×

Kitaifa

Airtel Money Timiza Yafanya Semina na Mawakala Mkoa wa Mwanza

Msimamizi mkuu wa uelimishaji wa huduma ya Airtel Money Timiza, Rwebu Mutahaba akitoa semina kwa Mawakala wa mihamala ya fedha...

READ MORE

Masaju Avionya Vyama vya Siasa, Avitaka Viheshimu Kauli ya Polisi

Dar es Salaam Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George Masaju, leo amevionya vyama vya siasa kutumia maneno yanayovunja amani na usalama...

READ MORE

Nape Azifungia Radio 5 na Magic FM Kwa Uchochezi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, ametangaza kuvifungia vituo vya Radio 5 Arusha na Magic Fm Dar...

READ MORE

Lema Aendelea Kugoma Kula Akiwa Mahabusu, Kufikishwa Mahakamani Leo

MBUNGE wa Arusha Mjini, Godbless Lema (Chadema), ameendelea kugoma kula kwa siku ya tatu mfululizo tangu alipokamatwa Oktoba 26 mwaka...

READ MORE

Prof. Lipumba, Magdalena Sakaya na Abdul Kambaya Wavuliwa Uanachama CUF

Chama Cha Wananchi (CUF) kimewasimamisha uanachama aliyekuwa Mwenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba na Katibu Mkuu wa chama hicho...

READ MORE

Gaidi Mtoto Auawa Mkuranga (Video)

Itazame Video yake hapa;

READ MORE

Usikose Semina Hii ya Fahamu Talk 2016

Dk. Chris Mauki. Ni watu wengi sana wakiwemo vijana wanaingia kwenye mahusiano bila ya ufahamu wa kutosha na baadaye kwa...

READ MORE

Tahadhari ya Kuwepo Upepo Mkali na Mawimbi Makubwa

TAHADHARI: Upepo mkali na mawimbi makubwa vinatarajiwa katika maeneo ya ukanda wa Ziwa Victoria na yale ya Pwani kuanzia kesho...

READ MORE

Afya ya Lema Mbaya Baada ya Kususia Chakula Mahabusu

Godbless Lema. Afya ya Mbunge wa Arusha Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Godbless Lema imeripotiwa...

READ MORE

DC Atoa Mwezi 1 Waliovamia Hifadhi Kuhama

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Miraji Jumanne Mtaturu akimsikiliza Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kaugere, Beatus Kapatya akitoa taarifa juu...

READ MORE

Kifahamu Kipindi Kipya Cha ‘Chukua Hatua’ Kinachohusu Vijana Dodoma

 Watangazaji wa kipindi kipya cha CHUKUA HATUA Happy Balisidya na Mohammed Hammie, siku ya kwanza walipokutana wakati wa maandalizi ya...

READ MORE

Mwanadiplomasia: Hakuna Sababu ya Maandamano

  Kaimu Mkuu wa Chuo cha Diplomasia nchini (CFR), Dkt. Bernard Achiula. Na Beatrice Lyimo-MAELEZO Dar es salaam Tofauti za...

READ MORE

Rais JPM Uso kwa Uso na Lowassa

 Rais Dkt John Pombe Magufuli akisalimiana na Waziri Mkuu wa zamani Mhe. Edward Lowassa wakati wa hafla ya maadhimisho ya...

READ MORE

Mo Music Ado Ado (Official Video)

https://www.youtube.com/watch?v=66_T-0ZIrno

READ MORE

Kutoka Buchosa: Mamba Anyakuwa Mtu Ziwani

Buchosa. Mkazi wa Kijiji cha Kakobe, Kata ya Kazunzu katika Halmashauri ya Buchosa wilayani Sengerema, Mkoa Mwanza, Juma Abdallah (30)...

READ MORE

JWTZ Lasema Septemba 1, Litasherehekea Miaka 52 kwa Kufanya Usafi Mtaani

Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ) leo linaanza shamrashamra za maandalizi kuelekea siku ya maadhimisho ya 52 ya majeshi...

READ MORE

RC Paul Makonda Aitwa Tume ya Haki za Binadamu Kujieleza

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) imesikitishwa na matamshi ya Mhe. Paul Makonda, Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

NMB Yawakutanisha Wanachama CWT ‘Teachers Day’

Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Theresia Mbando (wa tatu kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya NMB...

