×

Kitaifa

Wakili Jerome Msemwa Ajitoa Rasmi Kumtetea Malinzi na Wenzake

Wakili Jerome Msemwa leo ametangaza kujitoa katika kesi inayowakabili Rais wa Shirikisho la Mpira nchini(TFF), Jamal Malinzi na Wenzie wawili(Celestine...

READ MORE

IGP Sirro: Nitatoa Majibu Mauaji Kibiti Muda si Mrefu

  Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amesema muda si mrefu atatoa majibu ya suala la mauaji yanayotokea...

READ MORE

DAS wa Tabora Aagiza Kukamatwa kwa Watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Kitete

Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora, Dkt. Thea Ntara amemtaka Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Kitete...

READ MORE

LIVE Kutoka Bungeni Dodoma: Bunge Lapitisha Sheria Mpyaya Makinikia, TMAA Yazikwa Rasmi

Bunge  limepitisha sheria mpya ambayo sasa itatambua haki na dhamana ya serikali katika makinikia ambayo itakuwa ni marufuku kuchenjuliwa nje...

READ MORE

Polisi Wamtia Mbaroni Halima Mdee, Apelekwa Kituoni Oysterbay

  Mbunge wa Kawe, Halima Mdee  (Chadema) jana jioni alikamatwa na Jeshi la Polisi akiwa nyumbani kwake Makongo Juu jijini...

READ MORE

Shangwe Dawa Mpya ya UKIMWI

  Mungu Mkubwa! Dawa mpya ya kupambana na Virusi vya Ukimwi (VVU) imegunduliwa na kuanza kutumika nchini Kenya ambapo ndani...

READ MORE

Kunaswa kwa Wanafunzi 11 kwa Soo la Ufuska Dar, Wazazi Washtushwa

  Tukio la Jeshi la Polisi kuwakamata watoto wa kike na kiume 11 walio chini ya miaka 18 wakifanya vitendo...

READ MORE

Vigogo Wastaafu Wakomaa na Kilimo na Ufugaji

  VIONGOZI wastaafu nchini Tanzania, wakiwemo marais na baadhi ya mawaziri wakuu, sasa wanakomaa na kilimo au ufugaji na mambo...

READ MORE

Manji na Wenzake Wawasilisha Pingamizi Dhidi ya IGP Sirro, AG Masaju na Mkuu wa Upelelezi DSM

  Mwenyekiti wa Makampuni ya Quality Group ya jijini Dar es Salaam, ambaye pia aliwahi kuwa Mwenyekiti wa Klabu ya...

READ MORE

Kaimu Jaji Mkuu Atembelea Mabanda ya Sabasaba – Dar

Kaimu Jaji Mkuu wa Tanzania Prof. Hamis Juma leo Julai 4 mwaka huu ametembelea Maonyesho ya sabasaba yanayoendelea katika viwanja...

READ MORE

DC Kinondoni Aagiza Mdee Awekwe Ndani

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi leo aliliagiza Jeshi la Polisi kumkamata na kumweka ndani Mbunge wa Kawe...

READ MORE

JPM: NGO’s Mfungue Shule Zenu kwa Ajili ya Wenye Mimba

  Rais John Magufuli amezitaka Asasi za Kiraia (NGO’s) kufungua shule kwa wanafunzi wanaopata mimba shuleni kama kweli zinawapenda wanafunzi...

READ MORE

Picha 5: Wabunge Chadema Walivyotaka Kumchapa Makonde Mbunge wa CCM

  MBUNGE wa Viti Maalum (CCM) Juliana Shonza, jana alizua timbwili nje ya viwanja vya bunge na kunusurika kupigwa na...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Azindua Mradi wa Maji Nyamazugo Sengerema, Atoa Kauli Nzito

  Rais Dkt. John Magufuli amezindua mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Nyamazugo wilayani Sengerema leo ambapo mradi huo...

READ MORE

Bendi ya Hifadhi ya Ngorongoro Yatangaza Dili kwa Waimbaji

Msanii wa muziki wa asili ambaye pia ni Balozi wa Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA), Mrisho Mpoto ametangaza deal...

READ MORE

Kutoka Sengerema: Mwanamke Aangua Kilio Mbele ya JPM

SENGEREMA: Rais John Magufuli amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongela kuyafanyia kazi malalamiko ya mwanamke mmoja mkazi wa...

READ MORE

VIDEO: Godbless Lema Aliamsha Dude Bungeni, Hali ya Hewa Yatibuka

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema) amechafua hali ya hewa bungeni akipinga muswada wa mabadiliko ya sheria ya maliasili,...

READ MORE

Wabunge 6 wa Chadema Wahojiwa na Polisi Usiku kwa Kumshambuliwa Mbunge wa CCM

Wabunge sita wa Chadema usiku wa kumkia leo wamehojiwa na polisi kwa tuhuma za kumshambulia Mbunge wa Viti Maalum (CCM)...

READ MORE

Kali Ya Karne… Undani Mwanaume Aliyefunga Ndoa na Mwanaume Mtwara

    HII ni kali ya karne! Kijana Musra Nurdin Bicho (20) na Sharraf Issa Chimera (19) wameacha watu midomo...

