×

Kitaifa

Wanafunzi 937,581 Wafaulu Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi 2025, Matokeo Yapo HAPA – Video

Dar es Salaam, Novemba 5, 2025 — Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA), Prof. Said A. Mohamed,...

READ MORE

Dar Es Salaam: Mkuu Wa Mkoa Chalamila Ahaidi Kuondoa Shida Ya Mwendokasi Kimara

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila leo Oktoba 1, 2025 amefanya ziara ya kushtukiza katika Kituo cha...

READ MORE

Folz Awaahidi Mashabiki Raha Kesho, Kapombe Atoa Onyo

Kesho macho yote yataelekezwa kwenye Uwanja wa Taifa, ambapo watani wa jadi Simba SC na Young Africans SC watakutana katika...

READ MORE

Simbu Aandika Dhahabu ya Kwanza: Tanzania Yaingia Kwenye Historia ya Dunia

Kwa miaka mingi, Tanzania imekuwa ikikumbukwa kupitia mashujaa wake wa riadha kama Filbert Bayi, aliyewahi kuvunja rekodi ya dunia na...

READ MORE

Magu Yadhihirisha Kuelewa Ilani ya CCM 2025/2030

WANANCHI wa Magu wamemuonesha wazi Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi kuwa wanaifahamu vyema Ilani ya...

READ MORE

Boti Iliyobeba Shehena Ya Mirungi Yakamatwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kukamata boti aina ya fibre, rangi nyeupe, iliyokuwa ikisafirisha dawa za kulevya aina...

READ MORE

Rais Mwinyi: Mazingira Ya Biashara Na Uwekezaji Kuendelea Kuimarishwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesisitiza kuwa dhamira ya Serikali ya...

READ MORE

Jica Yaahidi Kuendelea Kuishika Mkono Serikali Ya Tanzania – Majaliwa

▪️JICA, Benki ya Dunia na AFDB watoa Dola za Marekani mil 516 miradi ya kilimo ▪️Washauri elekezi wawili Mjapan na...

READ MORE

Beki Wa Kazi Yanga Deni Lake Limekia Hapa

BEKI wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miloud Hamdi, Ibrahim Bacca deni lake la mabao...

READ MORE

BoT: Utalii Waanza  Mwaka 2025 Ukiongoza Kuleta Fedha Za Kigeni

Ripoti mpya ya Benki Kuu ya Tanzania imethibitisha kuwa sekta ya utalii (travel and tourism), pamoja na kumaliza mwaka wa...

READ MORE

TFF Yavifungia Viwanja Vitatu Vya Ligi Kuu Kwa Kutokidhi Vigezo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limevifungia viwanja vya Jamhuri (Dodoma), CCM Kirumba (Mwanza), na Liti (Singida) kutumika kwa...

READ MORE

Yanga Na TANESCO Waligharamia Mazishi Ya Shabiki Aliyefariki Kwa Shoti Ya Umeme Uwanjani Mkapa

Shabiki wa Yanga kutoka jijini Mbeya, Herman Sungura, aliyefariki dunia Machi 8, 2025, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar...

READ MORE

Watanzania Wamheshimisha Dk. Biteko Kili Marathon Leo

Kilimanjaro, 23 Februari 2025: Wanariadha wa Kitanzania wameng’ara katika mbio za Kimataifa za Kilimanjaro mwaka huu, ambapo Hamis Misai alishinda...

READ MORE

Serikali Yaanika Mikakati ya Kukabiliana na Changamoto za Wanyamapoli Wakali

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imeainisha mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya wanyamapori wakali na waharibifu katika...

READ MORE

NMB Yadhamini Mkutano Mkuu ALAT Taifa; Rais Samia Kufungua

BENKI ya NMB, imekabidhi hundi yenye thamani ya Sh. Mil. 120 kudhamini Mkutano Mkuu wa 38 wa Mwaka wa Jumuiya...

READ MORE

Hifadhi ya Taifa Saadani Yatakiwa Kuwa na Mpango Mahususi wa Maeneo ya Uwekezaji

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeielekeza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Saadani kuandaa mpango mahususi...

READ MORE

Kamati ya Kudumu ya Bunge Ardhi, Maliasili na Utalii Yaridhishwa na Mradi wa UVIKO-19 Pugu Kizimzumbwi

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeridhishwa na matumizi ya fedha za mradi wa UVIKO-19 za...

READ MORE

Halotel Yasherehekea Siku ya Wanawake Duniani Kwa Kutembelea Kituo Cha Watoto Yatima Malaika

Halotel kuonesha dhamira yao katika kujali jamii iliweza kutembelea kituo cha watoto yatima cha Malaika kilichopo Mwananyama – Mango Garden...

READ MORE

CUBA na Tanzania Kuendelea Kuimarisha Ushirikiano Katika Maeneo ya Kimkakati

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk. Emmanuel John Nchimbi amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Cuba,...

READ MORE

Absa Tanzania Yazindua Akaunti ya Kipekee ya ‘Absa She Business Account’ Kukomboa Wanawake Wajasiriamali

  Wito umetolewa kwa benki na taasisi za fedha nchini kufanya kazi kwa weledi wa hali ya juu, kuzingatia sheria,...

