×

Kitaifa

Wazee wa Baraza: Lulu Alimuua Kanumba Bila Kukusudia

IKIWA ni wiki moja sasa tangu Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam ianze kusikiliza mfululizo kesi inayomkabili muigizaji Elizabeth...

READ MORE

Kangi Lugola: Kwa Nini Kasri la Mama Rwakatare Halijabomolewa?

NAIBU Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Kangi Lugola ameagiza Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi...

READ MORE

Katibu Mkuu Chadema Aitwa Tena kwa DCI

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Vincent Mashinji ametakiwa kuripoti ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI), imeelezwa....

READ MORE

Hali Ilivyo Jijini Nairobi… Raila Odinga Vs Jeshi la Polisi

POLISI Kikosi cha Kuzuia Ghasia wamefunga eneo lote la viwanja vya Uhuru Park jijini kabla ya mkutano ulioandaliwa na muungano...

READ MORE

Mkutano wa Viongozi wa Dini na Waziri Mwakyembe!

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe amesema Serikali inatambua haki ya vyombo vya habari katika kukosoa, kujadili...

READ MORE

Mke wa Slaa: Kanumba Alikuwa na Upungufu wa Hewa Kwenye Ubongo

KESI inayomkabili muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ya kumuua bila kukusudia muigizaji mwenzake Steven Kanumba, imeendelea kusikilzwa  leo Jumatano, Oktoba 25...

READ MORE

TCU Yatangaza Rasmi Tarehe ya Kuanza Masomo Vyuo Vikuu

KAIMU Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), Profesa Eleuther Mwageni amesema wanafunzi ambao tayari wamekidhi vigezo na...

READ MORE

Eric Shigongo Young Entrepreneurs Mentorship Programme

SHIGONGO: Kwa utafiti wangu nimegundua kitu kinachoweza kumsaidia kijana wa Kitanzania kutengeneza utajiri ni elimu ya vitendo na usimamizi, sio...

READ MORE

Zitto Kabwe: Nipo Tayari Kuwajibika Rais Akitekeleza Ombi Hili

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa atakuwa tayari kuwajibika endapo Rais Dkt...

READ MORE

Kardinali Pengo Aongoza Kuuaga Mwili wa Askofu Msemwa

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo ameongoza waumini na Maaskofu katika kuuaga...

READ MORE

Lulu Atimua Mbio Mahakamani, Baba Yake Atoa Povu la Mwaka

  MUIGIZAJI wa Bongo Movie, Elizabeth Michael ‘Lulu’, ametimua mbio katika viunga vya Mahakama Kuu Kanda Maalum ya Dar es...

READ MORE

OFISA TRA KIZIMBANI KWA KUMILIKI NDINGA 19 ZISIOENDANA NA KIPATO CHAKE

    DAR ES SALAAM: Ofisa Msaidizi wa Forodha wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Jennifer Mushi amefikishwa katika Mahakama...

READ MORE

Kiongozi Chadema Aendelea Kusota Rumande

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imesema itaendelea kumshikilia Mkurugenzi wa Operesheni na Mafunzo wa Chadema, Kigaila Benson. Kigaila...

READ MORE

Bahati Nasibu Shinda Nyumba Majaba Kukabidhiwa Mjengo Wake Wiki Ijayo

BAADA ya shughuli kubwa ya muda wa zaidi ya miezi sita ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili...

READ MORE

Wananchi Gongo la Mboto Kutembezewa Kipigo na Askari, DC Mjema Afunguka

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema Jumanne hii ametembelea maeneo ya Ukonga jijini Dar es salaam baada ya siku...

READ MORE

Prof. Luoga Afunguka Baada ya Kuteuliwa Kuwa Gavana Benki Kuu

Gavana mteule wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga amesema amepokea kwa heshima kubwa dhamana aliyopewa na Rais...

READ MORE

MSAMA YAFANYA OPERESHENI WANAODURUFU CD ZA WASANII

    KAMPUNI ya Msama Promotions ambao ni wasimamizi na wasambazaji wa kazi za Muziki wa Injili, chini ya Mkurugenzi...

READ MORE

Ripoti Kamili ya Ushoga Unavyotikisa Tanzania

TANZANIA kwa sasa inatafunwa na janga kuu linalohatarisha uhai wa ustawi wa jamii mithili ya virusi vinavyoua mwili! Janga hili...

READ MORE

“1ST HOUSING FINANCE” KUTOA MIKOPO NAFUU YA NYUMBA

  KAMPUNI ya kwanza ya utoaji wa mikopo ya nyumba nchini iitwayo 1st Housing Finance (Tanzania) Limited yenye makazi yake...

READ MORE

Jaji Amtwanga Lulu Swali Gumu Mahakamani

BAADA YA Muigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’kuanza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar, kwa tuhuma za kusababisha kifo cha Steven...

