×

Kitaifa

Mama Akamatwa kwa Kumtupa Mtoto wa Siku 3

JESHI la Polisi mkoani Mbeya, limefanikiwa kumkamata mwanamke Janeth Peter (32), mkazi wa Kiwira wilayani Rungwe kwa tuhuma za kumtupa...

READ MORE

RPC Khamis: Wahamiaji Mmemaliza Chakula Chetu

  JESHI la Polisi mkoa wa Njombe linawashikilia raia 52 kutoka nchi za Ethiopia na Malawi wanaodaiwa kuingia nchini bila...

READ MORE

Machinga Makoroboi Kimeuma, Polisi Watimua Mbio – Video

WAFANYABIASHARA wadogo (Machinga) zaidi ya 5,000 waliopo katika eneo la Makoroboi jijini Mwanza licha ya kutii agizo la Mkuu wa...

READ MORE

Kigogo NIDA Afutiwa Mashtaka

MKURUGENZI wa Mashitaka nchini (DPP) amewafutia mashitaka 10 ya utakatishaji fedha washtakiwa watatu kati ya watano akiwemo aliyekuwa Mkurugenzi wa...

READ MORE

Mimba ya Malkia Karen Bado Utata Mtupu!

Siyo stori kwamba, mrembo kunako Bongo Fleva, Malkia Karen ni mjamzito wa miezi mingi akikaribia kabisa kujifungua baada ya wadukuzi...

READ MORE

Ni Aibu Shule ya Msingi Ntanganyika Kukaa Chini

MKUU wa Mkoa wa Rukwa, Joseph Mkirikiti amesikitishwa na kitendo cha Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kutokamilisha uwekaji madawati katika...

READ MORE

Majaliwa Asisitiza Mifumo ya Usalama Kupitia TEHAMA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga shilingi bilioni 170 kwa ajili ya ujenzi wa Mkongo wa Taifa katika mwaka...

READ MORE

Mama Achinja Watoto Wake Wawili – Video

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida Mwanamke mmoja mkazi wa Lalago wilaya ya Maswa mkoani Simiyu ameuwa watoto wake wawili kwa...

READ MORE

Njombe: Wanandoa Wauawa kwa Kukatwa Mapanga – Video

ANES Haule (45) na mume wake Menluph Ngailo (45) wameuawa kwa kukatwakatwa mapanga wakiwa wamelala nyumbani kwao huko kijiji cha...

READ MORE

Waziri Mkuu Aipongeza TCRA kwa Kusimamia Masafa

Serikali imeitaka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kuongeza juhudi katika usimamizi wa Rasilimali za Mawasiliano nchini, zikiwemo namba za mawasiliano...

READ MORE

Mchungaji Aliyekataza Waumini Kutumia ARV’s Wakafariki Aomba Radhi

MHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) wilayani Rungwe mkoani Mbeya, Emmanuel Mlundilwa amesema kukosa uelewa wa...

READ MORE

Makalla Awaonya Machinga Barabara ya Airport – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makalla ametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaoendelea kufanya Biashara pembezoni mwa Barabara...

READ MORE

Maajabu! Binadamu Apandikizwa Figo ya Nguruwe

WANASAYANSI kutoka Marekani wamefanikiwa majaribio ya kupandikiza Figo ya Nguruwe kwa Binadamu na kugundua kuwa kiungo hicho kinaweza fanya kazi...

READ MORE

Kigogo Aliyeomba Kukiri Kosa Akamzike Baba’ke, Mapya Yaibuka

UPANDE wa mashtaka katika kesi inayomkabili Mwanasheria wa Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Joseph Makandege umesema bado hawajafikia...

READ MORE

Kesi ya Sabaya Yakwama Kortini

Kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita imeahirishwa...

READ MORE

Samia: Tutaendelea Kushirikiana na Burundi

TANZANIA imesema itaedelea kushirikiana na Burundi katika kuimarisha ulinzi katika mipaka yetu. Hayo yamesemwa na Rais Samia Suluhu, katika mazungumzo...

READ MORE

Mbaroni kwa Kukamatwa na Meno ya Tembo

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa wawili 1. Lipande Said Simwiche (62) na 2. Juma Pius (32) wote...

READ MORE

HESLB: Majina ya Wanafunzi 7,364 Waliopata Mkopo Awamu ya Pili

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya awamu ya pili yenye wanafunzi 7,364 wa...

READ MORE

Mbuga ya Serengeti Namba Moja Tena

MAMLAKA ya Tuzo ya Dunia ya Safari (WTA) imeitangaza Mbuga ya wanyama ya Serengeti nchini Tanzania kama mbuga ya wanyama...