READ MORE

Kwa Haya Yanayotokea, Nina Wasiwasi Mkubwa na Hatma ya Tanzania Kesho

  IJUMAA iliyopita, nikiwa naendelea na majukumu yangu ya kikazi, nilikutana na habari iliyokuwa ikioneshwa kwenye runinga ya mtandaoni (online...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Atua Mwanza kwa Ziara ya Siku 2, Kesho Kuzindua Mradi Sengerema

Rais John Magufuli ametua jijini Mwanza na kuwahakikishia wananchi kuwa Serikali imedhamiria kuondoa kero ikiwa ni pamoja na kufuta baadhi...

READ MORE

Dida Amrudia Mungu… Aangushiwa Dua Saa Chache Baada ya Kunusa Kifo

  KUFUATIA kuandamwa na mikosi kila kukicha huku akidai kunusurika kifo, mtangazaji mwenye jina kubwa Bongo, Khadija Shaibu ‘Dida’ anayekimbiza...

READ MORE

Idris Sultan Ala Shavu Hollywood

Baada ya wiki ya mchakato wa ukaguzi wa karibu, Mshindi wa Big Brother Africa-Hotshots wa 2014, Idris Sultan ataonekana katika...

READ MORE

Tib Group Yawaomba wananchi Kutembelee Maonyesho Ya Saba Saba Wanufaike na Huduma Zao

TIB Group ina mashirika matatu yaliyoundwa kimkakati ili kuiwezesha serikali katika kusukuma mbele gurudumu la maendeleo ya nchi. Mashirika hayo...

READ MORE

Rais Magufuli Kuzindua Mradi Mkubwa wa Maji Sengerema Kesho

  Rais Dkt. John Magufuli anazindua mradi mkubwa wa maji katika kijiji cha Nyamazugo wilayani Sengerema kesho. Akizungumza na waandishi...

READ MORE

Rugemalira na Singh Sethi Waongezewa Mashtaka 6, Warudishwa Mahabusu Hadi Julai 14

    Mfanyabiashara  Harbinder  Singh Sethi na James  Rugemalira wamepandishwa kizimbani kwa mara nyingine katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Cheki Mahabusu Anavyosepa Na Gazeti la Ijumaa Wikienda Segerea

PICHA NA MUSA MATEJA | GLOBAL PUBLISHERS

READ MORE

Mdee Apinga Msimamo wa JPM Kuhusu Waliopigwa Mimba Kutoruhusiwa Kurudi Shule

  Mbunge wa Kawe jijini Dar es Salaam (Chadema), Halima James Mdee amepinga kauli na msimamo wa Rais Dkt. John...

READ MORE

Mauzo ya Soko la Hisa Yashuka

    Mauzo ya Hisa (Turnover/Liquidity) Idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa imepungua kutoka hisa milioni 2.39 wiki iliyoisha tarehe...

READ MORE

Breaking News: Malinzi, Mwesigwa Wanyimwa Dhamana, Warudishwa Rumande

  #GlobalHabari: Rais wa TFF Jamal Malinzi na Katibu Mkuu wake Celestine Mwesigwa wamefikishwa tena mahakani Kisutu na kusomewa mashataka...

READ MORE

Shinda Nyumba Droo Ndogo Ya 5… Yavutia Wadhamini Zaidi

  WAKATI maandalizi ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili droo ndogo ya tano yakiendelea, Kampuni ya Michezo...

READ MORE

Amber Lulu Adaiwa Kuvutishwa Unga!

  SIKU zote ubuyu wa Zanzibar unahitaji mate mengi ili uumungunye sawia na uzuri wake ni kwamba haukinaishi! Muuza sura...

READ MORE

Yaliyojiri Bungeni Mjini Dodoma Leo Jumatatu, Julai 3

  *YALIYOJIRI BUNGENI KATIKA KIKAO CHA 58 CHA MKUTANO WA SABA WA BUNGE LA 11 LEO TAREHE 03 JULAI, 2017*....

READ MORE

Matukio Mbalimbali Viwanja vya Sabasaba Baada ya JPM Kuzindua Maonyesho (+Pichaz)

MAMIA ya wananchi wamejitikeza leo katika Viwanja vya Mwalimu Nyerere, Barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam kushuhudia ufunguzi wa...

READ MORE

GlobalTVOnline: JUMBA LA DHAHABU – Sehemu ya 19

Unaikumbuka Tamthiliya ya Jumba la Dhahabu? Usikose kuitazama upya kupitia Global TV Online ambapo kuanzia leo na kila siku ya...

READ MORE

Rais Magufuli Amuweka Njia Panda Mkurugenzi TanTrade

  Rais John Magufuli  ameshangazwa na kauli ya Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo na Biashara nchini...

READ MORE

Mtangazaji Azam TV, Fatna Ramole Aliyekuwa Hajulikani Alipo kwa Saa 48, Apatikana

Saa kadhaa baada ya kuanza kusambaa kwa taarifa za kupotea kwa mtangazaji wa Runinga ya Azam TV, Fatna Ramole, ikidaiwa...

READ MORE

Kauli ya Rais Magufuli Kwenye Uzinduzi wa Maonyesho ya Sabasaba

RAIS MAGUFULI AKIZINDUA MAONYESHO HAYO Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli amezindua rasmi Maonyesho ya...

READ MORE

VIDEO: Kauli ya Sheikh Ponda Kuhusu Denti UDSM Aliyeuawa na Polisi kwa ‘Ujambazi’

Sheikh Ponda amezungumza hayo baada ya maziko ya mwili wa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Marehemu...

READ MORE