×

Kitaifa

Rais Samia: Nimevunja Mwiko Wizara ya Ulinzi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema ameamua kuvunja mwiko wa kwamba Wizara ya Ulinzi lazima...

READ MORE

Rais Samia: Nimefanya Mabadiliko ya Kimuundo – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassana amesema ameamua kufanya mabadiliko ya kimuundo katika wizara mbili...

READ MORE

Auawa kwa Kisu Akimzuia Njemba Kufanya Mapenzi na Mhudumu wa Gesti

Mlinzi Kampuni ya Ulinzi ya Mast Holding aitwaye Steven Felician Samandari (25) ameuawa kwa kuchomwa kisu tumboni na mtu aliyekuwa...

READ MORE

Live: Rais Samia Awaapisha Makamba, Mbarawa, Dkt. Stegomena

RAIS Samia Suluhu , leo Septemba 13, amewaapisha mawaziri wapya aliowateua jana akiwemo January Makamba, Makamba Mbarawa na Dkt. Stergomena...

READ MORE

Hans Pope Kuagwa Leo Karimjee

Mwili wa Marehemu Zakaria Hans Poppe utaagwa leo Septemba 13, katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam ambapo Wanasimba...

READ MORE

Wapenzi Waliokufa kwa Juisi ya Sumu Wazikwa – Video

Watu wawili waliofariki kwa kunywa kinywaji chenye  sumu katika Kitongoji cha Mlandizi Kata ya Mlandizi Tarafa ya Mlandizi Wilaya ya...

READ MORE

Gerson Msigwa; Chanjo ya UVIKO-19 Kupelekwa Vijijini – Video

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa leo Septemba 12, 2021 akizungumza na Watanzania katika Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu UN

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 11 Septemba, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Ofisa wa Benki Anusurika Kifo, Akatwa Mkono na Mumewe

Mfanyakazi wa Benki ya CRDB Debora Rwekwama (34) mkazi wa Bushushu Mjini Shinyanga amefanyiwa ukatili kwa kushambuliwa kwa kupigwa sehemu...

READ MORE

Wapenzi Wakutwa Wamefariki Dunia Ndani

WATU wawili wanaodhaniwa kuwa ni wapenzi wamekutwa wamefariki huku chanzo kikidaiwa kuwa walikunywa sumu katika Kitongoji cha Mlandizi kata ya...

READ MORE

Mmoja Afariki, 50 Wanusurika kwa Kula Chakula Kinachodaiwa Kuwa na Sumu

MKUU wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge amewatembelea wananchi waliolazwa katika Hospitali ya Mkoa huo baada kula chakula kinachosadikika...

READ MORE

Mahakama: Mali za Mmiliki wa Impala Hotel Zipigwe Mnada

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Arusha, Masjala Ndogo ya Kazi imemuamuru Dalali wa Mahakama aliyepangwa kuhakikisha ifikapo Oktoba 15, mwaka huu...

READ MORE

IGP Sirro: Ukiona Mkeo au Mmeo Anabadilika Tupe Taarifa – Video

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini (IGP), Simon Sirro amesema kuwa kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Rwanda wameazimia kukabiliana...

READ MORE

Majaliwa: Mwakinyo na Kiduku Tunasubiri Wazichape – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema Tanzania inalisubiria kwa hamu pambano la mabondia ambao wamekuwa wakitunishia misuli mara kwa mara, Twaha...

READ MORE

Msigwa Aanika Meseji Alizochati na Hans Pope Kabla ya Mauti

MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ameeleza masikitiko yake kufuatia kifo cha aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili na Mjumbe...

READ MORE

Wallace Karia Amlilia Hans Pope

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Wallace Karia amepokea kwa mshtuko msiba wa Mjumbe wa Kamati ya...

READ MORE

Nabii Bendera: Hutaki Chanjo, Unataka Ushirikina? Rais Alichanja Maji? – Video

  ASKOFU Mkuu wa Makanisa ya Ufunuo nchini, Nabii Paul Bendera amewataka watu wanaopotosha kuhusu chanjo ya corona kuacha mara...

READ MORE

Tanzia: Zakaria Hans Pope Afariki Dunia

Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kwamba, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba na Mjumbe wa Bodi ya...

READ MORE

Watatu Wakamatwa na Shehena ya Risasi, Silaha za Kivita

JESHI la Polisi mkoani Rukwa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kupatikana na risasi 1,493 za silaha za kivita wilayani...

