×

Kitaifa

Kifo cha Mke wa Mzee Yusuf… Simanzi, Majonzi, Vilio na Huzuni!

DAR ES SALAAM: Simanzi! Habari yenye kuumiza moyo inamhusu aliyekuwa Mfalme wa Taarab Bongo na Mkurugenzi wa Bendi ya Jahazi...

READ MORE

Rais Magufuli Kufanya Ziara ya Kikazi ya Siku 3 Mkoani Pwani

Rais Dkt John Pombe Magufuli kufanya ziara ya kikazi ya siku 3 mkoani Pwani ambapo atazindua viwanda vikubwa 5.

READ MORE

Mtu Mmoja Akamatwa Akiingiza Nyama Zikiwa na Smart Phones 5 Kwa Wafungwa Gereza la Keko

DAR: Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Ramadhani Nombo mkazi wa Dar, amekamatwa leo Juni 19, 2017 akijaribu kuingiza simu...

READ MORE

Mtoto wa miaka 14 Aibuka Kinara wa Mashindano ya Kuhifadhi Qur-an

KIJANA wa miaka 14, Khamis Said ameibuka kinara kuhifadhi Qur- an kwa juzuu kumi katika mashindano madogo yaliofanyika leo Jumatatu...

READ MORE

Breaking News: Rugemalira, Kigogo IPTL Wasomewa Mashtaka 6 Kisutu, Wasweka Rumande

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imewafikisha mahakamani, mmiliki kampuni ya PAP, Habirnder Seth Singh na mfanyabiashara James...

READ MORE

Breaking News: Polisi Dar Wakamata Majambazi 5 na Bastola 2 – (VIDEO)

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata watuhumiwa watano wa ujambazi pamoja na bastola mbili. Akizungumza...

READ MORE

Msafara wa Sumaye Wazuiliwa, Meya wa Ubungo Achukuliwa na Polisi

DAR ES SALAA: Meya wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob amechukuliwa na polisi kwa ajili ya mahojiano hata hivyo sababu...

READ MORE

HAI: Nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya Yatekekezwa kwa Moto Usiku

KILIMANJARO: Nyumba ya Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Hai, Dkt. Amini Uronu imechomwa moto usiku wa kuamkia leo na watu...

READ MORE

Droo Ndogo ya 4 ya Shinda Nyumba: Bila Mke Wangu Nisingepata Pikipiki

  WAKATI Bahati Nasi­bu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili ikiende­lea katika hatua ya droo ndogo, ambapo wiki iliyopita ilichezeshwa...

READ MORE

Leila Azimia Nusu Saa Msiba wa Chiku

MSIBA UNAUMA! Ndiyo maneno pekee unayoweza kusema baada ya mtandao huu kushuhudia mke mkubwa wa Mzee Yusufu, Leyla Rashidi akizimia...

READ MORE

Sakata la Makinikia: Wananchi wa Tarime Walivyovamia Mgodi wa North Mara

Siku  chache baada ya Rais Dk. John Magufuli  kukabidhiwa ripoti ya pili ya kuchunguza mchanga wa dhahabu wa Kampuni ya...

READ MORE

Ishu ya Mchele wa Plastiki Bongo, Kiwanda Kinachodaiwa Kutengeneza Chavamiwa (Pichaz + Video)

  DAR ES SALAAM: Katika wiki za hivi karibuni, kumekuwa na uvumi una­osambaa kwa kasi katika mitandao ya kijamii, juu...

READ MORE

Mwezi Mtukufu… Roma Awafuturisha Watoto Yatima (+Pichaz 20)

Mkali wa muziki wa Hip Hop  Bongo, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki, baada ya juzi kuibukia Shule ya Mchikichini iliyopo Mbagala...

READ MORE

BreakingNews: Makamu wa Rais Bi. Samia Azindua Fursa za Ajira na Wachina UDSM

Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais wa Tanzania, leo amezindua fursa za ajira kati ya Watanzania na Wachina, zoezi...

READ MORE

Kikwete amtembelea Kardinali Pengo Dubai

Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amemtembelea Mhadhama Polycarp Kardinali Pengo,...

READ MORE

Mashindano ya Qur-an ya Dunia Kufanyika Diamond Jubilee, Dar

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kuhifadhisha Qur-an Tanzania Sheikh Othman Ally Kaporo amesema kuwa jumuiya hiyo imetenga kiasi cha dola za...

READ MORE

Watatu Wafariki, 24 Wajeruhiwa Ajali ya Basi Manyara

Mbulu. Watu watatu wamefariki dunia na wengine 24 wamejeruhiwa baada ya basi walilokuwa wakisafiria kutoka Haydom, kuelekea Mbulu Mjini,  kuingia...

READ MORE

VIDEO: Mcheki R.O.M.A Mkatoliki Alivyorudi Darasani na Kufundisha Somo la Hisabati

RAPA namba moja Bongo, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ jana alitembelea shule ya Msingi Mchikichini iliyopo Mbagala Rangi Tatu na kufundisha...