READ MORE

Utingo Malori ya Dangote Auawa kwa Kupigwa na Sungusungu – Video

  Utingo wa malori ya Kiwanda cha Saruji cha Dangote, Imani Abdallah Mnyoge mwenye umri wa miaka 31, mkazi wa...

READ MORE

Maagizo ya Waziri Mkuu kwa Wakuu wa Mikoa – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Wakuu wa Mikoa yote nchini wanapaswa kusimamia kwa karibu fedha maalum ya sh. trilioni 1.3...

READ MORE

CHADEMA Yatoa Tamko Kesi ya Mbowe

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema uamuzi wa jana na Jaji Kiongozi Mustapha Siyani, pamoja na kuitwa uamuzi mdogo...

READ MORE

Ahukumiwa Kunyongwa Hadi Kufa kwa Kumuua Abiria

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mfawidhi Mkoa wa Mbeya, imemhukumu kunyongwa hadi kufa, Emmanuel Msomba (30) baada ya kupatikana na kosa...

READ MORE

Kigogo Vodacom Afunguka Alivyochunguza Simu za Sabaya

MENEJA Ulinzi na Ushirika wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama wa Kampuni ya Vodacom (T) Makao Makuu Dar es Salaam,...

READ MORE

Hukumu ya Miaka 30 Jela: Sabaya Akata Rufaa

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wamewasilisha taarifa ya kusudio la kukata rufaa Mahakama Kuu...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi TCU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Prof. Penina Muhando kuwa Mwenyekiti wa Tume ya...

READ MORE

Hukumu ya Aveva, Kaburu Yapigwa Kalenda Tena

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kutoa hukumu kutokana na kutokamilika uandaaji wa hukumu na kuomba kuahirishwa kwa shauri hilo...

READ MORE

Rais Mwinyi Afanya Uteuzi Mpya

Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akiwemo Jaji Khamis Ramadhan Abdalla kuwa Kaimu Jaji...

READ MORE

BoT Yapongeza Mfumo wa Majaribio ya Suluhishi za Kidijitali NMB

    BoT yapongeza Mfumo wa Majaribio ya Suluhishi za Kidijitali NMB Benki ya NMB imezindua Mfumo wa Majaribio ya...

READ MORE

Lindi: Dereva wa Lori Afariki Mikononi mwa Polisi

Jeshi la Polisi mkoani Lindi, wametolea ufafanuzi wa tukio la dereva wa lori aliyefariki mikononi mwa polisi mnamo Oktoba 17,...

READ MORE

CHADEMA Haijaridhika na Maamuzi ya Mahakama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo, kimesema hakijaridhika na uamuzi uliotolewa na Jaji Kiongozi Mustapha Siyani katika kesi ndogo ndani ya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao ha Baraza la Mawaziri

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Oktoba 20, 2021 ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri...

READ MORE

Wakili IPTL Aomba Kukiri Makosa Akamzike Baba Yake

MWANASHERIA wa Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), Joseph Makandege, ameiomba tena kufanya mazungumzo na ofisi...

READ MORE

Kumbukumbu za Miamala ya Simu za Sabaya Zatua Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali pingamizi la kutaka nyaraka mbalimbali zikiwemo kumbukumbu za kupiga na kupokea simu, kutuma...

READ MORE

Meneja Ulinzi Vodacom Apanda Kizimbani Kesi ya Sabaya

MENEJA wa Ulinzi na Mshirika Katika Vyombo vya Ulinzi na Usalama Vodacom PLC Makao Makuu, James Wawenje amepanda kizimbani leo...

READ MORE

Askofu Akutana na Waganga wa Kienyeji Gamboshi

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Shinyanga Mhashamu Liberatus Sangu amekutana na Waganga wa tiba asili na tiba mbadala katika...

READ MORE

Kijana Mtanzania Aliyeuawa Marekani, Familia Yanena Mazito

Familia ya Kijana Mtanzania Humphrey Magwira aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku ya Ijumaa kufuatia ajali ya gari alilokuwa akiendesha kugonga...

READ MORE

Jaji Siyani Ajitoa Kesi ya Mbowe

Jaji Mustapha Siyani aliyekuwa akiendesha kesi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake  amejitoka kuendesha kesi hiyo leo Jumatano,...

READ MORE

Askofu Mwamakula Alivyoangusha Maombi Mahakamani Kesi ya Mbowe

Askofu wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa...

READ MORE

Mahakama Yatupilia Mbali Pingamizi la Mbowe

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, leo Jumatano Oktoba 20, 2021 imetoa hukumu ya kesi ndogo...

READ MORE