×

Kitaifa

Lindi: Rais Magufuli Aagiza Mkandarasi Anyang’anywe Pasi ya Kusafiria

LINDI: Akiendelea na ziara yake mkoani Lindi, Rais Dkt Magufuli leo amekagua miradi mbalimbali ya maendeleo mkoani humo na kutoa...

READ MORE

Hatimaye Godbless Lema Aachiwa kwa Dhamana

Joseph Ngilisho, Arusha: MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, imemuachia huru Mbunge wa jimbo la Arusha Mjini, Godbles Lema (CHADEMA) kwa...

READ MORE

Zimamoto Yajibu Tuhuma za Kuchelewa Matukio ya Moto

JESHI la Zimamoto nchini kupitia kwa Kamanda Mkuu wa Kitengo cha Vifaa vya Kitaalam (SDA) wa Jeshi la Zimamoto Uokoaji,...

READ MORE

Yanayojiri Kesi ya Godbless Lema Arusha Leo… Lowassa, Sumaye Waibuka Mahakamani

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini Godbless Jonathan Lema akishuka kwenye gari kuingia mahakamani. ARUSHA: Mahakama Kuu Kanda ya Arusha...

READ MORE

Ubalozi wa Kuwait Watatua Shida ya Maji Kwa Wanafunzi 5600 Dar

DAR ES SALAAM: Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Jasem Al-Najem amezindua mradi wa visima vya maji kwa ajili ya...

READ MORE

Sentensi ya Ridhiwani Kikwete Baada ya Mama Yake Kuteuliwa na JPM Kuwa Mbunge

Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwan Kikwete amefunguka baada ya mama yake jana kuteuliwa na Rais Magufili kuwa...

READ MORE

Rais Magufuli Aanza Ziara Katika Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mhe. Dkt.  John Pombe Magufuli, leo tarehe 02 Machi, 2017 ameanza ziara ya...

READ MORE

Jamii Yaaswa Kuhifadhi Mambo ya Kale

WIZARA ya Mali asili na utalii kupitia Kwa Mkurugenzi anayehusika na  masuala ya kale, Donatus karuamba amesema kuwa Jamii inapaswa...

READ MORE

Kesi ya Mbowe Vs RC Makonda, Sirro na Kamanda Wambura Yaanza Kuunguruma Mahakama Kuu

DAR ES SALAAM: Kesi ya kupinga kukamatwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, Freeman Mbowe dhidi...

READ MORE

Hostel Mpya za UDSM Kuanza Kutumika Wiki Ijayo

Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano chini ya Waziri Prof. Makame Mbarawa imesema kuwa mabweni ya wanafunzi ya Chuo Kikuu...

READ MORE

Serikali Yanunua Mtambo wa Kisasa wa Kutambua DNA, Dawa za Kulevya, Sumu na Madini

SERIKALI kupitia Wakala wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imenunua mtambo mpya na wa kisasa wa aina ya Energy...

READ MORE

Rais Magufuli Amteua Mama Salma Kikwete Kuwa Mbunge

Aidha Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu ametoa marekebisho ya taarifa hiyo na kusema kuwa, Rais Magufuli amemteua Mama Salma Kikwete...

READ MORE

Pama Group Yakanusha Uzushi Pombe za Viroba

KAMPUNI ya Pama Group Limited, imepinga vikali  taarifa ambazo zimeandikwa kwenye vyombo vya habari kuwa  ni moja ya kampuni ambazo...

READ MORE

Mr Shinda Nyumba Apagawisha Ubungo, Kibamba na Kiluvya

Mr Shinda Nyumba akigawa vipeperushi katika mitaa ya Ubungo. Mr Shinda Nyumba akigawa vipeperushi kwa wasomaji wa magazeti ya Global...

READ MORE

TWAWEZA Watoa Ripoti Kuhusu Hali ya Chakula Nchini

Utangulizi Wiki na miezi iliyopita kumekuwepo na mijadala mizito ya kisiasa na kitaifa juu ya masuala ya upungufu wa chakula...

READ MORE

Waziri Mbalawa Azindua Huduma ya Kuhama Mtandao

DAR ES SAALAM: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) jana imezindua rasmi huduma ya mawasiliano ya simu ya kuhama mtandao mmoja...

READ MORE

Polisi Yakamata Watuhumiwa 100 Madawa ya Kulevya Dar

Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro akizungumza na wanahabari. Akisikiliza kwa makini maswali yaliyokuwa yakiulizwa...

READ MORE

Hivi Ndivyo Rais Magufuli, Mkapa Walivyoshiriki Ibada ya Jumatano ya Majivu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisali katika Ibada ya Jumatano ya Majivu pamoja na...

READ MORE

#GlobalUpdates: Hatimaye! YouTube Kuja Na Huduma Ya Kulipia Bundle La TV

Mtandao ndio kila kitu siku hizi, kila linapotokea jambo huwa ni rahsi sana kulijua ama kuliona moja kwa moja kupitia...