READ MORE

VIDEO: #GlobalBreakingNews: Sakata la Makinikia… Chadema Wafunguka LIVE

DAR: Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) umeibuka na kuzungumzia sakata la mchanga wa madini (makinikia) ambalo kwa...

READ MORE

Breaking News: Polisi Dar Yatumia Mabomu ya Mchozi Kutawanya Maandamano ya Walemavu

DAR ES SALAAM: Polisi wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya walemavu waliofunga barabara wakipinga kuzuiwa kuingia katikati ya mji...

READ MORE

#Sportpesa: Makamu wa Rais Bi. Samia Mgeni rasmi mchezo wa Everton vs Gor Mahia

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan amekubali ombi la kuwa mgeni rasmi katika...

READ MORE

William Ngeleja: Kutuhumiwa Siyo Kukutwa na Hatia……Maisha Yanaendelea (VideO)

Mbunge wa jimbo la Sengerema, William Ngeleja, amesema kutuhumiwa siyo kukutwa na hatia na maisha yanaendelea. Ngeleja ambaye ni mmoja...

READ MORE

TWAWEZA: Rais JPM Ameshuka Umaarufu Kutoka 96% hadi 71, CCM Yazidi Kupaa

Asilimia 71 ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli tangu alipoingia madarakani. Kiwango hiki kimeshuka kutoka asilimia 96 mwezi Juni...

READ MORE

VIDEO: R.o.m.a Awa Mwalimu wa Hisabati, Mcheki Akikata Namba Darasani

Rapa namba moja kwa mwenye hits song zenye kudumu miaka dahali, Ibrahimu Musa ‘Roma Mkatoriki’, June 15 mwaka huu alirudi...

READ MORE

VIDEO: Wapinzani ni Sawa na ‘POPO’, Walijigeuza Mawakili wa Wezi -Abdallah Ulega

Mbunge wa Mkuranga kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdallah Ulega amewafananisha wabunge wa upinzani na popo kuwa hawaeleweki...

READ MORE

BreakingNews: CCM Yaapa Kuwashughulikia Kikamilifu Makada Waliotajwa Ripoti ya Mchanga wa Madini (+VIDEO)

Chama cha Mapinduzi (CCM), kupitia kwa Katibu wa Itikadi na Uenezi, Humphrey Polepole, kimesema kinasubiri majibu ya uchunguzi wa tuhuma...

READ MORE

VIDEO: Mbunge Ahoji Uwanja wa Ndege Kujengwa Chato, Ataka Ufafanuzi wa Ununuzi wa Bombardier

DODOMA: Mbunge wa Viti Maalum Shinyanga Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mhe. Salome Makamba amehoji bungeni sababu...

READ MORE

Ripoti Mpya Mauaji Kibiti!

PWANI: Gazeti la UWAZI ambalo limekuwa likifuatilia matukio mbalimbali ya mauaji katika Wilaya za Kibiti, Mkuranga na Ikwiriri limeibuka na...

READ MORE

Pedeshee Ndama Alipa Milioni 200 na Kuachiwa Huru kwa Dhamana

Baada ya kufanikiwa kulipa faini ya milioni 200 hatimae jana  mfanyabiashara , Ndama Shabani Hussein, maarufu kama Pedeshee Ndama mtoto...

READ MORE

VIDEO: Azimio la Wabunge Kuwaadhibu Wahusika Wote wa Mikataba Mibovu ya Madini

Bunge limeitaka Serikali kuchukua hatua kali dhidi ya wote watakaothibitika kuhusika kuliingizia Taifa hasara na kuwakosesha Watanzania fursa ya kufaidika...

READ MORE

VIDEO: Povu la Hussein Bashe Bungeni Kuhusu Sakata la Madini, Msikie Hapa

Hussein Bashe, Mbunge wa Nzega kwa tiketi ya CCM, amewataka Watanzania kuacha kumkatisha tamaa mheshimiwa rais, John Pombe Magufuli katika...

READ MORE

VIDEO: Meneja Aliyewataja Wasanii Ushirikina Akumbwa na Mazito, Ahaha Kumsaka Gwajima

Zimepita siku kadhaa tangu Meneja Maneno aliyekuwa meneja wa wasanii wakubwa maarufu Afrika kwa sasa wakiwemo Diamond Platnumz na Rich...

READ MORE

Shamba la Mbowe Lilivyong’olewa Mitambo, Mwenyewe Afunguka ya Moyoni

Mwenyekiti wa CHADEMA, Mbowe amethibitisha shamba lake kuvamiwa na viongozi wa serikali ya Wilaya na kuharibiwa miundombinu ya shamba hilo...

READ MORE

Orodha ya Majina Mapya Kidato cha Sita Waliochaguliwa Kujiunga na JKT

Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), linapenda kuutaarifu umma kuwa limeongeza majina ya vijana waliohitimu elimu ya kidato cha sita mwezi...

READ MORE