READ MORE

Mkutano wa Vyama vya Siasa Wapigwa Kalenda Hadi Sept 3-4

Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Mstaafu Francis Mutungia akisisitiza juu ya umuhimu wa mkutano wa vyama vya siasa utaofanyika...

READ MORE

Pichaz: Ukweli Kuhusu Mapambano ya Polisi na Majambazi Vikindu

Eneo la Mtaa wa Vikindu Mashariki mkoani Pwani kwenye nyumba ya mtu mmoja aliyetajwa kwa jina la Mzee Manitu paligeuka...

READ MORE

Jenerali Ulimwengu Apata Ajali, Akimbizwa Moi

TAARIFA zilizoufikia mtandao huu zinaeleza kuwa, Mwandishi Mkongwe nchini  ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema,...

READ MORE

Mzee John Cheyo ameyasema Haya Kuhusu Chadema na UKUTA

Na: Lilian Lundo-MAELEZO Mwenyekiti wa Chama cha UDP John Cheyo amewataka Watanzania kupaza sauti na kukataa maandamano ya Septemba Mosi...

READ MORE

Mshindi wa Camon C9 Aelezea Kilichomvutia Kushiriki Shindano

Mshindi wa pili wa shindano la Tecno Camon C9, Michael Nyantori amekabidhiwa zawadi yake baada ya kufanikiwa kufanya vyema katika...

READ MORE

Mabasi Ya City Boys, Kisbo… Yafunguliwa

MABASI yanayosafirisha abiria wanaokwenda mikoani yaliyofungiwa na Serikali kwa kusababisha ajali yameanza kuruhusiwa kutoa huduma hiyo. Mabasi hayo yameruhusiwa baada...

READ MORE

PSPF Yakabidhi Vifaa vya Michezo kwa Jeshi la Magereza Ukonga, Dar

Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Abdul Njaidi, (kushoto), akimkabidhi seemu ya vifaa vya michezo, Mkuu wa...

READ MORE

Kumbukumbu ya Miaka Minne ya Kifo cha Baba Yake Shigongo Yafanyika Dar

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, James Bukumbi enzi za uhai wake.   JANA ilitimia...

READ MORE

Naibu Katibu Mkuu Chadema, Salum Mwalimu Atiwa Mbaroni

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA (Zanzibar), Salum Mwalimu, jana Alhamisi, Agosti 25, 2016 alikamatwa na Jeshi la Polisi huko maeneo...

READ MORE

Kumbukumbu ya Miaka 4 ya Kifo cha Mzee Bukumbi Yafanyika Bupandwamhela

Mzee James Bukumbi enzi za uhai wake. Padri akiongoza ibaada ya misa ya kumbukumbuku ya miaka minne tangu kifo cha...

READ MORE

Airtel Yawawezesha Mawakala Mkoani Arusha Kukopa na Kuongezaa Mitaji

Meneja wa Kampuni ya Jumo Tanzania, Rweb Mutahaba akizungumza na Mawakala wa Kampuni ya Simu za Mikononi ya Airtel mbinu...

READ MORE

Makonda: Polisi Mkikuta Mtu Yeyote Msituni Pigeni Bila Huruma

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameliagiza Jeshi la Polisi kuwagonga na kuwapiga wahalifu wowote wakiwamo majambazi...

READ MORE

Mbunge Godbless Lema Adaiwa Kukamatwa na Polisi

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) amekamatwa na polisi akiwa nyumbani kwake alfajiri  ya leo. Meya wa Jiji la...

READ MORE

Picha Kutoka Eneo la Tukio: Polisi Yakabiliana na Majambazi, Mkuranga

Mapigano makali yanaendelea kati ya polisi na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi eneo la Vikindu, wilaya ya Mkuranga, mkoa wa...

READ MORE

Picha Chafu Zatibua Penzi la Masogange 18+

Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ akiwa kihasarahasara na mwanaume anayesemekana ni msanii wa Bongo Fleva, Regnald Raymond ‘Reggy’....

READ MORE

Zitto Kabwe afunguka yake kuhusu Oparesheni UKUTA

Wakati viongozi wa dini wakiendelea na jitihanda za kusaka suluhu kati ya upande wa Serikali na Chadema kuhusu namna ya...

READ MORE