READ MORE

Mollel, Nkya Watikisa Michuano ya Gofu Kumuenzi Lina 

NURU Mollel wa klabu ya Arusha Gymkhana na Fadhil Nkya kutoka klabu ya Gymkhana Dar es Salaam wameibuka mabingwa katika...

READ MORE

Waziri Kairuki Akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje...

READ MORE

Waziri Kairuki Azindua Vitendea Kazi Vya Doria Misituni Vyenye Thamani Ya Tsh bILIONI 6

• Asisitiza lengo ni kuboresha utendaji kazi Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Angellah Kairuki (Mb) amezindua vitendea kazi vya...

READ MORE

Exim Yajivunia Mafanikio Mwaka 2023, Yaongeza Faida kwa Asilimia 36

  Benki ya Exim imetangaza ripoti yake ya kifedha ya Mwaka 2023, inayoonesha mafanikio makubwa katika njanja mbalimbali ikiwemo ongezeko...

READ MORE

Maadhimisho Miaka 47 ya CCM, Mbunge Cherehani Atoa Madawati 975

Na Mathias Canal, Ushetu-Kahama Mbunge wa Jimbo la Ushetu Mhe Emmanuel Cherehani kupitia Ofisi ya mbunge ametoa madawati 975 yenye...

READ MORE

CRDB Yazindua Msimu wa Tatu wa Kampeni ya ‘Benki ni SimBanking’

Katika jitihada zake za kuhamasisha matumizi ya mifumo ya kidijitali nchini, Benki ya CRDB imezindua msimu wa tatu wa kampeni...

READ MORE

Hakielimu, Chuo Kikuu HAMK Kuimarisha Elimu ya Undi na Mafunzo Tanzania

Mkuu wa Uchumi na Utawala Umoja wa Ulaya, Karina Dzialowska (wa pili kushoto) pamoja na Afisa wa Umoja wa Ulaya...

READ MORE

Makatibu Wakuu wa Vyama Sita Marafiki vya Ukombozi Mwa Afrika Wasaini Katiba ya Usimamizi Shule ya Uongozi

Makatibu Wakuu wa Vyama Sita Marafiki vya Ukombozi Kusini mwa Afrika, wakisaini Katiba ya Usimamizi na Uendeshaji wa Shule ya...

READ MORE

Prof. Joyce Ndalichako Akabidhi Mashamba na Vitendea kazi Kwa Vijana

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako (Mb) amekabidhi mashamba...

READ MORE

NMB Yazindua Akaunti Ya NMB Pesa, Isiyokuwa Na Makato Ya Mwezi

Benki ya NMB imeanzisha kampeni kubwa ya kuhamasisha na kuwawezesha watu wengi kufungua akaunti ili waweze kunufaika na faida za...

READ MORE

Waziri Makamba Akutana na Waziri wa Uhamiaji na Bima ya Taifa wa Bahamas

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe January Makamba amekutana na Waziri wa Uhamiaji na Bima...

READ MORE

Halotel yamzawadia Gari Mpya Mshindi wa Kampeni Kabambe ya Kivumbi na Halotel

Kampuni ya simu ya Halotel leo imetoa na kukabidhi zawadi kubwa ya gari aina ya Mazda CX5 kwa mshindi wa...

READ MORE

CRDB Bank Foundation, UNDP Kuwezesha Wajasiriamali Wanawake na Vijana

*CRDB Bank Foundation, UNDP kuwezesha wajasiriamali wanawake na vijana kunufaika na fursa za AfCFTA* Taasisi yetu ya CRDB Bank Foundation...

READ MORE

Halotel Yafanya Usafi Soko La Makumbusho

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Halotel pamoja na wafanyakazi wake wemeshiriki katika zoezi la usafi soko la Makumbusho jijiji...

READ MORE

Mhandisi Luhemeja: Tufanye Kazi Kwa Ushirikiano na Kutangaza Mafanikio Yetu

Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhandisi Cyprian Luhemeja, amefanya kikao kazi na watendaji...

READ MORE

OSHA Yaagizwa Kusajili Maeneo Yote ya Kazi nchini Ifikapo Juni 2024

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umeagizwa kusajili maeneo yote ya kazi nchini pamoja na kuhakikisha kwamba...

READ MORE

Wafanyakazi Benki ya NBC, Wadau Waanza Safari Kuitambulisha POS ya NBC Mlima Kilimanjaro

Wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) na wadau mbalimbali wa utalii mkoani Kilimanjaro wameanza safari ya kihistoria ya...

READ MORE

Naibu Waziri wa Uchukuzi Kihenzile Akabidhi Kontena Lenye Vifaa vya Hospitali ya Wilaya ya Mufindi

Mbunge wa Mufindi Kusini ambeye pia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amekabidhi kontena lenye shehene yenye vifaa mbalimbali...

READ MORE

Sekta Binafsi Kushirikishwa Masuala ya Maji

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka Watendaji wa Wizara ya Maji kutekeleza miradi kwa weledi, viwango na kuzingatia...

READ MORE