×

Kitaifa

Dkt International Tanzania Yazindua ‘Trust Community Maternity Homes’

Meneja Masoko wa DKT International Tanzania Sialouise Shayo akionyesha baadhi ya bidhaa kwa waandishi wa habari zinazopatikana kwenye Kliniki mpya...

READ MORE

Watoto wa mitaani Dodoma kuondolewa

SERIKALI mkoani Dodoma itafanya operesheni ya kuwaondoa watoto wa mitaani, ambao wamekuwa kero kwa wapita njia na wateja wanaokula hotelini,...

READ MORE

Polisi Wafyatua Risasi & Mabomu ya Machozi Kuwatawanya Wafuasi wa Lipumba

Jeshi la Polisi limelazimika kufyatua risasi angani na kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) wanaodhaniwa...

READ MORE

Uhuru Kenyata: Hakuna Mvutano wa Kiuchumi Kati ya Tanzania na Kenya

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya Jumamosi alikanusha ripoti za vyombo vya habari kwamba kuna mvutano baina ya Kenya na Tanzania....

READ MORE

Wabunge wa Upinzani Sasa Kutatua Mgogoro na Naibu Spika

Kambi rasmi ya upinzani imepanga kufanya vikao vya kujadili suluhu ya kudumu ya mgogoro na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson...

READ MORE

Mtandao Hatari wa Majambazi Wanaswa Dar

Jeshi la Polisi limedaiwa kukamata watu watatu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi wakiwa na silaha nzito za kivita ikiwemo bunduki moja...

READ MORE

CUF Watoa Waraka Kwa Rais Magufuli

Chama Cha Wananchi CUF leo kipitia mkutano wake na wanahabari kimejibu kauli zilizotolewa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. John...

READ MORE

Rais JPM Ahutubia Wananchi wa Zanzibar

Viongozi mbalimbali wakiwa wamejipanga kumsubiri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli kuhutubia mkutano wa hadhara...

READ MORE

Fiesta Yawapagawisha Wakazi Wa Shinyanga

Msanii wa Bongo Fleva, Bill Nasi akifanya makamuzi na Linah Sanga kwenye Tamasha la Fiesta usiku wa kuamkia leo Shinyanga....

READ MORE

Mkuu wa Mkoa Wa Shinyanga Apongeza Semina Ya Fursa

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mh. Zainab Rajab Telack, akitoa pongeza zake kwa waandaaji wa Semina ya Fursa na tamasha...

READ MORE

TCU Yatangaza Kuanza Udahili Awamu ya Pili Kwa Wanafunzi Wanaojiunga Vyuo Vikuu

Tunapenda kuutangazia Umma kuwa tulifunga mfumo wa pamoja wa udahili tarehe 31/08/2016 saa sita usiku ili kuchakata maombi ya waombaji...

READ MORE

Mbowe: Sidaiwi na NHC, Namiliki Jengo kwa Asilimia 75 Kuanzia Mwaka 1997

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mhe. Freeman Mbowe amekana kudaiwa kiasi chochote na Shirika la Nyumba la...

READ MORE

Ubunifu Huu Wawavutia Wengi!

Nyumba hiyo ndogo yenye jina la Ufalme wa Dhahabu. Athumani akiingia ndani ya nyumba hiyo.  Athumani akionesha baadhi ya picha...

READ MORE

Super Girls Bingwa Airtel Rising Stars Lindi

Katibu Tawala wa Wilaya ya Nachingwea Hadja Sekibo akikagua timu wakati wa fainali za michuano ya Airtel Rising Stars mkoa...

READ MORE

Rais Magufuli Azuru Kaburi la Sheikh Abeid Amani Karume

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 03 Septemba, 2016 ameendelea na ziara yake...

READ MORE

Majambazi Yavamia Chuo Tanga.. Mlinzi Auawa, Mabweni Yachomwa Moto

TANGA: Majambazi zaidi ya 15 yamevamia Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (Sekomu) kilichopo Kata ya Magamba, Lushoto mkoani...

READ MORE

Wanaoficha fedha ni wahujumu uchumi – Wasomi

Mhadhiri Mwandamizi wa Masuala ya Uchumi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Dk Benson Bana. KUTOKANA na kauli...

READ MORE

Afikishwa Mahakamani kwa Kumuita Rais Magufuli ni Kilaza

ELIZABETH Asenga (40), mkazi wa jijini Dar es Salaam amepandishwa kortini jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma...

READ MORE

Video: Rais Dr Magufuli Asisitiza Amani Itawale Nchini

https://www.youtube.com/watch?v=PTgXnOZrtYw&feature=youtu.be

READ MORE

Aliyoyanena Rais Magufuli Leo Akiwa Pemba

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia mamia ya wananchi wa Pemba katika Uwanja...

