×

Kitaifa

HESLB Yaanika Orodha ya Wanafunzi Waliopatiwa Mikopo

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema baada ya uchambuzi wa maombi ya mikopo ya elimu...

READ MORE

Polisi Waua Majambazi Wawili Dar, Wakamata Mabomu ya Kijeshi!

KAMANDA Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa, ametoa ripoti ya matukio ya kihalifu yanayoendelea hapa nchini ambapo...

READ MORE

GF Trucks & Equipments Yaikabidhi Mbao FC Basi la Sh. Mil 70

  KLABU ya Mbao ya jijini Mwanza imekabidhiwa basi lenye thamani ya Sh70 milioni kwa ajili ya wachezaji. Basi hilo...

READ MORE

ACT-Wazalendo Wafunguka Kung’atuka kwa Mwigamba, Waishutumu CCM – Video

UONGOZI wa ACT-Wazalendo umesema u,naheshimu maamuzi ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Kampeni na Uchaguzi wa chama chao, Samson Mwigamba aliyeandika barua...

READ MORE

WAZIRI ULEGA NA ZIARA YA KUHIMIZA UFUGAJI NA MAENDELEO

 Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kibamba juu ya maendeleo mbalimbali ikiwemo...

READ MORE

MEYA WA KINONDONI ASAINI MIKATABA UJENZI KIWANDA CHA MBOLEA

MEYA wa Manispaa ya Kinondoni, Benjamin Sitta leo ametia saini mkataba na Kampuni ya CRJE ya China, inayotarajia kujenga kiwanda...

READ MORE

WASHINDI WA WEKA AMANA NA BENKI YA CBA WAPATIKANA

  BENKI ya CBA, leo iliendesha droo yake ya Nne katika kampeni ya kuhamasisha umma kujiwekea akiba inayojulikana kama ‘weka...

READ MORE

Mama Aliyenyang’anywa Mume na Mwanaye wa Kumzaa Asimulia Mazito – Part 2

Mama afunguka kunyang’anywa mme nà mwanaye wa kumzaa. Duh kweli duniani kuna mambo hakuna wakumuamini kama mtoto anaweza kumsaliti mama....

READ MORE

WARAKA MZITO WA KUSHTUA KWA RAIS JPM… BABU SEYA AANIKA MAPYA

HIVI karibuni ulisambazwa waraka mzito na wa kushtua kwenye mitandao ya kijamii uliosemekana umeandikwa na mwanamuziki wa dansi mkongwe nchini,...

READ MORE

Mbowe Afungukia CCTV Kamera Zilizonasa Tukio la Lissu, Aituhumu Tena Serikali – Video

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema afya ya Mbunge Tundu Lissu ambaye amelazwa hospitalini Nairobi, Kenya, baada ya kushambuliwa...

READ MORE

Takukuru Yatoa Tamko Ushahidi wa Lema, Nassari Kuhusu Madiwani – Arusha

WANANCHI wanaopeleka taarifa katika Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (Takukuru) wametakiwa kuwa na subira na kutokishinikiza chombo...

READ MORE

TMA Yatahadharisha Kuhusu Mvua Zitakazonyesha Novemba Hadi Aprili -Video

MAENEO ya Kusini-Magharibi mwa nchi yanategemewa kuanza kupata mvua za masika kuanzia mwezi Novemba mwaka huu hadi Aprili mwaka kesho...

READ MORE

Shambulio la Kikatili, 300 Wafariki Dunia Mogadishu

IDADI ya watu waliouawa kwenye, mlipuko mkubwa wa bomu katika eneo lenye shughuli nyingi kwenye Mji Mkuu wa Somalia Mogadishu...

READ MORE

RC MAKONDA, APOKEA TSH MIL.50 KUTOKA KWA PBZ

BENKI ya watu wa Zanzibar [PBZ], imemkabidhi hundi ya Tsh Mil.50, mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,...

READ MORE

WAZIRI AHIMIZA UPENDO KWA WAKULIMA, WAFUGAJI MKURANGA

  NAIBU Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ullega amewataka wakulima na wafugaji waondokane na chuki iliyopo kati yao ikiwa...

READ MORE

MHASIBU UBALOZI WA TANZANIA MSUMBIJI APANDISHWA KORTINI KISUTU

  MHASIBU wa Ubalozi wa Tanzania nchini Msumbiji, Joyce Moshi (56) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na...

READ MORE

Nassari Apeleka Flashi Nyingine ya Ushahidi Takukuru -Video

MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema)  amewasilisha ushahidi mwingine kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu...

READ MORE

VIGOGO WA CHUO CHA FEDHA WAPATA DHAMANA

  VIGOGO wawili wa Chuo cha Uhasibu Tanzania (TIA) wanaokabiliwa na kosa la kuisababishia serikali hasara ya Sh. Bilioni 1,097,681,107,...

READ MORE

Kesi ya Lulu Kuhusishwa na Kifo cha Kanumba Kuanza Kuunguruma

MSANII maarufu wa kike wa fani ya uigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael Kimemeta, ‘Lulu’, anayekabiliwa na kesi ya mauaji...

