×

Kitaifa

Chanzo cha Shule ya Sekondari Gichameda Kuteketea kwa Moto

KUFUATIA tukio la moto kuteketeza ofisi ya walimu katika shule secondari ya Gichameda iliyopo wilaya ya Babati mkoani Manyara, Jeshi...

READ MORE

Jeneza Latelekezwa Likiwa na Mkungu Wa Ndizi – Video

Tukio lisilo la kawaida, limezua kizaazaa mkoani Arusha baada ya wakazi wa Mtaa wa Bondeni, Kata ya Endaseni wilayani Arumeru,...

READ MORE

Waziri Gwajima Akabidhi Magari Mikoa Sita

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima, amekabidhi magari kwa ajili ya ufuatiliaji wa...

READ MORE

Sheikh Mkuu Dar: Mtaani Mtu Anajipa tu Uaskofu

SHEIKH wa Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Alhad Mussa Salum amebainisha mambo mawili ambayo dini za Kiislamu na...

READ MORE

Breaking: Tundu Lissu Afutiwa Kesi

Kesi ya jinai namba 208/2016 ya Jamhuri dhidi ya Tundu Lissu, Jabir Idrissa na wenzao wawili imefutwa katika Mahakama ya...

READ MORE

Mtoto Asimulia Alivyoshuhudia Mauaji ya Mama Yake Kinyama – Video

MAPYA yameibuka kuhusu tukio la mauaji ya kikatili lililotokea katika Mtaa wa Kifuru- Msitu wa Nyuki, Kinyerezi jijini Dar es...

READ MORE

Mtoto Anayedaiwa Kuuawa na Dada wa Kazi Aagwa

HATIMAYE mwili wa mtoto Talia Essau Moshi mwenye umri wa miaka minne ambaye anadaiwa kuuawa kutokana na kupigwa na msichana...

READ MORE

Songwe: Askari Polisi 7 Wafukuzwa Kazi

JESHI la Polisi Mkoa wa Songwe limewafukuza kazi askari wake saba wa Kituo cha Polisi cha Wilaya ya Ileje mkoani...

READ MORE

Waandishi Global TV na Dar Mpya Apata Ajali Tabora – Video

MWANDISHI wa habari wa Global TV, ambaye kituo chake cha kazi ni jijini Dodoma, Mohamed Zengwa (pichani chini) na wenzake...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano wa UN Marekani – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, jana tarehe 20 Septemba, 2021 ameshiriki Mkutano wa Umoja...

READ MORE

Mrema Aongea kwa Uchungu Akimuaga Marehemu Mkewe – Video

MWILI wa mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Mzee Augustine Mrema, mama Rose Mrema umeagawa nyumbani...

READ MORE

NMB Yashinda Tuzo nne za Kimataifa

  Katika kudhihirisha ubora na upekee wa huduma zake, Benki ya NMB imeshinda tuzo nne za kimataifa zote zikiitaja kuwa...

READ MORE

Dada wa Adaiwa Kuua Mtoto wa Bosi Wake kwa Kipigo – Video

Global Tv Online imefanya mahojiano kwa kina na wazazi wote wawili wa mtoto ambaye anadaiwa kupigwa hali iliyomfanya kupoteza maisha....

READ MORE

Kesi ya Mbowe: Afande Msemwa Amaliza Kutoa Ushahidi

LEO Jumatatu, Septemba 20, 2021 Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam...

READ MORE

Maswali ya Kibatala kwa Inspekta Mahita

WAKILI anayeongoza jopo la mawakili wa utetezi katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...

READ MORE

Mzungu Adakwa Akiuza Bunduki 3 kwa Elfu 40

MTU mmoja raia wa Canada, Michell Raggy (60) anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kukutwa na...

READ MORE

Afande Msemwa Aanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Mbowe

SHAHIDI wa tatu katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi, inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu...

READ MORE

Mtoto Mwingine Mwenye Maajabu Atikisa, Anatibu kwa Maji na Duaa – Video

Wakati gumzo la mtoto Eunice Atieno mwenye umri wa miaka miwili na nusu, mkazi wa Kijiji cha Bukama, Rorya mkoani...

READ MORE

Waliomuua Hamza Wapewa Zawadi “Mapambano Yanaendelea” – Video

JESHI la Polisi nchini limewapa zawadi askari walipambana na kumuua mtu mmoja aliyefahaika kwa jina la Hamza Mohammed mkazi wa...

