×

Kitaifa

Wanafunzi Wa-Bongo Kushiriki Mashindano ya Roboti Marekani

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolijia Mhandisi Stella Manyanya leo amekabidhi Bendera ya Taifa kwa wanafunzi Watanzania kwenda kuipeperusha...

READ MORE

Mpasuko Kanisa Anglikana Mwanza Tishio

  KANISA la Anglikana Dayosisi ya Victoria Nyanza jijini Mwanza, limeingia katika mgogoro mkubwa baada ya Wazee wa Nyumba ya...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Mwenyekiti Mpya Bodi ya Wakurugenzi TRA

  IKULU: Rais Magufuli amemteua Prof. Florens Luoga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi TRA kuchukua nafasi ya Bernard Mchomvu...

READ MORE

Ujenzi barabara za juu Ubungo waanza

MRADI wa Ujenzi wa barabara za juu ((Interchange) Ubungo uliowekewa jiwe la msingi na Rais John Magufuli miezi kadhaa iliyopita...

READ MORE

Mshuhudie LIVE Mtanzania Mrefu Kuliko Wote na Mateso Anayoyapata

  JULIUS Charles, huenda ndiye Mtanzania mrefu kuliko wote kwa sasa, akiwa na urefu wa futi saba na nchi mbili,...

READ MORE

Chadema Yaibuka na Operesheni ‘Ondoa Msaliti’

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetangaza operesheni maalumu ijulikanayo kama Ondoa Msaliti Buguruni (OMB) kwa lengo la...

READ MORE

BEYONCE, KIM KARDASHIAN KUNA NINI TENA???

MSANII kutoka Marekani ambaye pia ni mke wa Rapa Jay Z, Beyonce Knowles ameibuka gumzo mitandaoni baada ya kukataa zawadi...

READ MORE

NI ZAMU YA WOLPER KUCHORWA TATTOO

Baada ya kutupiwa virago na mpenzi wake wa zamani, diva kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Jacqueline Wolper, amempata ‘baby’ mwingine...

READ MORE

Kesi ya Kukutwa na Bangi, Wema Awasili Mahakamani na Mama Yake

  MLIMBWENDE mwenye jina kubwa Bongo, Wema Sepetu amefika katika Mahakamani ya Hakimu Mkazi Kisutu mapema leo  akiwa na mama...

READ MORE

Rais Magufuli Awakumbuka Mkapa na Kikwete

  Rais John Magufuli ameukumbuka mchango wa marais wastaafu, Benjamin Mkapa na Jakaya Kikwete na kuwashukuru huku akieleza kuwa wao...

READ MORE

Dar: Jeshi la Polisi Lakamata Watuhumiwa 250

  Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewakamata zaidi ya watu 250 wanaokabiliwa na makosa mbalimbali, ikiwemo...

READ MORE

Wauaji Kibiti Waua Mwingine kwa Risasi, Mkewe Ajeruhiwa

  Watu wasiojulikana wanadaiwa kumuua kwa kumpiga risasi, mkazi wa Kijiji cha Ruaruke, wilayani Kibiti, Mkoa wa Pwani, Ramadhani Mzurui,...

READ MORE

VIDEO+TWEETS: HOTUBA ya JPM Akipokea Nyumba 50 Kutoka kwa Mkapa

Rais Dkt. John Magufuli amezindua rasmi nyumba 50 zilizojengwa na Taasisi ya Mkapa, Chato mkoani Geita kwa ajili ya watumishi...

READ MORE

VIDEO: Halima Mdee Asomewa Shtaka Kisutu, Aachiwa kwa Dhamana

  Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu leo asubuhi ili kusomewa mashtaka ya kesi yake inayomkabili....

READ MORE

Mwakyembe Alivunja Baraza la Michezo kwa Agizo la Waziri Mkuu

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Harrison Mwakyembe, leo Julai 10 amesitisha uteuzi wa mwenyekiti pamoja na...

READ MORE

VIDEO: KIMEKUKA! Ngeleja Arudisha Tsh. Mil. 40 za ESCROW

  Mbunge wa Sengerema kwa tiketi ya CCM, William Ngeleja amerudisha pesa kiasi cha Tsh milioni 40.4 alizohusishwa nazo kwenye...

READ MORE

LIVE: Rais Magufuli Apokea Nyumba 50 za Mkapa Foundation -Chato

Rais mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa ametembelea na kuzindua nyumba ya wahudumu wa afya katika kijiji cha Mkungo...

READ MORE

Rose Muhando: Siogopi Wanaonisema Vibaya

STAA wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amefunguka kuwa, haogopi watu wanaomsema kwa ubaya kila kona bali anaangalia kile kilichomsababisha...

READ MORE

MEYA MWITA AMTEMBELEA KARDINALI PENGO

MSTAHIKI Meya wa jiji la Dar es Salaam Isaya Mwita amtembelea Askofu wa Jimbo kuu Katoliki la Dar es salaam...

READ MORE

NMB Yawafungulia Watoto Akaunti ya Wajibu Tamasha la Watoto

BENKI yenye mtandao mkubwa zaidi nchini ya National Microfinance Bank (NMB) leo imewafungulia watoto mbalimbali Akaunti ya Wajibu bila malipo...