READ MORE

Rais Magufuli Awasili Pemba kwa Ziara ya Kikazi ya Siku Mbili

   Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Asubuhi ya leo tarehe 02 Septemba, 2016 amewasili...

READ MORE

Mr. Championi anadi muonekano mpya wa Ijumaa Kisemvule

Wasoamaji mbalimbali wa eneo la Kisemvule Mkuranga Mkoa wa Pwani wakizingira gari la matangazo kwa ajili ya kununua gazeti la...

READ MORE

Uturuki Yatangaza Kifo cha Rais wa Uzbekistan

Serikali ya Uturuki imetangaza kuwa Rais wa Uzbekistan, Islam Karimov amefariki dunia, licha ya kutokuwa na habari rasmi kutoka kwa...

READ MORE

Vodacom Yaendelea Kugawa Mpunga kwa Wateja Wake

Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu ( kushoto) akimkabidhi kitita cha shilingi Milioni 5/= Hassan  Mfaume (kulia) alizojishindia kupitia promosheni...

READ MORE

CUF Waondolewa Pemba Kupisha Mkutano wa Rais Magufuli

Jeshi la Polisi Wilaya ya Chakechake, Pemba limezuia kufanyika mkutano na vyombo vya habari wa Chama Cha Wananchi (CUF) uliokuwa...

READ MORE

Satelaiti ya Facebook ya Masafa ya Kasi Afrika Yaharibiwa

Mwanzilishi wa kampuni ya Facebook Mark Zuckerberg amelezea kusikitishwa kwake baada ya satelaiti ambayo Facebook ingeitumia kwa mawasiliano ya kasi...

READ MORE

RC Makonda: Oktoba Mosi 2016 ni Siku ya Kupanda Miti

Siku moja baada ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutangaza kuahirisha kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kupitia oparesheni...

READ MORE

Magazeti ya Leo Septemba 2, 2016

               

READ MORE

Rais Magufuli Awapongeza JWTZ Kwa Kutimiza Miaka 52

Serikali ya Awamu ya Tano imedhamiria kuwaunga mkono na kuwatumia wahandisi wa ndani wenye ujuzi mbalimbali katika utekelezaji wa miradi...

READ MORE

JPM Kubadili Noti Kuwakomoa Walioficha Mabilioni Majumbani

Rais John Magufuli amewataka watu walioficha fedha majumbani kuziachia ziingie kwenye mzunguko vinginevyo anaweza kuamua kuzibadili ili wakose mahali pa...

READ MORE

Awamu ya Pili Waliochaguliwa Kujiunga Kidato cha Tano na Vyuo vya Ufundi 2016

Ofisi ya Rais -TAMISEMI inatangaza majina ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha Tano awamu ya Pili (Second Selection) kwa...

READ MORE

UVCCM Yaivaa Chadema Kutofanya Maandamano ya UKUTA

Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), umewavaa viongozi wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kile walichodai...

READ MORE

Hali Ilivyokuwa Wakati wa Kupatwa kwa Jua Rujewa

Jua lilivyokuwa likionekana kupitia miwani maalum ya kuchuja mionzi ya jua mjini Rujewa wilayani Mbarali mkoani Mbeya leo. Raia wa...

READ MORE

Malima: Nataka Kuleta Mapinduzi Bongo Muvi

Director Malima. Na Leonard Msigwa/GPL DAR ES SAALAM: Soko la filamu nchini “Bongo Muvi” limepata muongoza filamu “director” mpya na...

READ MORE

Gazeti la Amani Lawapagawisha Watu Dar

     Mohamed Mrisho mkazi wa Vikindu akisoma kwa makini gazeti la Amani. Omari mkazi wa Vikindu akifuatilia kilichoandikwa kwenye gazeti...

READ MORE

Miundombinu ya Barabara Polisi Mabatini, Dar… Sikio la Kufa!

Gari likipita eneo hilo kwa tabu.  Bajaj nayo ikipita kwa tabu. Mjumbe wa Mtaa wa Polisi Mabatini, jijini Dar es...

READ MORE

Ishu ya Uenyekiti wa Lipumba CUF, Msajili Amuweka Kikaangozi Maalim Seif

Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini imemuandikia barua Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif...

READ MORE

Madalali wa NHC Wavamia Bilicanas, Wawatupia Virago Tanzania Daima

Dar es Salaam Madalali wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) wamefika katika ofisi za gazeti la  Tanzania Daima zilizopo...

READ MORE