READ MORE

Mbowe Atinga Mahakamani na Kitabu Hiki – Video

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, leo Jumatatu, Septemba 20, 2021 wamefika katika chumba cha Mahakama Kuu, Divisheni ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Tiles Zing’olewe

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amegiza marumaru zilizowekwa kwenye sakafu ya wodi ya wazazi katika hospitali ya wilaya ya Karagwe ziondolewe...

READ MORE

Rugemalira Atoa Sadaka ya Shukrani Kanisani

Siku tatu baada ya kuachiwa huru mfanyabiashara James Rugemalira, jana Septemba 19 ameungana na waumini wenzake wa Parokia ya Makongo...

READ MORE

Mange Kimambi Uso kwa Uso na Rais Samia

JAMBO ambalo limewaacha midomo wazi Watanzania ni kuhusu mwanadada Mange Kimambi, Mtanzania aishiye nchini Marekani baada ya kukutana uso kwa...

READ MORE

Rugemalira Atoa Ahadi kwa Serikali

MFANYABIASHARA James Rugemalira, aliyeachiwa huru na mahakama dhidi ya kesi ya uhujumu uchumi, amemshukuru Mungu kanisani pamoja na serikali na...

READ MORE

Lwandamina Amaliza Mchezo kwa Wasomali

KOCHA Mkuu wa Azam, George Lwandamina, ameweka wazi kuwa wana matumaini makubwa ya kupata matokeo mazuri katika mchezo wa marudiano...

READ MORE

Tabora: Amuua Mkewe na Watoto Wawili Kinyama – Video

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mwanaume mmoja kwa tuhuma za mauaji ya mkewe na watoto wawili wanaodaiwa kuuawa kwa...

READ MORE

Madaktari TZ Wapendekeza Chanjo Corona Kuwa Lazima

IKIWA ni mkakati wa kuimarisha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Uviko-19, waganga wakuu wa mikoa wameishauri Wizara ya Afya, Maendeleo...

READ MORE

Mjamzito Ajifungua Kalunguyeye Simiyu – Video

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida mwanamke mmoja, Regina Frednand (46) mkazi wa Mtaa wa Butiama Kata ya Sima katika Halmashuari...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumchezea Mtoto Sehemu za Siri – Video

JESHI la Polisi Mkoa wa Pwani linamshikilia Antony Lugendo (34)mkulima,mkazi wa Mlandizi kwa kosa la kumdhalilisha mtoto mdogo wa kike...

READ MORE

Walimu Watano Mbaroni kwa Kuvujisha Mitihani

WATU sita wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuhusika na njama za kuvujisha mtihani wa kuhitimu...

READ MORE

IGP Sirro Apangua Makamanda wa Polisi

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amepangua baadhi ya Makamanda wa Polisi wa Mikoa na kupanga makamanda...

READ MORE

Afande Mahita Aeleza Alivyoshiriki Kuwakamata Makomando

MKAGUZI wa Polisi, Mahita Omary Mahita, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, kuwa alipigiwa simu...

READ MORE

Tanzia: Profesa Luhanga Afariki Dunia

ALIYEKUWA Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Matthew Luhanga (73) amefariki dunia jana Alhamisi, Septemba...

READ MORE

Ajali ya Coaster Yaua 6 Mbinga

BAD NEWS: Watu sita wamefariki katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Ijumaa, Septemba 17, 2021 katika wilaya...

READ MORE

Afande Mahita Aanza Kutoa Ushahidi Kesi ya Mbowe

Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imeanza kupokea ushahidi kwa Mkaguzi wa Jeshi la Polisi, Mahita...

READ MORE

Tanzania Yatahadharishwa Homa ya Meningitis

SERIKALI ya Tanzania imesema kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika kupitia mitandao...

READ MORE

Jaji Ahairisha Kesi ya Mbowe kwa Dakika 15

MASHAHIDI wa Jamhuri katika shauri dogo la kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa yasitumike kama kielelezo...

READ MORE

Hali Ilivyo Mahakamani Kesi ya Mbowe – Video

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake leo Ijumaa wakifikishwa katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya rushwa na Uhujumu...

READ MORE

Buchosa Wakubali Kuhamia Mkoa wa Geita

  Buchosa. Madiwani wa halmashauri ya Buchosa Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza wameridhia kuhamia Mkoa wa Geita kwa sharti...

READ MORE

Tanzia: Mke wa Mzee Mrema Afariki Dunia

Mke wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Mrema, mama Rose Mrema amefariki dunia.   Taarifa kutoka...

READ MORE