READ MORE

Lulu Mahakamani: Kanumba Alinikimbiza na Panga

MSANII wa filamu nchini, Elizabeth Michael maarufu kama Lulu ameanza kujitetea katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akieleza...

READ MORE

JPM Awaka… Mnafikiri Bombardier 6 Tumebadilishana na Migebuka? – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Oktoba, 2017 amewabeza baadhi ya wanasiasa...

READ MORE

Bahati Nasibu Shinda Nyumba… Siku 8 Zijazo, Mshindi Mjengoni

WAKATI washindi watatu waliopatikana katika droo kubwa ya Shinda nyumba wakipewa zawadi zao Jumatano iliyopita, mshindi wa Bahati Nasibu ya...

READ MORE

Kifo cha Kanumba, Lulu Akutwa na kesi ya Kujibu – Video

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemkuta muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ana kesi ya kujibu katika tuhuma zinazomkabili za...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Awatunuku Waliofanya Uchunguzi wa Makinikia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 23 Oktoba, 2017 amewatunuku vyeti wajumbe...

READ MORE

Kesi ya Lulu, Daktari Afafanua Alichokiona Katika Ubongo wa Kanumba

KESI inayomkabili muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’,  imeendelea kusikilizwa leo Jumatatu, Oktoba 23, katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

Kesi ya Kifo cha Kanumba, Lulu Mahakamani Tena Leo

KESI inayomkabili muigizaji wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  leo Jumatatu, Oktoba 23, inaendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE

Waheshimiwa Ummy na Ndugulile, Tekelezeni Alichokiagiza Mheshimiwa Rais Juu ya Aga-Khan

MOYO wangu uli­jaa hamu kubwa ya kufikisha ujumbe kwa Mtukufu Aga- Khan, tena mbele ya Mhesh­imiwa Rais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Rais Magufuli Kuwatunuku Waliofanikisha Uchunguzi wa Makinikia

IKULU: Rais Magufuli leo anatarajia kuwatunuku vyeti wote waliofanikisha uchunguzi wa makinikia na kufikiwa makubaliano kati ya serikali na Kampuni...

READ MORE

Kifo Tata cha Mtoto wa Sokoine, Azikwa Kwao Monduli

MTOTO mwisho wa waziri mkuu wa zamani, hayati Edward Sokoine, Tumaini Sokoine amezikwa leo Jumamosi nyumbani kwao Monduli Juu  mkoani...

READ MORE

Mganga Mbaroni kwa Kunajisi Watoto 14

JESHI la Polisi mkoani Singida linamshikilia mganga wa kienyeji mkazi wa mtaa wa Minga, Daud Idd (74), kwa tuhuma ya...

READ MORE

Breaking News: Zitto Afunguka Makubaliano ya Serikali na Barrick – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini, Zitto Zuberi Kabwe, amefungukia madai ya kuitwa kibaraka wa wazungu kwenye sakata la makinikia, ambapo amesema...

READ MORE

Aliyedaiwa Kubeba Mimba ya Kiba Afunguka Live

DAR ES SALAAM: BAADA ya picha na habari kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kwamba ana ujauzito wa staa wa muziki...

READ MORE

Zitto Afunguka Kuitwa Kibaraka wa Wazungu Ishu ya Madini, Mwigamba Kuhamia CCM

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Zuber Kabwe amesema kwamba wanachama waliokihama chama hicho walikuwa na mlengo wa kutokuhitaji chama...

READ MORE

Kesi ya Lulu Kifo cha Kanumba: Shahidi Aeleza Alivyokuta Panga Uvunguni

KESI inayomkabili muigizaji wa kike, Elizabeth Michael ‘Lulu’,  leo Ijumaa, Oktoba 20, imeendelea kusikilizwa katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar...

READ MORE

Lulu Kortini Tena Leo Kesi ya Kifo cha Kanumba – Video

MSANII wa Filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo Ijumaa, Oktoba 20, amefika katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

Nape: Tulia Mjomba Upone Kabisa Kabla Hujasema Mengi

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amemtaka Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu atulie hadi apone kabla hajasema mengi....

READ MORE

Mtambo Uliorekodi Kashfa ya Rushwa Arusha Wawasilishwa Takukuru

DIWANI wa Mbuguni wilayani Arumeru mkoani Arusha, Ahimidiwe Rico amewasilisha kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kifaa...

READ MORE

VODACOM WATOA MSAADA WA KOMPYUTA 10 KITUO CHA WATOTO YATIMA

  KAMPUNI ya Mawasiliano ya Simu ya Vodacom leo imekabidhi msaada wa kompyuta 10  katika Kituo cha Child In The...

READ MORE