READ MORE

Mke wa Komba Amwangukia JPM Kuhusu Mafao ya Mumewe

DAR ES SALAAM: Ikiwa imetimia miaka miwili tangu kifo cha aliyekuwa kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi CCM, Kapteni John...

READ MORE

Wabunge Wamlipua Steve Nyerere

DAR ES SALAAM: Kusambaa kwa sauti iliyorekodiwa mazungumzo ya mwigizaji Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ na mama wa Miss Tanzania 2006,...

READ MORE

Makamba: Kuanzia Machi 2, Ukikutwa na Viroba Utakiona

SERIKALI kupitia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira imesema kuwa tamko lililotolewa na Waziri Mkuu...

READ MORE

DC MJEMA: Wazazi Wenye Watoto Wao ‘Panya Rodi’ Kukamatwa

Na ELVAN STAMBULI NA SIFAEL PAUL| GAZETI LA UWAZI| UWAZI LIVE NA… MKUU wa Wilaya ya Ilala, Sophia Mjema, wilaya...

READ MORE

Jeshi la Zimamoto Lafanya Ziara Leo Global Publishers

LIKIONGOZWA na Mrakibu Msaidizi Puyo Mzalayaimisi, Jeshi la Zimamoto limefanya ziara leo katika ofisi za Global Publishers kwa lengo la...

READ MORE

VIDEO: Wasanii Bongo Movies Wampinga Wema Sepetu, Wakanusha Kuidai CCM

MOVIE BADO INAENDELEA: Hivyo ndivyo tunaweza kusema baada ya wasanii wa Bongo Movie Wasanii wa Bongo Movies waliokuwa wakishiriki kwenye...

READ MORE

Tajiri Aliyempa Makonda Ardhi kikaangoni

Na MWANDISHI WETU| UWAZI| HABARI DAR ES SALAAM: Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi amesema atamchukulia...

READ MORE

Kesi ya Godbless Lema… Mbowe ‘Aipa Tano’ Mahakama

ARUSHA: Chama cha Demokrasia na Maendeleo kimeeleza kusikitishwa kwake na kitendo cha Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kunyimwa dhamana...

READ MORE

Wananchi Mkuranga Wamwangukia Magufuli Suala la Ardhi

BAADHI ya wananchi wa vijiji vya, Lugwadu, Magodani na Kazole, Kata ya Vikindu, Mkuranga Mkoa wa Pwani wameonyesha hisia zao...

READ MORE

Prof. Kamuzora Asisitiza Uhifadhi wa Mazingira Nchini

KATIKA kuelekea siku  ya  Mazingira Barani Afrika inayotarajiwa kuadhimishwa Machi 3, Mwaka huu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais...

READ MORE

Wafanyakazi wa Manji Bado Ngoma Nzito

RAIA  wawili wa India ambao wanafanya kazi wa kampuni ya Quality Group iliyo chini ya Yusuf Manji leo wamefikishwa Mahakama...

READ MORE

Mvua ya Siku Moja Soko la Makumbusho Haliingiliki

Mvua iliyonyesha usiku wa kuamkia leo imesababisha Soko Kuu la Makumbusho jijini Dar kushindwa kuingilika kufuatia kujaa maji sehemu ya...

READ MORE

Mzee Chillo Alia na Wataalamu wa Afya Muhimbili

Mzee Chillo akitoa nasaha kwa wataalam wa afya wa MUHAS.           MSANII nguli wa Filamu za Kibongo, Ahmed Olotu,...

READ MORE

Sasa Huenda Gobdless Lema Akaachiwa kwa Dhamana

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema akiwasili mahakamani leo. Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwa ameongozana...

READ MORE

Dc Aagiza Afisa Uthamini Kukamatwa, Kisa Kuzima Simu

Na MWANDISHI WETU|IJUMAA WIKIENDA| HABARI DAR ES SALAAM: Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dar (DC), Ally Hapi ameagiza Jeshi la...

READ MORE

Hali Ilivyo Corner Baa Sinza Baada ya…

AGIZO la mkuu wa Wilaya ya Kinondini Mkoani Dar es salaam Ali Hapi, kuzitaka baa zote zilizopo ndani Wilaya ya...

READ MORE

Mbunge Paulina Gekul Anusurika Kifo… Alazwa ICU, Ziara Yaahirishwa

Mbunge wa jimbo la Babati mjini Paulina Gekul amenusurika kifo baada ya gari lake lenye namba za usajili T 189...

READ MORE

Wamiliki wa Mabaa ya Machangudoa Kukiona

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salaam, Ali Hapi, ametoa onyo kwa wamiliki wa baa wanaowahifadhi watu wanaojihusisha...

READ MORE