READ MORE

Uongozi wa Mlimani City Wifunga Nakumatt Supermarket

UONGOZI wa Mlimani City umelifungia duka kubwa (Supermarket) la Nakumatt tawi la Mlimani City Jijini Dar es Salaam kutokana na...

READ MORE

Mwenyekiti ACT-Wazalendo Ajiuzulu

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi ya ACT-Wazalendo, Samson Mwigamba amejiuzulu uongozi ndani ya chama hicho. Wasira Aikosoa...

READ MORE

Waziri Lukuvi Abomoa Nyumba Yake kwa Mikono Kupisha Upanuzi wa Barabara

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Willium Lukuvi ameshiriki zoezi la uvunjaji wa nyumba kwa kuvunja nyumba yake...

READ MORE

Nkamia Aondoa Kusudio la Muswada Binafsi wa Kutaka Kuongeza Ukomo wa Ubunge

BUNGE  wa Chemba (CCM), Juma Nkamia, ameondoa kwa muda kusudio lake la kutaka kuwasilisha muswada binafsi wa mabadiliko ya Katiba...

READ MORE

RC AYOUB AMSHUKURU JPM NA DKT SHEIN

    Mkuu wa Mkoa wa mjini Magharibi, Zanzibar, Ayoub Mohammed Mahmoud, ametoa neno la shukrani kwa Rais wa Jamhuri...

READ MORE

Hospitali ya Aga Khan Lazima Ibadilike, Vinginevyo Itaendelea Kuchafua Sura ya Kiongozi Wao wa Dini

  WIKI iliyopita nilielezea namna ambavyo nilimpeleka mama yangu Hospitali ya Aga Khan kutibiwa akiwa na tatizo la shingo (Spondylosis),...

READ MORE

Nape Afunguka Kuhusu Kuzuiwa Mikutano ya Kisiasa Nchini

MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye amesema kuzuiwa mikutano ya kisiasa si kuminya demokrasia kwa kuwa  kuna bunge ambalo linaweza kutumika...

READ MORE

Miaka Miwili Kifo cha Mumewe… Mke wa Filikunjombe Aandika Ujumbe Mzito

IKIWA ni miaka miwili imepita sasa tangu aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Haule Filikunjombe afariki dunia, mke wa wake Sarah...

READ MORE

Mkuu wa Majeshi: Kiama cha Wasiojulikana Kimefika

IKIWA ni zaidi ya mwezi tangu kujeruhiwa kwa kupigwa risasi kwa Mbunge wa Singida Mashariki na Mwanasheria Mkuu wa Chama...

READ MORE

Inauma Sana! Familia Yapukutika Ajalini Wakitoka Kwenye Harusi

WATU saba wamefariki papo hapo na wengine 14 kujeruhiwa, baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Noah kugongwa na lori...

READ MORE

Rais Magufuli Agoma Kuufuta Mwenge wa Uhuru – Video

RAIS John Magufuli ambaye leo Oktoba 14, 2017 ni Mgeni Rasmi kwenye Maadhimisho ya Kumbukumbu ya kifo cha Rais wa...

READ MORE

Nape Apigilia Msumari Kauli ya Msekwa Kuhusu Ukomo wa Madaraka kwa Rais

MBUNGE wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye amepigilia msumari kauli iliyotolewa na Spika wa zamani wa Bunge, Pius Msekwa...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Kwenye Maadhimisho ya Nyerere Day – Zanzibar

Ikiwa ni miaka 18 tangu Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere afariki dunia katika Hospitali ya St Thomas, Londo...

READ MORE

RC AYOUB AKABIDHI MWENGE WA UHURU KWA SERIKALI

Baada ya mwenge wa uhuru kuanzia mkoani Katavi, hatimaye leo Oktoba 14, umewasili na unatarajia kuzimwa katika uwanja wa Taifa...

READ MORE

WAFADHILI WAKABIDHI MSAAADA WA VYOO KIGAMBONI

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (Unicef) pamoja na Shirika la Sanitation and Water Action (SAWA), kwa pamoja...

READ MORE

Sheikh Ponda Ashikiliwa Sentro kwa Tuhuma za Uchochezi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Ponda...

READ MORE

ABBAS: RAIS MAGUFULI HAKUTOA AHADI YA KUONGEZA MISHAHARA – VIDEO

Mkurugenzi Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dr Hassan Abbas, amefafanua kwamba Rais John Magufuli hakuzungumzia masuala...

READ MORE

Sheikh Ponda Ajisalimisha Polisi Dar

Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania, Sheikh Issa Ponda mapema leo ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi Dar es...

READ MORE

Sheria ya Vyama vya Siasa Kufuta Mikutano ya Vyama vya Siasa

RASIMU ya Sheria ya Vyama vya Siasa inayotarajiwa kufanyiwa marekebisho kabla ya Uchaguzi Mkuu ujao, inapendekeza kufutwa kwa mikutano ya...

READ MORE

Kilo 6.2 za Dhahabu Zakamatwa Ndani ya Noah Bandarini

MAMLAKA zinaendelea kubaini mbinu mbalimbali za utoroshaji rasilimali za nchi baada ya watu wawili walioficha kilo 6.244 za dhahabu ndani...

READ MORE