×

Kitaifa

Kamishna wa Ardhi Kanda Ya Dar Ahimiza Wananchi Kulipia hati za Viwanja vyao

KAMISHNA wa Wizara Ya Ardhi, Nyumba Na Maendeleo Ya Makazi Kanda ya Dar es Salaam Bw. Idrisa Kayera ametoa wito...

READ MORE

OSHA Yazindua Mpango wa Kusajili, Kukagua Maeneo ya Wajasiriamali Wadogo

Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (OSHA) umezindua mpango maalum wa kuwasajili na kuwahudumia wajasiriamali wadogo kupitia ukaguzi...

READ MORE

Mabadiliko Jeshi la Polisi, Muliro Dar, Muroto Astaafu

  MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Simon Sirro leo tarehe 31.5.2021 amefanya mabadiliko madogo kwa Makamanda wa Polisi...

READ MORE

Babu Tale: Neno Rais Litumike kwa Rais wa Nchi, si TFF – Video

MBUNGE wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Taletale amependekeza neno Rais litumike kumtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Sabaya Ashikiliwa na Takukuru

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya, amekamatwa jijini Dar es Salaam, Gazeti moja linalotoka kila...

READ MORE

Yanga Yathibisha Carlinhos Kuondoka

Uongozi wa Yanga umethibisha kufikia makubaliano na Carlinhos ya kusitisha mkataba wao kuanzia sasa. Hatua hiyo imefikiwa baada ya Carlinhos...

READ MORE

Mamadou Sakho Balozi wa Utalii Tanzania

Mchezaji wa Crystal Palace ya Uingereza na timu ya taifa ya Ufaransa Mamadou Sakho, akubali kuwa balozi wa Utalii Tanzania....

READ MORE

Naibu Waziri Katambi, DC Gondwe Washuhudia Uzinduzi wa NMB Jukwaa la Vijana

  Benki ya NMB imeanzisha utaratibu wa kipekee wa kuwasaidia vijana nchini kupitia jukwaa la huduma suluhishi za kibenki utakaowawezesha...

READ MORE

Rais Samia Ateua Ma-RAS Wapya, Amng’oa Erio NSSF

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameteuwa Makatibu Tawala wa Mikoa na wakuu wa taasisi kama...

READ MORE

Ohoooo! Padri Katoliki Aacha Gumzo

Padri wa Kanisa Katoliki ambaye ni raia wa Italia, Father Adolf Poll ameacha gumzo kubwa nchini Kenya. Padri huyo ameondoka...

READ MORE

Hatimaye Mapendekezo Mkoa wa Chato Yapitishwa

KIKAO maalumu cha ushauri cha Mkoa wa Geita, kimeridhia kuanzishwa kwa mkoa mpya wa Chato na kupendekeza mkoa huo mpya...

READ MORE

Mama Aibiwa Mtoto Mapokezi

MTOTO David Mfambo mwenye umri wa siku saba ameibiwa katika hospitali ya wilaya ya Frelimo mkoani Iringa, baada ya Mama...

READ MORE

Meya Aagiza Mil 3.2 za Kununua Bastola ya Mkurugenzi Zirudishwe

Meya wa manispaa ya Moshi, Juma Raibu ameagiza Milioni 3.2 zilizotengwa na Halmashauri ya Manispaa hiyo kwa ajili ya kununua...

READ MORE

Askari Afa Maji Akimkimbiza Mtuhumiwa

Askari Polisi, Isaya Kawogo amefariki dunia baada ya kuzama katika Ziwa Victoria wakati akimkimbiza mtuhumiwa wa ujambazi.   Hayo yameelezwa...

READ MORE

Dawa za Kulevya Shinyanga

Masunga Nindwa (36) mkazi wa Lunzewe mkoani Geita na Peter Matiko mkazi wa nyakato mkoani Mwanza wanashikiliwa na jeshi la...

READ MORE

RC Songwe Agawa Miche Ya Michikichi Kwa Wakulima

Mkuu wa Mkoa wa Songwe Mhe. Omary mgumba amewagawia wakulima wa wilya ya Mbozi na Momba mkoani Songwe pamoja na...

READ MORE

Abuni Lensi, Hadubini na Darubini Kwa Kutumia Maji

Mbunifu wa vifaa vya maabara anayeatamiwa na Kituo cha VETA cha Uatamizi wa Ubunifu na Ujasiriamali (VETA NICIE), Bellington Lyimo,...

READ MORE

CCM Yalaani Mbunge Catherine Magige Kuvamia Mazishi

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimechukizwa na kulaani kitendo kilichofanywa na baadhi ya viongozi wa umoja wa wanawake wa chama hicho...