READ MORE

Majina ya Wagombea Waliopitishwa na ‘Waliochinjwa’ Uchaguzi Mkuu TFF

Kamati mpya ya Uchaguzi wa TFF, imetangaza majina ya wagombea waliopita usaili huku Rais wa TFF, Jamal Malinzi akiondolewa.  ...

READ MORE

Wana Chadema 51 Mbaroni Chato

Viongozi na wanachama 51 wa Chadema waliokamatwa jana wakiwa kwenye kikao cha ndani wilayani Chato wanaendelea kushikiliwa na polisi kwa...

READ MORE

Siku Chache Baada ya Kifo cha Mkewe, Mzee Yusuf Aoga Matusi Ukweni

  SIKU chache baada ya aliyekuwa mwanamuziki maarufu wa Taarab Bongo, Alhaj Mzee Yusuf kufiwa na mkewe mdogo, Chiku Khamis,...

READ MORE

Mwanza: Polisi Waua Majambazi 6

  Watu sita wanaosadikiwa kuwa majambazi wameuawa katika majibizano ya risasi na polisi katika mtaa wa Fumagila Mashariki Kata ya...

READ MORE

Profesa Jay Afunga Ndoa Kanisa la Mtakatifu Joseph, Dar (Pichaz + Video)

Profesa Jay amefunga ndoa katika Kanisa la Mtakatifu Joseph lililoko Posta jijini Dar es Salaam leo Jumamosi Julai 08, 2017...

READ MORE

Vitabu vya Shigongo Vinapatikana Banda la AIC – Sabasaba, Dar

  WASOMAJI wa Vitabu vya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo wameombwa kufika katika banda la AIC...

READ MORE

Makamu wa Rais Aongoza Waombolezaji Kuuaga Mwili wa Marehemu Shebuge

        Mwili wa Marehemu Karani wa Baraza la Mawaziri, Hassan Rashid Shebuge aliyefariki Julai 06, 2017 katika...

READ MORE

Naibu Waziri wa Kilimo Ampigia Saluti Mrisho Mpoto

  Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi ambaye ndiye mbunge wa Ngorongoro, William Ole Nasha leo alipotembelea banda la...

READ MORE

Mr. Shinda Nyumba Awa Kivutio Sabasaba

  IKIWA ni maadhimisho ya Siku ya Maonyesho ya Biashara Kimataifa maarufu kama Sabasaba, Mr Shinda Nyumba ambaye ni mhamasishaji...

READ MORE

Serikali Kuyafutia Leseni Maduka Kubadilisha Fedha Sept. 2

  BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa waraka kwa wafanyabiashara wa maduka ya kuuza na kununua fedha za kigeni kuomba...

READ MORE

Pichaz + Video: Mazishi ya Mkongwe wa Muziki, Shaaban Dede

  Mwimbaji mkongwe nchini wa muziki wa dansi, Shaban Dede aliyefariki dunia jana asubuhi katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili...

READ MORE

Wastara: Heri Nimfuate Sajuki

  KUFUATIA kusumbuliwa na matatizo ya mara kwa mara ya kiafya, mwanamama mkali wa Bongo Muvi, Wastara Juma anaonekana kukata...

READ MORE

Polisi Waua Watuhumiwa Wawili Msitu wa Ngomboroni Kibiti

  DAR ES SALAAM: Jeshi la Polisi nchini limewaua watu wawili wanaodaiwa kufanya mauaji katika Wilaya za Mkuranga, Kibiti na...

READ MORE

Skauti Tanzania Yagonga Miaka 100

  Chama cha Skauti Tanzania kinatarajiwa kuadhimisha miaka 100 ya uskauti tangu kuanzishwa kwake, maadhimisho yatakayofanyika kuanzia tarehe 21 hadi...

READ MORE

Buriani Shaban Dede ‘Kamchape’, Simulizi ya Maisha Yake Isome Hapa

  Mwimbaji mkongwe nchini wa muziki wa dansi, Shaban Dede amefariki dunia asubuhi ya leo katika Hospitali ya Taifa ya...

READ MORE

Yaliyojiri Mahakamani Kisutu Kesi ya Yeriko Nyerere, Leo

  MAHAKAMANI KISUTU: Mfanyabiashara Yeriko Nyerere anayekabiliwa na kesi ya uchochezi wa kimtandao, mapema leo Julai 6 amefika katika Mahakama...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Waziri Kindamba Kuwa Afisa Mtendaji Mkuu TTCL

#Breaking: Rais @MagufuliJP amemteua Waziri Waziri Kindamba kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa TTCL. Kabla ya uteuzi alikuwa akikaimu nafasi hiyo....

READ MORE

Yasome Hapa Mashtaka 7 Aliyosomewa Manji Akiwa Amelazwa Muhimbili

  Yusufu Manji na wenzake jana walisomewa mashtaka saba yakiwemo ya kuhujumu uchumi wa nchi, kukiuka sheria ya usalama wa...

READ MORE

IGP Sirro: Wananchi wa Kibiti na Ikwiriri Wajilinde (VIDEO)

  MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amewataka wakazi wa maeneo ya Ikwiriri na Kibiti mkoani Pwani...

READ MORE