×

Kitaifa

Bomoabomoa yaendelea Dar!

Tingatinga likishusha ukuta. Likizidi kubomoaVifusi baada ya kubomoa. Wakazi wakitoa vitu vyao nje ya myumba wakati wa bomoabomoa. Wananchi wakitaharuki...

READ MORE

Wateja wa Airtel kuangalia vipindi vya television kupitia simu za mkononi

Meneja Uhusiano wa Airtel Bwana Jackson Mmbando akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya “Airtel TV” itakayowawezesha wateja wa Airtel kuangalia...

READ MORE

Global Publishers: Tunalaani upotoshaji huu

Kumekuwa na upotoshaji mkubwa wa makusudi unaofanywa na baadhi ya watu kupitia mitandao ya kijamii kwa kugeuza maudhui ya  habari...

READ MORE

Rais Magufuli amuapisha Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...

READ MORE

Dk. Tulia achaguliwa kuwa Naibu Spika kwa 71.2%

Dk. Tulia Ackson Mwansasu akila kiapo mara baada ya kuchaguliwa kuwa Naibu Spika wa Bunge. Dk. Tulia Ackson Mwansasu wakati...

READ MORE

Waziri, Mkuu Majaliwa ashinda kwa asilimia 73.5

Waziri Mkuu Mteule Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa. Mpambe wa Rais Kanali Mkeremi akiingia bungeni mjini Dodoma leo asubuhi akiwa na...

READ MORE

Aliyekuwa Mkurugenzi wa ATCL na wenzake 2 wakutwa na hatia

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemkuta na hatia aliyekuwa Mkurugenzi wa Shirika la Ndege la Taifa (ATCL), Bw....

READ MORE

Lipumba: Magufuli anakabiliwa na hali ngumu ya bajeti

Profesa Ibrahim Lipumba. HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF aliyejiuzulu uenyekiti wa chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba ameibuka...

READ MORE

Airtel yazindua huduma ya wateja kuangalia vipindi vya TV katika simu

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando, akitoa ufafanuzi kwa wanahabari (hawapo pichani), namna watakavyoweza kujiunga na kufaidi habari kupitia huduma...

READ MORE

Marubani wawili wa kike Zimbabwe waweka historia Afrika

Makapteni wawili wa kike Chipo M. Matimba (kushoto) akiwa na Elizabeth Simbi Petros (kulia) waliruka na ndege aina ya ‘Boeing...

READ MORE

Breaking News: Waziri Mkuu atajwa Bungeni

Waziri Mkuu Mteule Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Majaliwa Kassim Majaliwa. Rais Dk. John Pombe Magufuli amemteua...

READ MORE

PSPF wazindua mpango wa matibabu kwa wanachama wa mfuko huo

Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, SSRA, Omar Kahlfan, (atikati), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa PSPF,...

READ MORE

Ratiba ya Mkutano wa Kwanza wa Bunge, Tarehe 13-20 Novemba 2013

Download Ratiba Yote hapa===>RATIBA YA MKUTANO WA KWANZA WA BUNGE LA 11

READ MORE

Kill Marathon yazinduliwa jijini Dar

Naibu Mkurugenzi wa Vijana, Habari, Utamaduni na Michezo, Alex Nkenyenge akisistiza jambo kwenye hafla hiyo.Naibu Mkurugenzi wa Vijana, Habari, Utamaduni...

READ MORE

Hukumu kesi ya Sheikh Ponda yaahirishwa tena

Kiongozi wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda. MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro, kwa...

READ MORE

Kwa staili hii, ajali hazikomi!

Lori lenye kontena ambalo halijafungwa vizuri likiwa barabarani. Dereva akiendelea na safari bila kujali hatari yoyote. Safari ikiendelea. Katika hali isiyo...

READ MORE

Serikali kukabiliana na wezi wa umeme

Msemaji wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud (kushoto), akizungumza jambo kwa wanahabari (hawapo pichani). Kulia kwake ni Mkurugenzi...