READ MORE

Baraza la Madiwani Laukataa Mkoa Mpya wa Chato

Baraza Maalum la Madiwani Halmashauri ya Wilani Geita Mkoa wa Geita wamepinga wilaya mpya ya Busanda pamoja na hifadi ya...

READ MORE

Kipindi cha DARASA Chatimiza Mwaka Mmoja – Video

KIPINDI cha Darasa kinachoruka kupitia @255GlobalRadio kimefanya hafla ya baada ya kutimiza mwaka mmoja leo Ijumaa, mei 28, 2021 tangu...

READ MORE

Waziri Ummy Awasimamisha Kazi Watumishi Wanne

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Ummy Mwalimu amewasimamisha kazi wiki...

READ MORE

Historia ya Kagame, Rais Aliyeitoa Rwanda Machinjioni! – Video

PAUL Kagame alizaliwa RWANDA, akakulia ukimbizini, akatembelea kucha, akaonja adha ya kuwa mkimbizi, akaapa kurudi kwao, na kweli akarudi kwa...

READ MORE

Vitu Vipyaa! Kuuzwa kwa Mnada Bei Chee – Video

TAMBAZA AUCTION MART & GENERAL BROKERS LIMITED kwa idhini tuliyopewa tunawatangazia mnada wa hadhara utakaofanyika Jumamosi hii ya Mei 29,...

READ MORE

Fursa Kwa Wabunifu Afrika Mashariki

MFUKO wa kusaidia biashara ya ubunifu Afrika Mashariki wa HEVA (EACBF) umetoa fursa kwa wabunifu kuomba mkopo utakaowawezesha kuwavusha baada...

READ MORE

Majaliwa Awasimamisha Kazi Watendaji Wizara ya Fedha

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi pamoja na baadhi...

READ MORE

Babu Tale Atinga Kijiji Wanachotumia Mti Kupata Mawasiliano

   Wananchi wa kijiji cha Matuli wilaya Morogoro Vijijini, jimbo la Morogoro kusini mashariki wameipongeza kampuni ya simu ya simu...

READ MORE

Matapeli Wanaoghushi Nyaraka Kutongozea Wanawake Wanaswa

JESHI la Polisi Mkoa wa Shinyanga linawashikilia watuhumiwa watatu Dismond Zacharia (33) ambaye ni mwalimu, Feisal Hussein (27) Mpemba, mtaalamu...

READ MORE

RC Makalla Kutoa Usafiri kwa Ombaomba Wanaotaka Kurudi Makwao

Ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam imesema ipo tayari kutoa usafiri kwa ombaomba wanaotaka kurudi kwao kwa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na...

READ MORE

RC Makalla Aagiza Ombaomba Waondolewe Dar – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewaagiza wakuu wa wilaya pamoja na wakurugenzi wa halmashauri za Dar...

READ MORE

Majaliwa: Tutaendelea Kusimamia Bei Nzuri ya Mazao

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan itaendelea kusimamia...

READ MORE

Mbowe: Chadema Hatutashiriki Uchaguzi 2025 – Video

MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema chama hicho hakitashiriki Uchaguzi Mkuu ujao kama...

READ MORE

IGP Sirro: Kinondoni Inaongoza kwa Uhalifu – Video

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Simon Sirro amesema Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni unaongoza kwa Uhalifu hapa Nchini. Ametaja...

READ MORE

Pwani: Ajinyonga Kufuatia Tuhuma za Kuiba Tsh. 5,000

WATU wawili Pwani wamekufa katika matukio mkoani Pwani likiwemo la mwanafunzi wa kike mwenye umri wa miaka 14 aliyepoteza maisha...

READ MORE

Morogoro: Mbaroni kwa Kufukua Maiti na Kunyofoa Viungo

Watu watatu wanashikiliwa na Polisi mkoani Morogoro kwa tuhuma za kufukua mwili wa Rehema Michel, aliyezikwa Jumapili na kutoa viungo...

READ MORE

Yanga: Tutapambana Mpaka Tone la Mwisho

BAADA ya timu yao kutinga hatua ya nusu fainali ya mashindano ya Kombe la FA, Kocha wa Makipa wa Yanga,...

READ MORE

Tanzania, Kenya Wajadili Vikwazo Visivyo vya Kiforodha

TIMU ya wataalamu kutoka Tanzania imekutana na timu ya wataalamu kutoka Kenya Jijini Arusha kujadili njia za kuondoa vikwazo visivyo...

READ MORE

Warundi Wauza Alkasusu Kortini Kisutu

RAIA 29 wa Burundi wanaodaiwa kuuza kahawa aina ya alkasusu na kahawa ya kawaida, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Ridhiwani: Mzee Kikwete Yupo Salama

Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwani Kikwete amekanusha taarifa za sintofahamu zilizosambaa kupitia mitandao ya kijamii zikimhusishia baba yake mzazi na...

READ MORE