READ MORE

Kauli ya Serikali Kuhusu Bei ya Mafuta – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda timu maalumu ili kuchunguza kupanda kwa bei ya mafuta kwa kuwa kitendo hicho...

READ MORE

Sakata la Malori 200 ya Tanzania Kuzuiliwa Zambia Liko Hivi

Serikali nchini Zambia imejibu tuhuma zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kuyazuia malori 200 ya mizigo ya nchini Tanzania kuingia...

READ MORE

DED Aliyenusurika Mbele ya JPM, Asimamishwa kwa Tuhuma za Wizi wa Mabati

Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu leo Septemba 10,2021, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Mkoa wa Morogoro,...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wasomewa Mashtaka Upya

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na wenzake watatu wasomewa upya mashtaka yao sita mbele ya...

READ MORE

Mbunge Aliyeteuliwa na Rais Samia Aapishwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Septemba 10, 2021 amemuapisha Dkt. Stergomena Tax kuwa...

READ MORE

Shigongo Bungeni: Tariff za Kodi Wafanyabiashara Wanaumia – Video

MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo ameiomba Serikali kufanya mapitio ya baadhi ya tariff za kodi ambazo zimekuwa mwiba kwa wafanyabiashara...

READ MORE

Rais Samia Amteua Bosi wa SADC Kuwa Mbunge

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Mbunge wa Bunge la Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Dk Stergomena...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Nmb Marathon

  Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mbio za hisani zilizoandaliwa na Benki ya NMB. Mbio hizo...

READ MORE

Bei Imeshuka! Mnada Mkubwa wa Bajaji Kutikisa Dar Jumamosi Hii – Video

KAMPUNI ya SEPCO DEBT COLLECTION AND AUCTIONEERING COMPANY LIMITED inawatangazia mnada wa hadhara. Kwa idhini tuliyopewa na kampuni ya SUNBEAM...

READ MORE

Rais Samia Aielezea Royal Tour

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameeleza kuwa Royal Tour ni kipindi maarufu duniani kitakachotumika kurusha...

READ MORE

Mabasi ya Mwendokasi Yasitisha Safari Mbezi, Mwenge, Kawe

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mabasi yaendayo haraka (Udart), John Nguya amesema wameamua kusitisha safari za Shekilango – Mwenge na...

READ MORE

Waliobebana Mshkaki Wafariki kwa Kugongwa na Fuso

WATU watatu waliokuwa wamebebana kwenye pikipiki (Mshikaki) wamefariki dunia papo hapo baada ya kugongwa na fuso lenye namba za usajili...

READ MORE

Walimu Ruksa Kuhama Mijini Kwende Vijijini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Mhe Ummy Mwalimu amesema walimu wanaotaka kuhama kutoka mijini...

READ MORE

Basi la Mwendokasi Lagonga Pikipiki, Laua Wawili

WATU wawili wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki. Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Kanda Maalum...

READ MORE

Mbeya: Mtoto Mbaroni kwa Kubaka Mtoto na Kumuua

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limemkamata Hamisi Ibrahim (15) akituhumiwa kumbaka na kumuua mtoto mwenye umri wa miaka sita....

READ MORE

Tanzia: Hillary Ngonyani Afariki Dunia

MWENYEKITI Mstaafu wa Halmashauri ya Mji Korogwe mkoani Tanga, Hillary Ngonyani amefariki dunia. Ngonyani amefariki dunia leo Septemba 9, 2021...

READ MORE

RC Makalla Apiga Marufuku Biashara Barabarani, Atoa Siku 7

  Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametoa wiki moja kwa wafanyabiashara...

READ MORE

Sabaya Kortini Tena kwa Madai ya Kuchukua Mil 90 za Mfanyabiashara

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wamesomewa shtaka la uhujumu uchumi lenye makosa matano...

READ MORE

Sakata la Polepole, Gwajima, Silaa Latua kwa Majaliwa

KAMATI ya wabunge wa CCM imekabidhi ripoti ya mahojiano ya wabunge watatu kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambapo wawili wanatuhumiwa...

READ MORE

Fisi Aua Mtoto

MTOTO mwenye umri wa miaka mitano ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Zawa, Kata ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu...

READ MORE

Akutwa Amefariki Katika Gesti ya Uwoya

MWANAUME mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 amekutwa amefariki katika nyumba ya kulala wageni (gesti) ya Uyowa katika...

READ MORE