kituo cha ‘Green Pastures’ cha Mapinga jijini Dar es Salaam ikiwa ni...

READ MORE

BREAKING: Tajiri Bongo Amjibu Musiba, Ampa Siku 3 – Video

Mfanyabiashara maarufu nchini, Subbash Pattel, leo Novemba 29, 2018 amejibu shutuma zote zilizotolewa na Mkurugenzi wa Kampuni ya CZI, Cyprian...

READ MORE

POLISI Yaua Majambazi 6 Wenye Mabomu, Yumo Komando wa Burundi – Video

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa akionyesha bunduki walizozikamata katika tukio hilo. Kamanda wa Polisi Kanda...

READ MORE

MAJI TAKA DAR, MWAROBAINI WAPATIKANA

KAMPUNI ya Borda ya jijini Dar es Salaam imeanzisha huduma ya utunzaji wa mazingiya inayotambulika kama  ‘Choo Rafiki’  yenye lengo...

READ MORE

WATEJA WA TIGO KUFANYA MALIPO KWA MFUMO WA KIELETRONIKI WA MALIPO SERIKALINI (GePG)

 Wateja wa Kampuni ya Tigo, sasa wanaweza kufanya malipo kutumia mfumo wa Kielektroniki wa Malipo Serikalini (GePG) baada ya kampuni...

READ MORE

KISA KUMSEMEA KWA JPM, KUBENEA AMJIBU MAKONDA

Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Saed Kubenea amefunguka juu ya tuhuma za Mkuu wa...

READ MORE

MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA SAUZI, THABO MBEKI

                 

READ MORE

Kimenuka Bukoba… Madereva Wagoma, Sababu Hizi Hapa!

MADEREVA wa daladala wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamegoma kusafirisha abiria baada ya kupandishiwa gharama za maegesho leo Jumanne,...

READ MORE

MAGUFULI: LOWASSA Waambie Wenzako, “Wataishia Gerezani” – Video

RAIS Dkt. John Magufuli amempa ujumbe Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowasa awaambie viongozi wengine wa vyama vya upinzani kuwa...

READ MORE

16 Wafariki Magari Mawili ya Abiria Yakigongana, Kuwaka Moto Tarime

  WATU 16 wamefariki dunia baada ya kuteketea kwa moto kufuatia ajali mbaya iliyotokea jana katika eneo la Komaswa maarufu...

READ MORE

Makonda Ammwagia Sifa Lowassa, Awaponda Kubenea, Mdee, Mnyika – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema licha ya wabunge kuwatumia vijana kujipatia kura, wamekuwa nyuma katika...

READ MORE

BREAKING: MCHUNGAJI MASHIMO AWADHAMINI AMBER RUTTY, MPENZI’YE – VIDEO

HATIMAYE nyota wa video (video vien) za  Bongo, Nascat Abubakary ‘Amber Rutty’ na ‘bwana’ke’, Said Mtopari, wameachiwa kwa dhamana katika Mahakama...

READ MORE

NMB yamwaga misaada kwa timu za jeshi, wanajeshi watoa tambo

Naye Kaimu Mkuu wa Wateja Wadogo kutoka Benki ya NMB, ambao ndiyo wametoa msaada huo, Salie Mlay amesema kuwa wanalenga...

READ MORE

MAGUFULI AONGOZA WAKATOLIKI KUAGA MWILI WA ASKOFU CHENGULA

Rais  John  Magufuli leo Novemba 26, 2018 ameungana na maaskofu, mapadri, watawa na waumini wa Kanisa Katoliki kutoa heshima za...

READ MORE

KESI YA ZITTO MAUAJI YA UVINZA, UPELELEZI WAKAMILIKA – VIDEO

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imesema upelelezi wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini...

READ MORE

Mdhamini wa Amber Rutty Aingia Mitini, Arudishwa Rumande – Video

VIDEO Vixen wa Bongo, Nascat Abubakary ‘Amber Rutty’ na ‘bwana’ke’, Said Mtopari, wamerudishwa Gereza la Segerea baada ya kukosa mdhamini katika...

READ MORE

TANZANIA NA CHINA ZATILIANA SAINI KUANZA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA

  Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetiliana saini ya makubaliano na Serikali ya Jamuhuri ya watu wa China...

READ MORE

CHINA DASHENG BANK YAZINDULIWA DAR, KUSAIDIA UCHUMI WA VIWANDA

BENKI mpya ya China Dasheng Bank Limited, inaanza kutoa huduma Jumatatu Novemba 26, 2018, jijini Dar es Salaam, ikiwa na mtaji...

READ MORE

WAWEKEZAJI WA LIGANGA MCHUCHUMA WAOMBA KUKAA MEZA MOJA NA SERIKALI

WAWEKEZAJI WA LIGANGA MCHUCHUMA WAOMBA KKAA MEZA MOJA NA SERIKALI *Kampuni ya Sichuan Hongda Group ya China yaomba kukaa meza...

READ MORE

Majengo ya Shule ya Msingi Tumaini kuongeza ufaulu

Baadhi ya majengo ya madarasa ya shule ya Tumaini Bukoba, ambayo yalikabidhiwa  na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe....

READ MORE

Daktari FEKI Aangukia Mikononi mwa Kamanda Muroto

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hassan Abdallah Athuman, umri miaka 38 kwa tuhuma...

READ MORE

Hatimaye Mtolea Achukua Kadi ya CCM

 ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Temeke, kupitia Chama cha Wananchi, Abdallah Mtolea amechukua kadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga...

READ MORE

IRINGA: POLISI WAZUIA MKUTANO WA MCH. MSIGWA

Polisi Mkoani Iringa imezuia mkutano wa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) uliokuwa ufanyike leo mkoani humo- Katibu...

READ MORE

Mtanzania Aliyetengeneza Helikopta Aunda Mtambo Mpya

  Adam Zakaria Kinyekire anajulikana zaidi kwa jina la ‘Street Engineer’ na yeye ni fundi makenika kutoka Wilaya ya Tunduma,...

READ MORE