READ MORE

Rais Magufuli asaini Kitabu cha Maombolezo Ubalozi wa Ufaransa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa jijini...

READ MORE

Bomoa bomoa Mwenge yawaliza wengi Dar

Tingatinga likiwa kazini kubomoa nyumba zilizo ndani ya hifadhi ya barabara. Vumbi likiwa limetanda eneo hilo. Ulinzi ukiwa umeimarishwa eneo...

READ MORE

Watumiaji Instagram wasaidia wagonjwa Ocean Road

Mmiliki wa Twaiba Classic Centre akitoa michango kwa baadhi ya wagonjwa. Wana-Instagram wakiwa katika picha ya pamoja nje ya Hospitali...

READ MORE

Uwazi latoa msaada wa viti vya wagonjwa, Moi

Afisa Tawala wa Global Publishers, Soud Kivea (katikati) akizungumza jambo mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Kutoka kushoto ni Afisa Uhusiano...

READ MORE

Job Ndugai achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo limemchagua, Mbunge wa Kongwa, Mhe. Job Yustino Ndugai kuwa Spika wa Bunge...

READ MORE

Wabunge wapiga kura kumchagua Spika wa Bunge

WABUNGE wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo asubuhi wamepiga kura kumchagua spika wa kuliongoza Bunge la 11 mjini Dodoma....

READ MORE

Chenge ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa uchaguzi wa Spika bungeni

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Thomas Kashilila asubuhi hii amemteua Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM),...

READ MORE

Kampeni ya binti thamani kurindima Dar

Walioko mbele kutoka kushoto ni, Meneja Mipango wa Don Bosco, Rosemary Tery, Mkuu wa Chuo cha Don Bosco Mkoa wa...

READ MORE

Serikali yadhamini vocha za pembejeo kwa wakulima

Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Pembejeo za Kilimo, Shenal S. Nyonni, Mkurugenzi wa Mazao, Twahir Nzalawahe na afisa habari...

READ MORE

Wakutwa hai baada ya kufukiwa na vifusi mgodini kwa siku 41

Ofisa Habari wa Wizara ya Nishati na Madini, Badra Masoud. Manusra hao wakiendelea na matibabu. WATU watano waliokuwa wakichimba madini...

READ MORE

Jerome Bwanausi ashinda ubunge Jimbo la Lulindi

Jerome Bwanausi. Aliyekuwa mgombea wa kiti cha ubunge katika Jimbo la Lulindi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jerome Bwanausi ametangazwa...

READ MORE

Rais Magufuli amteua Dk Tulia Ackson kuwa Mbunge

Aliyekuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk Tulia Ackson Mwansasu. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk John Pombe...

READ MORE

Airtel fursa yaendelea kukwamua vijana hapa nchini‏

Mkufunzi kutoka Chuo cha Utumishi wa Umma Tawi la Tanga,Hassani Juma Hassani akitoa mada wakati wa semina ya Airtel Fursa...

READ MORE

Breaking News: Mwenyekiti wa Chadema Geita auawa

Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake. Alphonce Mawazo alipokimbizwa Hospitali ya Mkoa wa Geita kabla...

READ MORE

Nape Nnauye aipongeza Global

Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Erick Evarist akimkaribisha Katibu Mwenezi wa CCM na Mbunge Mteule wa Jimbo la Ntama,...

READ MORE

Mama, Baba Lishe Saccos kuzinduliwa Dar

Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Mama Lishe na Baba Lishe, Ramadhan Mohanzu, Mshauri wa Jumuiya hiyo, Said Mohamed,...

READ MORE

Makonda aja na Kampeni ya Sukuma Twende

Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari wakichukua tukio. Makonda akionesha kipeperushi kilichoelekeza namna...

READ MORE

Msaidizi wa Lowassa kuchunguzwa uraia wake

Bashi Awale anayeshikiliwa na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar.Kamanda wa Polisi Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

READ MORE